figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
- Thread starter
- #21
Magari na Vifaru vya Urusi vikiwa vimeteketezwa maeneo ya Bashtanka.
Msiojua propaganda mtakula saana matango poriSalaam Wakuu,
Hii ni Special thread ya Video na Picha kutoka Uwanja wa Mapambano Ukraine kwa Wanajeshi Waliopo Msitari wa Mbele. Hii thread inawahusu timu Ukraine.
View attachment 2158105
View attachment 2157979
Mwanajeshi wa Ukriane PG-7VM rockets
View attachment 2157991
View attachment 2158012
Hiki ni kipigo cha kwanza walichokipata Urusi. Misafara wa Urusi Ulikuwa unaelekea Ukraine. Magari yenye Maandishi ya Z ndo ya Urusi. Na Wanajeshi wenye alama ya njano kwenye bega ndo wa Ukraine
View attachment 2158022
Kwa lipi hasa?Mungu Ibariki Urusi