CCM chini ya rais Magufuli walitamba Sana kwamba mwaka huu hakuna haja ya kufanya kampeni kwani mgombea wao anakubalika Sana na wananchi...
Kwaiyo babayako na mamayako na babuyako ambao ni CCM ni vicha na wakakuzaa wewe si kichaaWazee wa kutaka kuongoza wkt hawapendwi kabisa....
Hakuna mtz mwenye akili timamu anaweza kupigia kura ccm
Wambie sio bei ya bango tu ila hata hayo mabango yanayowekwa "yanalipiwa kodi"Unajua bei ya bango ww?.unadhani utaweka mabango kwa utapeli za bukubuku za kuomba mikutanoni.
ccm walijipanga kwa nidhamu ya kutunza pesa za kampaini nyie mlitapanya pesa kwa kulewa na kuvunja miguu.
Wewe akili yako ndiyo imefika mwisho wa kufikiri.Ndugu zangu,
Nawatakia asubuhi njema,
Kama ilivyo ada yetu ya kuangazia mambo kadhaa yanayohusu mwenendo wa Kampeni zetu leo nitafanya tathmini fupi ya robo ya mzunguko wa Kampeni. Nitazungumza katika namna ya Ulinganifu katika maeneo yafuatayo..!
Tena giza totoro.... wanaona mbele giza...!
Delete ccm oct28Ndugu zangu,
Nawatakia asubuhi njema,
Kama ilivyo ada yetu ya kuangazia mambo kadhaa yanayohusu mwenendo wa Kampeni zetu leo nitafanya tathmini fupi ya robo ya mzunguko wa Kampeni. Nitazungumza katika namna ya Ulinganifu katika maeneo yafuatayo;..
Ndugu zangu,
Nawatakia asubuhi njema,
Kama ilivyo ada yetu ya kuangazia mambo kadhaa yanayohusu mwenendo wa Kampeni zetu leo nitafanya tathmini fupi ya robo ya mzunguko wa Kampeni. Nitazungumza katika namna ya Ulinganifu katika maeneo yafuatayo;
Hoja za Wagombea;
Kwa uchache wa muda leo nitazijadili Hoja za wapinzani hasa Vyama vikuu vya Upinzani (CHADEMA, CUF na ACT)
CHADEMA mgombea wao MHE TUNDU amezungumza hoja kuu zifuatazo:
1. Hoja ya kushambuliwa kwa risasi, imekuwa hoja kuu ambayo anaamini itampa kura za huruma...
Thats itLIAR
Hatuna haja na keki ya dhuluma, kama ni haki ya vyama kupewa ruzuku basi wapewe haki yao kama walivyopewa tangu awali, dhuluma siyo jambo jema.Imeisha hiyo! Anasubiri kuapishwa tena, pia hii ndio Time ya wananchi kuonja keki ya ruzuku za vyama moja kwa moja.