Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 1,232
- 3,177
Bi
Hayo mafuta ya Castor oil yanatengenezwaje???Zangu zilikua kama zako zilinisumbua sana nikanyoa then nikaanza upya na nikabadilisha mafuta natumia castor oil (natengeneza mwenyewe) nachanganya na mafuta ya nazi kidogo na mabadiliko nayaona tofauti na mwanzo
Uwe na zile mbegu zake zilizokauka vizuri, unazikaanga halafu unazitwanga zikishalainika vizuri unazichemsha ila maji unaweka kidogo tu na moto usiwe mwingi zitaunguaHayo mafuta ya Castor oil yanatengenezwaje???
Aseee hata me nmeipenda ,,inaitwaje hii style?This is always my best hairstyle.....inaleta more natural look to all ladies who dare
Okay sawa asanteeee shida n kuzipata hizo mbegu za mnyonyo tena huku nilipo mmmh sijui kabisaaaaaa zilipoUwe na zile mbegu zake zilizokauka vizuri, unazikaanga halafu unazitwanga zikishalainika vizuri unazichemsha ila maji unaweka kidogo tu na moto usiwe mwingi zitaungua
Pole, nunua yaliyotengenezwa tayariOkay sawa asanteeee shida n kuzipata hizo mbegu za mnyonyo tena huku nilipo mmmh sijui kabisaaaaaa zilipo
Nilsikia fake ni mengi,Sasa km n kweli hili ni tatizo.Pole, nunua yaliyotengenezwa tayari
Mimi sijatengeneza muda mrefu, kuna sehemu nanunua ni mazuri tu hayajachakachuliwaNilsikia fake ni mengi,Sasa km n kweli hili ni tatizo.
njoo nkuuzie mimi ndo nnayo yatumia mwaka wa 5 huu ukiziona tu nywele zangu,utaelewa yako vizuri kiasi gani huwa natngeneza mwenyeweOkay sawa asanteeee shida n kuzipata hizo mbegu za mnyonyo tena huku nilipo mmmh sijui kabisaaaaaa zilipo
Shukrannjoo nkuuzie mimi ndo nnayo yatumia mwaka wa 5 huu ukiziona tu nywele zangu,utaelewa yako vizuri kiasi gani huwa natngeneza mwenyewe
Dogo dadaako manengelo yuko wapMwanamke mwenye sura ya kimakonde asuke mtindo gani ili apendeze?
Sura za kimakonde angalia Harmonize.
We ni msukuma eeMtindo w kijanja zaid pendwa View attachment 2435663
Tukuozeshe 🤣
Ujue cielewi mbn post yang y mwanz haipo vip kun mchez nnWe ni msukuma ee
Ww kuwezaTukuozeshe