kodian
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 976
- 1,104
Ila znakuaga sh ngp pamja na wallbracketHizi mkuu hatuna kwa sasa
Ila znakuaga sh ngp pamja na wallbracketHizi mkuu hatuna kwa sasa
650000 tunauza hukuIla znakuaga sh ngp pamja na wallbracket
mkuu bado unayo?Nina lg 32 bei ya mkaa 400000 imetumika kdgo
Mkuu sabufa kubwa zipo, zinapiga kuliko hometheatre nyingiWadau nahitaji home music system. budget yangu ni 300000.
Ushapata mm ninayohabari wadau? mimi nahitaji flat kati ya sony, samsung au lg HD inchi 24. niana 300,000
Kwa 650000 mkuu utakua umemiliki hiyo tv hapo ulipomkuu samsung 32 smart sh ngapi nipo dar
Mimi Nina Tcl mwaka sasa ipo vizuri tuje, unazifahamu vipi tv za tcl, zina ubora gani na huwa ni imara?
Ila kweli Mkuu lakini najua biashara ni matangazo na jinsi vile ulivyoweza kujibrand hapa jf hata ukipata frem/store Temeke ya bei rahisi watu watakufuata achana na K/Koo kwani gharama ni kubwa japo ni centre mubashara ya biasharaNalifahamu hilo mkuu sema nahisi tukifungua huko bei inaweza kulingana tu na hao wa hapo kwa sababu ya makodi mengi na makubwa pia
Shukran tutaufanyia kazi ushauri wako mkuuIla kweli Mkuu lakini najua biashara ni matangazo na jinsi vile ulivyoweza kujibrand hapa jf hata ukipata frem/store Temeke ya bei rahisi watu watakufuata achana na K/Koo kwani gharama ni kubwa japo ni centre mubashara ya biashara
Shukran mkuu, Mungu akubariki sana, deal done, asanteTangazo:
Kutana na Abdulwahid wa ukweli. Pata vitu vizuri na kwa uhakika zaidi.
Shukrani sana Abdulwahid.
Ubarikiwe nawe pia.Keep it up.Shukran mkuu, Mungu akubariki sana, deal done, asante
Mkuu kwa sasa hatuza ila huwa mpaka huko tunakuletea kwa 700kMkuu samsung smart inch32 nipo mtwara naweza pata kiasi gan Abdulwahid
Hizi Tv ziko makampuni mengi sana ckuhizi!nimeona nyingine inaitwa Aborder.Mkuu hivi unaifahamu TV inaitwa TANDAR kuna mahala nimeiona nakama unaifaham vip ubora wake