Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Nahitaji TV 17" iliyo bapa ambayo ni nzuri na inayofaa kwa matumizi ya nyumba ya kulala wageni.
Naomba aina na bei yake.
 
Inauzwa

Location mwanza
20220504_115529.jpg
20220504_115507.jpg
 
Nahitaji TV flat screen inch 32 used au mpya.

Isiwe na tatizo lolote.

Ofa yangu ni TSH 240,000/=

Nipo Dar es Salaam.
 
Mwenye 32 inches flat tv nahitaji.

Ofa yangu inaanzia 200K itapanda kulingana na hali na features za TV.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom