Abdulwahid
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 2,759
- 1,555
Samsung au lg, yoyote hapo kati ya hizo utakayochukua ni nzuri mkuuIv wakuu kati ya tcl,samsung,lg,boss,aborder ip ina tv nzur
1.kwa uimara
2.mwonekano
3.new fashion
4.etc
Samsung au lg, yoyote hapo kati ya hizo utakayochukua ni nzuri mkuuIv wakuu kati ya tcl,samsung,lg,boss,aborder ip ina tv nzur
1.kwa uimara
2.mwonekano
3.new fashion
4.etc
Jamaa wako vizuri sana.Hii lugha inanukia utapeli nikukumbuka
Jamaa wako vizuri sana.
Aiseeeeh tema mate chini,usijumuishe....kwa hawa jamaa hata mimi sikatai kuwa wapo vizuri sana na huduma zao ni nzuri sana ila kuna wajinga fulani wa znz kule kupatana ukiingia mkenge tu wanakupeleka malikiti....ni matapeli hatarinimetoka Jana znz kwa hao Jamaa ofisi yao
nami awali nilidhani ni matapeli kama wengine
Mungu anisamehe sana!
Mwana JF yoyote ikiwa una mashaka nao basi ni vizuri ukaenda mwenyewe hadi ofisi zao ukajionea.
Ila nimefurahi kufahamiana nao
Kuonana nao
wamenisaidia mno kipindi chote nikiwa znz
nawaamini na iwapo kuna mtu ametapeliwa nao na awe wa kwanza kusema!
Kumbe sio wote ni matapeli humu
WATU WA ZANZIBAR NI WAKALIMU SANA
dini zao ndiyo nguzo kuu
Aiseeeeh tema mate chini,usijumuishe....kwa hawa jamaa hata mimi sikatai kuwa wapo vizuri sana na huduma zao ni nzuri sana ila kuna wajinga fulani wa znz kule kupatana ukiingia mkenge tu wanakupeleka malikiti....ni matapeli hatari
Yeah nimetema mate chini rafiki
Ila sijawazungumzia waznz wote
BALI
nimemuongelea ABDULWAHID na ofisi yake coz ndiye niliyekwenda ktk ofisi zao na kujionea kwa macho yangu Juu ya wanachokitangaza humu JF.
wahuni pia wapo znz coz kuna mwingiliano wa watu wengi sana kutoka sehemu mbali mbali
Ila wazawa asilimia kubwa ni watu wazuri.
Sema tu ktk msafara wa mamba siku zote kenge nao hawakosi
Hivyo huenda pia wapo wachache wasiokuwa waaminifu.
Ila dini ni nguzo kuu kwao na hivyo dhuruma kwao ni kitu wasichokipenda kabisa!
Shukran mkuu, karibu tena Zanzibar, tunasema uaminifu wetu ndo key ya mafanikio yetu, karibuni nyote wakuunimetoka Jana znz kwa hao Jamaa ofisi yao
nami awali nilidhani ni matapeli kama wengine
Mungu anisamehe sana!
Mwana JF yoyote ikiwa una mashaka nao basi ni vizuri ukaenda mwenyewe hadi ofisi zao ukajionea.
Ila nimefurahi kufahamiana nao
Kuonana nao
wamenisaidia mno kipindi chote nikiwa znz
nawaamini na iwapo kuna mtu ametapeliwa nao na awe wa kwanza kusema!
Kumbe sio wote ni matapeli humu
WATU WA ZANZIBAR NI WAKALIMU SANA
dini zao ndiyo nguzo kuu
Hao kaka mkuu inawezekana hata hawapo hapa Zanzibar ila wanatumia jina la Zanzibar kutapeli watuAiseeeeh tema mate chini,usijumuishe....kwa hawa jamaa hata mimi sikatai kuwa wapo vizuri sana na huduma zao ni nzuri sana ila kuna wajinga fulani wa znz kule kupatana ukiingia mkenge tu wanakupeleka malikiti....ni matapeli hatari
Hahahahha, mkuu ntakuja huko nije nichagua mali moja safiiNimefika mbali kimawazo mpaka nataman kumkabidhi mke huyu Bwana abdalla Rashid hajawahi niangusha
Mkuu ni bei hapaMusic systems, ushindwe ww tu
0777650286, 0718919725View attachment 1206054View attachment 1206055View attachment 1206056View attachment 1206057View attachment 1206058View attachment 1206059View attachment 1206070
MkuuLg smart 43"
Brand new
Bri 900000
0777650286, 0718919725View attachment 1225626View attachment 1225628View attachment 1225629View attachment 1225631
Samsung smart 32"
UK used
Bado iko good condition
Bei ni 400000 tuView attachment 1210524View attachment 1210526View attachment 1210527
Samsung 24" hatuna mkuu, star x 24" tunauza 220000, kushusu picha hazina shida, ziko vizur mkuuMkuu
Una Samsung inch 24???
Star x inch 24 sh ngapi?
Je star x mng'ao wake katika picha uko vizur Sana?
Asante
Hii imeondoka kitambo mkuu ila ipo nyengn smart 32" ni model tofauti tu na hiyoMkuu hii bado unayo
Hii imeondoka kitambo mkuu ila ipo nyengn smart 32" ni model tofauti tu na hiyo
Hii imeondoka kitambo mkuu ila ipo nyengn smart 32" ni model tofauti tu na hiyo