This is the right time kutumia helicopter sasa..

Kwa helicopter, ni siku 5 kwa sababu mkoa mmoja anaweza kufanya mikutano isiyopungua 5 hadi 7..

Watumie Helicopter..

Ni vyema wananchi wote wa mikoa yote wapate elimu ya URAIA kujua WAJIBU na HAKI zao..

Tundu Lissu si tu anapiga kampeni, pia anafundisha somo muhimu la Uraia na sheria wananchi wote ili waweze kutambua HAKI na WAJIBU wao...

This man is very good motivational Speaker. This man is a true revolutionalist...
 
Vimba pasuka, Mwamba anafungia dar na kusafisha kabisa nzi wa kijani
Mleta mada una wenge,

Dar si ndio Lissu alikofungua kampeni yake viwanja vya Mbagala ikafuatia na Tanganyika packers.

Naona mmevurugwa mpaka mnarudia rudia mikoa.
 
Tusipende wala tusipende ukweli ni kwamba Watanzania wanapenda zaidi ya Chama kimoja na bunge halionyeshi ukweli wa nchi ilivyo na Lissu, Lowassa hata Seif wamethibisha hilo.

Ushauri hawa watu wengi hivi mkiwapuuza na kuwazuia wasiongee baada ya uchaguzi ni kutunza usaa. Mfano angalieni kanda ya ziwa walivyo mshabikia lissu tofauti na mategemeo ya watu hata upinzani wenyewe. Malalamiko ya Tanapa sio ya kupuuza maana sio ya kisiasa ni watu kweli wanalalamika, kazi kwa vijana ni tatizo kubwa. Lakini Watanzania wengi kuliko yote wanaonekana wamechokwa kuonewa. Halafu kibaya kuna video mazuri ya Polisi yameonekana na mabaya yameonekana.
 
Wananchi hawana muda was kwenda kumsikiliza mouth piece ya mabeberu.

Lisu kaletwa na mabeberu ili aende ikulu kuwapatia rasilimali za nchi hii.

Hatumtaki.
Wewe utamsikiliza mnunuzi wa korosho za kusini siyo! Tusipangiane. Mimi nitawasikiliza wote.
 
Napata Shida Sana Kuona watu wanabishana na Wafuasi wa Chadema.

Huu ndio muda wao Wa kufurahii na Baada ya Tarehe 28 Ni Vilio vya kutosha maana hawataamini Kitachokeaa

Sasa Nyie Tulieni Walete update Hata za Malaika kuhudhuria Mikutuno ya Lissu , walete update za kujifariji na kujipa raha ndio Muda waoo Waacheni maana Wanaelekea ukingoni.

Dr Johne Magufuri Tunamwitaji sana na hatuwezi kumpoteza tutamtetea kwa gharama yoyote ile ili Abaki Madarakani Akaivushee nchii Ili watoto wetu waje kufaidikaaaa.

Na Mwisho NISEME. HATUWEZI KUKABIDHI NCHI KWA WAHUNI WASIOWEZA HATA KUJINGOZA KWA DEMOCRASIA NDANI YA CHAMA CHAO

WACHENI CHADEMA WAFURAHI NDIO MUDA WAO.
Povu Hilo!!!
 
Kampeni ya Lissu, mshaurini achanganye ukatiri wa utawala huu (50%) pamoja na sera zake (CHADEMA) (50%) Zaidi ya haki na uhuru.

Je, Lissu atawafanyia nini Watanzania? Ujumbe wa ukatili wa utawala huu nadhani umeeleweka vizuri.

Badala ya kurudia rudia ujumbe wa ukatili wa watawala, mkutano hadi mkutano, changanya na yale yanayowagusa watu moja kwa moja - shule/elimu, mikopo ya chuo kikuu na urejeshaji wake, maji, afya ajira, kilimo, uvuvi, ufugaji, kipato, pensheni kwa wastaafu, kodi...

Unatakiwa uponde kwanza halafu unamalizia na jinsi utakavyofanya wewe ukiwa Rais. Muda uliobaki ni mfupi sana Utumiwe vizuri kwa tija zaidi.
 
68 Reactions
Reply
Back
Top Bottom