Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,143
ndo tatizo la jf,kuna uzi kule uchumi na Biashara jamaa kauliza gharama ya kujenga nyumba vyumba vitatu,dinning,sebule na choo daah wameibuka watu wanamuambia kwa uchache andaa milioni 200😀😀😀 si balaa hiloWatu wengine mnajifanya mko update mkiletewa izo tv mnaufyata, nivile tu mtu anataka aonekane yuko latest