Huyu jamaa anaanza kuchanganyikiwa sasa.
Anayeboa ni mleta mada au Lisu?
Huyu jamaa anaanza kuchanganyikiwa sasa.
JF isaidie kumpa ushauri nasaha. anadata huyuHuyu jamaa anaanza kuchanganyikiwa sasa.
Wewe ndiyo zaidi.JF isaidie kumpa ushauri nasaha. anadata huyu
Jibu hoja!Naona adhima yako jioni ya kumtaja Lissu ma Chadema imetimia. Kalale basi usubiri ujira wako wa kesho
Jibu hoja msaliti hana mvuto Dar!Mataga mmekuwa kama kuku aliyekatwa kichwa!Mnahaha sana kadri kampeni zinavyozidi kunoga!!!!
Uzi wa namna hii ni dalili ya kuishiwa na kutafuta kujifariji!
Hujui kwamba kampeni ziko kwa ratiba na NEC ndio wamepanga ratiba?😁😁😁😁
Unateseka sana. Na badoWatu wa DAR ES SALAAM huwa hawajifichi wakiamua kukudharau wala hawakufichi ona huu msafara wa Lisu siku unaenda kwenye uzinduzi wa kampeni MBAGALA ulivyodharaulika na watu wa Dar es salaa hadi unaingia uwanjani njia nzima watu walionyesha kutokujali wala kuwa na habari naye ndio maana akakimbia mji kukimbilia mikoani kwa aibu....
Kwahiyo kabla yake Dar kulikua hamna maendeleo?Dar hawana mpango naye! Maendeleo aliyoleta Rais Magufuli Dar huyo Msaliti akawandanyanye huko Mikoani. Hatasahau alikuja Kawe tukawa tunacheki kama boya. Na sasa Dar mabango ni Magufuli tupu na bendera za CCM pekee.
Kwani kuna nini?😆😆😆😆 wazee kweli Lissu kashika watu pabaya, si ndio hawa walioropoka kuwa Lissu mikoani na vijijin hajulikani
Yaaani CCM wamevurugwa na Lissu!! Hawaamini wanachokiona kwa kweli!! Huku Jf wameishia kutunga propaganda na uzushi tu juu ya Lissu na Chadema!!!😆😆😆😆 wazee kweli Lissu kashika watu pabaya, si ndio hawa walioropoka kuwa Lissu mikoani na vijijin hajulikani
Kama hujui nenda ka google!Kwahiyo kabla yake Dar kulikua hamna maendeleo?
Ww hayo maendeleo umeyapimaje?
Yaaani CCM wamevurugwa na Lissu!! Hawaamini wanachokiona kwa kweli!! Huku Jf wameishia kutunga propaganda na uzushi tu juu ya Lissu na Chadema!!!
Kweli Mungu ameamua CCM wapumzike mwaka huu!!
Kwa thread hii hujaitendea haki buku 7 ya Polepole.