figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
- Thread starter
- #2,421
Wakuu, leo Donbas mambo si mambo. Mrusi kawa mkali kama pilipili. Hii ya leo asubuhi si ya kutuma mtoto... Tumepelekwa moto aisee
Germany wanazingua sana.wapo very slow kutuma silaha.Eti Jinsi Ujerumani inavyopeleka Silaha Ukraine. Kama konokono. Nimecheka sana jinsi Ujerumani wanataniwa
View attachment 2238769
Hakuna kitu kibaya kama unapigana vita na nchi nyingine halafu ndani ya nchi yako kuna vita nyingine inaendelea, ni mbaya sana Putin anapigana vita mbili kwa wakati mmoja.Na wanafadhiriwa. Sema wapo Belgorod, wanapiga kazi Usiku mchana wanarudi Ukraine. Tatizo wanaijua Urusi na washatengeneza mtandao nchi mzima. Wanaharibu Viwanda vya Urusi
View attachment 2238667
Teknolojia yake inatisha sana.Hizi Silaha zinachanachana gari kama karatasi
View attachment 2238675
Akili zinahamaga. Hilo jani linawawezesha kwenda kichwa-kichwa wakimaliza kusema Hureee.
Huwa wako slow kwenye maamuzi nashsngaa nchi yao kuwa na uchumi mkubwa kuliko nchi za Europe zote.Eti Jinsi Ujerumani inavyopeleka Silaha Ukraine. Kama konokono. Nimecheka sana jinsi Ujerumani wanataniwa
View attachment 2238769
Kumbe waliogopa kupigwa, na zingezamishwa zote. Jamaa hajui kama anarudi nyuma kwa kasi sana.Ile iliondoka Jumamosi. Kuna Mzigo Marekani walileta, meli za Urusi nyingi zimesepa pale v
Black Sea
Ngoja tufuatilie.Israeli wamezingua. Hawataki hizi Silaha zenye Teknolojia yako kuletwa Ukraine. So Marekani wamesema wanaleta aina nyingine. Atakejua kwanini Israel imemkataza Marekani asilete huu mzigo atujuze. Bado nafuatilia
View attachment 2238774
Imebaki scrapers tu.
Ndio maana Putin ana hasira nao sana wamemtia hasara na kuharibu mipango yake vile ambavyo hakutarajia.Ni aibu kwa Urusi wanajeshi 200 kufa kwa siku moja. Azov walipigana vita siku 82 walijeruhiwa 51 tu.
View attachment 2238788View attachment 2238789
hii si. Kamikaze droneIsraeli wamezingua. Hawataki hizi Silaha zenye Teknolojia yako kuletwa Ukraine. So Marekani wamesema wanaleta aina nyingine. Atakejua kwanini Israel imemkataza Marekani asilete huu mzigo atujuze. Bado nafuatilia
View attachment 2238774
kadogo lakini kanafyatua hatari.Urusi tunawawinda kama swala. Hii Silaha ndo inaitwa Javelin ambayo ni Advanced Anti-Tank Weapon System
View attachment 2239546