Yusomwasha
JF-Expert Member
- Joined
- Dec 5, 2014
- Messages
- 2,138
- Points
- 2,000
Weka tangazo,mahali ulipo bei ya tv na aina yake pamoja na namba ya simu
karibuni
karibuni
Toa specification na bei basi, picha ya kwanzaMusic systems, ushindwe ww tu
0777650286, 0718919725View attachment 1206054View attachment 1206055View attachment 1206056View attachment 1206057View attachment 1206058View attachment 1206059View attachment 1206070
Nikikupa Samsung 40 Inch Smart TV unaniongeza shi ngapi?Nauza projector yenye uwezo mkubwa sana kwa matumizi ya biashara na nyumbani.
Aina-SHARP DLP XG-C10SA
*3200 lumens
*SVGA(800*600)
Full HD(1920*1080)
*lamp life time 10000 hours
Imetumika masaa 770
Yani ipo vizuri sana una weza kutumia masaa 24 bila kujizima.
Bei Tsh 500000 au kama una flat TV tunaweza kubadilishana.nipo Dar
Kwa mawasiliano 0652868486View attachment 1218476View attachment 1218477
Sio smartSmart?
Hiyo mkuu bei yake ni 550000Toa specification na bei basi, picha ya kwanza
Smart 40" ipo Sony mkuuSmart?
Ninayo ya 1100 W ni blue ray Wi-Fi nahitaji kubwa zaidi ya hiyo. unayo na ni model gani?Hiyo mkuu bei yake ni 550000
Power ni 1000W
Ina Bluetooth
Na mambo mengn
Ipo 1200W but sio bluerayNinayo ya 1100 W ni blue ray Wi-Fi nahitaji kubwa zaidi ya hiyo. unayo na ni model gani?
OKIpo 1200W but sio blueray
Hii ishauzwa Dulla?Lg led 43"
Used ya UK
Ipo good condition(mpya kasoro box tu)
Bei ni 550000
0777650286, 0718919725
View attachment 1210440View attachment 1210441
Ipo mkuuHii ishauzwa Dulla?
Mkuu hii bei yake ipoje?View attachment 1222396
Sawa Shekhe ngoja tuendelee kujivuta toka kwene levo zetu izi za Home theatre za laki 62.2m
Hii lugha inanukia utapeli nikukumbukaAbdulwahid napata LG 32’ yenye kisimbuzi ndani bajeti 380k
Kivipi dadaHii lugha inanukia utapeli nikukumbuka
Mkuu kama hujapata imetokea hapa second hand but bado iko safiAbdulwahid napata LG 32’ yenye kisimbuzi ndani bajeti 380k
Maduka wanayouza spare za electronicsTv Guard zinauzwa wapi?
Bado ipo mkuuUmeshauza?
Hii projector ni hatari ndugu yani ipo fresh ile mbayaNikikupa Samsung 40 Inch Smart TV unaniongeza shi ngapi?
LTcl smart 32" ni 400000, 40" tunauza 600000View attachment 1195575View attachment 1195580