Karibu Sana.Taachaje kutoroka kazini na kwenda kumsikiliza mtu anayetaka kuboresha mshahara wangu!!!!!
Au nikae ofisini nimuunge mkono mtu aliyegoma kwa ujeuri kuniongezea mshahara kwa miaka 5 ?
Karibu Sana.Taachaje kutoroka kazini na kwenda kumsikiliza mtu anayetaka kuboresha mshahara wangu!!!!!
Au nikae ofisini nimuunge mkono mtu aliyegoma kwa ujeuri kuniongezea mshahara kwa miaka 5 ?
Tulipie hata Taarifa za Habari?Lipieni acheni porojo za kupenda vya bure
NdioTulipie hata Taarifa za Habari????
Ushahidi wa kisheria na kimahakama unao?
Umesahau kwamba tulitukanwa kwa miaka mitatano huku Shanghai zetu wakitishiwa kupigwa?Tufanyeni kampeni za kistaarabu
Leo/jana wamepigwa darasa murua kabisa la sheria.shwaaaaaiiinBila kuingiliwa zitakuwa kampeni za kistaarabu sana....sisi ni walimu wa sheria TUNAJITAMBUA
kamanda nini hoja 2Jiji la Dar es Salaam ambayo ni ngome Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo linatarajiwa kusimama kwa siku tatu kupisha uzinduzi wa kihistoria wa mgombea Urais wa Chama hicho.
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema Tundu Lissu atazindua Rasmi kampeni zake kuelekea Ikulu ya Magogoni na Chamwino kwa siku tatu mfululizo katika Jiji la DSM...
Wewe uko juu ya Tume kisheria? Kuwa tukuamini wewe badala ya Tume?Ushahidi kuhusu kujaza fomu ama upi mlamu!
Wewe uko juu ya Tume kisheria? Kuwa tukuamini wewe badala ya Tume?
😁😁😁😆 kazi bado tunayo.Ndio
Lazima mfokewe kama mlivyo wafokea kwa miaka 5Tufanyeni kampeni za kistaarabu
20 tunaitumia sana tuHata mwaka hauko sawa wameandika mwaka 20 huu sio mwaka wa 20 Ni mwaka wa 2020 kisheria Ni makosa aliyeandika hi taarifa Hana akili Ni bwege