Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,605
- 20,054
Kama aliziweka dawa mshauri akate aanze upya...na wewe sasa anaglia comment huko ujue atumie mafuta ganiJamani. Mi mke wangu akisuka nywele zinakatika usoni. Akiweka wigi zinaisha usoni. Akiachia tu zinaanza kuota.
Afanyeje maana nataka aonekane mrembo