Chama cha mapinduzi CCM kimeendelea kungara katika kampeni za lala salama zinazoendeea kote nchini ambapo mwitikio wa wananchi umekuwa mkubwa hali inayotishia ukawa kuambulia patupu katika uchaguzi wa oktoba 25.
Kama Unajua Tuna Hujumu Kwanini Mshiriki Sasa?Jinsi Gani Inaonyesha Mmeshindwa Na Mnajaribu Kutafuta Kwa Kutokea..
Chama cha mapinduzi CCM kimeendelea kungara katika kampeni za lala salama zinazoendeea kote nchini ambapo mwitikio wa wananchi umekuwa mkubwa hali inayotishia ukawa kuambulia patupu katika uchaguzi wa oktoba 25.
Chama cha mapinduzi CCM kimeendelea kungara katika kampeni za lala salama zinazoendeea kote nchini ambapo mwitikio wa wananchi umekuwa mkubwa hali inayotishia ukawa kuambulia patupu katika uchaguzi wa oktoba 25.
Umoja wetu ndio unatupa ushindi kilaini!
wataisoma namba
Magufuli anakubalika kwa asiilimia 89% wengine wanamsindikiza tu,watanzania hawana muda wa kuwapa nafasi watu wanaotaka kufanya majaribio katika kuongoza nchi
Nyie ndio mnalipwa za viroba.Walilipwa hela hao