Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 13,991
- 20,282
Wewe hujamsikia mwenyekiti wetu akisema hizo kauli hapo?Propaganda za kipuuzi kama hizi zitawasaidia nini hapo october 28?
Acha mahaba kuwa na mapenzi na nchi yako.
Wewe hujamsikia mwenyekiti wetu akisema hizo kauli hapo?Propaganda za kipuuzi kama hizi zitawasaidia nini hapo october 28?
Ubaguzi wa nini?dah, Tupo pabaya sana, sijui ni ubaguzi ama nini
hahahaaaaaa!!!... 😊😀😁😂Hujui kwamba anatembea na first aid kit pembeni?View attachment 1573669
Ngoja dawa imuingie zaidi na bado siku 41 nadhani 😄😄Swali moja la Lissu mwenyekiti wangu analijibu kurasa 220, il wanasheria wanajua sanaaa.
Jibu swali nililokuuliza.Wewe hujamsikia mwenyekiti wetu akisema hizo kauli hapo?
Acha mahaba kuwa na mapenzi na nchi yako.
kakojoe ulale, una bando la chuo ndio maana unauliza maswali ya watoto wa msingi.Jibu swali nililokuuliza.
Ule ni ujumbe kuwa wana Kigoma wanataka maendeleo na siasa za kijinga za kupinga kila jambo, kususia, kudanganya, kuchochea na nk.Ni kama kuvunja rekodi kwa aina yake mwaka huu kitu ambacho si kizuri kwa ACT kwani Kigoma nikama miguu ya ACT ,hivyo ukikata ngwala Kigoma maana ni kama CCM imeua mtu au kubaka kabisa. Kuna kila haja ya Zito kuliangalia hili anguko kwa umakini na kuchukua hatua za maksudi kuepuka janga hilo.
Kinachokwenda kutokea ni kuwa Tanzania Bara hakutakuwa na ACT ila Zanziba itakuwepo hili ndilo linaloonekana kwa sasa.
Mkoa ulikua haujaunganishwa na Barabara, Grid ya taifa leo vinafanyika wapinzani wanasema havina maana, kwa nini wasikataliwe!Ni kama kuvunja rekodi kwa aina yake mwaka huu kitu ambacho si kizuri kwa ACT kwani Kigoma ni kama miguu ya ACT hivyo ukikata ngwala Kigoma maana ni kama CCM imeua mtu au kubaka kabisa. Kuna kila haja ya Zitto kuliangalia hili anguko kwa umakini na kuchukua hatua za maksudi kuepuka janga hilo.
Kinachokwenda kutokea ni kuwa Tanzania Bara hakutakuwa na ACT ila Zanzibar itakuwepo, hili ndilo linaloonekana kwa sasa.