Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,104
- 9,209
Pole lowassa
Jionee huruma mwenyewe. Magufuli Rais wako.
Ccm ni laana
jionee huruma wewe mwenyewe maan ahuyo atashinda tuNamuonea sana Magufuli katika kampeni zake, naona anatumia nguvu nyingi sana tofauti na Lowassa lakini watu hawamuelewi hata kidogo, ungewauliza wenzako waliopita wamewafanyia nini watanzania mpaka wanachukiwa kiasi hiki nadhani wangekwambia, lakini hata wewe mwenyewe ni shahidi juu ya haya, siku za mwanzo kwenye kampeni zako ulikuwa unasema "nashangaa hospitali hazina dawa ila maduka binafsi yanauza dawa"
usijisumbue sana kupiga kelele majukwaani, nadhani ccm wenzako wanaelewa nani anaenda kuwa raisi wa tano wa Tanzania.
youngsharo