CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,786
- 15,732
Yaan najua vita lazima kila upande uumie, lkn kwa vita hii UKRAINE ameumia zaidi, si umeona hadi ikuli imezuiliva na viroba vya mchanga??Sema mwamba kuna kitu hakipo sawa kwako, so unapenda kuona habari za Ukraine akipigwa tu et! Ndio utaiona sio habari ya kishabiki
Hujui kwamba hiyo ni vita lazma na mrusi apigwe na angekuwa hapigwi mpaka sasa vita ingekuwa imeisha.
View attachment 2208504
Nachoshangaa ni watu kuaminishwa watu kuw URUSI anakula kichapo kikubwa na anakaribia kushindwa vita.