Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Yusomwasha

JF-Expert Member
Dec 5, 2014
2,092
835
Weka tangazo,mahali ulipo bei ya tv na aina yake pamoja na namba ya simu
karibuni.


Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;

  1. Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo machache yanayojitosheleza
  2. Kama ni bidhaa, elezea hali yake (mpya au imetumika muda gani) huku ukiambatanisha na picha yake halisi.
  3. Taja bei
  4. Taja mahali huduma/bidhaa hiyo inapopatikana pamoja na mawasiliano yako.(Usiwaambie watu wakufuate PM kwa Mawasiliano. Weka namba ya simu)
  5. Weka taarifa mpya kuhusu bidhaa hiyo kwenye uzi husika, usianzishe uzi mpya.
  6. Usiweke tangazo moja mara nyingi.
Ni vyema kuzingatia hatua hizo chache. Kinyume na hapo, tangazo lako litaondolewa hewani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom