triga
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 1,029
- 5,708
Wanachonifurahisha warusi hizi silaha wakizikamata hawazitumii wao, wanazipeleka kwa wanamgambo wa luhansk na Donetsk. Yaani wao hawazihitaji, dharau iliyoje!?Jamhuri ya watu wa Luhansk na Donesk (LPR na DPR) Wanashukuru mno generous donation waliyopata kutoka US na NATO....
Hivi wadau mshawah pata walau picha kutoka upande wa hawa Nazi za vifaa vya kirusi walivovikamata kama hawa DPR na LPR wafanyavyo?
View attachment 2208274
View attachment 2208275
View attachment 2208276
View attachment 2208278
View attachment 2208279
Wakati Nato wanawapa ukraine silaha wajue kuwa wanawapa na waluhansk na wadonetsk pia.
Wanaume wanazidi kusogea. Muda sio muda na Odessa itakwapuliwa nchi ibaki land locked. Wakati huo na Moldova ikikaribiwa. Mwezi mmoja baadae nchi inagawanywa vipande viwili komedian anaachiwa kakipande katakachobakia. Avune alichopanda
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app