son_of_masia
JF-Expert Member
- Oct 5, 2015
- 377
- 254
Posta hyo hyo mkuu,wale mamother pale ni wakuda kweli ukijumuisha na jamaa flan hivi ndo anayedili na hzo.hayo mahesabu niliyopewa nilichoka ikabidi nikalipie tu kwenye account yao nmb ninusuru mzigo wangu.Ulitumia njia gani mkuu? Maana kwa posta kuna tozo za VAT tu, kama mzigo umefikia viwango vya kulipia kodi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app