kingbandidu
Member
- May 24, 2015
- 43
- 5
Ukawa na bwana ynu.subilini awape heshma wana ccm
Lowassa kwisha kwisha KWISHA KABISA
hutumii akili,hata wanaokulipa wajinga,mkutano wa ccm taito lowasa
Una roho ngumu.
Mgombea mwenza wako amezomewa Mwanza..
Rais ni magufuli kijana
[h=3][/h]
Kuongeza upatikanaji wa ajira hasa kwa vijana, kwa lengo la kuondoa umaskini ‪#‎hapakazitu‬ ‪#‎ilaniccm‬
hajakosea mkataba na mbowe ccm b imenunua/ kukodi cdm kuingilia ikulu ili wakafanye biashara.Kama vile mgombewa wenu anahali mbaya Musoma anawaambia wananchi nipigieni kura na wabunge wa ccm
Ni Magufuli kwa maendeleo ya vijana.