Vipo vingi tu Mkuu inategemea Tv yake ina ports zipi na zipi pia swali lako halijaeleweka vizuri tatizo ni Tv imebana ukutuni au vipi hujaeleweka vizuri nyoosha swali.Kuuliza si ujinga.. Hivi kuna kifaa chochote ambacho unaweza kuchomeka kwenye TV halafu ukatumia hicho kifaa kuchomeka flash drive? Nimeuliza hivyo kwa sababu kuna TV hapa nimeweka ukutani lakini inakua ngumu kidogo kufikia usb port.
Kwa juu juu Nilichokielewa ni hiki tafuta huu waya unaitwa Usb 2.0 Male to Female hapo kushoto ni Male(Dume) unachomeka Tv kisha hapo Kulia ni Female(Jike) unaweka Flash mtindo umeisha.Kuuliza si ujinga.. Hivi kuna kifaa chochote ambacho unaweza kuchomeka kwenye TV halafu ukatumia hicho kifaa kuchomeka flash drive? Nimeuliza hivyo kwa sababu kuna TV hapa nimeweka ukutani lakini inakua ngumu kidogo kufikia usb port.
Baba ushasomeshwaaaSALUM S HEMED nipatie tv zangu tutafikia sehemu ambayo sihitaji tufike
Sent using Jamii Forums mobile app
Tv ipo attached ukutani lakini usb port ipo kwa ndani kidogo so inakua ngumu kuchomeka flash.Vipo vingi tu Mkuu inategemea Tv yake ina ports zipi na zipi pia swali lako halijaeleweka vizuri tatizo ni Tv imebana ukutuni au vipi hujaeleweka vizuri nyoosha swali.
Exactly mkuu.. Naona umenipa jibu sahihi. Ahsante sana aisee.Kwa juu juu Nilichokielewa ni hiki tafuta huu waya unaitwa Usb 2.0 Male to Female hapo kushoto ni Male(Dume) unachomeka Tv kisha hapo Kulia ni Female(Jike) unaweka Flash mtindo umeisha.
View attachment 991568
Bado ipo¿Roku Express+ Kit
Condition: Brand New Unboxed
Price: 150 000 (Negotiable)
Inafanya kazi na TV wowote yenye HDMI port na kuifanya TV ya kawaida iwe Smart TV with Roku OS.
karibuni. only 2 kits available.View attachment 973426
Ni story ndefu sana ila jamaa ana Tv zangu mbili tangia mwanzoni mwa December tumefanya biashara fresh lakini kupata mzigo wangu imekuwa mtihani...kuna hatua ambazo tayari nishazichukua na ninaamini kupitia haya ninayoyafanya sasa hivi tv zangu nitazipataIlikuwaje mkuu mpka ikawa hivyo?
Tunaomba kufahamu kama hautojali lakini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikutakie mafanikio katika hili.Ni story ndefu sana ila jamaa ana Tv zangu mbili tangia mwanzoni mwa December tumefanya biashara fresh lakini kupata mzigo wangu imekuwa mtihani...kuna hatua ambazo tayari nishazichukua na ninaamini kupitia haya ninayoyafanya sasa hivi tv zangu nitazipata
Sent using Jamii Forums mobile app
nchi 20 ni 200000 hadi 180000 kwa used ambayo iko condotion nzuri, ama mpya zinakua adimu kidogo......ndogo zaid ya hapo zipo hadi nchi 15 na 14 ambazo ni 140000 hadi 110000
Yeah unaipata mkuu ingia ebay ama amazon zipo mkuu! Achana na haya ma TCL ya GoLive wanayouza hawa majamaa ni series 2 na 3 mie pia ninalo 49" inches halinogi zaidi ya youtube na screen mirroring function nyengine ziko kama TV ya kawaida tu! Kama una connection Nairobi pia unapata Roku TV bei poa tu. Sahivi TCL wako Series 6 ni hatari sana hizo mashine!
Inategemea unataka inch ngapi, mfano TCL Roku tv nchi 40 ni hardly Tshs.650,000 ila bongo TCL ya GoLive nchi 40 huipati kwa bei hio!Hiyo bei poa nairobi ni bei gani?
Kuuliza si ujinga.. Hivi kuna kifaa chochote ambacho unaweza kuchomeka kwenye TV halafu ukatumia hicho kifaa kuchomeka flash drive? Nimeuliza hivyo kwa sababu kuna TV hapa nimeweka ukutani lakini inakua ngumu kidogo kufikia usb port.
Inategemea unataka inch ngapi, mfano TCL Roku tv nchi 40 ni hardly Tshs.650,000 ila bongo TCL ya GoLive nchi 40 huipati kwa bei hio!
Inategemea unataka inch ngapi, mfano TCL Roku tv nchi 40 ni hardly Tshs.650,000 ila bongo TCL ya GoLive nchi 40 huipati kwa bei hio!
Inategemea unataka inch ngapi, mfano TCL Roku tv nchi 40 ni hardly Tshs.650,000 ila bongo TCL ya GoLive nchi 40 huipati kwa bei hio!
Sasa hio ni kwa Roku Tv lakini, sio yale ma ujinga ya Go live tunayouziwa k.koo!Mkuu bei zao hazina tifauti sana na hapa kwetu nimecheki now inc 43 37k ya kule hebu i-calculate hapa uone utakavyofurahi
50 ni around 1.3m unapata tena ya Roku tv sio zile Linux za Go live tv tunazouziwa k.koo. Usishangae wakianza kuleta Roku Tv watauza 1.7m kwa 50" screen hapo k.koo!50 itapendeza
50 ni around 1.3m unapata tena ya Roku tv sio zile Linux za Go live tv tunazouziwa k.koo. Usishangae wakianza kuleta Roku Tv watauza 1.7m kwa 50" screen hapo k.koo!