yorkshire
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 2,444
- 2,956
tazama na huyo Nikita The Antidote uone dunia ilivyo na warembo wa maanaLalakoi hafui dafu kwa Zmeena Orr, pale ni mwisho wa reli sijaona Cabin kubwa kuliko ile..Kama ipo nitajie boss
tazama na huyo Nikita The Antidote uone dunia ilivyo na warembo wa maanaLalakoi hafui dafu kwa Zmeena Orr, pale ni mwisho wa reli sijaona Cabin kubwa kuliko ile..Kama ipo nitajie boss
Athari zake zitapelekea vitendo vya ubakaji kushamiri hata hapa tanzania, maana watu walikuwa wakiitumia mitandao kwa kuangalia video 2/3 kisha wanajiripua na kulala!!View attachment 1903489
Wakurungwa mmezisikia hizi habari? Kwamba kuanzia Oktoba mosi Only Fans inaachana kabisa na mambo ya kikubwa; na wanataka iwe platform safi kama ilivyo Instagram. Japo bado wataruhusu watu kuweka contents za kutingisha na kumeng'enyua matako lakini kabisa kabisa hawataruhusu nudity. Unaambiwa watu walikuwa wanapiga hela huko na sasa inabidi ama kutafuta platform nyingine au kuingia mabarabarani kujiuza kama walivyokuwa wanafanya zamani. Akina Lalakoi sasa wanahaha balaa.
View attachment 1903491
Wanaharakati wanapinga kwa ukali hatua hii wakidai kuwa itahatarisha maisha ya hawa machangu kwa wingi hasa wakati huu wa Korona. Wameombwa angalau wasogeze mbele kidogo mpaka mwakani kwa matumaini kwamba mpaka wakati huo Korona itakuwa imeachia kidogo.
View attachment 1903490
Porn inapigwa vita kila kona japo ndiyo inatawala matumizi ya mtandao.
Ukitaka kula nyama chagua iliyo nona mifupa waachie fisi au nasema uongo ndugu zangu?Mie kiukweli siku hizi nipo addicted na tako
View attachment 1903757
Je kuna mwingine nae yupo kama mimi katika haya maumbo?
View attachment 1903758
Tako lazma mkuu, tuko pamoja! 🤣Mie kiukweli siku hizi nipo addicted na tako
View attachment 1903757
Je kuna mwingine nae yupo kama mimi katika haya maumbo?
View attachment 1903758
La kibantu yaani.Tak limeshiba hili
Ova
Rwanda wanafaidi sana, bora mama samia atuunganishe nao tuu km zanzibarWamenona
Ova