triga
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 502
- 1,000
Edorgan yupo Istanbul anasema hawatajiunga na yeye ana kura ya veto kuzuia hiloFinland na Sweden zitajiunga na NATO tena mapema Zaid...
Erdogan emekataa kwa sababu zake binafsi
Wewe hapa msambichaka unasema watajiunga na kura yako ya veto inakupa kiburi si ndio?
Hii vita ya Omary na Edorgan huko NATO inavutia.
