NYUNDO YA MOTO
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 5,360
- 16,999
The Canadian Ministry of Defense announced that it would send more than 20 thousand shells to Kyiv for 155-millimeter M777 howitzers, which were previously delivered to Ukraine.
Alipigana sambamba na washirika.Mkuu hizi alipigana pekee yake au na washirika?
tuko kiev wamerudi nyuma na wengine kufa kiev,baada ya mda hata hapo tutasikia wanarudi nyumaWar-UptadeView attachment 2237237
Kwamaana hiyo US sio super power kwani ni muoga kweli wa proxy-war.Super power hawezi kugwaya proxy -war kama tunavyoaminishwa humu na ndiyo maana tunasema kama Mrusi akiendelea na vita kwa muda mrefu uchumi wake utaporomoka vibaya mno, cha msingi aachane nayo.
Hizo nchi kama sio waoga si waingize majeshi yao moja kwa moja!!!?Jibu swali kwa nini Putin asizishambulie nchi zinazoendelea kutoa msaada kwa Ukraine kama alivyoahidi mwanzoni ??
Wamarekani wa Buza wanalia zaidi kwa kukosa vilainishi na ARVs. Bwana wao yupo bize na Ukraine. Sishangai wakiichukia RussiaICRC imesimamisha utoaji wa dawa,. Kwa sababu hii, maelfu ya watu walioambukizwa VVU hawataweza kupokea matibabu. Kumbuka kwamba katika Urusi pia kuna hali ngumu na VVU. Urusi inaongoza katika suala la usambazaji katika Ulaya.
Nenden telegram mkaone warus wanavyolia huko kwa hasira
Mkuu achana nae, inawezekana hata umri wake bado mdogo yamkini ndo hawa waliomaliza mitihani wiki iliyopita. Nina wasiwasi hata simu anayotumia yaweza kua ya bimkubwa.Hebu jibu hoja kwa kutumia vigezo vifuatavyo.
1. Uchumi wa urusi upo vibaya umetumia vigezo gani?
2. Zelensky anashinda. Kakomboa maeneo mangapi mpaka sasa.
Alisikika bektatu mmoja wa huko BuzapalangeSijui, ila ubongo wa mtu ameamua kupigana na nchi zaidi ya 30 +Finland+Sweden lazima umefyatuka mahala.Babu wenu Putin atafilisi Russia na witless war.
Huyu anahitaji mwalimu wa Fizikia labda.Yaani n hivii kwa mfano wewe apo(Ukraine) unaugomvi na mm(Russia) ila kuna mtu n baunsa kama mimi(NATO/US)nae pia ni adui kwangu ivyo kupitia vagi langu na ww anauchukua mkono wako ananitwanga ngumi( Proxy war).Umeona hapo ni kwamba hajanipiga direct ila anakutumia wewe sasa wewe kwa kujua au kutokujua unachakazwa.
Nimeona nikufungue macho.
Kafika ubora wa ujinga wako .....ha ha ha - yaani huo ubavu autoe wapi, Mziki wa NATO ni balaa !! wale ndani ya masaa 4 tu wanaweza kupiga vinu vyake vyote vya nuclear anavyotamba navyo !!
Ukraine tu inamtoa jasho mwezi wa pili sasa ngoma isambe, itakuwa NATO.
👆Jibu swali kwa nini Putin asizishambulie nchi zinazoendelea kutoa msaada kwa Ukraine kama alivyoahidi mwanzoni ??
Wewe ndio msemaji wa EU ?Unafikiri EU ana pesa za kuchezea? Kwanza alipoomba hizo $5 bil wakamshangaa.
Pia, Sasa hivi kila nchi zimeshafikia kikomo cha kutoa misaada, ndio maana huoni Tena zile mbwembwe za Kama awali.
Kama Ukraine angelikuwa anaonyesha kushinda hii vita, jamaa wangekuwa na moyo wa kuendelea kumsaidia.
Lakini kila msaada wa silaha wakimpatia zinaishia kuchomwa Moto. Sasa nani ataendelea na biashara ya namna hii..?
HowZ angepoteza maisha...
Anapambana na Ukraine tu, usidanganyike kirahisi hivyo na propaganda za Warusi wa Buza.Kumbe jeshi la nchi moja(RUSSIA)anapambana na nchi zenye nguvu zaidi ya 30 na anawatoa kamasi.