gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,892
- 5,946
Safari hii anaenda wakati kuna shule imeungua moto na watoto kadhaa wamepoteza maisha (RIP) na wengine kujeruhiwa vibaya (get well soon), je ataenda 'kuwananga' wana Kagera tena?Atawaeleza nini wana kagera???
Kawatukana, kala hela zao za tetemeko, kamtesa mtoto wao Kabendera hadi mama yake amefariki na mbaya zaidi hakumruhusu hata kwenda kumzika