Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Tarehe 05 Machi jeshi la Ukraine lilifanya kazi kubwa.. Ndege kadhaa ziliangusha na Marubani 6 walikamatwa
 
Kaskazini Mashariki mwa Kharkiv majeshi ya Urusi yalitelekeza magari baada ya kupata kipigo kikubwa.. Ikabidi warudi nyuma. Majeshi ya Ukraine yalisimama Imara. Waliteka vifaa kama Tiger M, na Vifaru aina ya T-72B3M vya Urusi. Hii ni tarehe 05 Mchi 2022 tu.
20220320_191159.jpg
20220320_191337.jpg
 
Ile misururu ya Magari sijui KM ngapi yalokuwa yamesimama kusubiri kuingia Kharkiv. Angalia yalivyo tengenezwa tarehe tano. Hapa wanajeshi wengi wa Urusi walikufa kwenye hii Ambush. Ilikuwa tarehe 05 Machi 2022
 
Hizi ni D-30 howitzers za Urusi. Hapa ni karibu na Mkoa wa Mykolayiv. Vifaa vya Urusi vilibaki Majivu.

 
Hizi D-30 howitzers za Urusi zilizoharibiwa na Majeshi ya Ukraine karibu na Mji wa Mykolayiv. Tarehe 06/03/2022
 
Wanajeshi wa Ukraine walifanya ambush kwa Majeshi ya Urusi maeneo ya Kharkiv. Walifanikiwa kuteka Vifaa vingi vya Urusi. Marubani wawili pia walidondoshwa. Hapo ni tarehe 06Machi 2022. Hivi Vifaru vya Urusi vilivyotekwa ni aina ya BMD-2s. ilikuwa ni Mykolayiv
20220320_193332.jpg
20220320_193305.jpg
20220320_193309.jpg
20220320_193311.jpg




20220320_193335.jpg
 
Tarehe 07 Machi 2022 ilianza kwa kiahindo. Hivi vifaa vilikamatiwa maeneo ya Luhansk, Sievierodonetsk. Sumy na kherson oblast. Vifaru vya Urusi
BMP-2 na MT-LB viliharibiwa.
20220320_194210.jpg
20220320_194217.jpg
20220320_194218.jpg
20220320_194220.jpg
20220320_194233.jpg
20220320_194235.jpg
20220320_194238.jpg
20220320_194240.jpg
20220320_194310.jpg


20220320_194201.jpg


20220320_194158.jpg


20220320_194155.jpg
 
Ndege za Urusi aina ya Su-34 na Su-30 fighter jet zilitunguliwa Maeneo ya Popasna na Luhansk Oblast.
20220320_195831.jpg
20220320_195834.jpg
20220320_195837.jpg
20220320_195853.jpg
20220320_195856.jpg
 
Ile convoy ya Urusi ilivyoteketezwa maeneo ya Lugansk wakiwa wanaitafuta Kyiv. Hapia Urusi alipoteza sana. MT-LB za Urusi zilizoharibiwa vibaya mno. Ilikuwa Tarehe 08 Machi 2022
20220321_050226.jpg
20220321_050230.jpg
20220321_050234.jpg
20220321_050254.jpg
20220321_050257.jpg
 
Wanajeshi wa Ukraine wakipokea mzigo mpya wa Silaha za NLAW anti-tank systems and Javelins kutoka UK. Hii Silaha imeharibu sana Vifaru vya Urusi.

Hii Video inaonesha jinsi inavyofanya kazi. Hapo walilipua Kifaru cha Urusi. Ilikuwa tarehe 08 Machi 2022
20220321_050938.jpg
20220321_050941.jpg
20220321_050944.jpg
 
Back
Top Bottom