Princessone
Member
- May 8, 2013
- 99
- 87
Jamaican au ?Mie nina nywele natural sijawahi kuweka dawa huwa natumail Black Castol Oil zilikuwa zinapendeza sana ukifata procedure zote na matumizi ya mafuta ,
Ila sasa sijui uzee .....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaican au ?Mie nina nywele natural sijawahi kuweka dawa huwa natumail Black Castol Oil zilikuwa zinapendeza sana ukifata procedure zote na matumizi ya mafuta ,
Ila sasa sijui uzee .....
yes maam jamaicanJamaican au ?
Mabibo loyola ..kushonea weaving ndefu elfu10, invisible 15 ''kubond weaving fupi 15Mabibo gani?na kushonea wiving bei gani?
Inaitwaje saloon?Mabibo loyola ..kushonea weaving ndefu elfu10, invisible 15 ''kubond weaving fupi 15
tatizo wengine wana kipilipili alafu anataka nywele ikuwe na Iwe na muonekano poa ni impossiblewaungwana naomba kujuzwa ni namna gani ya kutunza nywele an napenda nywele zsiwe ndefu sana ziwe nyeusi, kung'aa na zenye kunawiri ila nashndwa koz cjui ntumie mafuta gan au kitu gan il zwe namuonekano mzuri
hua zkikua kdogo zinaturn brown kwa mbal ktu ambacho hunikera
xo waungwa naombeni tips jinsi ya kuzitunza ziwe na muonekano mzuri, either nitumie mafuta gan au mavitu gan ili zwe poa
natanguliza shukran za dhat kwa michango yenu.