moto wa kifuu
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 390
- 60
Simba mwenda pole ndio mla nyama.Nyingi sana hizo atoke aonekane kawe mpk leo kimyaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba mwenda pole ndio mla nyama.Nyingi sana hizo atoke aonekane kawe mpk leo kimyaaaa
AmeenNafunga 'novena' Mimi na familia yangu kumuombea Mh Tundu Antiphas Lissu kumaliza safari yake ya kampeni salama salmini.
Tusaidie kuwaambia Kyela na Rungwe tunawapenda sana. Tunawapenda upeo lakini Manyang'au yalikatisha ratiba ya Mheshimiwa kwa siku 7. Mungu akipenda atafika.Tukuyu na Kyela ni muhimu mno !
Tuangalie hali ngumu ya chama chetu kamanda,hata mwenyekiti Mbowe hawezi kurudi.Kwasababu kuna mgombea mmoja anakua mapumziko siku 8 kampeni siku 3.
Jiwe kaenda mikoa mingapiKurudia rudia mikoa ni ishara ya kukosa mikakati ya kueleweka ,
Chadema wako very disorganized.
Lakini ukiwaambia ukweli watakataa, jambo ambalo tena nalo ni baya kukataa criticism.
Mleta mada una wenge,
Dar si ndio Lissu alikofungua kampeni yake viwanja vya Mbagala ikafuatia na Tanganyika packers.
Naona mmevurugwa mpaka mnarudia rudia mikoa.
Tulikuwa tunaibiwa, ila kuibiwa sasa basi!Chadema hua mnajaza sana ila kwenye kura sjui mnatokomeaga wapi
Wewe utamsikiliza mnunuzi wa korosho za kusini siyo! Tusipangiane. Mimi nitawasikiliza wote.Wananchi hawana muda was kwenda kumsikiliza mouth piece ya mabeberu.
Lisu kaletwa na mabeberu ili aende ikulu kuwapatia rasilimali za nchi hii.
Hatumtaki.
Povu Hilo!!!Napata Shida Sana Kuona watu wanabishana na Wafuasi wa Chadema.
Huu ndio muda wao Wa kufurahii na Baada ya Tarehe 28 Ni Vilio vya kutosha maana hawataamini Kitachokeaa
Sasa Nyie Tulieni Walete update Hata za Malaika kuhudhuria Mikutuno ya Lissu , walete update za kujifariji na kujipa raha ndio Muda waoo Waacheni maana Wanaelekea ukingoni.
Dr Johne Magufuri Tunamwitaji sana na hatuwezi kumpoteza tutamtetea kwa gharama yoyote ile ili Abaki Madarakani Akaivushee nchii Ili watoto wetu waje kufaidikaaaa.
Na Mwisho NISEME. HATUWEZI KUKABIDHI NCHI KWA WAHUNI WASIOWEZA HATA KUJINGOZA KWA DEMOCRASIA NDANI YA CHAMA CHAO
WACHENI CHADEMA WAFURAHI NDIO MUDA WAO.
Jirani na ofisi za NEC. Jamaa anataka awe anajumlisha mwenyewe.Hii ni saa ya jiwe kupasuka kwa joto.
Nilitegemea mmoja afungie kampeni Mwanza, mwingine Dar.
Hivi Dodoma kwenye ngome yake anatafuta nini au ndio kwenda kuwaaga hivyo?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
AmenoaJirani na ofisi za NEC. Jamaa anataka awe anajumlisha mwenyewe.