JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
Kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa COVID-19 kuwa janga la kidunia na kupelekea taharuki, hii mada itajumuisha viunganishi 'LINKS' zenye mada muhimu mbalimbali kuhusu ugonjwa huo
TANZANIA
1 - Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona
2 - Serikali yatenga maeneo maalumu kwa watu watakaogundulika kuwa na Virusi vya Corona Tanzania
3 - Vita dhidi ya Corona: Mikusanyiko ya watu isiyo lazima isitishwe, misongamano idhibitiwe ili kuepusha madhara makubwa
4 - Hivi ni kweli COVID-19 haijaingia bongo au ndio tunafichaficha kama ilivyo desturi yetu?
5 - Corona: Japo ni janga, pia ni fursa. Tanzania bado hakuna maambukizi, tupunguze panic, tuongeze Elimu. WB kumwaga mihela, tuchangamkie fursa
6 - Hofu ya Corona; Rais Magufuli asitisha mbio za Mwenge 2020. Fedha kupelekwa ktk maandalizi ya kupambana na Corona - JamiiForums
7 - Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji
8 - Serikali: Idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Tanzania imeongezeka na kufikia Sita(6)
9 - Corona: Meneja wa Diamond na Mwana FA watangaza kuugua Corona baada ya kupimwa - JamiiForums
10 - Q Chillah : Mwana FA acha utoto
11 - Coronavirus, Tanzania: Shule zote kuanzia za Awali, Msingi na Sekondari zafungwa. Mikusanyiko ikiwemo ya Kisiasa yasitishwa
12 - Serikali yasitisha masomo kwa vyuo vya kati na vyuo vikuu kuanzia tarehe 18/03/2020 ili kupambana na Corona
13 - Mzee Mgaya: Ni dhambi serikali kuendelea kuwalipa posho Wabunge waliopo Dodoma sasa wakati wananchi hawawezi kununua Vitakasa mikono
14 - Wananchi wakwama kutoka Nyamisati kuelekea Mafia kwa siku 3. Fedha zawaishia na sasa wanahofia kuambukizana Corona
15 - RC Paul Makonda: Mbowe ameahirisha mikutano ya CHADEMA baada ya mwanaye kuambukizwa Corona - JamiiForums
16 - Baba Askofu Munga: Akili na hekima. Corona sio sawa na Wapinzani
17 - Askofu Niwemugizi asikitishwa na Kauli ya Humphrey Polepole kuwafananisha Wapinzani na Corona
18 - Rais Magufuli: Watu tusitishane, Mpaka sasa Corona haijaua mtu Tanzania
19 - Corona Virus: Rais Magufuli ahutubia Taifa - Machi 22, 2020 - Wagonjwa Tanzania wafikia 12
20 - Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga
21 - Zitto: Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona
22 - OMBI: Serikali idhibiti bei kwenye vifaa vya kujikinga na kupambana dhidi ya Virusi vya Corona
23 - Waziri Mkuu aainisha utoaji taarifa rasmi za coronavirus
24 - Utafiti mpya wa kisayansi wa Covid19 – Msaada mkubwa wa kujikinga na kuzuia maambukizi kwa wengine
25 - CORONA: Maaskofu 13 wa KKKT watoa waraka. Wasisitiza ELIMU zaidi kwa umma ili kupanua ufahamu wa raia kuhusu maradhi haya
26 - TBC ipeni kipaumbele Corona, nyie muda mwingi ni kampeni - Tumeahidi tumetekeleza
27 - Coronavirus: Vyombo vya kusafirisha abiria vyatakiwa kuwa na sanitizer kwa ajili ya abiria. Daladala zatakiwa kupigwa dawa kila mwisho wa safari
28 - Corona: Nilichokiona jana pale FQ Hotel, tutakwisha kwa udhaifu wa kushughulia waliowekwa Karantini
29 - RC Makonda, Dar ni jiji la wote, vyama vyote. Mbowe sio mwanasiasa uchwara aliyefilisika, Zitto sio mshirikina. Tunakupenda, heshimu wote uheshimiwe
30 - Nimegundua udhaifu mkubwa sana wa Serikali ya Tanzania katika kukabili suala la COVID-19
31 - Corona imekuwa mradi wa Serikali au Mradi wa watu? Wanaowekwa karantini walalamikia bei kubwa ya hoteli wanazopelekwa
32 - Covid-19 lockdown: SMZ Mahakama Kuu Yasitisha Shughuli za Kimahakama
33 - Wazanzibari wahakikishiwa uwepo wa akiba ya kutosha ya chakula, Waziri Hamad aitaka BOT na WB kusaidia uchumi
34 - Rais Magufuli amedhihirisha tena kuwa hawezi kuongoza nchi wakati wa majanga, nachelea kusema hawezi kuongoza nchi wakati wa vita
35 - Corona ni uzembe wetu isingetufikia, na itatumaliza tusipoamka sasa - ukweli mchungu
36 - Waziri wa Afya: Ni marufuku kabisa kutaja majina ya wagonjwa wa Corona, Mwana FA, Sallam na Isabela walijitangaza wenyewe siyo Serikali - JamiiForums
37 - CORONAVIRUS: Naongeza miluzi ya tahadhari lockdown iharakishwe
38 - COVID-19 : Naibu Waziri wa Afya aipongeza JamiiForums kwa elimu iliyotukuka - JamiiForums
39 - Ushauri kwa serikali: Jumapili kama hii maeneo yenye msongamano wa watu kama kariakoo na kwingine nchini pangefungwa ili kupuliza dawa
40 - Familia ya Freeman Aikaeli Mbowe yathibitisha mwanafamilia kuwa na Corona
41 - Corona: Zanzibar yaonyesha ukomavu waweka itikadi pembeni Waziri wa afya kutoka chama cha upinzani aongoza mapambano!
42 - Freeman Mbowe ajitenga rasmi na familia akisubiri majibu ya Corona
43 - Rais Magufuli: Uchaguzi utafanyika, wapo wanaofikiri kwamba tutaahirisha. Nani anataka kukaa kwenye maofisi haya muda wote huo?
44 - Kutokuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na zinazochukuliwa na Serikali kuhusiana na Corona
45 - Hii ni aibu kubwa: Ndege tumenunua kwa keshi, vifaa vya kupambana na corona tumesubiri msaada wa Jack Ma
46 - DC Muro: Tumepata hoteli za kuwaweka karantini watakaobainika na ugonjwa wa Corona
47 - Waziri Ummy: Tanzania ina wagonjwa 13 wa Corona, 12 walitoka nao nje ya nchi na 1 kaupatia nchini
48 - Kote tumesikia lakini huku Tanzania mbona hatujasikia? - JamiiForums
49 - Wachungaji 2 mbaroni kwa kudai wanatibu Corona - JamiiForums
50 - Kuhusu Suala la Corona, Rais yupo sahihi sana - JamiiForums
51 - Tarime: Mbunge aamua kupambana na Corona kwa vitendo, asambaza Sanitizer na vifaa vya kunawia Jimbo zima - JamiiForums
52 - Hili la Corona Tanzania lina sura tata - JamiiForums
53 - Rais Magufuli ameendelea kuwapiga watu chenga ya mwili - JamiiForums
54 - Rais Magufuli yuko sahihi, tusitishwe na ugonjwa wa Corona - JamiiForums
55 - NIMR kimya juu ya COVID-19 - JamiiForums
56 - COVID 19 PANDEMIC: Tanzania imejiaandaaje? - JamiiForums
57 - Jeshi la Polisi Dar es Salaam linawashikilia mume na mkewe kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo kuhusu ugonjwa wa COVID 19 (CORONA) - JamiiForums
58 - Janga la korona ni vita kamili bajeti ya 202/2021 iangalie uwezekano wa stimulus package - JamiiForums
59 - Janga la COVID-19: Naipongeza Serikali kwa kukataa kuiga baadhi ya mbinu za ’Nchi za Magharibi’ - JamiiForums
60 - Covid-19: ugonjwa wa Corona ushauri wa bure kwako rais Magufuli - JamiiForums
61 - Corona: Idadi ya wagonjwa wa Corona yaongezeka Zanzibar sasa yafikia Watatu - JamiiForums
62 - Kwa hili la Corona, Magufuli anaenda kuonekana shujaa - JamiiForums
63 - Zitto awasilisha mapendekezo kuhusu namna bora ya kukabiliana na virusi vya Corona - JamiiForums
64 - Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out! - JamiiForums
65 - Serikali: Wagonjwa watano wathibitika kuwa na Virusi vya Corona na kupelekea kuwa na idadi ya wagonjwa 19 - JamiiForums
66 - Zitto: Transparency on data regarding current infections, new infections, critical patients and deaths is very important in dealing with the Corona - JamiiForums
67 - Wanafunzi wanaoonekana kwenye mabasi ya abiria wakamatwe wote kuepuka kuambukizwa wakati hawana shughuli mjini - JamiiForums
68 - Tanzania haijachelewa kufunga mipaka - JamiiForums
69 - Watanzania hatuwezi kuiga lockdown kama nchi za Ulaya - JamiiForums
70 - Maoni yangu kuhusu Serikali kukataza watu kutoka kwenye nyumba zao kupambana na Covid-19 - JamiiForums
71 - Serikali itumie njia hii kujikinga na Corona bila janga la njaa - JamiiForums
72 - Usafiri wa umma watakiwa kubeba abiria kwa idadi ya viti 'Level Seat' ili kupambana na mlipuko wa Virusi Corona - JamiiForums
73 - Spika Ndugai: Hali ya watanzania ni ngumu, ni maskini sana wanaishi kwa kubangaiza, tukifunga nchi hawataweza kula - JamiiForums
74 - Ushauri wangu kwa Serikali kuhusu CORONA - JamiiForums
75 - Ni kweli CORONA ni hatari tena hatari sana tuunganeni na Amiri jeshi mkuu wetu kwenye hii Vita kila mmoja wetu awe chachu ya Mabadiliko be the change - JamiiForums
76 - Kwa hatua hii ya BOT, naamini Sasa Magufuli naye Ameelewa COVID-19 is serious, tujiandae kwa Curfew/lockdown - JamiiForums
77 - Utabiri: Tanzania kwenda total lockdown mwezi April - JamiiForums
78 - Utabiri: Tanzania kwenda total lockdown mwezi April - JamiiForums
79 - Serikali ya Rais John Magufuli yathibitisha umahiri wake katika kupambana na corona na kuwalinda wananchi wake - JamiiForums
80 - Covid-19 ikifikia hatua ya nchi kuingia kwenye lockdown, haya ndio mapendekezo yangu - JamiiForums
81 - Ushauri: nini cha kufanya ndani ya siku 7 zijazo - JamiiForums
82 - Waziri Mkuu Majaliwa atembelea vituo vya kuhudumia wagonjwa wa corona ikiwemo Kibaha - JamiiForums
83 - COVID 19: Tanzania tuna mashine ngapi za kupumulia? Tumejipanga vipi? - JamiiForums
84 - Serikali iamue moja kuhusu kupambana na Corona - JamiiForums
85 - Corona Virus: Tanzania yafikisha wagonjwa 20 (Aprili 01, 2020) - JamiiForums
86 - CUF yasikitika Taarifa ya kisa cha kwanza cha mtu aliyefariki na Ugonjwa wa CORONA Tanzania - JamiiForums
87 - Mbeya waonywa kugeuza pombe dawa ya Corona - JamiiForums
88 - Serikali na Wizara ya Afya muwe makini na hizi quarantine mlizotenga kwa ajiri ya wagonjwa wa Corona - JamiiForums
89 - Kama hali ya corona Africa ni hii na Tanzania tuna wagonjwa 20 basi ni kweli tinaishi Eden - JamiiForums
90 - Corona na yaliyojificha nyuma ya pazia - JamiiForums
91- Ugonjwa wa Covid-19, Rais arekebishe kauli - JamiiForums
92 - RC Mwanri asimamisha likizo watumishi wapambane na Corona - JamiiForums
93 - Serikali isikubali kutangaza “total lockdown” au Karantine. Wanaoishawishi ama hawajui wanachokishauri au ni wabinafsi - JamiiForums
94 - CoronaVirus: Uhamiaji Tanzania yawaongezea Wageni muda wa kukaa nchini baada ya kushindwa kusafiri - JamiiForums
95 - Serikali itoe ruzuku kwa watu kukaa karantini - JamiiForums
96 - Serikali huenda IKAZUIA Shamrashamra za Pasaka, maadhimisho ya Muungano na sherehe za Mei Mosi mwaka huu 2020 - JamiiForums
97 - Update ya Corona April 2: wizara yatoa taarifa zaidi ya watu 500 wanafatiliwa wanaohisiwa kuwa na karibu na wagonjwa - JamiiForums
98 - Kwanza ndio kipindi cha kwanza dakika10 mechi ya COVID-19 vs Tanzania - JamiiForums
99 - Aliyetoroka karantini akamatwa Iringa - JamiiForums
100 - Vita dhidi ya Corona:Serikali ipeleke msuwaada Bungeni kwa hati ya dharura utakaotaka kila sehemu watu wanakoingia kupata huduma kuwe na sanitizer - JamiiForums
101 - Dodoma: Mkuu wa Wilaya, Patrobas Katambi ampa Masanja saa 24 kujisalimisha baada ya kuwahoji wananchi wa Dodoma kuhusu virusi vya Corona - JamiiForums
102 - Kuna uwezekano mkubwa wa LOCK DOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa - JamiiForums
103 - Mfumo wa Elimu Tanzania utakuwaje Juu ya janga hili la Corona au Covid-19 - JamiiForums
104 - Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar balozi Idd Seif yuko kwenye karantini ya Corona - JamiiForums
105 - Baadhi ya Wabunge wa Bunge la Tanzania lapendekeza makato ya mishahara kupambana na corona virus - JamiiForums
106 - Ushauri kwa serikali kuhusu COVID-19: "Fatality Rate" ndiyo kiwe kipimo cha athari zitarajiwazo za janga hili - JamiiForums
107 - Maboresho kutoka wizara ya afya juu ya kujikinga na corona - JamiiForums
108 - Nashauri Paul Makonda awekwe karantini! - JamiiForums
109 - Wananchi wazalendo wamcharukia January Makamba kuuliza swali hili Waziri kuhusu Corona - JamiiForums
110 - Tanzania’s mild response to COVID-19 and its implications for the 2020 elections - JamiiForums
111- Ipo haja ya kuangalia educational background ya wanaotoa maoni juu ya COVID 19 Tanzania - JamiiForums
112 - Zanzibar yatangaza maambukizi mawili huku wote wakitokea Tanga na kuingia Zanzibar - JamiiForums
113 - Hosteli za Magufuli kutumika kama karantini za kuweka wageni kutoka nchi zilizoathiriwa na Corona - JamiiForums
114 - SMZ yaridhia Taasisi zake kutoa likizo za lazima ili kupunguza misongaman. RC Makonda apiga marufuku wazururaji Dar es Salaam - JamiiForums
115 - Ukosefu wa vifaa vya kupima ugonjwa wa COVID-19 nchini ndio uhaba wa wagonjwa wapya Tanzania - JamiiForums
116 - Onyo kwa Tanzania juu ya mwenendo wa COVID-19 - JamiiForums
117 - Ummy Mwalimu na Faustine Ndugulile mmeamua kuua wananchi kwa kwa maamuzi ya kukurupuka? - JamiiForums
118 - Kilimanjaro: Mmoja ashikiliwa kwa tuhuma za kuchapisha na kusambaza taarifa za uongo kuhusu ugonjwa wa Corona - JamiiForums
119 - Abdul Kambaya: Mtazamo na ushauri binafsi kwa vyama vya siasa Tanzania kuhusu uchaguzi mkuu Oktoba na gonjwa la Corona/covid-19 nchini - JamiiForums
120 - Serikali yatangaza visa vipya vinne vya Corona nchini Aprili 6, 2020. Visa vyafika 24 - JamiiForums
121 - Abdallah Bulembo: Njia ya kukabiliana na Corona nchini ni Rais Magufuli kupita bila kupingwa 2020 - JamiiForums
122 - Mbunge amtaka Waziri Mkuu kumchukulia hatua Waziri aliyekataa kukaa Karantini pamoja na kuonesha viashiria vya Corona - JamiiForums
123 - RC Shigela: Wagonjwa wa Corona waliopatikana Zanzibar wakitokea Tanga huenda ugonjwa huo walipatia ndani ya boti au gatini Unguja - JamiiForums
124 - Serikali: Wakuu wa Mikoa na wilaya waache kutoa matamko kuhusu Corona - JamiiForums
125 - Coronavirus: Tanzania bila lockdown tutakufa tuishe - JamiiForums
126 - Mamlaka za Tanzania haziko makini kupambana na Corona, inakuwaje mgonjwa anatua JNIA anakwenda Mwanza na hakuwekwa karantini? - JamiiForums
127 - Coronavirus – Tanzania: 289 Beat COVID-19 Threat as Measures Pay Off - JamiiForums
128 - Wageni bado wanatimba tu nchini mwetu, ee Mungu tunusuru na Corona - JamiiForums
129 - Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Waziri Zanzibar aliyekataa kukaa karantini apelekwa kwa nguvu - JamiiForums
130 - Pendekezo: Watumishi wa umma tukatwe mishahara walau asilimia 2 pesa ikasaidie serikali kupambana na korona - JamiiForums
131 - Serikali ianze msako wa nyumba kwa nyumba wanaokimbia Corona Kenya - JamiiForums
132 - Mpaka wa Tanzania na Kenya sasa unahitaji umakini - JamiiForums
133 - Wadau Wamkabidhi Waziri Mkuu Sh. Bil 6.226 Kukabili Corona - JamiiForums
134 - Serikali yapokea msaada kukabiliana na Corona (COVID-19) - JamiiForums
135 - Wakenya 35 wakamatwa Tarime na kuwekwa chini ya Karantini - JamiiForums
136 - Waziri Ummy Mwalimu: Maambukizi COVID-19 ya ndani kwa ndani yameanza, Watanzania wajiandae kwa maambukizi ya Jumuiya - JamiiForums
137 - Kauli za sasa za Waziri wa Afya Ummy Mwalimu kuhusu CORONA zimeshaanza Kuzua ' taharuki ' nchini, hivyo ama adhibitiwe au ajiuzuru upesi - JamiiForums
138 - Serikali ifungue shule na vyuo hapa nchini, Corona si janga Tanzania - JamiiForums
139 - Mbinu ya kupunguza misongamano makanisani kipindi cha Pasaka na siku zijazo - salamu zangu za Pasaka - JamiiForums
140 - Corona: CHADEMA yaamua watendaji wake kufanyia kazi nyumbani isipokuwa wakuu wa idara, yasimamisha vikao visivyo na ulazima - JamiiForums
141 - Janga la corona: Serikali iseme mapema kama itafungua vyuo na mashule au itaongeza muda watu wajipange - JamiiForums
142 - Serikali yathibitisha uwepo wa wagonjwa wapya watano wa COVID-19 nchini. Jumla yafikia 32, watatu wafariki dunia - JamiiForums
143 - CHATO: Rais Magufuli asema Serikali haitafunga mipaka wala kuwazuia watu kutoka ndani ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona - JamiiForums
144 - Hivi kwanini taarifa ya Corona kwa Tanzania bara na Zanzibar isiwe moja tu? - JamiiForums
145 - Hili si shwari kabisa kwa Tanzania. Idadi ya wanaokufa ni kubwa ukilinganisha na uwiano wa wagonjwa - JamiiForums
146 - Mwanafunzi wa UDSM akamatwa kwa kusambaza taarifa na Takwimu za uongo za Covid-19 WhatsApp - JamiiForums
147 - Kipindi hiki cha janga la COVID19 waandishi wa habari Tanzania mmeonesha udhaifu mkubwa sana - JamiiForums
148 - Suala la kufunga shule/vyuo alafu ukaacha kuzuia mikusanyiko kwenye Bar, sokoni, ukaacha mipaka wazi, ukaacha shughuli nyingine kuendelea, Mimi sioni - JamiiForums
149 - Rais Magufuli, Hatari ya ugonjwa wa Corona ni kubwa na wala si ya kubeza. Hatutaki tuwe Milan au New York - JamiiForums
150 - Rais Magufuli, kuna hatari tukapata aibu ya kulazimishwa na Jumuia ya Kimataifa - JamiiForums
151 - Hizi ndio sababu za kutofunga mipaka na kuweka movement restrictions - JamiiForums
152 - Ni kwanini viongozi wa Tanzania wamegoma kukatwa mishahara yao ili zisaidie kupunguza kasi ya ugonjwa wa corona? - JamiiForums
153 - Mtazamo: Poor handling ya COVID-19 katika nchi fulani inaweza kuja kupelekea anguko kubwa la chama tawala katika Taifa hilo - JamiiForums
154 - Watanzania tuacheni ujuaji kipindi hiki cha Corona. - JamiiForums
155 - Rais Magufuli, pamoja na Corona unayo nafasi ya kuiunganisha nchi - JamiiForums
156 - Je, Chadema hawaelewi maana ya Lockdown? - JamiiForums
157 - Tanzanian university student arrested over spreading COVID-19 rumour - JamiiForums
158 - Anga la Tanzania lafungwa kwa safari zote za abiria za kimataifa - JamiiForums
159 - Freeman Mbowe(KUB): Wafe watu wangapi ndio muone kwamba ni janga? - JamiiForums
160 - January Makamba: Nimetumia janga la Ugonjwa COVID-19 kujifunza masuala kutoka kwenye maandiko ya kitaaluma - JamiiForums
161 - Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32 - JamiiForums
162 - Taarifa za Mawaziri wa Afya hazituoneshi mikakati zinatupa Datas tu - JamiiForums
163 - COVID-19 Imetukuta Watanzania kipindi kibaya sana. Pray for the nation - JamiiForums
164 - Coronavirus:Serikali wekeni lockdown kwenye majiji,watu wameanza kuhamia vijijini - JamiiForums
165 - Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19 - JamiiForums
AFRIKA MASHARIKI
- Kenya wagonjwa wa Coronavirus waongezeka na kufikia 15. Mipaka yafungwa
- Uganda yatangaza mgonjwa wa kwanza wa Corona
- Uganda confirms 8 more cases of Coronavirus, raising the total to nine (9)
- Museveni: Tumeamua kufunga mipaka yote kwa sasa baada ya mgonjwa wa kwanza wa corona kubainika
- President Museveni orders 30 days shutdown of churches/schools/etc of COVID-19
- Corona: Wakati Tanzania imetangazwa mabasi yapakie level seat huko Kenya matatu zaagizwa kupakia 60% ya uwezo wake
- President Museveni suspends use of public transport as coronavirus cases in Uganda rise to 14
- Vita dhidi ya Corona: Rwanda ni mfano wa kuigwa Afrika na wanaweza kusalimika iwapo gonjwa hili litakuwa tiishio na hapa Afrika
- CORONA VIRUS: Kenyatta ndio Rais pekee aliyejipanga kuwanusuru wananchi wake kiuchumi - JamiiForums
- Coronavirus: Mtoto wa miezi 10 miongoni mwa visa vipya vya virusi vya corona Rwanda
- Germany loses six million coronavirus face masks in Kenya ... Jamaneni!!!
- Kenya na Mlipuko wa Covid19: Nini faida na hasara za kujifunza kwa maamuzi ya haraka waliyochokua? - JamiiForums
- Mombasa: Wafungwa 180 watolewa gerezani ili kuondoa msongamano na kudhibiti maambukizi ya Corona - JamiiForums
- Wizara ya afya yazuia maduka ya dawa na Wakemia kuuza Chloroquine kwa watu wasio na kibali cha daktari - JamiiForums
- Coronavirus cases in Kenya rise to 31, Gov't monitoring 906 close contacts - - JamiiForums
- Hii njia ya Kenya, Uganda, Rwanda na mataifa mengine hasa ya Africa kupambana na Corona inachekesha - JamiiForums
- Uganda: Wawili wapigwa risasi kwa kukiuka amri ya Rais ya kutotumia usafiri wa umma - JamiiForums
- Kudhibiti Covid-19 hakuhitaji hatua za kukurupuka, taharuki wala kuiga: kilichotokea leo Kenya nilitahadharisha siku ya kwanza - JamiiForums
- Mapambano ya Corona Kenya na Uganda ni hatari sana kwa maambukizi ya Corona - JamiiForums
- Kinachoendelea Kenya ni uzalilishaji, ukatili na ujinga dhidi ya walipa kodi - JamiiForums
- Wagonjwa wa Corona nchini Rwanda wafikia 70 - JamiiForums
- Kenya: Idadi ya walioambukizwa Corona yafikia 50 - JamiiForums
- Rubani Mwandamizi wa Kenya Airways afariki kwa #COVID19 - JamiiForums
- Uganda yenye wagonjwa 33 yatangaza " lockdown" kwa siku 14, Kenya yenye wagonjwa 50 bado viongozi hawajui la kufanya - JamiiForums
- Coronavirus: Burundi yatangaza kuwa na wagonjwa wa corona kwa mara ya kwanza - JamiiForums
- The number of confirmed coronavirus cases in Kenya has risen by 22 bringing the total number in the country to 81. - JamiiForums
- RWANDA: Lockdown yashindwa kuzaa matunda, Kagame aamua kuongeza wiki mbele za watu kujifungia - JamiiForums
- Health CS Mutahi Kagwe announces 29 more cases of coronavirus in Kenya, total at 110 - JamiiForums
- Rwanda imezuia mishahara ya Mawaziri, Makatibu Wakuu, Viongozi wa Idara na viongozi wengine Serikalini, pesa zimeelekezwa kupambana na COVID-19 - JamiiForums
- Rais Kenyatta atangaza visa 16 vipya vya Corona, idadi sasa yafika 158 na vifo 6. Afunga Kaunti za Nairobi, Kilifi, Kwale na Mombasa - JamiiForums
- 10-Year Jail Sentence for Kilifi DG - Uhuru Recommends - JamiiForums
- Msafiri kutoka Tanzania apatikana na Corona Kenya. Idadi yafikia 172 - JamiiForums
- Kenya yaanza kutengeneza vifaa vya kupima Corona, vyenye uwezo wa kutoa matokeo ndani ya dk 15 - JamiiForums
- Kenya yaanza kupima wahudumu wote wa afya, nchi yote iwe daktari au muuguzi, na watapewa makazi mapya - JamiiForums
- Wakenya wanatumia njia za panya kuepuka "lockdown" - JamiiForums
- As a sign of giving up the fight, Kenyans should prepare themselves for the worst! - JamiiForums
- Kenya's MPs tested positive for COVID-19 - JamiiForums
- Serikali ya Kenya yawapa vijana wabunifu hela wakamilishe prototype ya ventilator - JamiiForums
- Kenya kutumia mawakala wa mitandao ya simu kugawa barakoa (masks) - JamiiForums
- Kenya kutumia ndege zisizokua na rubani (drones) kunyunyiza dawa - JamiiForums
- Mkenya aliyesafiri kutokea Tanzania akutwa na Corona,wengine wanne wathibitishwa.Kifo kimoja chatangazwa - JamiiForums
- Corona: Waganda washitushwa na kasi ya maambukizi ya Kenya, washauriana kutotembelea Kenya - JamiiForums
- Wagonjwa watatu wa COVID-19 wadaiwa kupona, wataruhusiwa kutoka Hospitali hivi karibuni - JamiiForums
- Madaktari Kenya wasambaza virusi vya Corona kutokana na uzembe na Elimu ndogo waliyonayo - JamiiForums
- Rwanda: Idadi ya wagonjwa wa COVID-19 yafikia 118, wagonjwa saba wapona - JamiiForums
- Raia wa kigeni wahonga wanausalama wa Uganda ili kuingia nchini humo - JamiiForums
- Kenya Coronavirus Update - JamiiForums
- Kuanzia wiki ijayo, Kenya itakuwa na uwezo wa kupima sampuli 35,000 za Korona kwa 24Hrs kutoka sampuli 600 - JamiiForums
- Naomba ifanywe kwa dharura: Napendekeza kuanzia Jumamosi iwe ni marufuku mtu kutoka nje ya nyumba yake bila kufunika uso kwa kitambaa/ barakoa/ scarf - JamiiForums
- Mmemsikia Mzee wa Kunyoosha Maelezo bila Unafiki, Kufichaficha wala Kuogopa? - JamiiForums
- Kenya: Wanawake wawili wafariki baada ya mkanyagano wakati wa kupokea chakula cha msaada - JamiiForums
- Mbunge atiwa mbaroni kwa kukiuka curfew - JamiiForums
- Wakati Kenya ikishindwa kusimamia ugawaji wa chakula na kusababisha vifo kwa kukanyagana, Uganda yawatumia wanajeshi kugawa chakula. - JamiiForums
- https://www.jamiiforums.com/threas/...ikali-kukabiliana-na-janga-la-corona.1713629/
KIMATAIFA
- Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)
- Fahamu hatua zilizochukuliwa na mataifa mbalimbali Duniani katika kukabiliana na janga la Covid-19
- Hali yazidi kuwa mbovu Iran, kuwaachia wafungwa 10,000
- Urusi: Daktari anayetuhumiwa kusambaza virusi vya #COVID19 kufungwa jela
- Ulaya & USA Ifanye toba dhidi ya corona
- China ilazimishwe na dunia nzima kuwajibika kwa kuanza na kusambaa kwa virusi vya corana na madhara yake kiuchumi na kijamii kama Ujerumani ya Hitler
- Nchi za Magharibi zazidi kushangazwa na kinga waliyokuwanayo WaAfrika dhidi ya virusi vya Corona
- Italia yaipiku China kwa idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19
- Tanzia: Mwanamuziki mkongwe wa Soukous, Aurlus Mabele afariki dunia. Coronavirus yahusishwa
- China inajidanganya tena na inadanganya ulimwengu
- Corona Virus :Pray for Italy and Iran - JamiiForums
- Kuwapo kwa watu wazima wengi imechangia nchi ya Italia kuathirika zaidi na virusi vya Corona - JamiiForums
- China: Virusi vingine (Hanta Virus) vyaua mmoja, wengine 32 wapimwa kuona kama wana maambukizi - JamiiForums
- Italia: Muuguzi (Nurse) amejiua kwa kuhofia kuambikiza wengine baada ya kugundulika ana maambukizi ya Corona - JamiiForums
- Dunia ijihadhari na taifa la China; yadaiwa Corona ilikuwepo muda mrefu sana - JamiiForums
- Corona Virus: Idadi ya vifo Hispania yafikia 3,434. Nchi hiyo ina vifo vingi zaidi ya China - JamiiForums
- Italia: Kwa siku ya leo watu 651 wamefariki, Pia Kansela wa Ujerumani yuko karantini - JamiiForums
- Huko Spain watu 738 wameaga dunia kwa masaa ishirini na minne. Wakenya na Watanzania tuwe makini ili majanga haya yasitupate - JamiiForums
- Mwanamuziki nguli wa Cameroon Manu Dibango afariki kwa Corona - JamiiForums
- Afrika Kusini maambukizi ya Corona yafikia 700 - JamiiForums
- Idadi ya vifo kutokana na Ugonjwa wa Corona USA vyafikia 1,000 - JamiiForums
- Corona yafunga msikiti wa mtume kwa Mara ya kwanza
- Marekani yaipiku Italia na China kuhusu Corona - JamiiForums
- Australia yazuia matumizi ya pesa za noti na coins kwa hofu ya kuambukiza corona - JamiiForums
- Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson apata maambukizi ya CoronaVirus - JamiiForums
- Ubalozi wa Marekani kuwaondoa raia wake Tanzania kwasababu ya Corona na kuwarudisha kwao - JamiiForums
- All Americans to return to the USA now- Tz - JamiiForums
- Serikali ya Tanzania yapokea Tsh. 1.185 Bilioni kutoka kwa Wadau ili kupambana na Corona. Yabaibisha akaunti ya benki kwa anayetaka kuchangia - JamiiForums
- Trump amekuwa mpole kwa Rais wa China Xi - JamiiForums
- South Africa na Rwanda mataifa yaliyodhamiria kuondokana na Corona - JamiiForums
- Marekani Waiomba China msaada - JamiiForums
- Marekani yakadiria kwa uchache watu wake laki moja watakufa kutokana na Corona - JamiiForums
- Italy Death due to Corona Reached 10799 - JamiiForums
- Belarus nchi pekee shughuli zinaendelea pamoja na uwepo wa mlipuko wa COVID-19 ulimwenguni - JamiiForums
- Botswana nchi iliyokuwa haina wagojwa wa Corona leo mambo yamekuwa sivyo - JamiiForums
- Brazilian President Bolsonaro rejects calls for Coronavirus lockdown, says 'we're all going to die one day' - JamiiForums
- Testing Kits Heading To The UK Contaminated With Coronavirus - JamiiForums
- China ina wagonjwa wapya 48 wa #covid19 Kenya imepata maambukizi mapya 9 - JamiiForums
- Dyson have made ventilators and are working well on patients - JamiiForums
- Vyombo vya habari vya Marekani vinatuhumiwa kuuza idadi ya vifo vinavyotokana na Virusi vya Corona kwa lengo la kumhujumu Rais Trump - JamiiForums
- Kirusi chaibuka Wuhan upya, mwanafunzi atokea UK nacho - JamiiForums
- Coronavirus: Watu 172 wamepoteza maisha barani Afrika - JamiiForums
- Reuters: Namba ya vifo vinavyoripotiwa italy haiakisi uhalisia, idadi sahihi yaweza kuwa ni mara nne ya vinavyoripotiwa - JamiiForums
- Marekani: Vifo vya corona vyafikia 4000, watu 900 wamefariki jana pekee - JamiiForums
- Urusi yaisaidia Marekani kupambana na corona - JamiiForums
- Ufaransa yaripoti vifo vipya 1355, yawa nchi ya kwanza kwa vifo vingi ndani ya siku moja - JamiiForums
- Rais Putin kuzuia watu wasiende kazini na kuendelea kuwalipa mishahara - JamiiForums
- Eto'o Awajia Juu Maprofesa Wa Ulaya kuhusu chanjo ya COVID-19 kufanyiwa majaribia Afrika - JamiiForums
- USA: COVID-19 Update 3/3/2020; Jumla ya wagonjwa 272,998, maambukizi mapya 28048, waliokufa Leo +934 Jumla ya Vifo 7004 - JamiiForums
- Covid-19 Janga Kubwa Ulaya Magharibi Na Mashariki - JamiiForums
- India: Watoto mapacha waitwa majina ya Corona na Covid! - JamiiForums
- Iran yazindua mfumo mpya wa kupima COVID-19 - JamiiForums
- Muendelezo wa walioidharau Corona: Brazil nayo yakumbwa na maafa, sasa waanza kujutia - JamiiForums
- Vifo kutokana na virusi vya corona duniani vyafikia 65,000 - JamiiForums
- DRC imeingia makubaliano na Marekani pamoja na China ufanyikaji wa majaribio ya kinga ya Corona nchini mwao - JamiiForums
- Hizi kelele za mabilionea na viongozi wa kiafrika kukataa majaribio ya chanjo ya Covid 19 siyaafiki - JamiiForums
- Coronavirus: UK Prime Minister admitted to hospital over virus symptoms - JamiiForums
- Wanaijeria wenye uraia wa Marekani wajitokeza kwa wingi kuliko wamarekani wenyewe, baada ya Marekani kutaka kuwa-evacuate raia wake - JamiiForums
- Libya: Waziri Mkuu wa zamani aliyeongoza mapinduzi yaliyomuondoa Gaddafi madarakani afariki dunia kwa Virusi vya Corona - JamiiForums
- Fact Check: Truth of corona conspiracy theory behind arrest of Harvard professor - JamiiForums
- Waziri mkuu wa Uingereza, Boris Johnson apelekwa chumba cha watu mahututi ICU - JamiiForums
- Japan: Waziri Mkuu, Shinzo Abe atangaza hali ya dharura kwa mwezi mmoja - JamiiForums
- Corona; Ufaransa yahodhi shehena ya mask zilizokuwa zipelekwe Italy na Spain - JamiiForums
- Buhari kanasa kwenye Korona anatibiwa Cuba kisirisiri - JamiiForums
- MAREKANI: Wataalamu wahusisha nchi zenye chanjo ya BCG na maambukizi machache ya Corona - JamiiForums
- Corona imeanza mbinu za kujificha kwenye mwili, kiasi waathirika kuachiwa kwamba wamepona kisha inawaibukia upya - JamiiForums
- Spanish government to isolate asymptomatic Covid-19 patients - JamiiForums
- "It in not Corona Virus Pandemic "they want to implant Digital ID in people ...Pastor Chris Oyakhilome - JamiiForums
- Rwanda: Mawaziri, Makatibu Wakuu na viongozi wengine wa juu kutopokea mishahara ya Aprili. Pesa zimeelekezwa kupambana na COVID-19 - JamiiForums
- Trump aagiza utaifishaji wa vifaa vya kupambana na Korona - JamiiForums
- "The Vaccine will not be Tested in South Africa " President Ramaphosa . - JamiiForums
- Nchi za Magharibi zazidi kushangazwa na kinga waliyokuwanayo WaAfrika dhidi ya virusi vya Corona - JamiiForums
- Meet Chales Liebar a Doctor allegedly created Corona Virus.... - JamiiForums
- Bodies placed on roadside like Dirty ,Boxes used as Cofins as Deaths becomes Un imaginable... - JamiiForums
- Rais wa zamani wa Chad aliyefungwa maisha baada ya kushtakiwa kwa ukiukwaji wa haki za binadamu aachiwa kwa miezi miwili kutokana na Corona - JamiiForums
- Marekani: Watu zaidi ya1900 wamekufa kwa corona jana pekee, jumla ya vifo ni zaidi ya 12,800, maambukizi zaidi ya 400,000 - JamiiForums
- China: Mji wa Wuhan wafunguliwa baada ya siku 76, watu zaidi ya 65,000 waondoka ndani ya masaa - JamiiForums
- Marekani yaendelea kuvutana na China kwenye janga la Corona, yahamishia lawama kwa Shirika la Afya-WHO - JamiiForums
- Does the UK conceal the World.? - JamiiForums
- China yaripoti visa vipya vya corona 62 na vifo 2 - JamiiForums
- Ethiopia yatangaza hali ya dharura - JamiiForums
- Watoto wachanga 10 waambukizwa Corona nchini Romania - JamiiForums
- Uingereza kukosa msaada wa kupambana na Corona kutokana na kujitoa Umoja wa Ulaya - JamiiForums
- Waafrika waanza kufukuzwa kutoka China, hawaruhusiwi kwenye mahoteli au maeneo ya wazi - JamiiForums
- Maprofesa wa corona: Visa vya corona haviakisi uhalisia wowote, Jikite kwenye idadi ya vifo na wagonjwa waliopo hospitali - JamiiForums
- Nigeria yaanza msako wa waathirika na kupima, nyumba kwa nyumba, mlango kwa mlango - JamiiForums
- Botswana: Bunge zima lawekwa karantini ya Corona baada ya muhudumu kugundulika ana maambukizi ya Covid 19 - JamiiForums
- Kwa Mh. Trump hali yazidi kuwa tete. Yaongoza kwa vifo - JamiiForums
- Robert F Kennedy Jr. Exposes Bill Gates Vaccine Dictatorship plan-Cites Gates twisted "Messiah Complex" - JamiiForums
- USA yaonyesha uwezo mkubwa dhidi ya COVID-19 - JamiiForums
- Jaji wa mahakama na kanali wa jeshi wakamatwa Kenya kwa kukiuka curfew - JamiiForums
- DRC wakumbwa na Ebola huku bado wakihangaika kwa Corona - JamiiForums
- Chief of Staff wa Rais Wa Naijeria alivyopata COVID-19 - JamiiForums
- CNN and Coronavirus: Africa in existential threat - JamiiForums
- USA The world leader in Everything including contractracted Covid-19 patients and deaths tolls to 20577 more than any country in the world - JamiiForums
- New York, Marekani: Shule kufungwa kwa muhula mzima wa masomo kutokana na Corona Virus - JamiiForums
- China imepeleka tani za madawa na vifaa Urusi ili kupambana na Corona - JamiiForums
- China yakemea vitendo vya ubaguzi nchini humo dhidi ya Waafrika - JamiiForums
- Watu 42,000 wapona Korona nchini Iran - JamiiForums
- Watu wasiopungua 2000 wamekufa kwa corona nchini Marekani - JamiiForums
- China yazuia yeyote kuandika au kuhoji chimbuko la Corona au kutoa takwimu zozote - JamiiForums
KIUCHUMI
- Serikali yawataka watalii waliopanga kuja nchini kuahirisha safari hadi hapo Corona itakapodhibitiwa - JamiiForums
- Polepole: Hatuwezi kuzuia watalii kwa sababu ya Corona, tutapambana nayo kama tunavyopambana na Upinzani. Nchi inategemea watalii - JamiiForums
- Ufuta na huu upepo wa korona. Je, kuna faida mwaka huu au tujiandae na maumivu? - JamiiForums
- Mrutu: Stendi za mabasi ya mkoa na daladala wawepo wasafiri pekee wafanyabiashara waondolewe kupunguza msongamano - JamiiForums
- Zanzibar yasimamisha safari za ndege za Kimataifa - JamiiForums
- Watu wa umma jianadae Kisaikolojia, Magu Ameshapata Sababu ya Kutowaongeza Mishahara na kama Akipita Uchaguzi wa 2020 msubiri mpaka 2026 mtapandishiwa - JamiiForums
- anguko la soko kwa wadangaji kwa kipindi hiki cha corona - JamiiForums
- Hotel za kitalii katika mbuga zafungwa hadi mwezi June, wafanyakazi watakiwa kurudi makwao - JamiiForums
- Baada ya corona kushika kasi na kuathiri ujio wa ndege kutoa nje ya nchi,mashirika ya ndege yanayoendelea na safari za humu nchini hayajaathirika? - JamiiForums
- Vile mitandao ya simu ilivyofanya Corona kama biashara ya kuwakamua wateja - JamiiForums
- Corona: Sekta ya Utalii itaporomoka sana Duniani hata baada ya ugonjwa kudhibitiwa - JamiiForums
- Tofauti ya Mkatati wa kunusuru uchumi ulioathirika na KORONA Marekani na Ulaya hii hapa! - JamiiForums
- Wazee wa kubet mnaishije na hii COVID-19? - JamiiForums
- Watumishi wa umma mpo tayari kwa likizo isiyo na mshahara? - JamiiForums
- Serikali iunde sera madhubuti kusaidia wafanyakazi na wananchi kwa ujumla kujikimu wakati huu wa kupambana na Covid-19 - JamiiForums
- Naibu Waziri: Marufuku kufunga minada ya ng'ombe na samaki kwa kisingizio cha Corona - JamiiForums
- Jiulize maswali Haya kabla ya kuchangia pesa ya Covid-19 - JamiiForums
- Afrika huu ndio wakati wa kuikuta Ulaya na Marekani Kiuchumi - JamiiForums
- Corona isiwe sababu ya kutolipana madeni jamani - JamiiForums
- Maisha ya Mtanzania na total lockdown - JamiiForums
- Tujipange wakati tukisubiria mipaka ya nchi kufungwa na watu kutoruhusiwa kutoka 'lockdown' - JamiiForums
- Baada ya janga la Corona kutikisa uchumi, taasisi za kibeberu zimekaa mkao wa kula kusubiri mataifa yakakope - JamiiForums
- Hivi ndivyo China ilivyotengeneza COVID-19 kuangamiza watu ili kuidhibiti dunia kiuchumi - JamiiForums
- Ishauri serikali nini ifanye kupunguza athari za COVID-19 kwa nchi na maisha ya wananchi - JamiiForums
- Wafanyabiashara 650 waomba kufunga biashara TRA - JamiiForums
- Tanzania tumejiandaa kiasi gani na matokeo ya anguko la Uchumi baada ya Corona - JamiiForums
- DC aagiza kufungwa biashara ya yeyote atakayepandisha bei vitakasa mikono - JamiiForums
- Wazo la Makonda siyo baya ila lianze na Serikali kuonesha mfano - JamiiForums
- Unafanyeje biashara kipindi hiki cha Corona? - JamiiForums
- Kupitia Jukwaa hili,kila alie tayari aeleze jinsi Corona ilivyomuathiri kiuchumi na kijamii - JamiiForums
- Tunaiomba Serikali iondoe bili za umeme na maji - JamiiForums
- Wakisamehewa kodi, nao pia wapunguze bei za bidhaa - JamiiForums
- Sekta ya Utalii Tanzania ijiandae kwa maisha ya Corona na baada ya Corona - JamiiForums
- Usafiri wa level seat lazima uratibiwe - JamiiForums
- Mabasi ya wanafunzi yapewa kibali cha kuwa Daladala kwa muda wa miezi mitatu kukabili uhaba wa usafiri uliosababishwa na " level seat" - JamiiForums
- Corona ilivyosababisha ununuzi mwingi wa Bunduki USA - JamiiForums
- COVID19 to be the worst economic cricis in IMF history - JamiiForums
- Serikali ifikirie namna ya kuwasaidia wanavyuo ambao wengi wao walikuwa wamepanga vyumba, bila kufanya hivyo mali zao watazikuta nje - JamiiForums
- Ghana: Serikali yapandisha mishahara, hakuna kulipia bili za maji kwa miezi mitatu (April, May na June) - JamiiForums
- Covid-19 inawatesa hawa kiuchumi - JamiiForums
- Baraza la Mawaziri SADC, Laridhia Usafirishaji wa Bidhaa Muhimu, Kudhibiti Maambukizi ya Corona - JamiiForums
- Corona kusababisha condom kutoweka - JamiiForums
- Nakuomba Rais Magufuli; Tafuta fikra mbadala ili kujenga uchumi na kukuza biashara kimkakati kama Farao wa Misri katikati ya changamoto ya Covid 19 - JamiiForums
- Rais Museveni atoa onyo kwa wenye nyumba, ataka wapangaji wasifukuzwe wakati huu wa mlipuko wa Corona - JamiiForums
- England ends 5G contract with Chinese firm after test Units were tested Corona Virus Positive . - JamiiForums
- Exposed: Bill Gate and the secret behind COVID-19 . - JamiiForums
- Mataifa ya nje yaanza kuondoa mitaji yao China - JamiiForums
- Afrika kutetereka kiuchumi kutokana na Covid-19 - JamiiForums
- IMF: There is tremendous economic crisis unceternities since great depression - JamiiForums
- Kama tunaandaa Bajeti pasipo kuzingatia athari za Corona, sitashangaa siku moja tukalazimika kuwa na Bunge la dharua ku-review upya Bajeti yetu - JamiiForums
- Afrika Kusini: Mshahara wa Rais, Mawaziri kupunguzwa kwa 33%, fedha zitatumika kukabiliana na janga la Corona - JamiiForums
- Dkt. Kigwangalla: Sekta ya Utalii ndiyo inayoongoza kwa kuathirika sana kufuatia kuingia kwa Covid 19 - JamiiForums
- Wamarekani 5,000 waishtaki China, wadai walipwe senti kwa senti - JamiiForums
- US ready to block Iran's requests for coronavirus aid from the IMF, officials say - JamiiForums
- World Bank: Anti Corona policy response: why copycat may not work in Kenya, South Africa - JamiiForums
- Corona inafanya tuwe na subira tusiyojua deadline yake - JamiiForums
- Kenya Hawana Chakula - Baada ya kufunga mpaka - JamiiForums
- Uchumi wa Afrika kuporomoka - JamiiForums
- Uchumi wa China wadorora kwa 6.8% kutokana na Coronavirus - JamiiForums
MICHEZO
- Wallace Karia: Wachezaji watakaosafiri nje hawataruhusiwa kurudi - JamiiForums
- Paolo Maldini na mwanawe Danielle Maldini wamekutwa na virusi vya Corona - JamiiForums
- ATHARI Za CORONA: Ligi 3 za madaraja ya chini Uingereza zafutwa - JamiiForums
- FIA yasimamisha michezo yote ya mbio za magari na pikipiki Kwa sababu Corona. - JamiiForums
- Corona Virus: Michuano ya Olimpiki iliyopangwa kufanyika Julai mwaka huu nchini Japan mbioni kuahirishwa - JamiiForums
- Coronavirus: Premier League clubs to meet on Thursday to discuss strategy. - JamiiForums
- NBA yamesimamisha ligi kwa sababu ya Coronavirus - JamiiForums
- TANZIA: Kocha kijana afariki kwa Corona - JamiiForums
- Liverpool inaweza Ikakosa ubingwa endapo coronavirus vikiingia Uingereza - JamiiForums
- Michuano ya soka England yasitishwa hadi Aprili 3 kutoka na Corona - JamiiForums
- Kocha wa Arsenal FC, Mikel Arteta akutwa na Ccorona (covd 19) - JamiiForums
- Beki ya Juventus Daniele Rugani aambukizwa virusi vya corona - JamiiForums
- Ligi zote barani ulaya ziwe suspended kwa sababu ya Corona kama walivyofanya Serie A - JamiiForums
- Mashabiki kuzuiwa kuhudhuria mechi za ligi za Uhispania kwa hofu ya Corona - JamiiForums
- Man City vs Arsenal postponed after Olympiakos owner tests positive for coronavirus - JamiiForums
- Msimu wa 2019/2020 ligi kuu nchini Italia hatarini kuishia njiani - JamiiForums
- Seria A yasimamishwa hadi April - JamiiForums
- Daktari ajinyonga baada ya kukutwa na corona - JamiiForums
- Coronavirus: World Bank predicts sub-Saharan Africa recession - JamiiForums
UJUMLA
- Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus) - JamiiForums
- Fahamu Machache kuhusu Corona Virus - JamiiForums
- Fahamu hatua zilizochukuliwa na mataifa mbalimbali Duniani katika kukabiliana na janga la Covid-19 - JamiiForums
- Corona Virus imetengenezwa? Virusi hivyo vilibashiriwa katika Kitabu mwaka 1981 - JamiiForums
- Faida za Ugonjwa Wa Covid 19 Duniani - JamiiForums
- Dhana mbalimbali zilizojengeka katika Jamii kuhusu maambukizi ya Virusi vya Corona - JamiiForums
- Corona imekuja kuumbua uongo wa dini - JamiiForums
- Tusaidie watu wetu kupambana na COVID-19 Kwa Tech - JamiiForums
- Stimulus ya Coronavirus haikwepeki kwa walalahoi na itoke Barrick Gold - JamiiForums
- Corona ni hatari isifanyiwe maigizo - JamiiForums
- Kirusi kinachotisha kuliko Corona ni uoga/ hofu - JamiiForums
- Utafiti mpya wa kisayansi wa Covid19 – Msaada mkubwa wa kujikinga na kuzuia maambukizi kwa wengine - JamiiForums
- Kuna kila dalili Coronavirus haidumu kwenye nchi za joto - JamiiForums
- Mwongozo wa kufanyia kazi Nyumbani wakati huu wa Mlipuko wa Corona - JamiiForums
- COVID-19 ni ushahidi kuwa Madaktari na Manesi ni kada zinazostahili kulipwa vizuri sana na pengine kuliko kada zingine zote - JamiiForums
- Kupitia Corona Serikali za Dunia inabidi zijifunze kwamba afya ndio mtaji wa nchi kujiendesha - JamiiForums
- Wazungu wafanye hima waigundue dawa - inakisiwa raia wa Uingereza milioni moja watakua na mdudu ndani ya wiki chache zijazo - JamiiForums
- mizaha na mazoea ndicho kitakacho ighalimu Tanzania dhidi ya Covid-19 - JamiiForums
- COVID-19 inavyoacha funzo la dunia bila anasa inawezekana - JamiiForums
- Watu kusalia majumbani (total lockdown) hakuepukiki, ndiyo njia pekee ya uhakika itakayo tunusuru na kusambaa kwa Corona nchini - JamiiForums
- Corona imedhihirisha nchi serious kwenye maendeleo na wasindikizaji ni zipi. Sisi Tanzania, tumeukiri huo ukweli kwa vitendo, kwamba tunasindikiza - JamiiForums
- Boss Mchina anavyotuhangaisha sababu ya Corona na kuonesha ubaguzi kipindi hiki kigumu - JamiiForums
- Serikali zinazojali wananchi tutazijua kupitia Corona - JamiiForums
- Televisheni za kimataifa: CNN, BBC, Aljazeera nk zinaleta taharuki, zifungiwe kwa muda wa mwezi mmoja! - JamiiForums
- Kwanini Zanzibar inakuwa mbele kutoa taarifa za Corona kuliko Tanzania bara? - JamiiForums
- Funzo muhimu na faida toka darasa la corona virus - JamiiForums
- Exposed: Jitihada zinazofanyika dhidi ya Corona ndo zinakuja kuwa tishio kwa Afrika! - JamiiForums
- Waafrika Kusini mwa jangwa la sahara hatuko na kinga dhidi ya COVID 19 - JamiiForums
- https://www.jamiiforums.com/threads/covid-19-ni-ugonjwa-uliopangwa-na-mungu-au-shetani.1707830/
- Rais Magufuli, waombe madaktari wabobezi na waganga maarufu wakutane wajadili jinsi ya kutengeneza chanjo ya COVID-19 - JamiiForums
- RC Makonda: Baada ya kumuumbua Mbowe nimewaokoa wananchi wa Dar es Salaam - JamiiForums
- Kamati 3 za korona nyote msitazame majukumu yaleyale - JamiiForums
- SERIKALI IWAFATILIE SANA FAMILIA YA MBOWE NA CHAMA CHAKE CHA CHADEMA KUNA UHAINI KUPITIA CORONA. - JamiiForums
- The Law of Natural Selection by Darwinism ndicho kinachofanyika sasa hivi juu ya CORONA. Watu wa Lockdown wanajisumbua - JamiiForums
- Corona inatuchana makavu live: Vipi wanasiasa na matajiri wako tayari kuuopkea huu ukweli mchungu? - JamiiForums
- Corona si tishio kwa Afrika - JamiiForums
- CoronaVirus: Fahamu kuhusu Virusi hivi na athari zake kwa Mama Mjamzito na katika Kumnyonyesha mtoto - JamiiForums
- Baada ya Corona, dunia ijiandae na janga la njaa - JamiiForums
- Kuhusu hili janga la corona, humu mtaani yawezekana wengi wameupata bila kujijua na maambukizi yanaendelea! - JamiiForums
- Je, lsabela ni nani? Tunaruhusiwa sasa kumuhoji? - JamiiForums
- Mapambano dhidi ya Covid-19 Tanzania na kwingineko Afrika: Watafiti na wanasayansi wetu mko wapi na munasemaje? - JamiiForums
- TAHADHARI: Wagonjwa wa Kisukari, Moyo, Shinikizo la Damu na Saratani wako hatarini zaidi wakiambukizwa #COVID19 - JamiiForums
- Nchi zenye wakimbizi wengi hatarini kupata maambukizi makubwa ya Corona, Tanzania yatajwa - JamiiForums
- Naomba Serikali kwenye suala la Corona sisi wazee tupewe kipaumbele cha kupata vifaa vya kujikinga na Corona - JamiiForums
- Lockdown za Afrika ni ubabe na kutandikana viboko - JamiiForums
- The Aftermath of corona For Africa - JamiiForums
- Shirika la afya Duniani lasena chanjo ya Corona itapatikana baada ya mwaka 1 au mwaka 1.6 - JamiiForums
- US ana COVID19 cases nyingi sababu anafanya massive-testing (more people have been tested) - JamiiForums
- Man, 24, could face 15 years in prison for 'infecting' 11 people with coronavirus at a party - JamiiForums
- China ni nchi wabinafsi sana; Rejea suala la kutofunga mipaka yao baada ya mlipuko wa Corona - JamiiForums
- Corona na kizungumkuti katika uhabarishaji umma - JamiiForums
- Coronavirus survivor says Chloroquine saved his life - JamiiForums
- Bongo milionea ni majanga - JamiiForums
- Vita dhidi ya Corona: Wanaoadhirika au kuumia zaidi ni masikini ilihali ugonjwa wenyewe unawaumiza zaidi matajiri - JamiiForums
- Africa Is Two to Three Weeks Away From Height of Virus Storm! - JamiiForums
- Janga la Korona, ni mapambano dhidi ya Ugonjwa tu au kuna ajenda nyuma ya pazia!? - JamiiForums
- Ushauri:Serikali itoe chchote kwa atakaejitangaza hadharani kuwa ni mgonjwa wa corona baada ya mtu huyo kupimwa na kuthibitika - JamiiForums
- Kuhusu kupambana na coronavirus, naishauri serikali - JamiiForums
- Can COVID-19 be mistaken with flu ? By Leda Lanich - JamiiForums
- Tujielimishe kidogo: Upimaji wa Corona Virus kupitia kwenye "damu"... - JamiiForums
- Hatari ya ugonjwa wa COVID-19 - JamiiForums
- Fahamu namna ya kuiandaa familia yako katika kukabiliana na CoronaVirus - JamiiForums
- Huku kujitenga kuepusha maambukizi ya corona ni Mungu tu atusaidie - JamiiForums
- Coronavirus - Namna bora ya kutambua uzito wa tatizo - JamiiForums
- Maoni ya baadhi ya watu juu ya njia ya kupambana na #corona kwa nchi za Afrika - JamiiForums
- Kuna haja ya kununua chakula kingi kujiandaa na marufuku ya kutotoka nje? - JamiiForums
- Vifo Vinavyotokana na Magonjwa ya Mafua vs Ugonjwa wa Korona Ulaya & Marekani - JamiiForums
- Waafrika hawaambukizwi na wala hawafi sana kwa COVID-19 kama Wachina, Wairan, Wamarekani na Wazungu, nini siri? - JamiiForums
- Corona ni nani? - JamiiForums
- Hii ni kweli kuhusu Covid-19? - JamiiForums
- Endapo majina ya walioambukizwa Corona yatatangazwa hadharani patakuwa na ubaya gani? - JamiiForums
- China owes the World an explanation: How comes they have the best COVID-19 recovery rate - JamiiForums
- KANUSHO: Taarifa za kuwataka watu wasile bidhaa za Bakery ili kujilinda na maambukizi ya #COVID19 zakanushwa - JamiiForums
- Je, inawezekana chanjo ya Virusi vya Corona kupatikana kwa usawa? - JamiiForums
- Kwa upande chanya, Corona inaweza kutumbusha juu ya masuala haya muhimu... - JamiiForums
- Sehemu hizi zinaweza kuwa ni chanzo cha maambukizi ya Corona - JamiiForums
- Coronavirus: Namna ya kusafisha vitu na kuvipulizia dawa ya kuua vijidudu - JamiiForums
- Nadharia ya COVID19 - JamiiForums
- Tusiichukulie poa Corona hata Italy walianza na Case chache kama sisi!!!! - JamiiForums
- Africa Is Two to Three Weeks Away From Height of Virus Storm! - JamiiForums
- Viongozi wanafiki, wakatili na wauaji wanaojipa matumaini giza juu ya misongomano ya dini kipindi hiki cha ugonjwa wa Corona - JamiiForums
- Ni muda wa kuheshimu tafiti kuhusu Corona - JamiiForums
- Binadamu anaweza kupata CoronaViris kutoka kwa Wanyama? - JamiiForums
- Corona isifanye kila mtu akawa mtaalamu - JamiiForums
- Maombi ya talaka China yameongezeka kwa kiwango kikubwa wakati wa lockdown! - JamiiForums
- Hivi ndivyo jinsi majirani zetu wanavyotuongelea kuhusu Corona - JamiiForums
- CORONA ni adui tusiruhusu watu wachache kutuamlia namna ya kumkabili - JamiiForums
- Corona virus na matatizo ya kiafya - JamiiForums
- Je, miundombinu na wahudumu wetu wa afya wameandaliwa kupambana na Corona? - JamiiForums
- Gwajima sio wa kupuuzwa, ushauri wake kuhusu Corona umenitetemesha leo - JamiiForums
- Kufuatia kusambaa kwa Corona (covid-19); Nakusudia kumshitaki Waziri wa Afya, Miundombinu na Mwanasheria Mkuu wa Serikali - JamiiForums
- Ujio wa Corona umedhihirisha ubora wa maono ya Rais Magufuli.! - JamiiForums
- Kwa yanayoendelea kwenye corona nahisi mwisho wa dunia umefika tujiandae kwa lolote - JamiiForums
- Mtoto wa wiki sita afariki kwa Corona - JamiiForums
- Baada ya Corona kuisha sheria ndogo zipitishwe kwenye Halmashauri, maeneo yote ya biashara yawekewe vitakasa mikono - JamiiForums
- Mapambano dhidi ya corona si ya copy & paste: kisayansi bado mengi hayajajulikana 100% kuhusu gonjwa hili - JamiiForums
- Madokezo ya namna ya kufanya manunuzi kwa usalama kipindi hiki cha mlipuko wa CoronaVirus - JamiiForums
- Mtanzania afukuzwa China kwa kushindwa kuheshimu taratibu za kujinga na ugonjwa wa covid-19 - JamiiForums
- Uandishi wa filamu COVID-19 'Owning the Nerative' - JamiiForums
- Socialist Countries Zina Nafasi Kubwa Ya Kuishinda Vita ya CORONA Kuliko Democratic Countries - JamiiForums
- Fahamu ni kwa namna gani unaweza kuongea na Watoto kuhusu mlipiko wa CoronaVirus - JamiiForums
- Njia za kupambana na COVID-19 zinachochea ongezeko la watu Duniani - JamiiForums
- Jinsi sabuni inavyoangamiza kirusi cha Corona na kukisambaratisha kabisa - JamiiForums
- Mambo ya kupuuzwa kuhusiana na ugonjwa wa Corona (COVID-19) - JamiiForums
- Chanjo ya Corona kufanyikia majaribio Afrika - JamiiForums
- Hivi "COVID-19", ni neno la kingereza au ni lugha ya kitaalamu? - JamiiForums
- Ushauri mpya kuhusu uvaaji wa Barakoa (Masks) kujikinga na maambukizi ya Covid-19: Tujielimishe ili tuamue vema - JamiiForums
- Nauliza hiv COVID- 19 imetufunza kitu gani sisi kama nchi au watu binafsi? - JamiiForums
- Hii ndiyo sababu inayoweza kupelekea watu wengi kufa kwa COVID-19 katika nchi za Afrika - JamiiForums
- Naomba Radhi kama nitakuwa nimekosea, ila kwa Dharau hizi za Wazungu naomba COVID-19 izidi Kuwaua 24/7 - JamiiForums
- Jilinde wewe na Jamii yako kwa kusambaza taarifa za Uzushi kuhusu #COVID19 - JamiiForums
- Je, ni kweli kunywa maji kwa wingi kunazuia kupata maambukizi ya COVID19? - JamiiForums
- Namna pekee ya kuzuia Corona virus kusambaa - JamiiForums
- Je, ninaweza kupata tena COVID19 baada ya kuugua na kupona? - JamiiForums
- Tuwalinde Walemavu dhidi ya #COVID19 kwa kuweka mazingira rafiki ya Vitakasa Mikono - JamiiForums
- Watu 11 wadakwa mpakani wakikwepa karantini - JamiiForums
- Morogoro: Mbaroni kwa kufungua akaunti ya Corona Facebook na kupotosha Umma - JamiiForums
- CORONA EFFECTS: Video ikionesha wanyama pori wakitapakaa sehemu mbalimbali za miji duniani kutokana na lockdown - JamiiForums
- China imeishinda Corona - JamiiForums
- Agenda 21 na covid-19 siri kubwa - JamiiForums
- 89% ya waliofariki na Corona wametoka bara la Ulaya, Marekani, China na Iran, huku 0.5% vikitoka Afrika na 0.2% weusi tii! Then why lockdown in Africa - JamiiForums
- COVID 19: Serikali ipige Marufuku bar, lounge na night clubs - JamiiForums
- Janga la Corona: Tanzania tunalindwa na Mungu, hamasa ya kujikinga na maambukizi iko mitandaoni - JamiiForums
- Waafrika tusheherekee misaada ya Jack Ma inaendelea kuja, sasa anatuma ventilators na vifaa vya kupima Corona - JamiiForums
- Walinde watu wenye ulemavu kwa kuelewa mambo haya - JamiiForums
- Mkuu wa Chuo cha Harvard akamatwa na wengine 60 kwa tuhuma za kuzalisha coronavirus na kuwauzia China - JamiiForums
- New York, Marekani: Chui wa miaka minne apata maambukizi ya Corona - JamiiForums
- Kenyatta amechanganyikiwa, Magufuli ame-relax - JamiiForums
- Nadharia njama (consparicies theories) zinazozunguka COVID-19 ni jambo linaloelezeka kwa sayansi ya Saikolojia - JamiiForums
- Athari mbaya za Karantini na kujitenga kwa afya ya akili na moyo - JamiiForums
- Ukweli kuhusu coronavirus kuua zaidi Ulaya na Marekani - JamiiForums
- WhatsApp imeanza kulimit messsage fowarding ili kupunguza kusambaa kwa taarifa zisizo sahihi juu Coronavirus - JamiiForums
- WHO slams scientists for Africa vaccine testing notion - JamiiForums
- Wamarekani weusi waathirika zaidi na virusi vya Covid19 tofauti na wenye rangi nyeupe - JamiiForums
- Bill Gates Highlited on why Africans should agree on COVID-19 Vaccine to be tested on them - JamiiForums
- Bill Gates has reacted very angrily against Africans who do not want the contravesial COVID-19 vaccine to be tested in Africa. - JamiiForums
- Africa is test lab? yes! Test lab..mana ndio kitu pekee tunaweza saidia - JamiiForums
- Why does the COVID-19 virus spreading? - JamiiForums
- Msichukulie poa nyumbani Tanzania, Corona inaua!!! - JamiiForums
- Je, COVID19 ni maandalizi ya silaha za kibaolojia? Kama sivyo, je haziwezi kuja kutumika kama silaha ya maangamizi? - JamiiForums
- Wavutaji wa Sigara na Tumbaku wako hatarini zaidi endapo wataambukizwa #CoronaVirus - JamiiForums
- Conspiracy Theory (Nadharia Njama) ya 5G na chanzo cha Covid-19: Tujadili ukweli - JamiiForums
- Baadhi ya nadharia za corona na uchambuzi wake - JamiiForums
- Africans have been Discriminated by Chinese because of Covid-19 - JamiiForums
- Kishimba amwomba waziri wa afya Gongo kuwa mbadala wa Sanitizer - JamiiForums
- Picha: Hatimaye nimesoma kitabu kilichotabiri Corona - JamiiForums
- CoronaVirus: Namna ya kula vyakula vyenye virutubisho kipindi cha kukaa ndani - JamiiForums
- Corona mtaji wa maendeleo Afrika - JamiiForums
- USA, UK na China waanza kutumia damu ya waliopona Corona, na hakika imeleta matumaini - JamiiForums
- Global leaders issue g20 call to action urging immediate pledging conference and task force to co-ordinate world response to covid-19 - JamiiForums
- Barrick joins fight against Covid-19 in Tanzania - JamiiForums
- COVID-19 :See The Reasons why China wants to Help African Countries . - JamiiForums
- Report :Wohan funeral homes burned Corona Virus Victims Alive....😳 - JamiiForums
- Rostam kutoa Bilioni 1 kwa ajili ya vitakasa mikono - JamiiForums
- Kwa hili Waafrika ni wazembe na wachanga kiakili - JamiiForums
- WHO yajibu tuhuma za Rais Donald Trump, yasema huu sio muda wa kuacha kutoa fedha, yakanusha kuipendelea China - JamiiForums
- Nchi wanachama wa G20 kufanya mkutano kuijadili Corona - JamiiForums
- Upo ugonjwa wa corona lakini upo pia ubinafsi wa Donald Trump na serikali yake - JamiiForums
- Ushahidi wa wazi, Virusi vya Korona vilitengenezwa na wachina, China ina deni kubwa kwa dunia!! - JamiiForums
- CHINA: Tumebuni mfumo wa kupata vipimo vya CORONA ndani ya dakika 15 - JamiiForums
- Corona sasa imefikia kilele, haya yanaweza kutokea - JamiiForums
- Namna gani unaweza kukabiliana na mawazo kipindi hiki cha CoronaVirus - JamiiForums
- China: Wizara ya Mambo ya Nje yajibu tuhuma za ubaguzi dhidi ya Waaafrika, yasema China na Afrika ni wamoja - JamiiForums
- Maajabu Africa nzima yapo Tanzania tu - JamiiForums
- 6 new coronaviruses discovered in bats - JamiiForums
- Recovered coronavirus patients test positive again in blow to immunity hopes - JamiiForums
- Aliyesema kaugonjwa kenyewe ni kadogo kuliko Mafua; Alifanya makosa makubwa kuipotosha Jamii - JamiiForums
- WHO: Kirusi cha CORONA kinakaa hewanikwa saa nane bila kufa, tunatakiwa kuvaa "MASK" muda wote - JamiiForums
- Tusipokuwa Makini kwa Corona Kipindi Tusije kulaumiana - JamiiForums
- Serikali iingilie Kati wanaozusha taharuki kwenye Jamii - JamiiForums
- TANZIA: Mwandishi Lutengano Haonga wa TBC afariki dunia - JamiiForums
- https://www.jamiiforums.com/threads...pita-lakini-tuchukue-hatua-madhubuti.1713467/
- OPERATION COVID-19: Much more than a militarized and artificial Intelligence driven World Takeover Scheme - JamiiForums
- #CORONAVIRUS: Wahudumu wa sekta ya afya wapo hatarini zaidi - JamiiForums
- Mchuma Janga hula na Wakwao - The Case of Corona and Social Distancing - JamiiForums
- Utafiti: Yawezekana maambukizi ya corona ni mengi kuliko inavyoripotiwa duniani kote - JamiiForums
- CHINA: Tumemkamata aliyezusha kuwa China inawabagua Waafrika - JamiiForums
- Lindeni wazazi wenu na wagojwa, msisubiri Serikali - JamiiForums
- WHO Director: We want to see things turns to normal and Government must stop anxious restrictions - JamiiForums
- Mashambulizi ya Corona yataleta mabadiliko mengi katika maisha ya kila siku - JamiiForums
- Kwenu: Ummy, Taskforces, mabibi na mabwana katika mapambano ya dhati dhidi ya Corona - JamiiForums
- Inasikitisha sana wazungu wanaposhangaa na kuhuzunika hadi sasa Corona haijaua kwa wingi Waafrika kama Italy na New York - JamiiForums
- Sala ya siku 3, je kama nchi tuna nini? Tunaomba huku hakuna juhudi za kupambana na corona? Wenzetu wanasali au wanawekeza kwenye afya? - JamiiForums
DINI/IMANI
- Corona imekuja kuumbua uongo wa dini - JamiiForums
- https://www.jamiiforums.com/threads...wa-na-mungu-au-shetani.1707830/#post-34799395
- https://www.jamiiforums.com/threads...ngu-tazama-athari-za-corona-covid-19.1707519/
- https://www.jamiiforums.com/threads/kwa-wale-wasoma-bible.1707729/#post-34799060
- https://www.jamiiforums.com/threads/je-ndio-mwisho-wa-dunia-uliotabiriwa.1707566/
- https://www.jamiiforums.com/threads/hakika-hizi-ni-siku-za-mwisho-asomae-na-afahamu.1707935/
- https://www.jamiiforums.com/threads/fumbo-la-coronavirus-na-uovu-wa-ulimwengu.1707739/
- https://www.jamiiforums.com/threads...usiana-vipi-na-uislamu.1705176/#post-34758787
- https://www.jamiiforums.com/threads...hi-ya-virusi-vya-korona-19-mavico-19.1708407/
- https://www.jamiiforums.com/threads/corona-ni-ugonjwa-wa-mungu.1708338/
- Corona: Msikiti Ngazija uliopo posta jijini Dar es Salaam wafungwa kwa siku 21 kuepusha misongamano ya waumini - JamiiForums
- Kanisa- Hakutakuwa na Njia ya Msalaba Ijumaa Kuu - JamiiForums
- Weekend hii nimejifunza tafakari hizi SABA kuhusu mitazamo ya kiroho na kikaisali kuhusu CORONA - JamiiForums
- Corona isiondoe imani yetu kwa Mungu mponyaji, Tanzania yangu endelea kumtazama Mungu - JamiiForums
- Corona: TEC yabadili utaratibu Alhamisi ya amri hakuna kuoshana miguu na Ijumaa kuu hakutakuwa na kuushika na kuubusu msalaba! - JamiiForums
- Wasabato acheni kuwajaza ujinga waumini wenu kipindi hiki cha COVID-19 - JamiiForums
- Ibada kuendeshwa katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Corona, je Misikiti na Makanisa yanajali afya za waumini wao?? - JamiiForums
- Mafunzo ya Mtume Mohammed kukusu COVID -19 - JamiiForums
- Wanaendelea kwenda kwenye nyumba za ibada huku kukiwa na tishio la corona,wana tofauti na waliokuwa wafuasi wa Kibwetere? - JamiiForums
- Kanisa latoa hatua za kukabiliana na COVID-19, hawatasubiria Serikali - JamiiForums
- Afrika haitakuwa kwenye hali mbaya dhidi ya Covid-19 - JamiiForums
- Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!. - JamiiForums
- Social Distancing: Je, Makanisa yanatekeleza au siasa inatumika? - JamiiForums
- Sheikh Alhad Salum: Misikiti isiyoweka vitakasa mikono, maji tiririka na sabuni kufungwa, atangaza kufunga ofisi ya Sheikh wa mkoa kwa siku 30 - JamiiForums
- Je, Magufuli ni sawa na Musa wa Israe kutuvusha na janga la Corona? - JamiiForums
- Kwanini Afrika haitadhurika sana na Corona - JamiiForums
- https://www.jamiiforums.com/threads...hole-world-necessitate-the-lock-down.1713563/
- Mungu ni Omnipresent. Kufuatia Local Transmission ya Corona. Je, Sasa Tushinikize Watu Wasalie Majumbani Mwao, ila Sadaka Ndio Itumwe Kwa M-Pesa? - JamiiForums
- Ibada za za mwezi mtukufu wa Ramadhani zazuiliwa katika msikiti wa Jerusalemu (Al-Aqsa) kutokana na mlipuko wa Covid-19 - JamiiForums
- Mapambano ya korona: TEC yatangaza kusitisha matumizi ya kwaya kanisani - JamiiForums
- Viongozi wa dini kemeeni hewa isitumike kama chombo cha kusafirishia corona Yesu alikemea upepo - JamiiForums
TANZANIA
1 - Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona
2 - Serikali yatenga maeneo maalumu kwa watu watakaogundulika kuwa na Virusi vya Corona Tanzania
3 - Vita dhidi ya Corona: Mikusanyiko ya watu isiyo lazima isitishwe, misongamano idhibitiwe ili kuepusha madhara makubwa
4 - Hivi ni kweli COVID-19 haijaingia bongo au ndio tunafichaficha kama ilivyo desturi yetu?
5 - Corona: Japo ni janga, pia ni fursa. Tanzania bado hakuna maambukizi, tupunguze panic, tuongeze Elimu. WB kumwaga mihela, tuchangamkie fursa
6 - Hofu ya Corona; Rais Magufuli asitisha mbio za Mwenge 2020. Fedha kupelekwa ktk maandalizi ya kupambana na Corona - JamiiForums
7 - Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji
8 - Serikali: Idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Tanzania imeongezeka na kufikia Sita(6)
9 - Corona: Meneja wa Diamond na Mwana FA watangaza kuugua Corona baada ya kupimwa - JamiiForums
10 - Q Chillah : Mwana FA acha utoto
11 - Coronavirus, Tanzania: Shule zote kuanzia za Awali, Msingi na Sekondari zafungwa. Mikusanyiko ikiwemo ya Kisiasa yasitishwa
12 - Serikali yasitisha masomo kwa vyuo vya kati na vyuo vikuu kuanzia tarehe 18/03/2020 ili kupambana na Corona
13 - Mzee Mgaya: Ni dhambi serikali kuendelea kuwalipa posho Wabunge waliopo Dodoma sasa wakati wananchi hawawezi kununua Vitakasa mikono
14 - Wananchi wakwama kutoka Nyamisati kuelekea Mafia kwa siku 3. Fedha zawaishia na sasa wanahofia kuambukizana Corona
15 - RC Paul Makonda: Mbowe ameahirisha mikutano ya CHADEMA baada ya mwanaye kuambukizwa Corona - JamiiForums
16 - Baba Askofu Munga: Akili na hekima. Corona sio sawa na Wapinzani
17 - Askofu Niwemugizi asikitishwa na Kauli ya Humphrey Polepole kuwafananisha Wapinzani na Corona
18 - Rais Magufuli: Watu tusitishane, Mpaka sasa Corona haijaua mtu Tanzania
19 - Corona Virus: Rais Magufuli ahutubia Taifa - Machi 22, 2020 - Wagonjwa Tanzania wafikia 12
20 - Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga
21 - Zitto: Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona
22 - OMBI: Serikali idhibiti bei kwenye vifaa vya kujikinga na kupambana dhidi ya Virusi vya Corona
23 - Waziri Mkuu aainisha utoaji taarifa rasmi za coronavirus
24 - Utafiti mpya wa kisayansi wa Covid19 – Msaada mkubwa wa kujikinga na kuzuia maambukizi kwa wengine
25 - CORONA: Maaskofu 13 wa KKKT watoa waraka. Wasisitiza ELIMU zaidi kwa umma ili kupanua ufahamu wa raia kuhusu maradhi haya
26 - TBC ipeni kipaumbele Corona, nyie muda mwingi ni kampeni - Tumeahidi tumetekeleza
27 - Coronavirus: Vyombo vya kusafirisha abiria vyatakiwa kuwa na sanitizer kwa ajili ya abiria. Daladala zatakiwa kupigwa dawa kila mwisho wa safari
28 - Corona: Nilichokiona jana pale FQ Hotel, tutakwisha kwa udhaifu wa kushughulia waliowekwa Karantini
29 - RC Makonda, Dar ni jiji la wote, vyama vyote. Mbowe sio mwanasiasa uchwara aliyefilisika, Zitto sio mshirikina. Tunakupenda, heshimu wote uheshimiwe
30 - Nimegundua udhaifu mkubwa sana wa Serikali ya Tanzania katika kukabili suala la COVID-19
31 - Corona imekuwa mradi wa Serikali au Mradi wa watu? Wanaowekwa karantini walalamikia bei kubwa ya hoteli wanazopelekwa
32 - Covid-19 lockdown: SMZ Mahakama Kuu Yasitisha Shughuli za Kimahakama
33 - Wazanzibari wahakikishiwa uwepo wa akiba ya kutosha ya chakula, Waziri Hamad aitaka BOT na WB kusaidia uchumi
34 - Rais Magufuli amedhihirisha tena kuwa hawezi kuongoza nchi wakati wa majanga, nachelea kusema hawezi kuongoza nchi wakati wa vita
35 - Corona ni uzembe wetu isingetufikia, na itatumaliza tusipoamka sasa - ukweli mchungu
36 - Waziri wa Afya: Ni marufuku kabisa kutaja majina ya wagonjwa wa Corona, Mwana FA, Sallam na Isabela walijitangaza wenyewe siyo Serikali - JamiiForums
37 - CORONAVIRUS: Naongeza miluzi ya tahadhari lockdown iharakishwe
38 - COVID-19 : Naibu Waziri wa Afya aipongeza JamiiForums kwa elimu iliyotukuka - JamiiForums
39 - Ushauri kwa serikali: Jumapili kama hii maeneo yenye msongamano wa watu kama kariakoo na kwingine nchini pangefungwa ili kupuliza dawa
40 - Familia ya Freeman Aikaeli Mbowe yathibitisha mwanafamilia kuwa na Corona
41 - Corona: Zanzibar yaonyesha ukomavu waweka itikadi pembeni Waziri wa afya kutoka chama cha upinzani aongoza mapambano!
42 - Freeman Mbowe ajitenga rasmi na familia akisubiri majibu ya Corona
43 - Rais Magufuli: Uchaguzi utafanyika, wapo wanaofikiri kwamba tutaahirisha. Nani anataka kukaa kwenye maofisi haya muda wote huo?
44 - Kutokuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na zinazochukuliwa na Serikali kuhusiana na Corona
45 - Hii ni aibu kubwa: Ndege tumenunua kwa keshi, vifaa vya kupambana na corona tumesubiri msaada wa Jack Ma
46 - DC Muro: Tumepata hoteli za kuwaweka karantini watakaobainika na ugonjwa wa Corona
47 - Waziri Ummy: Tanzania ina wagonjwa 13 wa Corona, 12 walitoka nao nje ya nchi na 1 kaupatia nchini
48 - Kote tumesikia lakini huku Tanzania mbona hatujasikia? - JamiiForums
49 - Wachungaji 2 mbaroni kwa kudai wanatibu Corona - JamiiForums
50 - Kuhusu Suala la Corona, Rais yupo sahihi sana - JamiiForums
51 - Tarime: Mbunge aamua kupambana na Corona kwa vitendo, asambaza Sanitizer na vifaa vya kunawia Jimbo zima - JamiiForums
52 - Hili la Corona Tanzania lina sura tata - JamiiForums
53 - Rais Magufuli ameendelea kuwapiga watu chenga ya mwili - JamiiForums
54 - Rais Magufuli yuko sahihi, tusitishwe na ugonjwa wa Corona - JamiiForums
55 - NIMR kimya juu ya COVID-19 - JamiiForums
56 - COVID 19 PANDEMIC: Tanzania imejiaandaaje? - JamiiForums
57 - Jeshi la Polisi Dar es Salaam linawashikilia mume na mkewe kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo kuhusu ugonjwa wa COVID 19 (CORONA) - JamiiForums
58 - Janga la korona ni vita kamili bajeti ya 202/2021 iangalie uwezekano wa stimulus package - JamiiForums
59 - Janga la COVID-19: Naipongeza Serikali kwa kukataa kuiga baadhi ya mbinu za ’Nchi za Magharibi’ - JamiiForums
60 - Covid-19: ugonjwa wa Corona ushauri wa bure kwako rais Magufuli - JamiiForums
61 - Corona: Idadi ya wagonjwa wa Corona yaongezeka Zanzibar sasa yafikia Watatu - JamiiForums
62 - Kwa hili la Corona, Magufuli anaenda kuonekana shujaa - JamiiForums
63 - Zitto awasilisha mapendekezo kuhusu namna bora ya kukabiliana na virusi vya Corona - JamiiForums
64 - Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out! - JamiiForums
65 - Serikali: Wagonjwa watano wathibitika kuwa na Virusi vya Corona na kupelekea kuwa na idadi ya wagonjwa 19 - JamiiForums
66 - Zitto: Transparency on data regarding current infections, new infections, critical patients and deaths is very important in dealing with the Corona - JamiiForums
67 - Wanafunzi wanaoonekana kwenye mabasi ya abiria wakamatwe wote kuepuka kuambukizwa wakati hawana shughuli mjini - JamiiForums
68 - Tanzania haijachelewa kufunga mipaka - JamiiForums
69 - Watanzania hatuwezi kuiga lockdown kama nchi za Ulaya - JamiiForums
70 - Maoni yangu kuhusu Serikali kukataza watu kutoka kwenye nyumba zao kupambana na Covid-19 - JamiiForums
71 - Serikali itumie njia hii kujikinga na Corona bila janga la njaa - JamiiForums
72 - Usafiri wa umma watakiwa kubeba abiria kwa idadi ya viti 'Level Seat' ili kupambana na mlipuko wa Virusi Corona - JamiiForums
73 - Spika Ndugai: Hali ya watanzania ni ngumu, ni maskini sana wanaishi kwa kubangaiza, tukifunga nchi hawataweza kula - JamiiForums
74 - Ushauri wangu kwa Serikali kuhusu CORONA - JamiiForums
75 - Ni kweli CORONA ni hatari tena hatari sana tuunganeni na Amiri jeshi mkuu wetu kwenye hii Vita kila mmoja wetu awe chachu ya Mabadiliko be the change - JamiiForums
76 - Kwa hatua hii ya BOT, naamini Sasa Magufuli naye Ameelewa COVID-19 is serious, tujiandae kwa Curfew/lockdown - JamiiForums
77 - Utabiri: Tanzania kwenda total lockdown mwezi April - JamiiForums
78 - Utabiri: Tanzania kwenda total lockdown mwezi April - JamiiForums
79 - Serikali ya Rais John Magufuli yathibitisha umahiri wake katika kupambana na corona na kuwalinda wananchi wake - JamiiForums
80 - Covid-19 ikifikia hatua ya nchi kuingia kwenye lockdown, haya ndio mapendekezo yangu - JamiiForums
81 - Ushauri: nini cha kufanya ndani ya siku 7 zijazo - JamiiForums
82 - Waziri Mkuu Majaliwa atembelea vituo vya kuhudumia wagonjwa wa corona ikiwemo Kibaha - JamiiForums
83 - COVID 19: Tanzania tuna mashine ngapi za kupumulia? Tumejipanga vipi? - JamiiForums
84 - Serikali iamue moja kuhusu kupambana na Corona - JamiiForums
85 - Corona Virus: Tanzania yafikisha wagonjwa 20 (Aprili 01, 2020) - JamiiForums
86 - CUF yasikitika Taarifa ya kisa cha kwanza cha mtu aliyefariki na Ugonjwa wa CORONA Tanzania - JamiiForums
87 - Mbeya waonywa kugeuza pombe dawa ya Corona - JamiiForums
88 - Serikali na Wizara ya Afya muwe makini na hizi quarantine mlizotenga kwa ajiri ya wagonjwa wa Corona - JamiiForums
89 - Kama hali ya corona Africa ni hii na Tanzania tuna wagonjwa 20 basi ni kweli tinaishi Eden - JamiiForums
90 - Corona na yaliyojificha nyuma ya pazia - JamiiForums
91- Ugonjwa wa Covid-19, Rais arekebishe kauli - JamiiForums
92 - RC Mwanri asimamisha likizo watumishi wapambane na Corona - JamiiForums
93 - Serikali isikubali kutangaza “total lockdown” au Karantine. Wanaoishawishi ama hawajui wanachokishauri au ni wabinafsi - JamiiForums
94 - CoronaVirus: Uhamiaji Tanzania yawaongezea Wageni muda wa kukaa nchini baada ya kushindwa kusafiri - JamiiForums
95 - Serikali itoe ruzuku kwa watu kukaa karantini - JamiiForums
96 - Serikali huenda IKAZUIA Shamrashamra za Pasaka, maadhimisho ya Muungano na sherehe za Mei Mosi mwaka huu 2020 - JamiiForums
97 - Update ya Corona April 2: wizara yatoa taarifa zaidi ya watu 500 wanafatiliwa wanaohisiwa kuwa na karibu na wagonjwa - JamiiForums
98 - Kwanza ndio kipindi cha kwanza dakika10 mechi ya COVID-19 vs Tanzania - JamiiForums
99 - Aliyetoroka karantini akamatwa Iringa - JamiiForums
100 - Vita dhidi ya Corona:Serikali ipeleke msuwaada Bungeni kwa hati ya dharura utakaotaka kila sehemu watu wanakoingia kupata huduma kuwe na sanitizer - JamiiForums
101 - Dodoma: Mkuu wa Wilaya, Patrobas Katambi ampa Masanja saa 24 kujisalimisha baada ya kuwahoji wananchi wa Dodoma kuhusu virusi vya Corona - JamiiForums
102 - Kuna uwezekano mkubwa wa LOCK DOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa - JamiiForums
103 - Mfumo wa Elimu Tanzania utakuwaje Juu ya janga hili la Corona au Covid-19 - JamiiForums
104 - Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar balozi Idd Seif yuko kwenye karantini ya Corona - JamiiForums
105 - Baadhi ya Wabunge wa Bunge la Tanzania lapendekeza makato ya mishahara kupambana na corona virus - JamiiForums
106 - Ushauri kwa serikali kuhusu COVID-19: "Fatality Rate" ndiyo kiwe kipimo cha athari zitarajiwazo za janga hili - JamiiForums
107 - Maboresho kutoka wizara ya afya juu ya kujikinga na corona - JamiiForums
108 - Nashauri Paul Makonda awekwe karantini! - JamiiForums
109 - Wananchi wazalendo wamcharukia January Makamba kuuliza swali hili Waziri kuhusu Corona - JamiiForums
110 - Tanzania’s mild response to COVID-19 and its implications for the 2020 elections - JamiiForums
111- Ipo haja ya kuangalia educational background ya wanaotoa maoni juu ya COVID 19 Tanzania - JamiiForums
112 - Zanzibar yatangaza maambukizi mawili huku wote wakitokea Tanga na kuingia Zanzibar - JamiiForums
113 - Hosteli za Magufuli kutumika kama karantini za kuweka wageni kutoka nchi zilizoathiriwa na Corona - JamiiForums
114 - SMZ yaridhia Taasisi zake kutoa likizo za lazima ili kupunguza misongaman. RC Makonda apiga marufuku wazururaji Dar es Salaam - JamiiForums
115 - Ukosefu wa vifaa vya kupima ugonjwa wa COVID-19 nchini ndio uhaba wa wagonjwa wapya Tanzania - JamiiForums
116 - Onyo kwa Tanzania juu ya mwenendo wa COVID-19 - JamiiForums
117 - Ummy Mwalimu na Faustine Ndugulile mmeamua kuua wananchi kwa kwa maamuzi ya kukurupuka? - JamiiForums
118 - Kilimanjaro: Mmoja ashikiliwa kwa tuhuma za kuchapisha na kusambaza taarifa za uongo kuhusu ugonjwa wa Corona - JamiiForums
119 - Abdul Kambaya: Mtazamo na ushauri binafsi kwa vyama vya siasa Tanzania kuhusu uchaguzi mkuu Oktoba na gonjwa la Corona/covid-19 nchini - JamiiForums
120 - Serikali yatangaza visa vipya vinne vya Corona nchini Aprili 6, 2020. Visa vyafika 24 - JamiiForums
121 - Abdallah Bulembo: Njia ya kukabiliana na Corona nchini ni Rais Magufuli kupita bila kupingwa 2020 - JamiiForums
122 - Mbunge amtaka Waziri Mkuu kumchukulia hatua Waziri aliyekataa kukaa Karantini pamoja na kuonesha viashiria vya Corona - JamiiForums
123 - RC Shigela: Wagonjwa wa Corona waliopatikana Zanzibar wakitokea Tanga huenda ugonjwa huo walipatia ndani ya boti au gatini Unguja - JamiiForums
124 - Serikali: Wakuu wa Mikoa na wilaya waache kutoa matamko kuhusu Corona - JamiiForums
125 - Coronavirus: Tanzania bila lockdown tutakufa tuishe - JamiiForums
126 - Mamlaka za Tanzania haziko makini kupambana na Corona, inakuwaje mgonjwa anatua JNIA anakwenda Mwanza na hakuwekwa karantini? - JamiiForums
127 - Coronavirus – Tanzania: 289 Beat COVID-19 Threat as Measures Pay Off - JamiiForums
128 - Wageni bado wanatimba tu nchini mwetu, ee Mungu tunusuru na Corona - JamiiForums
129 - Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Waziri Zanzibar aliyekataa kukaa karantini apelekwa kwa nguvu - JamiiForums
130 - Pendekezo: Watumishi wa umma tukatwe mishahara walau asilimia 2 pesa ikasaidie serikali kupambana na korona - JamiiForums
131 - Serikali ianze msako wa nyumba kwa nyumba wanaokimbia Corona Kenya - JamiiForums
132 - Mpaka wa Tanzania na Kenya sasa unahitaji umakini - JamiiForums
133 - Wadau Wamkabidhi Waziri Mkuu Sh. Bil 6.226 Kukabili Corona - JamiiForums
134 - Serikali yapokea msaada kukabiliana na Corona (COVID-19) - JamiiForums
135 - Wakenya 35 wakamatwa Tarime na kuwekwa chini ya Karantini - JamiiForums
136 - Waziri Ummy Mwalimu: Maambukizi COVID-19 ya ndani kwa ndani yameanza, Watanzania wajiandae kwa maambukizi ya Jumuiya - JamiiForums
137 - Kauli za sasa za Waziri wa Afya Ummy Mwalimu kuhusu CORONA zimeshaanza Kuzua ' taharuki ' nchini, hivyo ama adhibitiwe au ajiuzuru upesi - JamiiForums
138 - Serikali ifungue shule na vyuo hapa nchini, Corona si janga Tanzania - JamiiForums
139 - Mbinu ya kupunguza misongamano makanisani kipindi cha Pasaka na siku zijazo - salamu zangu za Pasaka - JamiiForums
140 - Corona: CHADEMA yaamua watendaji wake kufanyia kazi nyumbani isipokuwa wakuu wa idara, yasimamisha vikao visivyo na ulazima - JamiiForums
141 - Janga la corona: Serikali iseme mapema kama itafungua vyuo na mashule au itaongeza muda watu wajipange - JamiiForums
142 - Serikali yathibitisha uwepo wa wagonjwa wapya watano wa COVID-19 nchini. Jumla yafikia 32, watatu wafariki dunia - JamiiForums
143 - CHATO: Rais Magufuli asema Serikali haitafunga mipaka wala kuwazuia watu kutoka ndani ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona - JamiiForums
144 - Hivi kwanini taarifa ya Corona kwa Tanzania bara na Zanzibar isiwe moja tu? - JamiiForums
145 - Hili si shwari kabisa kwa Tanzania. Idadi ya wanaokufa ni kubwa ukilinganisha na uwiano wa wagonjwa - JamiiForums
146 - Mwanafunzi wa UDSM akamatwa kwa kusambaza taarifa na Takwimu za uongo za Covid-19 WhatsApp - JamiiForums
147 - Kipindi hiki cha janga la COVID19 waandishi wa habari Tanzania mmeonesha udhaifu mkubwa sana - JamiiForums
148 - Suala la kufunga shule/vyuo alafu ukaacha kuzuia mikusanyiko kwenye Bar, sokoni, ukaacha mipaka wazi, ukaacha shughuli nyingine kuendelea, Mimi sioni - JamiiForums
149 - Rais Magufuli, Hatari ya ugonjwa wa Corona ni kubwa na wala si ya kubeza. Hatutaki tuwe Milan au New York - JamiiForums
150 - Rais Magufuli, kuna hatari tukapata aibu ya kulazimishwa na Jumuia ya Kimataifa - JamiiForums
151 - Hizi ndio sababu za kutofunga mipaka na kuweka movement restrictions - JamiiForums
152 - Ni kwanini viongozi wa Tanzania wamegoma kukatwa mishahara yao ili zisaidie kupunguza kasi ya ugonjwa wa corona? - JamiiForums
153 - Mtazamo: Poor handling ya COVID-19 katika nchi fulani inaweza kuja kupelekea anguko kubwa la chama tawala katika Taifa hilo - JamiiForums
154 - Watanzania tuacheni ujuaji kipindi hiki cha Corona. - JamiiForums
155 - Rais Magufuli, pamoja na Corona unayo nafasi ya kuiunganisha nchi - JamiiForums
156 - Je, Chadema hawaelewi maana ya Lockdown? - JamiiForums
157 - Tanzanian university student arrested over spreading COVID-19 rumour - JamiiForums
158 - Anga la Tanzania lafungwa kwa safari zote za abiria za kimataifa - JamiiForums
159 - Freeman Mbowe(KUB): Wafe watu wangapi ndio muone kwamba ni janga? - JamiiForums
160 - January Makamba: Nimetumia janga la Ugonjwa COVID-19 kujifunza masuala kutoka kwenye maandiko ya kitaaluma - JamiiForums
161 - Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32 - JamiiForums
162 - Taarifa za Mawaziri wa Afya hazituoneshi mikakati zinatupa Datas tu - JamiiForums
163 - COVID-19 Imetukuta Watanzania kipindi kibaya sana. Pray for the nation - JamiiForums
164 - Coronavirus:Serikali wekeni lockdown kwenye majiji,watu wameanza kuhamia vijijini - JamiiForums
165 - Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19 - JamiiForums
AFRIKA MASHARIKI
- Kenya wagonjwa wa Coronavirus waongezeka na kufikia 15. Mipaka yafungwa
- Uganda yatangaza mgonjwa wa kwanza wa Corona
- Uganda confirms 8 more cases of Coronavirus, raising the total to nine (9)
- Museveni: Tumeamua kufunga mipaka yote kwa sasa baada ya mgonjwa wa kwanza wa corona kubainika
- President Museveni orders 30 days shutdown of churches/schools/etc of COVID-19
- Corona: Wakati Tanzania imetangazwa mabasi yapakie level seat huko Kenya matatu zaagizwa kupakia 60% ya uwezo wake
- President Museveni suspends use of public transport as coronavirus cases in Uganda rise to 14
- Vita dhidi ya Corona: Rwanda ni mfano wa kuigwa Afrika na wanaweza kusalimika iwapo gonjwa hili litakuwa tiishio na hapa Afrika
- CORONA VIRUS: Kenyatta ndio Rais pekee aliyejipanga kuwanusuru wananchi wake kiuchumi - JamiiForums
- Coronavirus: Mtoto wa miezi 10 miongoni mwa visa vipya vya virusi vya corona Rwanda
- Germany loses six million coronavirus face masks in Kenya ... Jamaneni!!!
- Kenya na Mlipuko wa Covid19: Nini faida na hasara za kujifunza kwa maamuzi ya haraka waliyochokua? - JamiiForums
- Mombasa: Wafungwa 180 watolewa gerezani ili kuondoa msongamano na kudhibiti maambukizi ya Corona - JamiiForums
- Wizara ya afya yazuia maduka ya dawa na Wakemia kuuza Chloroquine kwa watu wasio na kibali cha daktari - JamiiForums
- Coronavirus cases in Kenya rise to 31, Gov't monitoring 906 close contacts - - JamiiForums
- Hii njia ya Kenya, Uganda, Rwanda na mataifa mengine hasa ya Africa kupambana na Corona inachekesha - JamiiForums
- Uganda: Wawili wapigwa risasi kwa kukiuka amri ya Rais ya kutotumia usafiri wa umma - JamiiForums
- Kudhibiti Covid-19 hakuhitaji hatua za kukurupuka, taharuki wala kuiga: kilichotokea leo Kenya nilitahadharisha siku ya kwanza - JamiiForums
- Mapambano ya Corona Kenya na Uganda ni hatari sana kwa maambukizi ya Corona - JamiiForums
- Kinachoendelea Kenya ni uzalilishaji, ukatili na ujinga dhidi ya walipa kodi - JamiiForums
- Wagonjwa wa Corona nchini Rwanda wafikia 70 - JamiiForums
- Kenya: Idadi ya walioambukizwa Corona yafikia 50 - JamiiForums
- Rubani Mwandamizi wa Kenya Airways afariki kwa #COVID19 - JamiiForums
- Uganda yenye wagonjwa 33 yatangaza " lockdown" kwa siku 14, Kenya yenye wagonjwa 50 bado viongozi hawajui la kufanya - JamiiForums
- Coronavirus: Burundi yatangaza kuwa na wagonjwa wa corona kwa mara ya kwanza - JamiiForums
- The number of confirmed coronavirus cases in Kenya has risen by 22 bringing the total number in the country to 81. - JamiiForums
- RWANDA: Lockdown yashindwa kuzaa matunda, Kagame aamua kuongeza wiki mbele za watu kujifungia - JamiiForums
- Health CS Mutahi Kagwe announces 29 more cases of coronavirus in Kenya, total at 110 - JamiiForums
- Rwanda imezuia mishahara ya Mawaziri, Makatibu Wakuu, Viongozi wa Idara na viongozi wengine Serikalini, pesa zimeelekezwa kupambana na COVID-19 - JamiiForums
- Rais Kenyatta atangaza visa 16 vipya vya Corona, idadi sasa yafika 158 na vifo 6. Afunga Kaunti za Nairobi, Kilifi, Kwale na Mombasa - JamiiForums
- 10-Year Jail Sentence for Kilifi DG - Uhuru Recommends - JamiiForums
- Msafiri kutoka Tanzania apatikana na Corona Kenya. Idadi yafikia 172 - JamiiForums
- Kenya yaanza kutengeneza vifaa vya kupima Corona, vyenye uwezo wa kutoa matokeo ndani ya dk 15 - JamiiForums
- Kenya yaanza kupima wahudumu wote wa afya, nchi yote iwe daktari au muuguzi, na watapewa makazi mapya - JamiiForums
- Wakenya wanatumia njia za panya kuepuka "lockdown" - JamiiForums
- As a sign of giving up the fight, Kenyans should prepare themselves for the worst! - JamiiForums
- Kenya's MPs tested positive for COVID-19 - JamiiForums
- Serikali ya Kenya yawapa vijana wabunifu hela wakamilishe prototype ya ventilator - JamiiForums
- Kenya kutumia mawakala wa mitandao ya simu kugawa barakoa (masks) - JamiiForums
- Kenya kutumia ndege zisizokua na rubani (drones) kunyunyiza dawa - JamiiForums
- Mkenya aliyesafiri kutokea Tanzania akutwa na Corona,wengine wanne wathibitishwa.Kifo kimoja chatangazwa - JamiiForums
- Corona: Waganda washitushwa na kasi ya maambukizi ya Kenya, washauriana kutotembelea Kenya - JamiiForums
- Wagonjwa watatu wa COVID-19 wadaiwa kupona, wataruhusiwa kutoka Hospitali hivi karibuni - JamiiForums
- Madaktari Kenya wasambaza virusi vya Corona kutokana na uzembe na Elimu ndogo waliyonayo - JamiiForums
- Rwanda: Idadi ya wagonjwa wa COVID-19 yafikia 118, wagonjwa saba wapona - JamiiForums
- Raia wa kigeni wahonga wanausalama wa Uganda ili kuingia nchini humo - JamiiForums
- Kenya Coronavirus Update - JamiiForums
- Kuanzia wiki ijayo, Kenya itakuwa na uwezo wa kupima sampuli 35,000 za Korona kwa 24Hrs kutoka sampuli 600 - JamiiForums
- Naomba ifanywe kwa dharura: Napendekeza kuanzia Jumamosi iwe ni marufuku mtu kutoka nje ya nyumba yake bila kufunika uso kwa kitambaa/ barakoa/ scarf - JamiiForums
- Mmemsikia Mzee wa Kunyoosha Maelezo bila Unafiki, Kufichaficha wala Kuogopa? - JamiiForums
- Kenya: Wanawake wawili wafariki baada ya mkanyagano wakati wa kupokea chakula cha msaada - JamiiForums
- Mbunge atiwa mbaroni kwa kukiuka curfew - JamiiForums
- Wakati Kenya ikishindwa kusimamia ugawaji wa chakula na kusababisha vifo kwa kukanyagana, Uganda yawatumia wanajeshi kugawa chakula. - JamiiForums
- https://www.jamiiforums.com/threas/...ikali-kukabiliana-na-janga-la-corona.1713629/
KIMATAIFA
- Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)
- Fahamu hatua zilizochukuliwa na mataifa mbalimbali Duniani katika kukabiliana na janga la Covid-19
- Hali yazidi kuwa mbovu Iran, kuwaachia wafungwa 10,000
- Urusi: Daktari anayetuhumiwa kusambaza virusi vya #COVID19 kufungwa jela
- Ulaya & USA Ifanye toba dhidi ya corona
- China ilazimishwe na dunia nzima kuwajibika kwa kuanza na kusambaa kwa virusi vya corana na madhara yake kiuchumi na kijamii kama Ujerumani ya Hitler
- Nchi za Magharibi zazidi kushangazwa na kinga waliyokuwanayo WaAfrika dhidi ya virusi vya Corona
- Italia yaipiku China kwa idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19
- Tanzia: Mwanamuziki mkongwe wa Soukous, Aurlus Mabele afariki dunia. Coronavirus yahusishwa
- China inajidanganya tena na inadanganya ulimwengu
- Corona Virus :Pray for Italy and Iran - JamiiForums
- Kuwapo kwa watu wazima wengi imechangia nchi ya Italia kuathirika zaidi na virusi vya Corona - JamiiForums
- China: Virusi vingine (Hanta Virus) vyaua mmoja, wengine 32 wapimwa kuona kama wana maambukizi - JamiiForums
- Italia: Muuguzi (Nurse) amejiua kwa kuhofia kuambikiza wengine baada ya kugundulika ana maambukizi ya Corona - JamiiForums
- Dunia ijihadhari na taifa la China; yadaiwa Corona ilikuwepo muda mrefu sana - JamiiForums
- Corona Virus: Idadi ya vifo Hispania yafikia 3,434. Nchi hiyo ina vifo vingi zaidi ya China - JamiiForums
- Italia: Kwa siku ya leo watu 651 wamefariki, Pia Kansela wa Ujerumani yuko karantini - JamiiForums
- Huko Spain watu 738 wameaga dunia kwa masaa ishirini na minne. Wakenya na Watanzania tuwe makini ili majanga haya yasitupate - JamiiForums
- Mwanamuziki nguli wa Cameroon Manu Dibango afariki kwa Corona - JamiiForums
- Afrika Kusini maambukizi ya Corona yafikia 700 - JamiiForums
- Idadi ya vifo kutokana na Ugonjwa wa Corona USA vyafikia 1,000 - JamiiForums
- Corona yafunga msikiti wa mtume kwa Mara ya kwanza
- Marekani yaipiku Italia na China kuhusu Corona - JamiiForums
- Australia yazuia matumizi ya pesa za noti na coins kwa hofu ya kuambukiza corona - JamiiForums
- Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson apata maambukizi ya CoronaVirus - JamiiForums
- Ubalozi wa Marekani kuwaondoa raia wake Tanzania kwasababu ya Corona na kuwarudisha kwao - JamiiForums
- All Americans to return to the USA now- Tz - JamiiForums
- Serikali ya Tanzania yapokea Tsh. 1.185 Bilioni kutoka kwa Wadau ili kupambana na Corona. Yabaibisha akaunti ya benki kwa anayetaka kuchangia - JamiiForums
- Trump amekuwa mpole kwa Rais wa China Xi - JamiiForums
- South Africa na Rwanda mataifa yaliyodhamiria kuondokana na Corona - JamiiForums
- Marekani Waiomba China msaada - JamiiForums
- Marekani yakadiria kwa uchache watu wake laki moja watakufa kutokana na Corona - JamiiForums
- Italy Death due to Corona Reached 10799 - JamiiForums
- Belarus nchi pekee shughuli zinaendelea pamoja na uwepo wa mlipuko wa COVID-19 ulimwenguni - JamiiForums
- Botswana nchi iliyokuwa haina wagojwa wa Corona leo mambo yamekuwa sivyo - JamiiForums
- Brazilian President Bolsonaro rejects calls for Coronavirus lockdown, says 'we're all going to die one day' - JamiiForums
- Testing Kits Heading To The UK Contaminated With Coronavirus - JamiiForums
- China ina wagonjwa wapya 48 wa #covid19 Kenya imepata maambukizi mapya 9 - JamiiForums
- Dyson have made ventilators and are working well on patients - JamiiForums
- Vyombo vya habari vya Marekani vinatuhumiwa kuuza idadi ya vifo vinavyotokana na Virusi vya Corona kwa lengo la kumhujumu Rais Trump - JamiiForums
- Kirusi chaibuka Wuhan upya, mwanafunzi atokea UK nacho - JamiiForums
- Coronavirus: Watu 172 wamepoteza maisha barani Afrika - JamiiForums
- Reuters: Namba ya vifo vinavyoripotiwa italy haiakisi uhalisia, idadi sahihi yaweza kuwa ni mara nne ya vinavyoripotiwa - JamiiForums
- Marekani: Vifo vya corona vyafikia 4000, watu 900 wamefariki jana pekee - JamiiForums
- Urusi yaisaidia Marekani kupambana na corona - JamiiForums
- Ufaransa yaripoti vifo vipya 1355, yawa nchi ya kwanza kwa vifo vingi ndani ya siku moja - JamiiForums
- Rais Putin kuzuia watu wasiende kazini na kuendelea kuwalipa mishahara - JamiiForums
- Eto'o Awajia Juu Maprofesa Wa Ulaya kuhusu chanjo ya COVID-19 kufanyiwa majaribia Afrika - JamiiForums
- USA: COVID-19 Update 3/3/2020; Jumla ya wagonjwa 272,998, maambukizi mapya 28048, waliokufa Leo +934 Jumla ya Vifo 7004 - JamiiForums
- Covid-19 Janga Kubwa Ulaya Magharibi Na Mashariki - JamiiForums
- India: Watoto mapacha waitwa majina ya Corona na Covid! - JamiiForums
- Iran yazindua mfumo mpya wa kupima COVID-19 - JamiiForums
- Muendelezo wa walioidharau Corona: Brazil nayo yakumbwa na maafa, sasa waanza kujutia - JamiiForums
- Vifo kutokana na virusi vya corona duniani vyafikia 65,000 - JamiiForums
- DRC imeingia makubaliano na Marekani pamoja na China ufanyikaji wa majaribio ya kinga ya Corona nchini mwao - JamiiForums
- Hizi kelele za mabilionea na viongozi wa kiafrika kukataa majaribio ya chanjo ya Covid 19 siyaafiki - JamiiForums
- Coronavirus: UK Prime Minister admitted to hospital over virus symptoms - JamiiForums
- Wanaijeria wenye uraia wa Marekani wajitokeza kwa wingi kuliko wamarekani wenyewe, baada ya Marekani kutaka kuwa-evacuate raia wake - JamiiForums
- Libya: Waziri Mkuu wa zamani aliyeongoza mapinduzi yaliyomuondoa Gaddafi madarakani afariki dunia kwa Virusi vya Corona - JamiiForums
- Fact Check: Truth of corona conspiracy theory behind arrest of Harvard professor - JamiiForums
- Waziri mkuu wa Uingereza, Boris Johnson apelekwa chumba cha watu mahututi ICU - JamiiForums
- Japan: Waziri Mkuu, Shinzo Abe atangaza hali ya dharura kwa mwezi mmoja - JamiiForums
- Corona; Ufaransa yahodhi shehena ya mask zilizokuwa zipelekwe Italy na Spain - JamiiForums
- Buhari kanasa kwenye Korona anatibiwa Cuba kisirisiri - JamiiForums
- MAREKANI: Wataalamu wahusisha nchi zenye chanjo ya BCG na maambukizi machache ya Corona - JamiiForums
- Corona imeanza mbinu za kujificha kwenye mwili, kiasi waathirika kuachiwa kwamba wamepona kisha inawaibukia upya - JamiiForums
- Spanish government to isolate asymptomatic Covid-19 patients - JamiiForums
- "It in not Corona Virus Pandemic "they want to implant Digital ID in people ...Pastor Chris Oyakhilome - JamiiForums
- Rwanda: Mawaziri, Makatibu Wakuu na viongozi wengine wa juu kutopokea mishahara ya Aprili. Pesa zimeelekezwa kupambana na COVID-19 - JamiiForums
- Trump aagiza utaifishaji wa vifaa vya kupambana na Korona - JamiiForums
- "The Vaccine will not be Tested in South Africa " President Ramaphosa . - JamiiForums
- Nchi za Magharibi zazidi kushangazwa na kinga waliyokuwanayo WaAfrika dhidi ya virusi vya Corona - JamiiForums
- Meet Chales Liebar a Doctor allegedly created Corona Virus.... - JamiiForums
- Bodies placed on roadside like Dirty ,Boxes used as Cofins as Deaths becomes Un imaginable... - JamiiForums
- Rais wa zamani wa Chad aliyefungwa maisha baada ya kushtakiwa kwa ukiukwaji wa haki za binadamu aachiwa kwa miezi miwili kutokana na Corona - JamiiForums
- Marekani: Watu zaidi ya1900 wamekufa kwa corona jana pekee, jumla ya vifo ni zaidi ya 12,800, maambukizi zaidi ya 400,000 - JamiiForums
- China: Mji wa Wuhan wafunguliwa baada ya siku 76, watu zaidi ya 65,000 waondoka ndani ya masaa - JamiiForums
- Marekani yaendelea kuvutana na China kwenye janga la Corona, yahamishia lawama kwa Shirika la Afya-WHO - JamiiForums
- Does the UK conceal the World.? - JamiiForums
- China yaripoti visa vipya vya corona 62 na vifo 2 - JamiiForums
- Ethiopia yatangaza hali ya dharura - JamiiForums
- Watoto wachanga 10 waambukizwa Corona nchini Romania - JamiiForums
- Uingereza kukosa msaada wa kupambana na Corona kutokana na kujitoa Umoja wa Ulaya - JamiiForums
- Waafrika waanza kufukuzwa kutoka China, hawaruhusiwi kwenye mahoteli au maeneo ya wazi - JamiiForums
- Maprofesa wa corona: Visa vya corona haviakisi uhalisia wowote, Jikite kwenye idadi ya vifo na wagonjwa waliopo hospitali - JamiiForums
- Nigeria yaanza msako wa waathirika na kupima, nyumba kwa nyumba, mlango kwa mlango - JamiiForums
- Botswana: Bunge zima lawekwa karantini ya Corona baada ya muhudumu kugundulika ana maambukizi ya Covid 19 - JamiiForums
- Kwa Mh. Trump hali yazidi kuwa tete. Yaongoza kwa vifo - JamiiForums
- Robert F Kennedy Jr. Exposes Bill Gates Vaccine Dictatorship plan-Cites Gates twisted "Messiah Complex" - JamiiForums
- USA yaonyesha uwezo mkubwa dhidi ya COVID-19 - JamiiForums
- Jaji wa mahakama na kanali wa jeshi wakamatwa Kenya kwa kukiuka curfew - JamiiForums
- DRC wakumbwa na Ebola huku bado wakihangaika kwa Corona - JamiiForums
- Chief of Staff wa Rais Wa Naijeria alivyopata COVID-19 - JamiiForums
- CNN and Coronavirus: Africa in existential threat - JamiiForums
- USA The world leader in Everything including contractracted Covid-19 patients and deaths tolls to 20577 more than any country in the world - JamiiForums
- New York, Marekani: Shule kufungwa kwa muhula mzima wa masomo kutokana na Corona Virus - JamiiForums
- China imepeleka tani za madawa na vifaa Urusi ili kupambana na Corona - JamiiForums
- China yakemea vitendo vya ubaguzi nchini humo dhidi ya Waafrika - JamiiForums
- Watu 42,000 wapona Korona nchini Iran - JamiiForums
- Watu wasiopungua 2000 wamekufa kwa corona nchini Marekani - JamiiForums
- China yazuia yeyote kuandika au kuhoji chimbuko la Corona au kutoa takwimu zozote - JamiiForums
KIUCHUMI
- Serikali yawataka watalii waliopanga kuja nchini kuahirisha safari hadi hapo Corona itakapodhibitiwa - JamiiForums
- Polepole: Hatuwezi kuzuia watalii kwa sababu ya Corona, tutapambana nayo kama tunavyopambana na Upinzani. Nchi inategemea watalii - JamiiForums
- Ufuta na huu upepo wa korona. Je, kuna faida mwaka huu au tujiandae na maumivu? - JamiiForums
- Mrutu: Stendi za mabasi ya mkoa na daladala wawepo wasafiri pekee wafanyabiashara waondolewe kupunguza msongamano - JamiiForums
- Zanzibar yasimamisha safari za ndege za Kimataifa - JamiiForums
- Watu wa umma jianadae Kisaikolojia, Magu Ameshapata Sababu ya Kutowaongeza Mishahara na kama Akipita Uchaguzi wa 2020 msubiri mpaka 2026 mtapandishiwa - JamiiForums
- anguko la soko kwa wadangaji kwa kipindi hiki cha corona - JamiiForums
- Hotel za kitalii katika mbuga zafungwa hadi mwezi June, wafanyakazi watakiwa kurudi makwao - JamiiForums
- Baada ya corona kushika kasi na kuathiri ujio wa ndege kutoa nje ya nchi,mashirika ya ndege yanayoendelea na safari za humu nchini hayajaathirika? - JamiiForums
- Vile mitandao ya simu ilivyofanya Corona kama biashara ya kuwakamua wateja - JamiiForums
- Corona: Sekta ya Utalii itaporomoka sana Duniani hata baada ya ugonjwa kudhibitiwa - JamiiForums
- Tofauti ya Mkatati wa kunusuru uchumi ulioathirika na KORONA Marekani na Ulaya hii hapa! - JamiiForums
- Wazee wa kubet mnaishije na hii COVID-19? - JamiiForums
- Watumishi wa umma mpo tayari kwa likizo isiyo na mshahara? - JamiiForums
- Serikali iunde sera madhubuti kusaidia wafanyakazi na wananchi kwa ujumla kujikimu wakati huu wa kupambana na Covid-19 - JamiiForums
- Naibu Waziri: Marufuku kufunga minada ya ng'ombe na samaki kwa kisingizio cha Corona - JamiiForums
- Jiulize maswali Haya kabla ya kuchangia pesa ya Covid-19 - JamiiForums
- Afrika huu ndio wakati wa kuikuta Ulaya na Marekani Kiuchumi - JamiiForums
- Corona isiwe sababu ya kutolipana madeni jamani - JamiiForums
- Maisha ya Mtanzania na total lockdown - JamiiForums
- Tujipange wakati tukisubiria mipaka ya nchi kufungwa na watu kutoruhusiwa kutoka 'lockdown' - JamiiForums
- Baada ya janga la Corona kutikisa uchumi, taasisi za kibeberu zimekaa mkao wa kula kusubiri mataifa yakakope - JamiiForums
- Hivi ndivyo China ilivyotengeneza COVID-19 kuangamiza watu ili kuidhibiti dunia kiuchumi - JamiiForums
- Ishauri serikali nini ifanye kupunguza athari za COVID-19 kwa nchi na maisha ya wananchi - JamiiForums
- Wafanyabiashara 650 waomba kufunga biashara TRA - JamiiForums
- Tanzania tumejiandaa kiasi gani na matokeo ya anguko la Uchumi baada ya Corona - JamiiForums
- DC aagiza kufungwa biashara ya yeyote atakayepandisha bei vitakasa mikono - JamiiForums
- Wazo la Makonda siyo baya ila lianze na Serikali kuonesha mfano - JamiiForums
- Unafanyeje biashara kipindi hiki cha Corona? - JamiiForums
- Kupitia Jukwaa hili,kila alie tayari aeleze jinsi Corona ilivyomuathiri kiuchumi na kijamii - JamiiForums
- Tunaiomba Serikali iondoe bili za umeme na maji - JamiiForums
- Wakisamehewa kodi, nao pia wapunguze bei za bidhaa - JamiiForums
- Sekta ya Utalii Tanzania ijiandae kwa maisha ya Corona na baada ya Corona - JamiiForums
- Usafiri wa level seat lazima uratibiwe - JamiiForums
- Mabasi ya wanafunzi yapewa kibali cha kuwa Daladala kwa muda wa miezi mitatu kukabili uhaba wa usafiri uliosababishwa na " level seat" - JamiiForums
- Corona ilivyosababisha ununuzi mwingi wa Bunduki USA - JamiiForums
- COVID19 to be the worst economic cricis in IMF history - JamiiForums
- Serikali ifikirie namna ya kuwasaidia wanavyuo ambao wengi wao walikuwa wamepanga vyumba, bila kufanya hivyo mali zao watazikuta nje - JamiiForums
- Ghana: Serikali yapandisha mishahara, hakuna kulipia bili za maji kwa miezi mitatu (April, May na June) - JamiiForums
- Covid-19 inawatesa hawa kiuchumi - JamiiForums
- Baraza la Mawaziri SADC, Laridhia Usafirishaji wa Bidhaa Muhimu, Kudhibiti Maambukizi ya Corona - JamiiForums
- Corona kusababisha condom kutoweka - JamiiForums
- Nakuomba Rais Magufuli; Tafuta fikra mbadala ili kujenga uchumi na kukuza biashara kimkakati kama Farao wa Misri katikati ya changamoto ya Covid 19 - JamiiForums
- Rais Museveni atoa onyo kwa wenye nyumba, ataka wapangaji wasifukuzwe wakati huu wa mlipuko wa Corona - JamiiForums
- England ends 5G contract with Chinese firm after test Units were tested Corona Virus Positive . - JamiiForums
- Exposed: Bill Gate and the secret behind COVID-19 . - JamiiForums
- Mataifa ya nje yaanza kuondoa mitaji yao China - JamiiForums
- Afrika kutetereka kiuchumi kutokana na Covid-19 - JamiiForums
- IMF: There is tremendous economic crisis unceternities since great depression - JamiiForums
- Kama tunaandaa Bajeti pasipo kuzingatia athari za Corona, sitashangaa siku moja tukalazimika kuwa na Bunge la dharua ku-review upya Bajeti yetu - JamiiForums
- Afrika Kusini: Mshahara wa Rais, Mawaziri kupunguzwa kwa 33%, fedha zitatumika kukabiliana na janga la Corona - JamiiForums
- Dkt. Kigwangalla: Sekta ya Utalii ndiyo inayoongoza kwa kuathirika sana kufuatia kuingia kwa Covid 19 - JamiiForums
- Wamarekani 5,000 waishtaki China, wadai walipwe senti kwa senti - JamiiForums
- US ready to block Iran's requests for coronavirus aid from the IMF, officials say - JamiiForums
- World Bank: Anti Corona policy response: why copycat may not work in Kenya, South Africa - JamiiForums
- Corona inafanya tuwe na subira tusiyojua deadline yake - JamiiForums
- Kenya Hawana Chakula - Baada ya kufunga mpaka - JamiiForums
- Uchumi wa Afrika kuporomoka - JamiiForums
- Uchumi wa China wadorora kwa 6.8% kutokana na Coronavirus - JamiiForums
MICHEZO
- Wallace Karia: Wachezaji watakaosafiri nje hawataruhusiwa kurudi - JamiiForums
- Paolo Maldini na mwanawe Danielle Maldini wamekutwa na virusi vya Corona - JamiiForums
- ATHARI Za CORONA: Ligi 3 za madaraja ya chini Uingereza zafutwa - JamiiForums
- FIA yasimamisha michezo yote ya mbio za magari na pikipiki Kwa sababu Corona. - JamiiForums
- Corona Virus: Michuano ya Olimpiki iliyopangwa kufanyika Julai mwaka huu nchini Japan mbioni kuahirishwa - JamiiForums
- Coronavirus: Premier League clubs to meet on Thursday to discuss strategy. - JamiiForums
- NBA yamesimamisha ligi kwa sababu ya Coronavirus - JamiiForums
- TANZIA: Kocha kijana afariki kwa Corona - JamiiForums
- Liverpool inaweza Ikakosa ubingwa endapo coronavirus vikiingia Uingereza - JamiiForums
- Michuano ya soka England yasitishwa hadi Aprili 3 kutoka na Corona - JamiiForums
- Kocha wa Arsenal FC, Mikel Arteta akutwa na Ccorona (covd 19) - JamiiForums
- Beki ya Juventus Daniele Rugani aambukizwa virusi vya corona - JamiiForums
- Ligi zote barani ulaya ziwe suspended kwa sababu ya Corona kama walivyofanya Serie A - JamiiForums
- Mashabiki kuzuiwa kuhudhuria mechi za ligi za Uhispania kwa hofu ya Corona - JamiiForums
- Man City vs Arsenal postponed after Olympiakos owner tests positive for coronavirus - JamiiForums
- Msimu wa 2019/2020 ligi kuu nchini Italia hatarini kuishia njiani - JamiiForums
- Seria A yasimamishwa hadi April - JamiiForums
- Daktari ajinyonga baada ya kukutwa na corona - JamiiForums
- Coronavirus: World Bank predicts sub-Saharan Africa recession - JamiiForums
UJUMLA
- Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus) - JamiiForums
- Fahamu Machache kuhusu Corona Virus - JamiiForums
- Fahamu hatua zilizochukuliwa na mataifa mbalimbali Duniani katika kukabiliana na janga la Covid-19 - JamiiForums
- Corona Virus imetengenezwa? Virusi hivyo vilibashiriwa katika Kitabu mwaka 1981 - JamiiForums
- Faida za Ugonjwa Wa Covid 19 Duniani - JamiiForums
- Dhana mbalimbali zilizojengeka katika Jamii kuhusu maambukizi ya Virusi vya Corona - JamiiForums
- Corona imekuja kuumbua uongo wa dini - JamiiForums
- Tusaidie watu wetu kupambana na COVID-19 Kwa Tech - JamiiForums
- Stimulus ya Coronavirus haikwepeki kwa walalahoi na itoke Barrick Gold - JamiiForums
- Corona ni hatari isifanyiwe maigizo - JamiiForums
- Kirusi kinachotisha kuliko Corona ni uoga/ hofu - JamiiForums
- Utafiti mpya wa kisayansi wa Covid19 – Msaada mkubwa wa kujikinga na kuzuia maambukizi kwa wengine - JamiiForums
- Kuna kila dalili Coronavirus haidumu kwenye nchi za joto - JamiiForums
- Mwongozo wa kufanyia kazi Nyumbani wakati huu wa Mlipuko wa Corona - JamiiForums
- COVID-19 ni ushahidi kuwa Madaktari na Manesi ni kada zinazostahili kulipwa vizuri sana na pengine kuliko kada zingine zote - JamiiForums
- Kupitia Corona Serikali za Dunia inabidi zijifunze kwamba afya ndio mtaji wa nchi kujiendesha - JamiiForums
- Wazungu wafanye hima waigundue dawa - inakisiwa raia wa Uingereza milioni moja watakua na mdudu ndani ya wiki chache zijazo - JamiiForums
- mizaha na mazoea ndicho kitakacho ighalimu Tanzania dhidi ya Covid-19 - JamiiForums
- COVID-19 inavyoacha funzo la dunia bila anasa inawezekana - JamiiForums
- Watu kusalia majumbani (total lockdown) hakuepukiki, ndiyo njia pekee ya uhakika itakayo tunusuru na kusambaa kwa Corona nchini - JamiiForums
- Corona imedhihirisha nchi serious kwenye maendeleo na wasindikizaji ni zipi. Sisi Tanzania, tumeukiri huo ukweli kwa vitendo, kwamba tunasindikiza - JamiiForums
- Boss Mchina anavyotuhangaisha sababu ya Corona na kuonesha ubaguzi kipindi hiki kigumu - JamiiForums
- Serikali zinazojali wananchi tutazijua kupitia Corona - JamiiForums
- Televisheni za kimataifa: CNN, BBC, Aljazeera nk zinaleta taharuki, zifungiwe kwa muda wa mwezi mmoja! - JamiiForums
- Kwanini Zanzibar inakuwa mbele kutoa taarifa za Corona kuliko Tanzania bara? - JamiiForums
- Funzo muhimu na faida toka darasa la corona virus - JamiiForums
- Exposed: Jitihada zinazofanyika dhidi ya Corona ndo zinakuja kuwa tishio kwa Afrika! - JamiiForums
- Waafrika Kusini mwa jangwa la sahara hatuko na kinga dhidi ya COVID 19 - JamiiForums
- https://www.jamiiforums.com/threads/covid-19-ni-ugonjwa-uliopangwa-na-mungu-au-shetani.1707830/
- Rais Magufuli, waombe madaktari wabobezi na waganga maarufu wakutane wajadili jinsi ya kutengeneza chanjo ya COVID-19 - JamiiForums
- RC Makonda: Baada ya kumuumbua Mbowe nimewaokoa wananchi wa Dar es Salaam - JamiiForums
- Kamati 3 za korona nyote msitazame majukumu yaleyale - JamiiForums
- SERIKALI IWAFATILIE SANA FAMILIA YA MBOWE NA CHAMA CHAKE CHA CHADEMA KUNA UHAINI KUPITIA CORONA. - JamiiForums
- The Law of Natural Selection by Darwinism ndicho kinachofanyika sasa hivi juu ya CORONA. Watu wa Lockdown wanajisumbua - JamiiForums
- Corona inatuchana makavu live: Vipi wanasiasa na matajiri wako tayari kuuopkea huu ukweli mchungu? - JamiiForums
- Corona si tishio kwa Afrika - JamiiForums
- CoronaVirus: Fahamu kuhusu Virusi hivi na athari zake kwa Mama Mjamzito na katika Kumnyonyesha mtoto - JamiiForums
- Baada ya Corona, dunia ijiandae na janga la njaa - JamiiForums
- Kuhusu hili janga la corona, humu mtaani yawezekana wengi wameupata bila kujijua na maambukizi yanaendelea! - JamiiForums
- Je, lsabela ni nani? Tunaruhusiwa sasa kumuhoji? - JamiiForums
- Mapambano dhidi ya Covid-19 Tanzania na kwingineko Afrika: Watafiti na wanasayansi wetu mko wapi na munasemaje? - JamiiForums
- TAHADHARI: Wagonjwa wa Kisukari, Moyo, Shinikizo la Damu na Saratani wako hatarini zaidi wakiambukizwa #COVID19 - JamiiForums
- Nchi zenye wakimbizi wengi hatarini kupata maambukizi makubwa ya Corona, Tanzania yatajwa - JamiiForums
- Naomba Serikali kwenye suala la Corona sisi wazee tupewe kipaumbele cha kupata vifaa vya kujikinga na Corona - JamiiForums
- Lockdown za Afrika ni ubabe na kutandikana viboko - JamiiForums
- The Aftermath of corona For Africa - JamiiForums
- Shirika la afya Duniani lasena chanjo ya Corona itapatikana baada ya mwaka 1 au mwaka 1.6 - JamiiForums
- US ana COVID19 cases nyingi sababu anafanya massive-testing (more people have been tested) - JamiiForums
- Man, 24, could face 15 years in prison for 'infecting' 11 people with coronavirus at a party - JamiiForums
- China ni nchi wabinafsi sana; Rejea suala la kutofunga mipaka yao baada ya mlipuko wa Corona - JamiiForums
- Corona na kizungumkuti katika uhabarishaji umma - JamiiForums
- Coronavirus survivor says Chloroquine saved his life - JamiiForums
- Bongo milionea ni majanga - JamiiForums
- Vita dhidi ya Corona: Wanaoadhirika au kuumia zaidi ni masikini ilihali ugonjwa wenyewe unawaumiza zaidi matajiri - JamiiForums
- Africa Is Two to Three Weeks Away From Height of Virus Storm! - JamiiForums
- Janga la Korona, ni mapambano dhidi ya Ugonjwa tu au kuna ajenda nyuma ya pazia!? - JamiiForums
- Ushauri:Serikali itoe chchote kwa atakaejitangaza hadharani kuwa ni mgonjwa wa corona baada ya mtu huyo kupimwa na kuthibitika - JamiiForums
- Kuhusu kupambana na coronavirus, naishauri serikali - JamiiForums
- Can COVID-19 be mistaken with flu ? By Leda Lanich - JamiiForums
- Tujielimishe kidogo: Upimaji wa Corona Virus kupitia kwenye "damu"... - JamiiForums
- Hatari ya ugonjwa wa COVID-19 - JamiiForums
- Fahamu namna ya kuiandaa familia yako katika kukabiliana na CoronaVirus - JamiiForums
- Huku kujitenga kuepusha maambukizi ya corona ni Mungu tu atusaidie - JamiiForums
- Coronavirus - Namna bora ya kutambua uzito wa tatizo - JamiiForums
- Maoni ya baadhi ya watu juu ya njia ya kupambana na #corona kwa nchi za Afrika - JamiiForums
- Kuna haja ya kununua chakula kingi kujiandaa na marufuku ya kutotoka nje? - JamiiForums
- Vifo Vinavyotokana na Magonjwa ya Mafua vs Ugonjwa wa Korona Ulaya & Marekani - JamiiForums
- Waafrika hawaambukizwi na wala hawafi sana kwa COVID-19 kama Wachina, Wairan, Wamarekani na Wazungu, nini siri? - JamiiForums
- Corona ni nani? - JamiiForums
- Hii ni kweli kuhusu Covid-19? - JamiiForums
- Endapo majina ya walioambukizwa Corona yatatangazwa hadharani patakuwa na ubaya gani? - JamiiForums
- China owes the World an explanation: How comes they have the best COVID-19 recovery rate - JamiiForums
- KANUSHO: Taarifa za kuwataka watu wasile bidhaa za Bakery ili kujilinda na maambukizi ya #COVID19 zakanushwa - JamiiForums
- Je, inawezekana chanjo ya Virusi vya Corona kupatikana kwa usawa? - JamiiForums
- Kwa upande chanya, Corona inaweza kutumbusha juu ya masuala haya muhimu... - JamiiForums
- Sehemu hizi zinaweza kuwa ni chanzo cha maambukizi ya Corona - JamiiForums
- Coronavirus: Namna ya kusafisha vitu na kuvipulizia dawa ya kuua vijidudu - JamiiForums
- Nadharia ya COVID19 - JamiiForums
- Tusiichukulie poa Corona hata Italy walianza na Case chache kama sisi!!!! - JamiiForums
- Africa Is Two to Three Weeks Away From Height of Virus Storm! - JamiiForums
- Viongozi wanafiki, wakatili na wauaji wanaojipa matumaini giza juu ya misongomano ya dini kipindi hiki cha ugonjwa wa Corona - JamiiForums
- Ni muda wa kuheshimu tafiti kuhusu Corona - JamiiForums
- Binadamu anaweza kupata CoronaViris kutoka kwa Wanyama? - JamiiForums
- Corona isifanye kila mtu akawa mtaalamu - JamiiForums
- Maombi ya talaka China yameongezeka kwa kiwango kikubwa wakati wa lockdown! - JamiiForums
- Hivi ndivyo jinsi majirani zetu wanavyotuongelea kuhusu Corona - JamiiForums
- CORONA ni adui tusiruhusu watu wachache kutuamlia namna ya kumkabili - JamiiForums
- Corona virus na matatizo ya kiafya - JamiiForums
- Je, miundombinu na wahudumu wetu wa afya wameandaliwa kupambana na Corona? - JamiiForums
- Gwajima sio wa kupuuzwa, ushauri wake kuhusu Corona umenitetemesha leo - JamiiForums
- Kufuatia kusambaa kwa Corona (covid-19); Nakusudia kumshitaki Waziri wa Afya, Miundombinu na Mwanasheria Mkuu wa Serikali - JamiiForums
- Ujio wa Corona umedhihirisha ubora wa maono ya Rais Magufuli.! - JamiiForums
- Kwa yanayoendelea kwenye corona nahisi mwisho wa dunia umefika tujiandae kwa lolote - JamiiForums
- Mtoto wa wiki sita afariki kwa Corona - JamiiForums
- Baada ya Corona kuisha sheria ndogo zipitishwe kwenye Halmashauri, maeneo yote ya biashara yawekewe vitakasa mikono - JamiiForums
- Mapambano dhidi ya corona si ya copy & paste: kisayansi bado mengi hayajajulikana 100% kuhusu gonjwa hili - JamiiForums
- Madokezo ya namna ya kufanya manunuzi kwa usalama kipindi hiki cha mlipuko wa CoronaVirus - JamiiForums
- Mtanzania afukuzwa China kwa kushindwa kuheshimu taratibu za kujinga na ugonjwa wa covid-19 - JamiiForums
- Uandishi wa filamu COVID-19 'Owning the Nerative' - JamiiForums
- Socialist Countries Zina Nafasi Kubwa Ya Kuishinda Vita ya CORONA Kuliko Democratic Countries - JamiiForums
- Fahamu ni kwa namna gani unaweza kuongea na Watoto kuhusu mlipiko wa CoronaVirus - JamiiForums
- Njia za kupambana na COVID-19 zinachochea ongezeko la watu Duniani - JamiiForums
- Jinsi sabuni inavyoangamiza kirusi cha Corona na kukisambaratisha kabisa - JamiiForums
- Mambo ya kupuuzwa kuhusiana na ugonjwa wa Corona (COVID-19) - JamiiForums
- Chanjo ya Corona kufanyikia majaribio Afrika - JamiiForums
- Hivi "COVID-19", ni neno la kingereza au ni lugha ya kitaalamu? - JamiiForums
- Ushauri mpya kuhusu uvaaji wa Barakoa (Masks) kujikinga na maambukizi ya Covid-19: Tujielimishe ili tuamue vema - JamiiForums
- Nauliza hiv COVID- 19 imetufunza kitu gani sisi kama nchi au watu binafsi? - JamiiForums
- Hii ndiyo sababu inayoweza kupelekea watu wengi kufa kwa COVID-19 katika nchi za Afrika - JamiiForums
- Naomba Radhi kama nitakuwa nimekosea, ila kwa Dharau hizi za Wazungu naomba COVID-19 izidi Kuwaua 24/7 - JamiiForums
- Jilinde wewe na Jamii yako kwa kusambaza taarifa za Uzushi kuhusu #COVID19 - JamiiForums
- Je, ni kweli kunywa maji kwa wingi kunazuia kupata maambukizi ya COVID19? - JamiiForums
- Namna pekee ya kuzuia Corona virus kusambaa - JamiiForums
- Je, ninaweza kupata tena COVID19 baada ya kuugua na kupona? - JamiiForums
- Tuwalinde Walemavu dhidi ya #COVID19 kwa kuweka mazingira rafiki ya Vitakasa Mikono - JamiiForums
- Watu 11 wadakwa mpakani wakikwepa karantini - JamiiForums
- Morogoro: Mbaroni kwa kufungua akaunti ya Corona Facebook na kupotosha Umma - JamiiForums
- CORONA EFFECTS: Video ikionesha wanyama pori wakitapakaa sehemu mbalimbali za miji duniani kutokana na lockdown - JamiiForums
- China imeishinda Corona - JamiiForums
- Agenda 21 na covid-19 siri kubwa - JamiiForums
- 89% ya waliofariki na Corona wametoka bara la Ulaya, Marekani, China na Iran, huku 0.5% vikitoka Afrika na 0.2% weusi tii! Then why lockdown in Africa - JamiiForums
- COVID 19: Serikali ipige Marufuku bar, lounge na night clubs - JamiiForums
- Janga la Corona: Tanzania tunalindwa na Mungu, hamasa ya kujikinga na maambukizi iko mitandaoni - JamiiForums
- Waafrika tusheherekee misaada ya Jack Ma inaendelea kuja, sasa anatuma ventilators na vifaa vya kupima Corona - JamiiForums
- Walinde watu wenye ulemavu kwa kuelewa mambo haya - JamiiForums
- Mkuu wa Chuo cha Harvard akamatwa na wengine 60 kwa tuhuma za kuzalisha coronavirus na kuwauzia China - JamiiForums
- New York, Marekani: Chui wa miaka minne apata maambukizi ya Corona - JamiiForums
- Kenyatta amechanganyikiwa, Magufuli ame-relax - JamiiForums
- Nadharia njama (consparicies theories) zinazozunguka COVID-19 ni jambo linaloelezeka kwa sayansi ya Saikolojia - JamiiForums
- Athari mbaya za Karantini na kujitenga kwa afya ya akili na moyo - JamiiForums
- Ukweli kuhusu coronavirus kuua zaidi Ulaya na Marekani - JamiiForums
- WhatsApp imeanza kulimit messsage fowarding ili kupunguza kusambaa kwa taarifa zisizo sahihi juu Coronavirus - JamiiForums
- WHO slams scientists for Africa vaccine testing notion - JamiiForums
- Wamarekani weusi waathirika zaidi na virusi vya Covid19 tofauti na wenye rangi nyeupe - JamiiForums
- Bill Gates Highlited on why Africans should agree on COVID-19 Vaccine to be tested on them - JamiiForums
- Bill Gates has reacted very angrily against Africans who do not want the contravesial COVID-19 vaccine to be tested in Africa. - JamiiForums
- Africa is test lab? yes! Test lab..mana ndio kitu pekee tunaweza saidia - JamiiForums
- Why does the COVID-19 virus spreading? - JamiiForums
- Msichukulie poa nyumbani Tanzania, Corona inaua!!! - JamiiForums
- Je, COVID19 ni maandalizi ya silaha za kibaolojia? Kama sivyo, je haziwezi kuja kutumika kama silaha ya maangamizi? - JamiiForums
- Wavutaji wa Sigara na Tumbaku wako hatarini zaidi endapo wataambukizwa #CoronaVirus - JamiiForums
- Conspiracy Theory (Nadharia Njama) ya 5G na chanzo cha Covid-19: Tujadili ukweli - JamiiForums
- Baadhi ya nadharia za corona na uchambuzi wake - JamiiForums
- Africans have been Discriminated by Chinese because of Covid-19 - JamiiForums
- Kishimba amwomba waziri wa afya Gongo kuwa mbadala wa Sanitizer - JamiiForums
- Picha: Hatimaye nimesoma kitabu kilichotabiri Corona - JamiiForums
- CoronaVirus: Namna ya kula vyakula vyenye virutubisho kipindi cha kukaa ndani - JamiiForums
- Corona mtaji wa maendeleo Afrika - JamiiForums
- USA, UK na China waanza kutumia damu ya waliopona Corona, na hakika imeleta matumaini - JamiiForums
- Global leaders issue g20 call to action urging immediate pledging conference and task force to co-ordinate world response to covid-19 - JamiiForums
- Barrick joins fight against Covid-19 in Tanzania - JamiiForums
- COVID-19 :See The Reasons why China wants to Help African Countries . - JamiiForums
- Report :Wohan funeral homes burned Corona Virus Victims Alive....😳 - JamiiForums
- Rostam kutoa Bilioni 1 kwa ajili ya vitakasa mikono - JamiiForums
- Kwa hili Waafrika ni wazembe na wachanga kiakili - JamiiForums
- WHO yajibu tuhuma za Rais Donald Trump, yasema huu sio muda wa kuacha kutoa fedha, yakanusha kuipendelea China - JamiiForums
- Nchi wanachama wa G20 kufanya mkutano kuijadili Corona - JamiiForums
- Upo ugonjwa wa corona lakini upo pia ubinafsi wa Donald Trump na serikali yake - JamiiForums
- Ushahidi wa wazi, Virusi vya Korona vilitengenezwa na wachina, China ina deni kubwa kwa dunia!! - JamiiForums
- CHINA: Tumebuni mfumo wa kupata vipimo vya CORONA ndani ya dakika 15 - JamiiForums
- Corona sasa imefikia kilele, haya yanaweza kutokea - JamiiForums
- Namna gani unaweza kukabiliana na mawazo kipindi hiki cha CoronaVirus - JamiiForums
- China: Wizara ya Mambo ya Nje yajibu tuhuma za ubaguzi dhidi ya Waaafrika, yasema China na Afrika ni wamoja - JamiiForums
- Maajabu Africa nzima yapo Tanzania tu - JamiiForums
- 6 new coronaviruses discovered in bats - JamiiForums
- Recovered coronavirus patients test positive again in blow to immunity hopes - JamiiForums
- Aliyesema kaugonjwa kenyewe ni kadogo kuliko Mafua; Alifanya makosa makubwa kuipotosha Jamii - JamiiForums
- WHO: Kirusi cha CORONA kinakaa hewanikwa saa nane bila kufa, tunatakiwa kuvaa "MASK" muda wote - JamiiForums
- Tusipokuwa Makini kwa Corona Kipindi Tusije kulaumiana - JamiiForums
- Serikali iingilie Kati wanaozusha taharuki kwenye Jamii - JamiiForums
- TANZIA: Mwandishi Lutengano Haonga wa TBC afariki dunia - JamiiForums
- https://www.jamiiforums.com/threads...pita-lakini-tuchukue-hatua-madhubuti.1713467/
- OPERATION COVID-19: Much more than a militarized and artificial Intelligence driven World Takeover Scheme - JamiiForums
- #CORONAVIRUS: Wahudumu wa sekta ya afya wapo hatarini zaidi - JamiiForums
- Mchuma Janga hula na Wakwao - The Case of Corona and Social Distancing - JamiiForums
- Utafiti: Yawezekana maambukizi ya corona ni mengi kuliko inavyoripotiwa duniani kote - JamiiForums
- CHINA: Tumemkamata aliyezusha kuwa China inawabagua Waafrika - JamiiForums
- Lindeni wazazi wenu na wagojwa, msisubiri Serikali - JamiiForums
- WHO Director: We want to see things turns to normal and Government must stop anxious restrictions - JamiiForums
- Mashambulizi ya Corona yataleta mabadiliko mengi katika maisha ya kila siku - JamiiForums
- Kwenu: Ummy, Taskforces, mabibi na mabwana katika mapambano ya dhati dhidi ya Corona - JamiiForums
- Inasikitisha sana wazungu wanaposhangaa na kuhuzunika hadi sasa Corona haijaua kwa wingi Waafrika kama Italy na New York - JamiiForums
- Sala ya siku 3, je kama nchi tuna nini? Tunaomba huku hakuna juhudi za kupambana na corona? Wenzetu wanasali au wanawekeza kwenye afya? - JamiiForums
DINI/IMANI
- Corona imekuja kuumbua uongo wa dini - JamiiForums
- https://www.jamiiforums.com/threads...wa-na-mungu-au-shetani.1707830/#post-34799395
- https://www.jamiiforums.com/threads...ngu-tazama-athari-za-corona-covid-19.1707519/
- https://www.jamiiforums.com/threads/kwa-wale-wasoma-bible.1707729/#post-34799060
- https://www.jamiiforums.com/threads/je-ndio-mwisho-wa-dunia-uliotabiriwa.1707566/
- https://www.jamiiforums.com/threads/hakika-hizi-ni-siku-za-mwisho-asomae-na-afahamu.1707935/
- https://www.jamiiforums.com/threads/fumbo-la-coronavirus-na-uovu-wa-ulimwengu.1707739/
- https://www.jamiiforums.com/threads...usiana-vipi-na-uislamu.1705176/#post-34758787
- https://www.jamiiforums.com/threads...hi-ya-virusi-vya-korona-19-mavico-19.1708407/
- https://www.jamiiforums.com/threads/corona-ni-ugonjwa-wa-mungu.1708338/
- Corona: Msikiti Ngazija uliopo posta jijini Dar es Salaam wafungwa kwa siku 21 kuepusha misongamano ya waumini - JamiiForums
- Kanisa- Hakutakuwa na Njia ya Msalaba Ijumaa Kuu - JamiiForums
- Weekend hii nimejifunza tafakari hizi SABA kuhusu mitazamo ya kiroho na kikaisali kuhusu CORONA - JamiiForums
- Corona isiondoe imani yetu kwa Mungu mponyaji, Tanzania yangu endelea kumtazama Mungu - JamiiForums
- Corona: TEC yabadili utaratibu Alhamisi ya amri hakuna kuoshana miguu na Ijumaa kuu hakutakuwa na kuushika na kuubusu msalaba! - JamiiForums
- Wasabato acheni kuwajaza ujinga waumini wenu kipindi hiki cha COVID-19 - JamiiForums
- Ibada kuendeshwa katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Corona, je Misikiti na Makanisa yanajali afya za waumini wao?? - JamiiForums
- Mafunzo ya Mtume Mohammed kukusu COVID -19 - JamiiForums
- Wanaendelea kwenda kwenye nyumba za ibada huku kukiwa na tishio la corona,wana tofauti na waliokuwa wafuasi wa Kibwetere? - JamiiForums
- Kanisa latoa hatua za kukabiliana na COVID-19, hawatasubiria Serikali - JamiiForums
- Afrika haitakuwa kwenye hali mbaya dhidi ya Covid-19 - JamiiForums
- Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!. - JamiiForums
- Social Distancing: Je, Makanisa yanatekeleza au siasa inatumika? - JamiiForums
- Sheikh Alhad Salum: Misikiti isiyoweka vitakasa mikono, maji tiririka na sabuni kufungwa, atangaza kufunga ofisi ya Sheikh wa mkoa kwa siku 30 - JamiiForums
- Je, Magufuli ni sawa na Musa wa Israe kutuvusha na janga la Corona? - JamiiForums
- Kwanini Afrika haitadhurika sana na Corona - JamiiForums
- https://www.jamiiforums.com/threads...hole-world-necessitate-the-lock-down.1713563/
- Mungu ni Omnipresent. Kufuatia Local Transmission ya Corona. Je, Sasa Tushinikize Watu Wasalie Majumbani Mwao, ila Sadaka Ndio Itumwe Kwa M-Pesa? - JamiiForums
- Ibada za za mwezi mtukufu wa Ramadhani zazuiliwa katika msikiti wa Jerusalemu (Al-Aqsa) kutokana na mlipuko wa Covid-19 - JamiiForums
- Mapambano ya korona: TEC yatangaza kusitisha matumizi ya kwaya kanisani - JamiiForums
- Viongozi wa dini kemeeni hewa isitumike kama chombo cha kusafirishia corona Yesu alikemea upepo - JamiiForums