Turushie kavideo cha Hatukutaki sisi huku Bukoba hata Kama unajiita Mzilankende.Sipati picha kwa hawa wazungumzaji hatari.Lussu akifika Bukoba na akakutana na Chifu Kalumna ni hatari
Wewe mwenye diploma unamzidi nini Mkosa Mali?Duh nakumbuka pia alikacha Law School
hakyamungu? nicheke mieHata Mbatia jana amelia pale Himo!
Anaweweseka huyoMbona mgombea mwenza yuko tabora?
Ccm ndiyo nia yao kuhakikisha watanzania wanakuwa hoi kiakili na kiafya ili waendelee kuwa tawala.Asilimia kubwa ha watanzania sasa hivi wamechoka, hali zao ni mbaya sana kiuchumi, na huo ni uthibitisho mwingine kuwa sera za serikali iliyopo madarakani ni mbovu, hazitufai zimefeli, tunatakiwa tubadilishe serikali mwaka huu.