jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,286
Wakuu kwa mwenye TCL smart tv nahitaji 43 budget ni 750,000/=
Wacha nichukue bongo tu sasa ya kawaida mzee baba
Lakini smart si inafanya kazi poa?
I mean nnaweza kupita mzigo wa net kama kawaida magoogle youtube ku-install vi-app
Hamna app yoyote unaeka mzee kwenye Golive. Youtube ipo freshi na browser ipo slow kimaku.
Hio magoli sana, au kama utaweza tafta Mi Tv BoxBasi ntatufuta CPU ntaitumia kama monitor au vipi
Wewe nunua tu hizi zinazo patikana ila tafuta hii stick, zipo AmazonWakuu kwa mwenye TCL smart tv nahitaji 43 budget ni 750,000/=
Ebu tueleweshe kdg mkuu juu yahiyo stick jenikwa internet streaming tu amaWewe nunua tu hizi zinazo patikana ila tafuta hii stick, zipo AmazonView attachment 994873View attachment 994874
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu hii kwa internet, inaifanya TV ambayo sio smart kuwa smart, ni official from Roku.Ebu tueleweshe kdg mkuu juu yahiyo stick jenikwa internet streaming tu ama
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia ina internal memory unaweza record vipindi ukaangalia baadae.Ebu tueleweshe kdg mkuu juu yahiyo stick jenikwa internet streaming tu ama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu watu wengi humu awaelewi ilo swala wanajitia wajuaji tu. Now wapo busy wanagoogle subir watakuja kubishana soonNaona watu wanalilia tu hizi Roku TV, kwa Mtanzania mwenye kipato cha kawaida ni ghali sana, coz kwa huduma kama Netflix na Vudu zina malipo ya kila mwezi pia unatakiwa uwe package ya internet ya kutosha, sidhani kwa baadhi yetu kama tunaweza afford. Ni bora Android TV unaweza kuweka Apps kama Kodi, Startimes etc ambazo hautumii gharama kubwa.
View attachment 994967
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea unataka inch ngapi, mfano TCL Roku tv nchi 40 ni hardly Tshs.650,000 ila bongo TCL ya GoLive nchi 40 huipati kwa bei hio!
Samsung 3.5mNahitaji tv brand yeyote "65 ila iwe curved 7series
Kama ipo ni pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu kwa mwenye TCL smart tv nahitaji 43 budget ni 750,000/=
Naona watu wanalilia tu hizi Roku TV, kwa Mtanzania mwenye kipato cha kawaida ni ghali sana, coz kwa huduma kama Netflix na Vudu zina malipo ya kila mwezi pia unatakiwa uwe package ya internet ya kutosha, sidhani kwa baadhi yetu kama tunaweza afford. Ni bora Android TV unaweza kuweka Apps kama Kodi, Startimes etc ambazo hautumii gharama kubwa.
View attachment 994967
Sent using Jamii Forums mobile app
Usitukane raia mzee. We ni mfanyabiashara heshimu maoni ya wateja. Mteja akihitaji brand flani anatarajia uwe nayo maana unauza tv na kwa mfanyabiashara makini na hata kama kitu hicho huna kuna namna ya kusawazisha hilo kwa hoja tulivu bila matusi kwa mteja. Usimpangie mtu eti Roku ni nini! Kuwa na mali anayehitaji anajua anachotaka.Wajinga tu, wanajifanya wajuaji hawana lolote, wakiulizwa kwenye hizo rocu tv kuna nini cha zaida wanaufyata, rocu tv ni nini? Kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Roku Tv ni current brand za TCL ziko enhanced na features nzuri zaidi tofauti na haya ma Golive tv hayana ishu yani na FYI zile apps unazoziona mle nyingi TCL wana mkataba nazo hivyo mtumiaji atakachohitaji ni bundle tu ku access content. Ila kwa android tv apps zile zile utalipia ili kupata contents.Naona watu wanalilia tu hizi Roku TV, kwa Mtanzania mwenye kipato cha kawaida ni ghali sana, coz kwa huduma kama Netflix na Vudu zina malipo ya kila mwezi pia unatakiwa uwe package ya internet ya kutosha, sidhani kwa baadhi yetu kama tunaweza afford. Ni bora Android TV unaweza kuweka Apps kama Kodi, Startimes etc ambazo hautumii gharama kubwa.
View attachment 994967
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee mbona na wew unamuita mwenzio mpuuzi? Anachosema dula ni sawa humu Hakuna wateja hata kwa Hizo item wanazojitia kuulizia wengine Awana hata umeme makwako mnaponda item za watu...Usitukane raia mzee. We ni mfanyabiashara heshimu maoni ya wateja. Mteja akihitaji brand flani anatarajia uwe nayo maana unauza tv na kwa mfanyabiashara makini na hata kama kitu hicho huna kuna namna ya kusawazisha hilo kwa hoja tulivu bila matusi kwa mteja. Usimpangie mtu eti Roku ni nini! Kuwa na mali anayehitaji anajua anachotaka.
Otherwise na wewe utakuwa mpuuzi tu usiejua roles zako.