Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Lg led 32"
Ni second kutoka kwa malkia
Bado iko good condition
Bei ni 350000 tu
0718919725,,0777650286
IMG_20190924_163257.jpeg
IMG_20190924_163255.jpeg
IMG_20190924_163250.jpeg
IMG_20190924_163235.jpeg
 
Sony smart tv 32"
Second hand bado ipo clean hasa
Ina support screen mirror
Bei ni 400000 tu,
Tunakupa na frew wall mount
0777650286, 0718919725
IMG_20190925_162950.jpeg
IMG_20190925_162948.jpeg
IMG_20190925_162944.jpeg
IMG_20190925_154901.jpeg
 
Nauza projector yenye uwezo mkubwa sana kwa matumizi ya biashara na nyumbani.
Aina-SHARP DLP XG-C10SA

*3200 lumens

*SVGA(800*600)
Full HD(1920*1080)

*lamp life time 10000 hours

Imetumika masaa 770

Yani ipo vizuri sana una weza kutumia masaa 24 bila kujizima.

Bei Tsh 500000 au kama una flat TV tunaweza kubadilishana.nipo Dar

Kwa mawasiliano 0652868486
IMG_20190925_115801.jpeg
IMG_20190925_115811.jpeg
 
Hili tatizo linatengenezeka,kukiwa na giza washa tv halafu mulika na toch kwenye screen wakati tv iko ON utaona picha japo kwa mbali,taa za kumulika ili led ziwake zimeungua,taa zipo madukani nyingi tu,tafuta fundi uitengeneze halafu uiuze,kumbuka kutumia TV Guard
Tv Guard zinauzwa wapi?
 
Nauza projector yenye uwezo mkubwa sana kwa matumizi ya biashara na nyumbani.
Aina-SHARP DLP XG-C10SA

*3200 lumens

*SVGA(800*600)
Full HD(1920*1080)

*lamp life time 10000 hours

Imetumika masaa 770

Yani ipo vizuri sana una weza kutumia masaa 24 bila kujizima.

Bei Tsh 500000 au kama una flat TV tunaweza kubadilishana.nipo Dar

Kwa mawasiliano 0652868486View attachment 1218476View attachment 1218477
Umeshauza?
 
Nauza projector yenye uwezo mkubwa sana kwa matumizi ya biashara na nyumbani.
Aina-SHARP DLP XG-C10SA

*3200 lumens

*SVGA(800*600)
Full HD(1920*1080)

*lamp life time 10000 hours

Imetumika masaa 770

Yani ipo vizuri sana una weza kutumia masaa 24 bila kujizima.

Bei Tsh 500000 au kama una flat TV tunaweza kubadilishana.nipo Dar

Kwa mawasiliano 0652868486View attachment 1218476View attachment 1218477
Nikikupa Samsung 40 Inch Smart TV unaniongeza shi ngapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom