figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
- Thread starter
- #41
Tarehe 05 Machi jeshi la Ukraine lilifanya kazi kubwa.. Ndege kadhaa ziliangusha na Marubani 6 walikamatwa
Badala yakuomba vita iishe weunaombea vitu vya ajabu unazani hali hii ni nzuri binadam wenzetu wanakufa.Mungu Ibariki Urusi
Lazima wapambanane mpaka dakika ya mwisho. Hamna namna sasaKumbe jamaa nao wamo wanarusha rusha vingumi vinampata adui
Kwahyo vita ikiisha na vifo vitaisha?Badala yakuomba vita iishe weunaombea vitu vya ajabu unazani hali hii ni nzuri binadam wenzetu wanakufa.
uzi wa kise.. nge tuBuy uzi hauna tofauti na habari za BBC
Putin anageuka kua KONY wa UgandaInadaiwa Urusi inatumia hadi watoto vitani.
Hawa madogo walitekwa na Majeshi tiifu ya Ukraine.
View attachment 2158135View attachment 2158136