Abdulwahid
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 2,759
- 1,555
ReadWakuu naomba kuelimishwa hapa kuhusu izi tv smart kuna ambazo zinatumia android sysytem na kunazinginesio za android sijui mfumo wake unaitwaje? Na je zip ni nzuri kati ya zinazotumia android na izo zingne
Sent using Jamii Forums mobile app
Lg smart 49"
Brand new ya 2019
Bei: 1m
0777650286, 0718919725
Note: hiyo ni bei ya tv ikiwa Zanzibar, kwa walio nje ya Zanzibar na wakataka kusafirishiwa utachangia 70000 kama gharama yabusafir na mambo ya kodiView attachment 1303073View attachment 1303074View attachment 1303075View attachment 1303076View attachment 1303077
Sent using Jamii Forums mobile app
Hisense inch 32 ambayo sio smart bei inaendaje? Nipo darLg smart 49"
Brand new ya 2019
Bei: 1m
0777650286, 0718919725
Note: hiyo ni bei ya tv ikiwa Zanzibar, kwa walio nje ya Zanzibar na wakataka kusafirishiwa utachangia 70000 kama gharama yabusafir na mambo ya kodiView attachment 1303073View attachment 1303074View attachment 1303075View attachment 1303076View attachment 1303077
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka unaipokea 350000Hisense inch 32 ambayo sio smart bei inaendaje? Nipo dar
Inachukua muda gani mpk mzigo kufika kwangu?
Ni mda unaotumia boti kutoka Zanzibar mpaka kufika dar, yaan masaa yasiozid 3Inachukua muda gani mpk mzigo kufika kwangu?
Hizi TV SOYI ni hovyo kabisa kwenye picha, usidanganyike na maneno sijui 4K umekwisha utanunua likioo tu picha zake zina ukungu ziakuwa kama
Hii kitu kinachoitwa SOYI hakifai kabisa itapoteza fedha yako na utakuja kujuta. TV yoyote ni ubora wa picha hayo mengine mara 4K yatakusaidia nini kama picha ina UKUNGU? nilinunua 50'' SASA NATAFUTA NIKATUPE JALALA GANI KWANI NAONA NI UCHAFU NDANI. Picha zina ukungu kama ni mechi inaonyeshwa hadi umtambua mchezaji ni mpaka wamlete karibu na kamera kwa mbali unaona marangi tuu yanakimbia. Picha ipo kama picha uliyoizoom mpaka mwishio, sijui ni kwanini TBS hawaangalii vitu kama hivi vinavyohujumu uchumi wa nchi wanaruhusu vipi kuingia nchini?
Hongera wewe afadhali ulibahatika kupata vibaka wa kukuondolea kero maana hakuna kero mbaya umenunua dude kubwa kwa bei kubwa halafu unaweka sebuleni , umeunga dstv au azam lakini mpira unaangalia hata sura ya mchezaji huitambui lakini ukiangalia TV yenyewe mabango kibao mara 4K, mara smart, HDMI lakini picha sasa!!!!? nina option ya kuibadilishia utumbo CARD nimeambiwa kuna kadi mzuri za mchina zinapatikana kwa bei nafuu ikishindikana ni kutaim usiku wa manane kwenda kuitupa jalalani au najifanya nampelekea fundi kutengeneza na kuitelekeza huko hukoUnachokiongea mkuu nami kilinikuta ..November 2017 nilinunua SUMSUNG led Tv 40 tena huku huku mikoani ukizingatia huku mikoani wanatupiga bei sana hasa kwa bidhaa ambazo brand zake zinamajina makubwa kwakweli ile tv nilinunua jina tu yn ilikua inapicha mbovu bora hata ile chogo yng, kwabahat mwanzoni mwa mwaka huu nikapata safari ya Dar huku nyuma wahuni wakapita nayo ile tv nikaona potelea pote nikaingia k/koo kuna jamaa anauza tv star-x anawekaga mabandiko yake humu nikavuta star x- 43 led tv asee nimefika nayo hom natest kitu kipo ang'avu yn HD kwl kwl nikajikuta nawashukuru wale wahuni kwakupita nalile gaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hhhhh, mkuu nacheka kama mazuri vile ila dah kiukwel inaonekana inakuudhi, pole kiongozHongera wewe afadhali ulibahatika kupata vibaka wa kukuondolea kero maana hakuna kero mbaya umenunua dude kubwa kwa bei kubwa halafu unaweka sebuleni , umeunga dstv au azam lakini mpira unaangalia hata sura ya mchezaji huitambui lakini ukiangalia TV yenyewe mabango kibao mara 4K, mara smart, HDMI lakini picha sasa!!!!? nina option ya kuibadilishia utumbo CARD nimeambiwa kuna kadi mzuri za mchina zinapatikana kwa bei nafuu ikishindikana ni kutaim usiku wa manane kwenda kuitupa jalalani au najifanya nampelekea fundi kutengeneza na kuitelekeza huko huko
Hongera wewe afadhali ulibahatika kupata vibaka wa kukuondolea kero maana hakuna kero mbaya umenunua dude kubwa kwa bei kubwa halafu unaweka sebuleni , umeunga dstv au azam lakini mpira unaangalia hata sura ya mchezaji huitambui lakini ukiangalia TV yenyewe mabango kibao mara 4K, mara smart, HDMI lakini picha sasa!!!!? nina option ya kuibadilishia utumbo CARD nimeambiwa kuna kadi mzuri za mchina zinapatikana kwa bei nafuu ikishindikana ni kutaim usiku wa manane kwenda kuitupa jalalani au najifanya nampelekea fundi kutengeneza na kuitelekeza huko huko