Taborian
Senior Member
- Jan 1, 2018
- 192
- 222
Mambo ni FIRE
ile maisha ya bongo ndio imeisha? Sbb siioni siku hizi.
Mambo ni FIRE
Inapatikana JTV Mkuuile maisha ya bongo ndio imeisha? Sbb siioni siku hizi.
Wapo wengi:Msambwanda tuu ndo Kigezo kikuu watu Kama Kina Diana walibahatika
Mi nalipenda lile wanaliita shasa Bella sijui kwanini
Ameni wasalimie yeye n.a. dayana waambie nawapenda sana navutiwa n.a. aina ya kiswahili cha sashabellaBarikiwa sana
Watazamaji wanapenda;sanctus mtsimbe nilichogundua ni business minded guy. Amejua kipi kitavuta watazamaji. Hahaha
Bila Shaka zimefika. Pia unaweza kuwainbox KWENYE account zao InstagramAmeni wasalimie yeye n.a. dayana waambie nawapenda sana navutiwa n.a. aina ya kiswahili cha sashabella
Mimi sio mtumiaji wa instagram labda cha kunisaidia nitumie namba zao za simu pm mkuu.Bila Shaka zimefika. Pia unaweza kuwainbox KWENYE account zao Instagram
Niko Tabata, Dar.Asante sana
Uko pande ipi?
Teh teh teh hawa jamaa walichagua waigizaji wa kike wanaovutia kuanzia Season ya kwanza hadi kesho Dayana, Sheila, Suzan Benard, Rachel, Brenda, Jack, Vivian.kuna moja sijui anaitwa brenda ni level za kilatino. Hahaha