Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Jpm atashinda kwa kura nyingi sio kwa sababu ni mgombea mzuri au ana sera nzuri bali udhaifu wa wapinzani ambao hawajui wapiga kura wao wanataka nini
Ccm ingekuwa inajua wapiga kura wanataka nini ingeitumia nec kushinda uchaguzi? Huko zanzibar mara zote ccm inapigwa chini zinatumika busara na ubabe ccm kuendelea kubaki madarakani kama kweli ccm inajua wapiga kura wanataka nini ishinde znz kihalali
 
NGUVU YA JPM KUELEKEA KUCHUKUA DOLA 28/10/2020.

Na Elius Ndabila
0768239284

JPM ambaye ni Rais wa JMT ndiye anatetea nafasi yake ya Urais kunako mwezi Oktoba. JPM ambaye amevunja rekodi ya Uongozi wake kwa bara la Afrika ana nguvu kubwa kuelekea Uchaguzi huu ikilinganishwa na kipindi kilichopita.

Wakati Wagombea wa vyama vingine wakitumia nguvu kubwa kuwahadaa na kuwalaghai Watanzani ili waweze kuchagulia, basi Mh JPM yeye anawaambia Watanzania kazi alizofanya kwa miaka mitano na kazi zingine anazotarajia kufanya kwa kipindi kingine cha miaka mitano.

Leo nijaribu kukupitisha tu kwenye mambo machache ambayo yatamrudisha JPM kwa kishindo mwezi OCTOBER 28.

SEKTA YA ELIMU, kwa miaka mitano ya JPM ameboresha kwa kiasi kikubwa sekta hii mhimu ya elimu. Kwanza amefanya elimu bure kutoka awali hadi kidato cha nne. Mtakumbuka miaka iliyopita watoto wengi wamekosa as shule kwa kuwa tu hawakuweza kulipa ada ya shule. Lakini baada ya JPM kuingia alifuta ada na kuwafanya watanzania wanyonge kusoma bure. Hakuishia kusomesha bure, lakini pia ameboresha na kuhuisha upya shule kwa kuzijenga vizuri na kununua samani. Upande wa Elimu ya juu ameongeza bajeti ya mikopo mara dufu na wanufaika kuongezeka. JPM alitambua fika ili kuondoa ijinga na umaskini basi silaha ya kwanza ni Elimu, na kwa kigezo hicho akaweka elimu bure.

AFYA, JPM alitambua kuwa mtu ni afya. Ili taifa liweze kuendelea kwa kasi linahitaji watu wenye afya bora. Ili kuweza kuimarisha afya Mh Rais aliamua kwa nguvu zote kujenga hospitali mpya na kuboresha za zamani, aliamua kusimamia ujenzi wa zahanati kwenye kila kijiji ambapo kwa kiasi kikubwa amefanikiwa, aliamua kutenga fedha za kujenga na kuboresha vituo vya afya, Hospitali za Rufaa, Hospitali za Kanda na Mikoa. Mh Rais JPM na serikali yake walienda mbali kwa kuongeza bajeti ya Afya kutoka bilion 36 hadi bilioni 260+, hii haijawahi kutokea.

MIUNDOMBINU, Kwenye sekta Watanzania ni mashuhuda kuwa kwa miaka hii mitano vumbi linatimuka kila mahali barabara zikiwa zinachorongwa. JPM kwa miaka mitano walau kila Wilaya ukipita unakutana na ujenzi wa barabara. JPM ameboresha, amepanua na kujenga viwanja vipya vya ndege ili kupanua sekta ya usafiri wa anga baada ya kununua ndege 11 kwa fedha za ndani bila mkopo. Kwenye miundombinu mbinu pamoja na kuboresha usafiri wa nchi kavu na angani, bado ameboresha usafiri wa majini kwa kununua na kukarabati meli. Rais JPM ndiye shujaa ambaye sasa anajenga treni ya umeme kutoka Dar hadi Mwanza. Treni si tu itasaidia kukuza uchumi bali itaongeza kasi ya kulinda barabara zetu kwa kuwa magari makubwa yalikuwa chanzo cha kuharibu barabara yatapungua. JPM ndiye amejaribu kupunguza foleni ya Dar baada ya ujenzi barabara za juu hasa Mfugale na Ubungo interchange.

NIDHAMU KAZINI, Hivi huko kwenu wale ambao ulikuwa ukifika ofisini unakuta wapo busy kuchart bado wapo? Wale ambao ulikuwa ukifika ofisini wanakwambia toa fedha tukuhudumie bado wapo? Wale ambao walikuwa hawakai ofisini wanashinda kudhurura bado wapo? Na wale waliokuwa wakibadilishia nguo airport bado wapo? Madawa ya kulevya je bado yapo? Vipi na wale ambao kila wiki Tulikuwa tukiambiwa majambazi yamevamia benki bado wapo? Vipi umeme wa mgao bado upo? Vipi bwa la MTELA limekauka tena maji na kukosa Umeme? Haya yote JPM ameyashughulikia kwa vitendo. Na haya yatamrudisha Ikulu kwa nguvu kubwa.

HUDUMA YA MAJI kwa miaka mitano serikali ya CCM chini ya JPM imeongeza bajeti katika wizara ya Maji na kuhakikisha wananchi wanafikiwa na huduma hii. Maeneo mengine nchini sasa maji yanapatikana na maeneo mengine juhudi zinafanyika kufikisha huduma hii mhimu. Na mategemeo makubwa ni kuwa mradi wa Uzalishaji wa Umeme wa Nyerere utakapokamilika si tu umeme utashuka bei, bali hata bei ya maji itapungua zaidi kwa kuwa nishati itakayotumika kuzalisha maji itakuwa chini.

MAKUSANYO, Serikali yoyote duniani huendeshwa kwa kodi. Ninawashangaa CHADEMA kwenye Ilani yao wanasema watafuta kodi, ila watawekeza migodi ya madini kwa matajiri wa nje ili wawape fedha za kuendesha serikali. Huu ni ujuha! Nyerere alishatukomboa kwenye minyororo ya ukoloni, lakini CDM wanataka turudi huko. Hakuna Taifa ambalo wananchi hawalipi kodi. Serikali ya JPM imeongeza makusanyo kutoka bilioni 800 kwa mwezi hadi 2.8 Trilioni kwa mwezi. JPM amejitahidi kwa kiasi kikubwa kuziba mianya ya rushwa na ukwepaji kodi. Kwa usimamizi wake Mahili na malidadi leo Tanzania ni miongoni mwa nchi chache Afrika zikizoingia kwenye uchumi wa kati. Nani kama JPM?

Dunia inamhitaji JPM, na Afrika inahitaji JPM watatu tu ili Afrika ianze kujitegemea. Wakati vyama vingine vya upinzani vikijinasibu kuwa wao watatumia mabeberu kuendesha nchi, JPM anapambana kuwa miaka michache ijayo Tanzania tujitegemee kwa kila kitu na Tanzania iwe nchi ya kutoa misaada kwa wahitaji. JPM kwa kuanza, kwa mara ya kwanza Tangu tupate Uhuru leo tunafanya uchaguzi ambao kwa asilimia mia moja ni fedha zetu za ndani. Hatuja kopa kwa mtu yeyote!

Haya ni mambo machache ambayo yatamrudisha JPM kwa nguvu kubwa Ikulu. Watanzania wanasubiria kwa hamu kubwa ili kuonyesha nguvu ya kura za vioja na kura za HOJA. Watanzania wanasubiria wampatie JPM na CCM zadi yake tr 28.

Niwaombe Watanzania wenzangu Tumpatie kura za kutosha JPM ili kumpa nguvu mpya kwani ni mzalendo, mchapa kazi, muungwana, mtu Mahili kwenye kusimamia maendeleo na ambaye amethibitishia Dunia kuwa kwake Utanzania ndio fahari yake. Tumpatie pia Wabunge na Madiwani wa CCM ili kwa pamoja wakashiriane kuchapa kazi na kuleta mapinduzi makubwa ya kimaendeleo.
Umeandika gazeti la mzalendo lkn ndani yake kumejaa upuuzi mtupu kama upoloto
 
Ccm ingekuwa inajua wapiga kura wanataka nini ingeitumia nec kushinda uchaguzi? Huko zanzibar mara zote ccm inapigwa chini zinatumika busara na ubabe ccm kuendelea kubaki madarakani kama kweli ccm inajua wapiga kura wanataka nini ishinde znz kihalali
Tarehe 30 matokeo yatakuwa yameshatangazwa, tukijaaliwa uhai tutajua nani yupo sahihi
 
NGUVU YA JPM KUELEKEA KUCHUKUA DOLA 28/10/2020.

Na Elius Ndabila
0768239284

JPM ambaye ni Rais wa JMT ndiye anatetea nafasi yake ya Urais kunako mwezi Oktoba. JPM ambaye amevunja rekodi ya Uongozi wake kwa bara la Afrika ana nguvu kubwa kuelekea Uchaguzi huu ikilinganishwa na kipindi kilichopita.

Wakati Wagombea wa vyama vingine wakitumia nguvu kubwa kuwahadaa na kuwalaghai Watanzani ili waweze kuchagulia, basi Mh JPM yeye anawaambia Watanzania kazi alizofanya kwa miaka mitano na kazi zingine anazotarajia kufanya kwa kipindi kingine cha miaka mitano.

Leo nijaribu kukupitisha tu kwenye mambo machache ambayo yatamrudisha JPM kwa kishindo mwezi OCTOBER 28.

SEKTA YA ELIMU, kwa miaka mitano ya JPM ameboresha kwa kiasi kikubwa sekta hii mhimu ya elimu. Kwanza amefanya elimu bure kutoka awali hadi kidato cha nne. Mtakumbuka miaka iliyopita watoto wengi wamekosa as shule kwa kuwa tu hawakuweza kulipa ada ya shule. Lakini baada ya JPM kuingia alifuta ada na kuwafanya watanzania wanyonge kusoma bure. Hakuishia kusomesha bure, lakini pia ameboresha na kuhuisha upya shule kwa kuzijenga vizuri na kununua samani. Upande wa Elimu ya juu ameongeza bajeti ya mikopo mara dufu na wanufaika kuongezeka. JPM alitambua fika ili kuondoa ijinga na umaskini basi silaha ya kwanza ni Elimu, na kwa kigezo hicho akaweka elimu bure.

AFYA, JPM alitambua kuwa mtu ni afya. Ili taifa liweze kuendelea kwa kasi linahitaji watu wenye afya bora. Ili kuweza kuimarisha afya Mh Rais aliamua kwa nguvu zote kujenga hospitali mpya na kuboresha za zamani, aliamua kusimamia ujenzi wa zahanati kwenye kila kijiji ambapo kwa kiasi kikubwa amefanikiwa, aliamua kutenga fedha za kujenga na kuboresha vituo vya afya, Hospitali za Rufaa, Hospitali za Kanda na Mikoa. Mh Rais JPM na serikali yake walienda mbali kwa kuongeza bajeti ya Afya kutoka bilion 36 hadi bilioni 260+, hii haijawahi kutokea.

MIUNDOMBINU, Kwenye sekta Watanzania ni mashuhuda kuwa kwa miaka hii mitano vumbi linatimuka kila mahali barabara zikiwa zinachorongwa. JPM kwa miaka mitano walau kila Wilaya ukipita unakutana na ujenzi wa barabara. JPM ameboresha, amepanua na kujenga viwanja vipya vya ndege ili kupanua sekta ya usafiri wa anga baada ya kununua ndege 11 kwa fedha za ndani bila mkopo. Kwenye miundombinu mbinu pamoja na kuboresha usafiri wa nchi kavu na angani, bado ameboresha usafiri wa majini kwa kununua na kukarabati meli. Rais JPM ndiye shujaa ambaye sasa anajenga treni ya umeme kutoka Dar hadi Mwanza. Treni si tu itasaidia kukuza uchumi bali itaongeza kasi ya kulinda barabara zetu kwa kuwa magari makubwa yalikuwa chanzo cha kuharibu barabara yatapungua. JPM ndiye amejaribu kupunguza foleni ya Dar baada ya ujenzi barabara za juu hasa Mfugale na Ubungo interchange.

NIDHAMU KAZINI, Hivi huko kwenu wale ambao ulikuwa ukifika ofisini unakuta wapo busy kuchart bado wapo? Wale ambao ulikuwa ukifika ofisini wanakwambia toa fedha tukuhudumie bado wapo? Wale ambao walikuwa hawakai ofisini wanashinda kudhurura bado wapo? Na wale waliokuwa wakibadilishia nguo airport bado wapo? Madawa ya kulevya je bado yapo? Vipi na wale ambao kila wiki Tulikuwa tukiambiwa majambazi yamevamia benki bado wapo? Vipi umeme wa mgao bado upo? Vipi bwa la MTELA limekauka tena maji na kukosa Umeme? Haya yote JPM ameyashughulikia kwa vitendo. Na haya yatamrudisha Ikulu kwa nguvu kubwa.

HUDUMA YA MAJI kwa miaka mitano serikali ya CCM chini ya JPM imeongeza bajeti katika wizara ya Maji na kuhakikisha wananchi wanafikiwa na huduma hii. Maeneo mengine nchini sasa maji yanapatikana na maeneo mengine juhudi zinafanyika kufikisha huduma hii mhimu. Na mategemeo makubwa ni kuwa mradi wa Uzalishaji wa Umeme wa Nyerere utakapokamilika si tu umeme utashuka bei, bali hata bei ya maji itapungua zaidi kwa kuwa nishati itakayotumika kuzalisha maji itakuwa chini.

MAKUSANYO, Serikali yoyote duniani huendeshwa kwa kodi. Ninawashangaa CHADEMA kwenye Ilani yao wanasema watafuta kodi, ila watawekeza migodi ya madini kwa matajiri wa nje ili wawape fedha za kuendesha serikali. Huu ni ujuha! Nyerere alishatukomboa kwenye minyororo ya ukoloni, lakini CDM wanataka turudi huko. Hakuna Taifa ambalo wananchi hawalipi kodi. Serikali ya JPM imeongeza makusanyo kutoka bilioni 800 kwa mwezi hadi 2.8 Trilioni kwa mwezi. JPM amejitahidi kwa kiasi kikubwa kuziba mianya ya rushwa na ukwepaji kodi. Kwa usimamizi wake Mahili na malidadi leo Tanzania ni miongoni mwa nchi chache Afrika zikizoingia kwenye uchumi wa kati. Nani kama JPM?

Dunia inamhitaji JPM, na Afrika inahitaji JPM watatu tu ili Afrika ianze kujitegemea. Wakati vyama vingine vya upinzani vikijinasibu kuwa wao watatumia mabeberu kuendesha nchi, JPM anapambana kuwa miaka michache ijayo Tanzania tujitegemee kwa kila kitu na Tanzania iwe nchi ya kutoa misaada kwa wahitaji. JPM kwa kuanza, kwa mara ya kwanza Tangu tupate Uhuru leo tunafanya uchaguzi ambao kwa asilimia mia moja ni fedha zetu za ndani. Hatuja kopa kwa mtu yeyote!

Haya ni mambo machache ambayo yatamrudisha JPM kwa nguvu kubwa Ikulu. Watanzania wanasubiria kwa hamu kubwa ili kuonyesha nguvu ya kura za vioja na kura za HOJA. Watanzania wanasubiria wampatie JPM na CCM zadi yake tr 28.

Niwaombe Watanzania wenzangu Tumpatie kura za kutosha JPM ili kumpa nguvu mpya kwani ni mzalendo, mchapa kazi, muungwana, mtu Mahili kwenye kusimamia maendeleo na ambaye amethibitishia Dunia kuwa kwake Utanzania ndio fahari yake. Tumpatie pia Wabunge na Madiwani wa CCM ili kwa pamoja wakashiriane kuchapa kazi na kuleta mapinduzi makubwa ya kimaendeleo.
Leo yuko wapi Mh Magufuli? Sioni UPDATE hapa jukwani.

Naomba unifafanulie kwenye SEKTA ya Afya. Serikali kuongeza budget ya madawa na kuongeza majengo ni uwekezaji kwa matarajio ya kupata zaidi au ni kuongeza huduma kwa wananchi? Mantiki ya swali langu ni kuwa hospitali tunalipia kumuoana daktari, tunalipia vipimo (maabara) na tunalipia dawa. Ongezeko la bajeti ya madawa inamaanisha ongezeko la mtaji au sisi wananchi tumetumia hizo dawa?

Naomba unijibu ni maswali yanayonitatiza, kwani naamini huduma za afya zinatakiwa zijiendeshe aidha kwa CASH tunazolipa au MALIPO toka kampuni za bima
 
NGUVU YA JPM KUELEKEA KUCHUKUA DOLA 28/10/2020

Na Elius Ndabila
0768239284


JPM ambaye ni Rais wa JMT ndiye anatetea nafasi yake ya Urais kunako mwezi Oktoba. JPM ambaye amevunja rekodi ya Uongozi wake kwa bara la Afrika ana nguvu kubwa kuelekea Uchaguzi huu ikilinganishwa na kipindi kilichopita.

Wakati Wagombea wa vyama vingine wakitumia nguvu kubwa kuwahadaa na kuwalaghai Watanzani ili waweze kuchagulia, basi Mh JPM yeye anawaambia Watanzania kazi alizofanya kwa miaka mitano na kazi zingine anazotarajia kufanya kwa kipindi kingine cha miaka mitano.

Leo nijaribu kukupitisha tu kwenye mambo machache ambayo yatamrudisha JPM kwa kishindo mwezi OCTOBER 28.

SEKTA YA ELIMU, kwa miaka mitano ya JPM ameboresha kwa kiasi kikubwa sekta hii mhimu ya elimu. Kwanza amefanya elimu bure kutoka awali hadi kidato cha nne. Mtakumbuka miaka iliyopita watoto wengi wamekosa as shule kwa kuwa tu hawakuweza kulipa ada ya shule. Lakini baada ya JPM kuingia alifuta ada na kuwafanya watanzania wanyonge kusoma bure. Hakuishia kusomesha bure, lakini pia ameboresha na kuhuisha upya shule kwa kuzijenga vizuri na kununua samani. Upande wa Elimu ya juu ameongeza bajeti ya mikopo mara dufu na wanufaika kuongezeka. JPM alitambua fika ili kuondoa ijinga na umaskini basi silaha ya kwanza ni Elimu, na kwa kigezo hicho akaweka elimu bure.

AFYA, JPM alitambua kuwa mtu ni afya. Ili taifa liweze kuendelea kwa kasi linahitaji watu wenye afya bora. Ili kuweza kuimarisha afya Mh Rais aliamua kwa nguvu zote kujenga hospitali mpya na kuboresha za zamani, aliamua kusimamia ujenzi wa zahanati kwenye kila kijiji ambapo kwa kiasi kikubwa amefanikiwa, aliamua kutenga fedha za kujenga na kuboresha vituo vya afya, Hospitali za Rufaa, Hospitali za Kanda na Mikoa. Mh Rais JPM na serikali yake walienda mbali kwa kuongeza bajeti ya Afya kutoka bilion 36 hadi bilioni 260+, hii haijawahi kutokea.

MIUNDOMBINU, Kwenye sekta Watanzania ni mashuhuda kuwa kwa miaka hii mitano vumbi linatimuka kila mahali barabara zikiwa zinachorongwa. JPM kwa miaka mitano walau kila Wilaya ukipita unakutana na ujenzi wa barabara. JPM ameboresha, amepanua na kujenga viwanja vipya vya ndege ili kupanua sekta ya usafiri wa anga baada ya kununua ndege 11 kwa fedha za ndani bila mkopo. Kwenye miundombinu mbinu pamoja na kuboresha usafiri wa nchi kavu na angani, bado ameboresha usafiri wa majini kwa kununua na kukarabati meli. Rais JPM ndiye shujaa ambaye sasa anajenga treni ya umeme kutoka Dar hadi Mwanza. Treni si tu itasaidia kukuza uchumi bali itaongeza kasi ya kulinda barabara zetu kwa kuwa magari makubwa yalikuwa chanzo cha kuharibu barabara yatapungua. JPM ndiye amejaribu kupunguza foleni ya Dar baada ya ujenzi barabara za juu hasa Mfugale na Ubungo interchange.

NIDHAMU KAZINI, Hivi huko kwenu wale ambao ulikuwa ukifika ofisini unakuta wapo busy kuchart bado wapo? Wale ambao ulikuwa ukifika ofisini wanakwambia toa fedha tukuhudumie bado wapo? Wale ambao walikuwa hawakai ofisini wanashinda kudhurura bado wapo? Na wale waliokuwa wakibadilishia nguo airport bado wapo? Madawa ya kulevya je bado yapo? Vipi na wale ambao kila wiki Tulikuwa tukiambiwa majambazi yamevamia benki bado wapo? Vipi umeme wa mgao bado upo? Vipi bwa la MTELA limekauka tena maji na kukosa Umeme? Haya yote JPM ameyashughulikia kwa vitendo. Na haya yatamrudisha Ikulu kwa nguvu kubwa.

HUDUMA YA MAJI kwa miaka mitano serikali ya CCM chini ya JPM imeongeza bajeti katika wizara ya Maji na kuhakikisha wananchi wanafikiwa na huduma hii. Maeneo mengine nchini sasa maji yanapatikana na maeneo mengine juhudi zinafanyika kufikisha huduma hii mhimu. Na mategemeo makubwa ni kuwa mradi wa Uzalishaji wa Umeme wa Nyerere utakapokamilika si tu umeme utashuka bei, bali hata bei ya maji itapungua zaidi kwa kuwa nishati itakayotumika kuzalisha maji itakuwa chini.

MAKUSANYO, Serikali yoyote duniani huendeshwa kwa kodi. Ninawashangaa CHADEMA kwenye Ilani yao wanasema watafuta kodi, ila watawekeza migodi ya madini kwa matajiri wa nje ili wawape fedha za kuendesha serikali. Huu ni ujuha! Nyerere alishatukomboa kwenye minyororo ya ukoloni, lakini CDM wanataka turudi huko. Hakuna Taifa ambalo wananchi hawalipi kodi. Serikali ya JPM imeongeza makusanyo kutoka bilioni 800 kwa mwezi hadi 2.8 Trilioni kwa mwezi. JPM amejitahidi kwa kiasi kikubwa kuziba mianya ya rushwa na ukwepaji kodi. Kwa usimamizi wake Mahili na malidadi leo Tanzania ni miongoni mwa nchi chache Afrika zikizoingia kwenye uchumi wa kati. Nani kama JPM?

Dunia inamhitaji JPM, na Afrika inahitaji JPM watatu tu ili Afrika ianze kujitegemea. Wakati vyama vingine vya upinzani vikijinasibu kuwa wao watatumia mabeberu kuendesha nchi, JPM anapambana kuwa miaka michache ijayo Tanzania tujitegemee kwa kila kitu na Tanzania iwe nchi ya kutoa misaada kwa wahitaji. JPM kwa kuanza, kwa mara ya kwanza Tangu tupate Uhuru leo tunafanya uchaguzi ambao kwa asilimia mia moja ni fedha zetu za ndani. Hatuja kopa kwa mtu yeyote!

Haya ni mambo machache ambayo yatamrudisha JPM kwa nguvu kubwa Ikulu. Watanzania wanasubiria kwa hamu kubwa ili kuonyesha nguvu ya kura za vioja na kura za HOJA. Watanzania wanasubiria wampatie JPM na CCM zadi yake tr 28.

Niwaombe Watanzania wenzangu Tumpatie kura za kutosha JPM ili kumpa nguvu mpya kwani ni mzalendo, mchapa kazi, muungwana, mtu Mahili kwenye kusimamia maendeleo na ambaye amethibitishia Dunia kuwa kwake Utanzania ndio fahari yake. Tumpatie pia Wabunge na Madiwani wa CCM ili kwa pamoja wakashiriane kuchapa kazi na kuleta mapinduzi makubwa ya kimaendeleo.

Hata yy Hana shaka na Hilo, anajua kuwa atashinda tu

Ila atajifunza kuwa Watanzania sio watu wa kudanganyika

CCM walitegemea kwa mambo waliyofanya then Hakuna mtu angeenda kwa wapinzani au wapinzani watakosa la kuongea
 
Hiyo ndoto ni ya mchana, watu wa sasa hivi wameelimika sana, siyo kujaa kwenye mikutano ndiyo kuchaguliwa bali ufahamu kuwa hatua ya kwanza ni kusikiliza sera, hatua ya pili ni kuzitafakari na hatua ya mwisho ni kuchagua hiyo hatua ya mwisho ni siri ya mwananchi mwenyewe kwa hiyo usihukumu mapema.
 
Mzee Lowassa na mwenzake Sumaye wamesharudi nyumbani tangu muda tu na Kinana tunajua ana cell za CCM, hawa Wazee wamenyamaza sana.

Sasa kampeni zimeshaanza na muda unazidi yoyoma tu huku kila mgombea akivutia upande wake.

Lowassa na mwenzake Sumaye hawaonekani majukwaani au kusikika kua wanasimama kidete na kampeni za CCM ili iendelee kubaki madarakani.

Kinana naye hivyohivyo.

Mzee Pinda na uzee wake ametoka na ndege toka kwenye ule uwanja aliojenga akiwa madarakani na sasa anaonekana akihangaika kushoto kulia mambo yawe mambo na hata juzi alikuwepo Kilimanjaro kwa shughuli za kunadi wagombea kupitia CCM.

Tatizo ni nini haswa kwa Wazee wetu hawa?
 
Wakuu Salaam;

Mzee Lowasa na mwenzake Sumaye wamesharudi nyumbani tangu mda tu na Kinana tunajua ana cell za CCM, hawa Wazee wamenyamaza sana.

Sasa kampeni zimeshaanza na muda unazidi yoyoma tu huku kila mgombea akivutia upande wake.

Lowasa na mwenzake Sumaye hawaonekani majukwaani au kusikika kua wanasimama kidete na kampeni za CCM ili iendelee kubaki madarakani.
Kinana naye hivyohivyo.

Mzee Pinda na uzee wake ametoka na ndege toka kwenye ule uwanja aliojenga akiwa madarakani na sasa anaonekana akihangaika kushoto kulia mambo yawe mambo na hata juzi alikuwepo Kilimanjaro kwa shughuli za kunadi wagombea kupitia CCM.

Tatizo ni nini haswa kwa Wazee wetu hawa?
JPM ni bidhaa inayouzika mtaani kila mtu anaihitaji kuliko wakati wowote.
 
Wakuu Salaam;

Mzee Lowasa na mwenzake Sumaye wamesharudi nyumbani tangu mda tu na Kinana tunajua ana cell za CCM, hawa Wazee wamenyamaza sana.

Sasa kampeni zimeshaanza na muda unazidi yoyoma tu huku kila mgombea akivutia upande wake.

Lowasa na mwenzake Sumaye hawaonekani majukwaani au kusikika kua wanasimama kidete na kampeni za CCM ili iendelee kubaki madarakani.
Kinana naye hivyohivyo.

Mzee Pinda na uzee wake ametoka na ndege toka kwenye ule uwanja aliojenga akiwa madarakani na sasa anaonekana akihangaika kushoto kulia mambo yawe mambo na hata juzi alikuwepo Kilimanjaro kwa shughuli za kunadi wagombea kupitia CCM.

Tatizo ni nini haswa kwa Wazee wetu hawa?
Wamekusikia, swali fikirishi je wanaweza? maana kampeni za mwaka huu nizakupinga kwa hoja na sio kwa vioja
 
Back
Top Bottom