Special thread: The Vatican secrets and treasures of the Holy City

Unajua vipo vitu ukivijua vitakutoa kwenye giza.



Wapi aliposema isipokuwa watoto? Mnatumia andiko lipi kutenga watoto? Mtoto ni mtoto kimwili ila ni roho kamili! Ndio maana anarithi dhambi ya asili inayoondoka kwa ubatizo tu!
Kweli kuna vitu ukivijua vitakutoa kwenye giza.

Mfano dhambi ya asili, hii concept haiingii akilini. Dhambi ni pale kwa kujitambua unapomkosea Mola wako mengine ni makosa tu.

Nitaungana na Mathanzua kuwa ubatizo wa kweli ni kitu cha kiutu uzima. Wabatizwe watu wakiwa watu wazima.

Na cha msingi hapa ni akili na roho yake, hayo mambo ya maji ya Yordan, mara maji ya kibeseni bwana Shehullohi , au maji ya swimming pool hayana msingi. Ubatizo ni pale mtu anapoexperience ile change of mind na kukubali kuyafuata aliyofundisha Kristu.

Tena achana na maji tu kuna ubatizo unafanyika hadi kwa bhangi tena huo ndo kiboko sasa. The change of mind is spectacular😂😂
 
Kweli kuna vitu ukivijua vitakutoa kwenye giza.

Mfano dhambi ya asili, hii concept haiingii akilini. Dhambi ni pale kwa kujitambua unapomkosea Mola wako mengine ni makosa tu.

Nitaungana na Mathanzua kuwa ubatizo wa kweli ni kitu cha kiutu uzima. Wabatizwe watu wakiwa watu wazima.

Na cha msingi hapa ni akili na roho yake, hayo mambo ya maji ya Yordan, mara maji ya kibeseni bwana Shehullohi , au maji ya swimming pool hayana msingi. Ubatizo ni pale mtu anapoexperience ile change of mind na kukubali kuyafuata aliyofundisha Kristu.

Tena achana na maji tu kuna ubatizo unafanyika hadi kwa bhangi tena huo ndo kiboko sasa. The change of mind is spectacular😂😂

Warumi 5:12-21
 
Warumi 5:12-21
Mtume Paulo alikuwa msomi sana, katika uandishi wake alitumia usomi wake mwingi kufikisha ujumbe mbalimbali kulingana na watu aliowaandikia.

Nia yake ilikuwa njema, kufikisha habari njema kwa njia inayoeleweka kwa watu aliowaambia. A kind of Diplomacy! Kwa hiyo unaposoma barua za Paulo tumia na akili yako kuelewa maana na muktadha. WITO tu kwa wakristu wenzagu tujitahidi kufuata na kutenda na kuamini zaidi alichokisema na kukitenda Kristu kuhusu yeye mwenyewe na ufalme wa mbinguni. Kuliko alichokisema fulani[mwanafunzi,mtume,nabii,mchungaji] kuhusu Kristu na ufalme wa mbinguni.

That one thing makes no sense dhambi ya asili? Kama dhambi ni kosa alitendalo mtu anayejitambua na kujua kuwa ni kosa kwa akili yake hebu jaribu kunielekeza hiyo ya asili kwa mtoto inatendekaje? Hata kama dhambi iliingia ulimwengu haimaanishi kwamba mtoto specifically anayo dhambi. Hata neema huoni kuna watu wanaikataa na bado neema ipo duniani. Kwa sasa hivi tupo katika hatua ambayo mtu anaweza kuchagua neema au dhambi mwenyewe. Watoto as young as 7 years somehow wanao uwezo huo ila sio vichanga!
 
Jesuit siyo jamii ya siri kiasi kwamba isijulikane, kwa sasa imejiweka wazi zaidi na inajulikana kila sehemu duniani kote japo bado inaendesha mipango yake kwa siri.

Kuthibitisha ni kufanya uhakiki wa taarifa mbali mbali wanazozikusanya waandishi wa hivi vitabu, na kufanya mahojiano na members kadhaa wa jamii hiyo, kutokana na hilo wamemtaja kama mojawapo ya watu waliokuwa viongozi wakuu wa Jesuit duniani kabla ya kuchaguliwa kuwa Papa.
Sawa. Na vipi hawa Jesuits operations zao zinaishi kwny dini tu au had kwny siasa n.k
 
Unajua vipo vitu ukivijua vitakutoa kwenye giza.

5 Yesu akajibu, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa Mungu.
Yohana 3:5

Wapi aliposema isipokuwa watoto? Mnatumia andiko lipi kutenga watoto? Mtoto ni mtoto kimwili ila ni roho kamili! Ndio maana anarithi dhambi ya asili inayoondoka kwa ubatizo tu!

Yesu aliposema waacheni watoto waje kwangu msiwazuie unaelewa maana yake? Maana mnaweka wakfu watoto badala ya kuwabatiza mkisingizia Yesu aliwabariki tu hakuwabatiza! Kwani Yesu amewahi kubatiza akiwa duniani? Unaweza kwenda kwa Yesu bila kubatizwa?

Ndugu Catholic Church linasimamia maandiko na mapokeo kama tulivyoachiwa kuanzia mitume hadi leo. Tumerithishana imani miaka 2000 sasa! Hakuna nyakati kanisa ndio lilianzisha tu kubatiza watoto ni practise toka awali hata kimapokeo!

Kafatilie historia ujue ubishi wa kutobatiza watoto umeanza lini! Purely heretics! Ukitaka kutafuta kweli nenda kwenye sites rasmi za Kanisa ujifunze lakini ukiamua kungangana na hilo endelea nalo.
Asipokuelew n hapa basi
 
Pope Francis kuwa mjesuit siyo taatifa za kiintelejensia, inajulikana kama inavyojulikana askofu wa Jimbo la dar es salaam (Ruwaichi) ni wa shirika la wafransisko wa capuchin, shirika la Jesuit limewahi kutoa maaskofu ila halijawahi kutoa papa, Pope Francis ndiyo wa kwanza katika shirika lao (Jesuit) kuwa papa. Hadi tarehe aliyoingia noviciate katika malezi ya utawa inajulikana
Mkuu inaonekana unafahamu Zaidi, hebu tuabarishe zaidi
 
Haya yote wametuletea wazungu, Kuna kitu naona hakipo sawa kwenye hizi dini, kama wakituletea biblia mpya ntapata shauku ya kujua kama contradictions zitendelea au codes tusizozielewa zitafunguliwa, maana nasikia biblia yenyewe Ile kabla haijapunguzwa, ilikuwa inawafanya wasomaji wake kuwa "mageneous"
Wafungue code za Biblia watu wote tuelewa itakuwa safi
 
Mtume Paulo alikuwa msomi sana, katika uandishi wake alitumia usomi wake mwingi kufikisha ujumbe mbalimbali kulingana na watu aliowaandikia.

Nia yake ilikuwa njema, kufikisha habari njema kwa njia inayoeleweka kwa watu aliowaambia. A kind of Diplomacy! Kwa hiyo unaposoma barua za Paulo tumia na akili yako kuelewa maana na muktadha. WITO tu kwa wakristu wenzagu tujitahidi kufuata na kutenda na kuamini zaidi alichokisema na kukitenda Kristu kuhusu yeye mwenyewe na ufalme wa mbinguni. Kuliko alichokisema fulani[mwanafunzi,mtume,nabii,mchungaji] kuhusu Kristu na ufalme wa mbinguni.

That one thing makes no sense dhambi ya asili? Kama dhambi ni kosa alitendalo mtu anayejitambua na kujua kuwa ni kosa kwa akili yake hebu jaribu kunielekeza hiyo ya asili kwa mtoto inatendekaje? Hata kama dhambi iliingia ulimwengu haimaanishi kwamba mtoto specifically anayo dhambi. Hata neema huoni kuna watu wanaikataa na bado neema ipo duniani. Kwa sasa hivi tupo katika hatua ambayo mtu anaweza kuchagua neema au dhambi mwenyewe. Watoto as young as 7 years somehow wanao uwezo huo ila sio vichanga!
Kwhy ww waonaje kuhusu ilo
 
Mtume Paulo alikuwa msomi sana, katika uandishi wake alitumia usomi wake mwingi kufikisha ujumbe mbalimbali kulingana na watu aliowaandikia.

Nia yake ilikuwa njema, kufikisha habari njema kwa njia inayoeleweka kwa watu aliowaambia. A kind of Diplomacy! Kwa hiyo unaposoma barua za Paulo tumia na akili yako kuelewa maana na muktadha. WITO tu kwa wakristu wenzagu tujitahidi kufuata na kutenda na kuamini zaidi alichokisema na kukitenda Kristu kuhusu yeye mwenyewe na ufalme wa mbinguni. Kuliko alichokisema fulani[mwanafunzi,mtume,nabii,mchungaji] kuhusu Kristu na ufalme wa mbinguni.

That one thing makes no sense dhambi ya asili? Kama dhambi ni kosa alitendalo mtu anayejitambua na kujua kuwa ni kosa kwa akili yake hebu jaribu kunielekeza hiyo ya asili kwa mtoto inatendekaje? Hata kama dhambi iliingia ulimwengu haimaanishi kwamba mtoto specifically anayo dhambi. Hata neema huoni kuna watu wanaikataa na bado neema ipo duniani. Kwa sasa hivi tupo katika hatua ambayo mtu anaweza kuchagua neema au dhambi mwenyewe. Watoto as young as 7 years somehow wanao uwezo huo ila sio vichanga!

Zaburi 51:5
I have been evil from the day I was born:
from the time I was conceived, I have been sinful.
 
Zaburi 51:5
Endelea tu kuleta vifungu......

Mi ntaendelea tu kudrive sense

Kama kila kitu katika agano la kale kingekuwa perfect, au tu kama elimu yetu kuhusu Mungu na ufalme wa mbinguni ingekuwa imekamilika kabla ya kuja Yesu. Then Yesu alikuja kufanya nini duniani?
 
Jesuits jina rasmi la shirika lao ni society of Jesus,S.J ( ukiona mtu hasa mapadre baada ya jina lake Kuna hiyo S.J, ujue ni mjesuit, Kila shirika Lina kifupi chake). Hilo jina la Jesuits walipewa na wapinzani au maadui wao Kwa lengo la kuwadhihaki ( neno Jesuits ni kama tusi, ila sijajua maana yake). Kaulimbiu Yao ni Ad Majorem Dei Grolium yaani kwasifa na utukufu wa Mungu, wamejiweka tayari kutumia njia yoyote hata ya kisasa Kwa ajili ya kuuleta ulimwengu Kwa Mungu.

Karama yao ni "to be a man for others", Kuna kipindi watu walikuwa wanawaona kama ma abusers, watu walikuwa wakikutana na majesuits wanawakwepa. Ndiyo kisa cha majesuits kuvaa kiraia ili waendelee na karama yao

Nadhiri zao ni kama watawa wengine (yaani wanaapa utii ,useja na ufukara kama mashirika mengine) ila wao wanaongeza na ya nne ambayo ni utii maalum Kwa papa, hiyo kuweka Hadi kichwa kimeonekana kipo smart. Hiyo nadhiri ya utii Kwa papa, walianza kuiweka kipindi Cha vuguvugu la martin Luther, ambapo wao waliamua kutoliama kanisa Bali kulipigania na kulifanyia reformation, ndiyo kisa Cha nickname waliyopewa na kanisa the soldiers of Christ. na nadhiri zao Hadi upadrishwe ambapo utakaa miaka kidogo alafu ndo utafunga

Mission Yao kubwa kwasasa ni elimu, Wana taasisi za elimu zaidi ya 4000 dunia nzima. Hao jamaa Moja ya tamaduni Yao ni kufuatilia elimu yoyote mpya inayoingia duniani, Moja ya kauli Yao ni "mjesuit ni SAWA na mwanafunzi aliyekazini", mda wote wa maisha Yao ni kujifunza kitu kipya. Wajesuits ni wafanya tafiti wakubwa, kutokana na maneno negative kuhusu wao kuwa mengi, wanafanya kazi kwa ukaribu na maaskofu wa Jimbo, hivyo wakiona jambo halieleweki, wanafanya tafiti Kisha wanawapelekea maaskofu, maaskofu wataamua wenyewe wafate ushauri au waache.

Kuhusu kuweka viongozi madarakani Sina uhakika, ila nasikia kiongozi wait wa sasa (father General) alikuwa msaada mkubwa kumuweka madarakani Rais wa nchi (Durtete kama sikosei), wajesuits wapo Karibu Kila field inayomyhusu binadamu, Hadi NASA huko wapo, Kuna wajesuits wanajihusisha na siasa ila kama wapigania haki za binadamu na utawala Bora, Kuna wajesuits wamefungwa na wengine kuuawa kwasabu ya hizo kazi
 
Endelea tu kuleta vifungu......

Mi ntaendelea tu kudrive sense

Kama kila kitu katika agano la kale kingekuwa perfect, au tu kama elimu yetu kuhusu Mungu na ufalme wa mbinguni ingekuwa imekamilika kabla ya kuja Yesu. Then Yesu alikuja kufanya nini duniani?

Bwana Yesu alikuja kufanya mengi . Moja wapo alichokuja kufanya ni hiki kutuambia, Waacheni watoto wadogo waje kwangu msiwazuie maana ufalme wa Mbinguni ni wao. Jinsi ya kuja kaelekeza ubatizo ukiwemo. Tena pahala pengine akasema ndani ya vinywa vya vichanga zatoka sifa. Ila watu wakasema hawabatiziki.
Mathayo 21:16
 
Jesuits jina rasmi la shirika lao ni society of Jesus,S.J ( ukiona mtu hasa mapadre baada ya jina lake Kuna hiyo S.J, ujue ni mjesuit, Kila shirika Lina kifupi chake). Hilo jina la Jesuits walipewa na wapinzani au maadui wao Kwa lengo la kuwadhihaki ( neno Jesuits ni kama tusi, ila sijajua maana yake). Kaulimbiu Yao ni Ad Majorem Dei Grolium yaani kwasifa na utukufu wa Mungu, wamejiweka tayari kutumia njia yoyote hata ya kisasa Kwa ajili ya kuuleta ulimwengu Kwa Mungu.

Karama yao ni "to be a man for others", Kuna kipindi watu walikuwa wanawaona kama ma abusers, watu walikuwa wakikutana na majesuits wanawakwepa. Ndiyo kisa cha majesuits kuvaa kiraia ili waendelee na karama yao

Nadhiri zao ni kama watawa wengine (yaani wanaapa utii ,useja na ufukara kama mashirika mengine) ila wao wanaongeza na ya nne ambayo ni utii maalum Kwa papa, hiyo kuweka Hadi kichwa kimeonekana kipo smart. Hiyo nadhiri ya utii Kwa papa, walianza kuiweka kipindi Cha vuguvugu la martin Luther, ambapo wao waliamua kutoliama kanisa Bali kulipigania na kulifanyia reformation, ndiyo kisa Cha nickname waliyopewa na kanisa the soldiers of Christ. na nadhiri zao Hadi upadrishwe ambapo utakaa miaka kidogo alafu ndo utafunga

Mission Yao kubwa kwasasa ni elimu, Wana taasisi za elimu zaidi ya 4000 dunia nzima. Hao jamaa Moja ya tamaduni Yao ni kufuatilia elimu yoyote mpya inayoingia duniani, Moja ya kauli Yao ni "mjesuit ni SAWA na mwanafunzi aliyekazini", mda wote wa maisha Yao ni kujifunza kitu kipya. Wajesuits ni wafanya tafiti wakubwa, kutokana na maneno negative kuhusu wao kuwa mengi, wanafanya kazi kwa ukaribu na maaskofu wa Jimbo, hivyo wakiona jambo halieleweki, wanafanya tafiti Kisha wanawapelekea maaskofu, maaskofu wataamua wenyewe wafate ushauri au waache.

Kuhusu kuweka viongozi madarakani Sina uhakika, ila nasikia kiongozi wait wa sasa (father General) alikuwa msaada mkubwa kumuweka madarakani Rais wa nchi (Durtete kama sikosei), wajesuits wapo Karibu Kila field inayomyhusu binadamu, Hadi NASA huko wapo, Kuna wajesuits wanajihusisha na siasa ila kama wapigania haki za binadamu na utawala Bora, Kuna wajesuits wamefungwa na wengine kuuawa kwasabu ya hizo kazi
Hapa sasa nimeshiba
 
Obama n kwl aliandaliwa na hawa jamaa
Obama anahusishwa na Jesuits kwa sababu inasemekana Jesuits walihitaji kiongozi muislam kushika madaraka Marekani, ili iwe rahisi kupambana na baadhi ya Marais wa nchi zenye mlengo wa kiislam zilizozokuwa zinafadhili makundi ya waislam wenye itikadi kali duniani, ambayo mara nyingi yalifanya uharifu dhidi ya raia wasiyo na hatia husasani wa imani tofauti na ya kwao. Hivyo ikabidi wamtumie muslim mwenzao ili kupunguza tension kwa nchi za kiislam na muslims kwa ujumla.

Kwa sasa bado sijapata muda mzuri wa kuandika, ila ntakuja kuelezea jinsi Vatican inavyotumia 'false flag' ya ugaidi duniani dhidi ya muslims, ili muslims wapigane wao kwa wao.
 
Back
Top Bottom