Automata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 3,346
- 4,614
Kama kinavyo jieleza kichwa cha habari hii ni thread maalumu ya kupashana habari kuhusu wilaya ambazo tayari zimesha anza kupokea maombi ya kujiunga na JKT kwa utaratibu wa kujitolea kwa mwaka 2017.
1. Wilaya: Siha, Kilimanjaro.
Mwisho wa kupokea maombi: November 10, 2017
Kutazama tangazo pakua nyaraka ifuatayo; Bofya HAPA
2. Wilaya: Rufiji, Pwani.
Mwisho wa kupokea maombi: November 13, 2017
Kutazama tangazo pakua nyaraka ifuatayo; Bofya HAPA
1. Wilaya: Siha, Kilimanjaro.
Mwisho wa kupokea maombi: November 10, 2017
Kutazama tangazo pakua nyaraka ifuatayo; Bofya HAPA
2. Wilaya: Rufiji, Pwani.
Mwisho wa kupokea maombi: November 13, 2017
Kutazama tangazo pakua nyaraka ifuatayo; Bofya HAPA