son_of_masia
JF-Expert Member
- Oct 5, 2015
- 377
- 254
Ss mkuu ww ni mfanyabiashara na ss ni wateja na siku zote mnatakiwa kuyafanyia kazi maombi yetu km yapo chini ya uwezo wenu.Soko limebadilika ss unapata bidhaa bora kwa low budget ila wengi bado mmekazania kwa top brand tu.Hamkuuliza hivo, mmekuja na dharau kwamba tunaleta matv yazamani ya mwaka 2015, kama vile iyo mnayoiulizia ni tv bora na ya gharama kuliko zote ambazo sisi hatuwezi kuleta