figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,490
- 54,884
- Thread starter
- #1,961
Safi sanaTumewafurumusha hadi tumefika mpakani mwa Ukraine na Urusi. Kuna nini tena?
View attachment 2226292
Eti kill pukin......daaaah
Yaani sisi wa Ukraine Hadi Raha.Izyum. Eti Warusi wanajiona wajanja kwa kuchimbia Magarina Vifaru. Bila kujua tunawaangalia kutokea angani
View attachment 2226568
Viva UkraineNdege ya Ukraine Izyum. Hii inamanisha kwamba mfumo wa anga wa Ukraine umeimalika. Urusi wajiandae kupigwa kotekote.
View attachment 2226821
Kweli haswa. Yaani kama movie fulani hv lakini ukweli watu wanapoteza roho.Yaani sisi wa Ukraine Hadi Raha.
Mbabe amewaponza Aisee. 😭Angalia Warusi. Walikuja Wazima, wanaikimbia Izyum wakiwa maiti na walemavu
View attachment 2226814