#COVID19 Mkusanyiko wa mada mbalimbali kuhusu mlipuko wa Virusi vya Corona - COVID-19 Duniani

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Aug 7, 2018
625
938
Kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa COVID-19 kuwa janga la kidunia na kupelekea taharuki, hii mada itajumuisha viunganishi 'LINKS' zenye mada muhimu mbalimbali kuhusu ugonjwa huo

TANZANIA

1 - Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona

2 - Serikali yatenga maeneo maalumu kwa watu watakaogundulika kuwa na Virusi vya Corona Tanzania

3 - Vita dhidi ya Corona: Mikusanyiko ya watu isiyo lazima isitishwe, misongamano idhibitiwe ili kuepusha madhara makubwa

4 - Hivi ni kweli COVID-19 haijaingia bongo au ndio tunafichaficha kama ilivyo desturi yetu?

5 - Corona: Japo ni janga, pia ni fursa. Tanzania bado hakuna maambukizi, tupunguze panic, tuongeze Elimu. WB kumwaga mihela, tuchangamkie fursa

6 - Hofu ya Corona; Rais Magufuli asitisha mbio za Mwenge 2020. Fedha kupelekwa ktk maandalizi ya kupambana na Corona - JamiiForums

7 - Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

8 - Serikali: Idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Tanzania imeongezeka na kufikia Sita(6)

9 - Corona: Meneja wa Diamond na Mwana FA watangaza kuugua Corona baada ya kupimwa - JamiiForums

10 - Q Chillah : Mwana FA acha utoto

11 - Coronavirus, Tanzania: Shule zote kuanzia za Awali, Msingi na Sekondari zafungwa. Mikusanyiko ikiwemo ya Kisiasa yasitishwa

12 - Serikali yasitisha masomo kwa vyuo vya kati na vyuo vikuu kuanzia tarehe 18/03/2020 ili kupambana na Corona

13 - Mzee Mgaya: Ni dhambi serikali kuendelea kuwalipa posho Wabunge waliopo Dodoma sasa wakati wananchi hawawezi kununua Vitakasa mikono

14 - Wananchi wakwama kutoka Nyamisati kuelekea Mafia kwa siku 3. Fedha zawaishia na sasa wanahofia kuambukizana Corona

15 - RC Paul Makonda: Mbowe ameahirisha mikutano ya CHADEMA baada ya mwanaye kuambukizwa Corona - JamiiForums

16 - Baba Askofu Munga: Akili na hekima. Corona sio sawa na Wapinzani

17 - Askofu Niwemugizi asikitishwa na Kauli ya Humphrey Polepole kuwafananisha Wapinzani na Corona

18 - Rais Magufuli: Watu tusitishane, Mpaka sasa Corona haijaua mtu Tanzania

19 - Corona Virus: Rais Magufuli ahutubia Taifa - Machi 22, 2020 - Wagonjwa Tanzania wafikia 12

20 - Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

21 - Zitto: Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona

22 - OMBI: Serikali idhibiti bei kwenye vifaa vya kujikinga na kupambana dhidi ya Virusi vya Corona

23 - Waziri Mkuu aainisha utoaji taarifa rasmi za coronavirus

24 - Utafiti mpya wa kisayansi wa Covid19 – Msaada mkubwa wa kujikinga na kuzuia maambukizi kwa wengine

25 - CORONA: Maaskofu 13 wa KKKT watoa waraka. Wasisitiza ELIMU zaidi kwa umma ili kupanua ufahamu wa raia kuhusu maradhi haya

26 - TBC ipeni kipaumbele Corona, nyie muda mwingi ni kampeni - Tumeahidi tumetekeleza

27 - Coronavirus: Vyombo vya kusafirisha abiria vyatakiwa kuwa na sanitizer kwa ajili ya abiria. Daladala zatakiwa kupigwa dawa kila mwisho wa safari

28 - Corona: Nilichokiona jana pale FQ Hotel, tutakwisha kwa udhaifu wa kushughulia waliowekwa Karantini

29 - RC Makonda, Dar ni jiji la wote, vyama vyote. Mbowe sio mwanasiasa uchwara aliyefilisika, Zitto sio mshirikina. Tunakupenda, heshimu wote uheshimiwe

30 - Nimegundua udhaifu mkubwa sana wa Serikali ya Tanzania katika kukabili suala la COVID-19

31 - Corona imekuwa mradi wa Serikali au Mradi wa watu? Wanaowekwa karantini walalamikia bei kubwa ya hoteli wanazopelekwa

32 - Covid-19 lockdown: SMZ Mahakama Kuu Yasitisha Shughuli za Kimahakama

33 - Wazanzibari wahakikishiwa uwepo wa akiba ya kutosha ya chakula, Waziri Hamad aitaka BOT na WB kusaidia uchumi

34 - Rais Magufuli amedhihirisha tena kuwa hawezi kuongoza nchi wakati wa majanga, nachelea kusema hawezi kuongoza nchi wakati wa vita

35 - Corona ni uzembe wetu isingetufikia, na itatumaliza tusipoamka sasa - ukweli mchungu

36 - Waziri wa Afya: Ni marufuku kabisa kutaja majina ya wagonjwa wa Corona, Mwana FA, Sallam na Isabela walijitangaza wenyewe siyo Serikali - JamiiForums

37 - CORONAVIRUS: Naongeza miluzi ya tahadhari lockdown iharakishwe

38 - COVID-19 : Naibu Waziri wa Afya aipongeza JamiiForums kwa elimu iliyotukuka - JamiiForums

39 - Ushauri kwa serikali: Jumapili kama hii maeneo yenye msongamano wa watu kama kariakoo na kwingine nchini pangefungwa ili kupuliza dawa

40 - Familia ya Freeman Aikaeli Mbowe yathibitisha mwanafamilia kuwa na Corona

41 - Corona: Zanzibar yaonyesha ukomavu waweka itikadi pembeni Waziri wa afya kutoka chama cha upinzani aongoza mapambano!

42 - Freeman Mbowe ajitenga rasmi na familia akisubiri majibu ya Corona

43 - Rais Magufuli: Uchaguzi utafanyika, wapo wanaofikiri kwamba tutaahirisha. Nani anataka kukaa kwenye maofisi haya muda wote huo?

44 - Kutokuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na zinazochukuliwa na Serikali kuhusiana na Corona

45 - Hii ni aibu kubwa: Ndege tumenunua kwa keshi, vifaa vya kupambana na corona tumesubiri msaada wa Jack Ma

46 - DC Muro: Tumepata hoteli za kuwaweka karantini watakaobainika na ugonjwa wa Corona

47 - Waziri Ummy: Tanzania ina wagonjwa 13 wa Corona, 12 walitoka nao nje ya nchi na 1 kaupatia nchini

48 - Kote tumesikia lakini huku Tanzania mbona hatujasikia? - JamiiForums

49 - Wachungaji 2 mbaroni kwa kudai wanatibu Corona - JamiiForums

50 - Kuhusu Suala la Corona, Rais yupo sahihi sana - JamiiForums

51 - Tarime: Mbunge aamua kupambana na Corona kwa vitendo, asambaza Sanitizer na vifaa vya kunawia Jimbo zima - JamiiForums

52 - Hili la Corona Tanzania lina sura tata - JamiiForums

53 - Rais Magufuli ameendelea kuwapiga watu chenga ya mwili - JamiiForums

54 - Rais Magufuli yuko sahihi, tusitishwe na ugonjwa wa Corona - JamiiForums

55 - NIMR kimya juu ya COVID-19 - JamiiForums

56 - COVID 19 PANDEMIC: Tanzania imejiaandaaje? - JamiiForums

57 - Jeshi la Polisi Dar es Salaam linawashikilia mume na mkewe kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo kuhusu ugonjwa wa COVID 19 (CORONA) - JamiiForums

58 - Janga la korona ni vita kamili bajeti ya 202/2021 iangalie uwezekano wa stimulus package - JamiiForums

59 - Janga la COVID-19: Naipongeza Serikali kwa kukataa kuiga baadhi ya mbinu za ’Nchi za Magharibi’ - JamiiForums

60 - Covid-19: ugonjwa wa Corona ushauri wa bure kwako rais Magufuli - JamiiForums

61 - Corona: Idadi ya wagonjwa wa Corona yaongezeka Zanzibar sasa yafikia Watatu - JamiiForums

62 - Kwa hili la Corona, Magufuli anaenda kuonekana shujaa - JamiiForums

63 - Zitto awasilisha mapendekezo kuhusu namna bora ya kukabiliana na virusi vya Corona - JamiiForums

64 - Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out! - JamiiForums

65 - Serikali: Wagonjwa watano wathibitika kuwa na Virusi vya Corona na kupelekea kuwa na idadi ya wagonjwa 19 - JamiiForums

66 - Zitto: Transparency on data regarding current infections, new infections, critical patients and deaths is very important in dealing with the Corona - JamiiForums

67 - Wanafunzi wanaoonekana kwenye mabasi ya abiria wakamatwe wote kuepuka kuambukizwa wakati hawana shughuli mjini - JamiiForums

68 - Tanzania haijachelewa kufunga mipaka - JamiiForums

69 - Watanzania hatuwezi kuiga lockdown kama nchi za Ulaya - JamiiForums

70 - Maoni yangu kuhusu Serikali kukataza watu kutoka kwenye nyumba zao kupambana na Covid-19 - JamiiForums

71 - Serikali itumie njia hii kujikinga na Corona bila janga la njaa - JamiiForums

72 - Usafiri wa umma watakiwa kubeba abiria kwa idadi ya viti 'Level Seat' ili kupambana na mlipuko wa Virusi Corona - JamiiForums

73 - Spika Ndugai: Hali ya watanzania ni ngumu, ni maskini sana wanaishi kwa kubangaiza, tukifunga nchi hawataweza kula - JamiiForums

74 - Ushauri wangu kwa Serikali kuhusu CORONA - JamiiForums

75 - Ni kweli CORONA ni hatari tena hatari sana tuunganeni na Amiri jeshi mkuu wetu kwenye hii Vita kila mmoja wetu awe chachu ya Mabadiliko be the change - JamiiForums

76 - Kwa hatua hii ya BOT, naamini Sasa Magufuli naye Ameelewa COVID-19 is serious, tujiandae kwa Curfew/lockdown - JamiiForums

77 - Utabiri: Tanzania kwenda total lockdown mwezi April - JamiiForums

78 - Utabiri: Tanzania kwenda total lockdown mwezi April - JamiiForums

79 - Serikali ya Rais John Magufuli yathibitisha umahiri wake katika kupambana na corona na kuwalinda wananchi wake - JamiiForums

80 - Covid-19 ikifikia hatua ya nchi kuingia kwenye lockdown, haya ndio mapendekezo yangu - JamiiForums

81 - Ushauri: nini cha kufanya ndani ya siku 7 zijazo - JamiiForums

82 - Waziri Mkuu Majaliwa atembelea vituo vya kuhudumia wagonjwa wa corona ikiwemo Kibaha - JamiiForums

83 - COVID 19: Tanzania tuna mashine ngapi za kupumulia? Tumejipanga vipi? - JamiiForums

84 - Serikali iamue moja kuhusu kupambana na Corona - JamiiForums

85 - Corona Virus: Tanzania yafikisha wagonjwa 20 (Aprili 01, 2020) - JamiiForums

86 - CUF yasikitika Taarifa ya kisa cha kwanza cha mtu aliyefariki na Ugonjwa wa CORONA Tanzania - JamiiForums

87 - Mbeya waonywa kugeuza pombe dawa ya Corona - JamiiForums

88 - Serikali na Wizara ya Afya muwe makini na hizi quarantine mlizotenga kwa ajiri ya wagonjwa wa Corona - JamiiForums

89 - Kama hali ya corona Africa ni hii na Tanzania tuna wagonjwa 20 basi ni kweli tinaishi Eden - JamiiForums

90 - Corona na yaliyojificha nyuma ya pazia - JamiiForums

91- Ugonjwa wa Covid-19, Rais arekebishe kauli - JamiiForums

92 - RC Mwanri asimamisha likizo watumishi wapambane na Corona - JamiiForums

93 - Serikali isikubali kutangaza “total lockdown” au Karantine. Wanaoishawishi ama hawajui wanachokishauri au ni wabinafsi - JamiiForums

94 - CoronaVirus: Uhamiaji Tanzania yawaongezea Wageni muda wa kukaa nchini baada ya kushindwa kusafiri - JamiiForums

95 - Serikali itoe ruzuku kwa watu kukaa karantini - JamiiForums

96 - Serikali huenda IKAZUIA Shamrashamra za Pasaka, maadhimisho ya Muungano na sherehe za Mei Mosi mwaka huu 2020 - JamiiForums

97 - Update ya Corona April 2: wizara yatoa taarifa zaidi ya watu 500 wanafatiliwa wanaohisiwa kuwa na karibu na wagonjwa - JamiiForums

98 - Kwanza ndio kipindi cha kwanza dakika10 mechi ya COVID-19 vs Tanzania - JamiiForums

99 - Aliyetoroka karantini akamatwa Iringa - JamiiForums

100 - Vita dhidi ya Corona:Serikali ipeleke msuwaada Bungeni kwa hati ya dharura utakaotaka kila sehemu watu wanakoingia kupata huduma kuwe na sanitizer - JamiiForums

101 - Dodoma: Mkuu wa Wilaya, Patrobas Katambi ampa Masanja saa 24 kujisalimisha baada ya kuwahoji wananchi wa Dodoma kuhusu virusi vya Corona - JamiiForums

102 - Kuna uwezekano mkubwa wa LOCK DOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa - JamiiForums

103 - Mfumo wa Elimu Tanzania utakuwaje Juu ya janga hili la Corona au Covid-19 - JamiiForums

104 - Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar balozi Idd Seif yuko kwenye karantini ya Corona - JamiiForums

105 - Baadhi ya Wabunge wa Bunge la Tanzania lapendekeza makato ya mishahara kupambana na corona virus - JamiiForums

106 - Ushauri kwa serikali kuhusu COVID-19: "Fatality Rate" ndiyo kiwe kipimo cha athari zitarajiwazo za janga hili - JamiiForums

107 - Maboresho kutoka wizara ya afya juu ya kujikinga na corona - JamiiForums

108 - Nashauri Paul Makonda awekwe karantini! - JamiiForums

109 - Wananchi wazalendo wamcharukia January Makamba kuuliza swali hili Waziri kuhusu Corona - JamiiForums

110 - Tanzania’s mild response to COVID-19 and its implications for the 2020 elections - JamiiForums

111- Ipo haja ya kuangalia educational background ya wanaotoa maoni juu ya COVID 19 Tanzania - JamiiForums

112 - Zanzibar yatangaza maambukizi mawili huku wote wakitokea Tanga na kuingia Zanzibar - JamiiForums

113 - Hosteli za Magufuli kutumika kama karantini za kuweka wageni kutoka nchi zilizoathiriwa na Corona - JamiiForums

114 - SMZ yaridhia Taasisi zake kutoa likizo za lazima ili kupunguza misongaman. RC Makonda apiga marufuku wazururaji Dar es Salaam - JamiiForums

115 - Ukosefu wa vifaa vya kupima ugonjwa wa COVID-19 nchini ndio uhaba wa wagonjwa wapya Tanzania - JamiiForums

116 - Onyo kwa Tanzania juu ya mwenendo wa COVID-19 - JamiiForums

117 - Ummy Mwalimu na Faustine Ndugulile mmeamua kuua wananchi kwa kwa maamuzi ya kukurupuka? - JamiiForums

118 - Kilimanjaro: Mmoja ashikiliwa kwa tuhuma za kuchapisha na kusambaza taarifa za uongo kuhusu ugonjwa wa Corona - JamiiForums

119 - Abdul Kambaya: Mtazamo na ushauri binafsi kwa vyama vya siasa Tanzania kuhusu uchaguzi mkuu Oktoba na gonjwa la Corona/covid-19 nchini - JamiiForums

120 - Serikali yatangaza visa vipya vinne vya Corona nchini Aprili 6, 2020. Visa vyafika 24 - JamiiForums

121 - Abdallah Bulembo: Njia ya kukabiliana na Corona nchini ni Rais Magufuli kupita bila kupingwa 2020 - JamiiForums

122 - Mbunge amtaka Waziri Mkuu kumchukulia hatua Waziri aliyekataa kukaa Karantini pamoja na kuonesha viashiria vya Corona - JamiiForums

123 - RC Shigela: Wagonjwa wa Corona waliopatikana Zanzibar wakitokea Tanga huenda ugonjwa huo walipatia ndani ya boti au gatini Unguja - JamiiForums

124 - Serikali: Wakuu wa Mikoa na wilaya waache kutoa matamko kuhusu Corona - JamiiForums

125 - Coronavirus: Tanzania bila lockdown tutakufa tuishe - JamiiForums

126 - Mamlaka za Tanzania haziko makini kupambana na Corona, inakuwaje mgonjwa anatua JNIA anakwenda Mwanza na hakuwekwa karantini? - JamiiForums

127 - Coronavirus – Tanzania: 289 Beat COVID-19 Threat as Measures Pay Off - JamiiForums

128 - Wageni bado wanatimba tu nchini mwetu, ee Mungu tunusuru na Corona - JamiiForums

129 - Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Waziri Zanzibar aliyekataa kukaa karantini apelekwa kwa nguvu - JamiiForums

130 - Pendekezo: Watumishi wa umma tukatwe mishahara walau asilimia 2 pesa ikasaidie serikali kupambana na korona - JamiiForums

131 - Serikali ianze msako wa nyumba kwa nyumba wanaokimbia Corona Kenya - JamiiForums

132 - Mpaka wa Tanzania na Kenya sasa unahitaji umakini - JamiiForums

133 - Wadau Wamkabidhi Waziri Mkuu Sh. Bil 6.226 Kukabili Corona - JamiiForums

134 - Serikali yapokea msaada kukabiliana na Corona (COVID-19) - JamiiForums

135 - Wakenya 35 wakamatwa Tarime na kuwekwa chini ya Karantini - JamiiForums

136 - Waziri Ummy Mwalimu: Maambukizi COVID-19 ya ndani kwa ndani yameanza, Watanzania wajiandae kwa maambukizi ya Jumuiya - JamiiForums

137 - Kauli za sasa za Waziri wa Afya Ummy Mwalimu kuhusu CORONA zimeshaanza Kuzua ' taharuki ' nchini, hivyo ama adhibitiwe au ajiuzuru upesi - JamiiForums

138 - Serikali ifungue shule na vyuo hapa nchini, Corona si janga Tanzania - JamiiForums

139 - Mbinu ya kupunguza misongamano makanisani kipindi cha Pasaka na siku zijazo - salamu zangu za Pasaka - JamiiForums

140 - Corona: CHADEMA yaamua watendaji wake kufanyia kazi nyumbani isipokuwa wakuu wa idara, yasimamisha vikao visivyo na ulazima - JamiiForums

141 - Janga la corona: Serikali iseme mapema kama itafungua vyuo na mashule au itaongeza muda watu wajipange - JamiiForums

142 - Serikali yathibitisha uwepo wa wagonjwa wapya watano wa COVID-19 nchini. Jumla yafikia 32, watatu wafariki dunia - JamiiForums

143 - CHATO: Rais Magufuli asema Serikali haitafunga mipaka wala kuwazuia watu kutoka ndani ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona - JamiiForums

144 - Hivi kwanini taarifa ya Corona kwa Tanzania bara na Zanzibar isiwe moja tu? - JamiiForums

145 - Hili si shwari kabisa kwa Tanzania. Idadi ya wanaokufa ni kubwa ukilinganisha na uwiano wa wagonjwa - JamiiForums

146 - Mwanafunzi wa UDSM akamatwa kwa kusambaza taarifa na Takwimu za uongo za Covid-19 WhatsApp - JamiiForums

147 - Kipindi hiki cha janga la COVID19 waandishi wa habari Tanzania mmeonesha udhaifu mkubwa sana - JamiiForums

148 - Suala la kufunga shule/vyuo alafu ukaacha kuzuia mikusanyiko kwenye Bar, sokoni, ukaacha mipaka wazi, ukaacha shughuli nyingine kuendelea, Mimi sioni - JamiiForums

149 - Rais Magufuli, Hatari ya ugonjwa wa Corona ni kubwa na wala si ya kubeza. Hatutaki tuwe Milan au New York - JamiiForums

150 - Rais Magufuli, kuna hatari tukapata aibu ya kulazimishwa na Jumuia ya Kimataifa - JamiiForums

151 - Hizi ndio sababu za kutofunga mipaka na kuweka movement restrictions - JamiiForums

152 - Ni kwanini viongozi wa Tanzania wamegoma kukatwa mishahara yao ili zisaidie kupunguza kasi ya ugonjwa wa corona? - JamiiForums

153 - Mtazamo: Poor handling ya COVID-19 katika nchi fulani inaweza kuja kupelekea anguko kubwa la chama tawala katika Taifa hilo - JamiiForums

154 - Watanzania tuacheni ujuaji kipindi hiki cha Corona. - JamiiForums

155 - Rais Magufuli, pamoja na Corona unayo nafasi ya kuiunganisha nchi - JamiiForums

156 - Je, Chadema hawaelewi maana ya Lockdown? - JamiiForums

157 - Tanzanian university student arrested over spreading COVID-19 rumour - JamiiForums

158 - Anga la Tanzania lafungwa kwa safari zote za abiria za kimataifa - JamiiForums

159 - Freeman Mbowe(KUB): Wafe watu wangapi ndio muone kwamba ni janga? - JamiiForums

160 - January Makamba: Nimetumia janga la Ugonjwa COVID-19 kujifunza masuala kutoka kwenye maandiko ya kitaaluma - JamiiForums

161 - Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32 - JamiiForums

162 - Taarifa za Mawaziri wa Afya hazituoneshi mikakati zinatupa Datas tu - JamiiForums

163 - COVID-19 Imetukuta Watanzania kipindi kibaya sana. Pray for the nation - JamiiForums

164 - Coronavirus:Serikali wekeni lockdown kwenye majiji,watu wameanza kuhamia vijijini - JamiiForums

165 - Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19 - JamiiForums

AFRIKA MASHARIKI

- Kenya wagonjwa wa Coronavirus waongezeka na kufikia 15. Mipaka yafungwa

- Uganda yatangaza mgonjwa wa kwanza wa Corona

- Uganda confirms 8 more cases of Coronavirus, raising the total to nine (9)

- Museveni: Tumeamua kufunga mipaka yote kwa sasa baada ya mgonjwa wa kwanza wa corona kubainika

- President Museveni orders 30 days shutdown of churches/schools/etc of COVID-19

- Corona: Wakati Tanzania imetangazwa mabasi yapakie level seat huko Kenya matatu zaagizwa kupakia 60% ya uwezo wake

- President Museveni suspends use of public transport as coronavirus cases in Uganda rise to 14

- Vita dhidi ya Corona: Rwanda ni mfano wa kuigwa Afrika na wanaweza kusalimika iwapo gonjwa hili litakuwa tiishio na hapa Afrika

- CORONA VIRUS: Kenyatta ndio Rais pekee aliyejipanga kuwanusuru wananchi wake kiuchumi - JamiiForums

- Coronavirus: Mtoto wa miezi 10 miongoni mwa visa vipya vya virusi vya corona Rwanda

- Germany loses six million coronavirus face masks in Kenya ... Jamaneni!!!

- Kenya na Mlipuko wa Covid19: Nini faida na hasara za kujifunza kwa maamuzi ya haraka waliyochokua? - JamiiForums

- Mombasa: Wafungwa 180 watolewa gerezani ili kuondoa msongamano na kudhibiti maambukizi ya Corona - JamiiForums

- Wizara ya afya yazuia maduka ya dawa na Wakemia kuuza Chloroquine kwa watu wasio na kibali cha daktari - JamiiForums

- Coronavirus cases in Kenya rise to 31, Gov't monitoring 906 close contacts - - JamiiForums

- Hii njia ya Kenya, Uganda, Rwanda na mataifa mengine hasa ya Africa kupambana na Corona inachekesha - JamiiForums

- Uganda: Wawili wapigwa risasi kwa kukiuka amri ya Rais ya kutotumia usafiri wa umma - JamiiForums

- Kudhibiti Covid-19 hakuhitaji hatua za kukurupuka, taharuki wala kuiga: kilichotokea leo Kenya nilitahadharisha siku ya kwanza - JamiiForums

- Mapambano ya Corona Kenya na Uganda ni hatari sana kwa maambukizi ya Corona - JamiiForums

- Kinachoendelea Kenya ni uzalilishaji, ukatili na ujinga dhidi ya walipa kodi - JamiiForums

- Wagonjwa wa Corona nchini Rwanda wafikia 70 - JamiiForums

- Kenya: Idadi ya walioambukizwa Corona yafikia 50 - JamiiForums

- Rubani Mwandamizi wa Kenya Airways afariki kwa #COVID19 - JamiiForums

- Uganda yenye wagonjwa 33 yatangaza " lockdown" kwa siku 14, Kenya yenye wagonjwa 50 bado viongozi hawajui la kufanya - JamiiForums

- Coronavirus: Burundi yatangaza kuwa na wagonjwa wa corona kwa mara ya kwanza - JamiiForums

- The number of confirmed coronavirus cases in Kenya has risen by 22 bringing the total number in the country to 81. - JamiiForums

- RWANDA: Lockdown yashindwa kuzaa matunda, Kagame aamua kuongeza wiki mbele za watu kujifungia - JamiiForums

- Health CS Mutahi Kagwe announces 29 more cases of coronavirus in Kenya, total at 110 - JamiiForums

- Rwanda imezuia mishahara ya Mawaziri, Makatibu Wakuu, Viongozi wa Idara na viongozi wengine Serikalini, pesa zimeelekezwa kupambana na COVID-19 - JamiiForums

- Rais Kenyatta atangaza visa 16 vipya vya Corona, idadi sasa yafika 158 na vifo 6. Afunga Kaunti za Nairobi, Kilifi, Kwale na Mombasa - JamiiForums

- 10-Year Jail Sentence for Kilifi DG - Uhuru Recommends - JamiiForums

- Msafiri kutoka Tanzania apatikana na Corona Kenya. Idadi yafikia 172 - JamiiForums

- Kenya yaanza kutengeneza vifaa vya kupima Corona, vyenye uwezo wa kutoa matokeo ndani ya dk 15 - JamiiForums

- Kenya yaanza kupima wahudumu wote wa afya, nchi yote iwe daktari au muuguzi, na watapewa makazi mapya - JamiiForums

- Wakenya wanatumia njia za panya kuepuka "lockdown" - JamiiForums

- As a sign of giving up the fight, Kenyans should prepare themselves for the worst! - JamiiForums

- Kenya's MPs tested positive for COVID-19 - JamiiForums

- Serikali ya Kenya yawapa vijana wabunifu hela wakamilishe prototype ya ventilator - JamiiForums

- Kenya kutumia mawakala wa mitandao ya simu kugawa barakoa (masks) - JamiiForums

- Kenya kutumia ndege zisizokua na rubani (drones) kunyunyiza dawa - JamiiForums

- Mkenya aliyesafiri kutokea Tanzania akutwa na Corona,wengine wanne wathibitishwa.Kifo kimoja chatangazwa - JamiiForums

- Corona: Waganda washitushwa na kasi ya maambukizi ya Kenya, washauriana kutotembelea Kenya - JamiiForums

- Wagonjwa watatu wa COVID-19 wadaiwa kupona, wataruhusiwa kutoka Hospitali hivi karibuni - JamiiForums

- Madaktari Kenya wasambaza virusi vya Corona kutokana na uzembe na Elimu ndogo waliyonayo - JamiiForums

- Rwanda: Idadi ya wagonjwa wa COVID-19 yafikia 118, wagonjwa saba wapona - JamiiForums

- Raia wa kigeni wahonga wanausalama wa Uganda ili kuingia nchini humo - JamiiForums

- Kenya Coronavirus Update - JamiiForums

- Kuanzia wiki ijayo, Kenya itakuwa na uwezo wa kupima sampuli 35,000 za Korona kwa 24Hrs kutoka sampuli 600 - JamiiForums

- Naomba ifanywe kwa dharura: Napendekeza kuanzia Jumamosi iwe ni marufuku mtu kutoka nje ya nyumba yake bila kufunika uso kwa kitambaa/ barakoa/ scarf - JamiiForums

- Mmemsikia Mzee wa Kunyoosha Maelezo bila Unafiki, Kufichaficha wala Kuogopa? - JamiiForums

- Kenya: Wanawake wawili wafariki baada ya mkanyagano wakati wa kupokea chakula cha msaada - JamiiForums

- Mbunge atiwa mbaroni kwa kukiuka curfew - JamiiForums

- Wakati Kenya ikishindwa kusimamia ugawaji wa chakula na kusababisha vifo kwa kukanyagana, Uganda yawatumia wanajeshi kugawa chakula. - JamiiForums

- https://www.jamiiforums.com/threas/...ikali-kukabiliana-na-janga-la-corona.1713629/

KIMATAIFA

- Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

- Fahamu hatua zilizochukuliwa na mataifa mbalimbali Duniani katika kukabiliana na janga la Covid-19

- Hali yazidi kuwa mbovu Iran, kuwaachia wafungwa 10,000

- Urusi: Daktari anayetuhumiwa kusambaza virusi vya #COVID19 kufungwa jela

- Ulaya & USA Ifanye toba dhidi ya corona

- China ilazimishwe na dunia nzima kuwajibika kwa kuanza na kusambaa kwa virusi vya corana na madhara yake kiuchumi na kijamii kama Ujerumani ya Hitler

- Nchi za Magharibi zazidi kushangazwa na kinga waliyokuwanayo WaAfrika dhidi ya virusi vya Corona

- Italia yaipiku China kwa idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19

- Tanzia: Mwanamuziki mkongwe wa Soukous, Aurlus Mabele afariki dunia. Coronavirus yahusishwa

- China inajidanganya tena na inadanganya ulimwengu

- Corona Virus :Pray for Italy and Iran - JamiiForums

- Kuwapo kwa watu wazima wengi imechangia nchi ya Italia kuathirika zaidi na virusi vya Corona - JamiiForums

- China: Virusi vingine (Hanta Virus) vyaua mmoja, wengine 32 wapimwa kuona kama wana maambukizi - JamiiForums

- Italia: Muuguzi (Nurse) amejiua kwa kuhofia kuambikiza wengine baada ya kugundulika ana maambukizi ya Corona - JamiiForums

- Dunia ijihadhari na taifa la China; yadaiwa Corona ilikuwepo muda mrefu sana - JamiiForums

- Corona Virus: Idadi ya vifo Hispania yafikia 3,434. Nchi hiyo ina vifo vingi zaidi ya China - JamiiForums

- Italia: Kwa siku ya leo watu 651 wamefariki, Pia Kansela wa Ujerumani yuko karantini - JamiiForums

- Huko Spain watu 738 wameaga dunia kwa masaa ishirini na minne. Wakenya na Watanzania tuwe makini ili majanga haya yasitupate - JamiiForums

- Mwanamuziki nguli wa Cameroon Manu Dibango afariki kwa Corona - JamiiForums

- Afrika Kusini maambukizi ya Corona yafikia 700 - JamiiForums

- Idadi ya vifo kutokana na Ugonjwa wa Corona USA vyafikia 1,000 - JamiiForums

- Corona yafunga msikiti wa mtume kwa Mara ya kwanza

- Marekani yaipiku Italia na China kuhusu Corona - JamiiForums

- Australia yazuia matumizi ya pesa za noti na coins kwa hofu ya kuambukiza corona - JamiiForums

- Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson apata maambukizi ya CoronaVirus - JamiiForums

- Ubalozi wa Marekani kuwaondoa raia wake Tanzania kwasababu ya Corona na kuwarudisha kwao - JamiiForums

- All Americans to return to the USA now- Tz - JamiiForums

- Serikali ya Tanzania yapokea Tsh. 1.185 Bilioni kutoka kwa Wadau ili kupambana na Corona. Yabaibisha akaunti ya benki kwa anayetaka kuchangia - JamiiForums

- Trump amekuwa mpole kwa Rais wa China Xi - JamiiForums

- South Africa na Rwanda mataifa yaliyodhamiria kuondokana na Corona - JamiiForums

- Marekani Waiomba China msaada - JamiiForums

- Marekani yakadiria kwa uchache watu wake laki moja watakufa kutokana na Corona - JamiiForums

- Italy Death due to Corona Reached 10799 - JamiiForums

- Belarus nchi pekee shughuli zinaendelea pamoja na uwepo wa mlipuko wa COVID-19 ulimwenguni - JamiiForums

- Botswana nchi iliyokuwa haina wagojwa wa Corona leo mambo yamekuwa sivyo - JamiiForums

- Brazilian President Bolsonaro rejects calls for Coronavirus lockdown, says 'we're all going to die one day' - JamiiForums

- Testing Kits Heading To The UK Contaminated With Coronavirus - JamiiForums

- China ina wagonjwa wapya 48 wa #covid19 Kenya imepata maambukizi mapya 9 - JamiiForums

- Dyson have made ventilators and are working well on patients - JamiiForums

- Vyombo vya habari vya Marekani vinatuhumiwa kuuza idadi ya vifo vinavyotokana na Virusi vya Corona kwa lengo la kumhujumu Rais Trump - JamiiForums

- Kirusi chaibuka Wuhan upya, mwanafunzi atokea UK nacho - JamiiForums

- Coronavirus: Watu 172 wamepoteza maisha barani Afrika - JamiiForums

- Reuters: Namba ya vifo vinavyoripotiwa italy haiakisi uhalisia, idadi sahihi yaweza kuwa ni mara nne ya vinavyoripotiwa - JamiiForums

- Marekani: Vifo vya corona vyafikia 4000, watu 900 wamefariki jana pekee - JamiiForums

- Urusi yaisaidia Marekani kupambana na corona - JamiiForums

- Ufaransa yaripoti vifo vipya 1355, yawa nchi ya kwanza kwa vifo vingi ndani ya siku moja - JamiiForums

- Rais Putin kuzuia watu wasiende kazini na kuendelea kuwalipa mishahara - JamiiForums

- Eto'o Awajia Juu Maprofesa Wa Ulaya kuhusu chanjo ya COVID-19 kufanyiwa majaribia Afrika - JamiiForums

- USA: COVID-19 Update 3/3/2020; Jumla ya wagonjwa 272,998, maambukizi mapya 28048, waliokufa Leo +934 Jumla ya Vifo 7004 - JamiiForums

- Covid-19 Janga Kubwa Ulaya Magharibi Na Mashariki - JamiiForums

- India: Watoto mapacha waitwa majina ya Corona na Covid! - JamiiForums

- Iran yazindua mfumo mpya wa kupima COVID-19 - JamiiForums

- Muendelezo wa walioidharau Corona: Brazil nayo yakumbwa na maafa, sasa waanza kujutia - JamiiForums

- Vifo kutokana na virusi vya corona duniani vyafikia 65,000 - JamiiForums

- DRC imeingia makubaliano na Marekani pamoja na China ufanyikaji wa majaribio ya kinga ya Corona nchini mwao - JamiiForums

- Hizi kelele za mabilionea na viongozi wa kiafrika kukataa majaribio ya chanjo ya Covid 19 siyaafiki - JamiiForums

- Coronavirus: UK Prime Minister admitted to hospital over virus symptoms - JamiiForums

- Wanaijeria wenye uraia wa Marekani wajitokeza kwa wingi kuliko wamarekani wenyewe, baada ya Marekani kutaka kuwa-evacuate raia wake - JamiiForums

- Libya: Waziri Mkuu wa zamani aliyeongoza mapinduzi yaliyomuondoa Gaddafi madarakani afariki dunia kwa Virusi vya Corona - JamiiForums

- Fact Check: Truth of corona conspiracy theory behind arrest of Harvard professor - JamiiForums

- Waziri mkuu wa Uingereza, Boris Johnson apelekwa chumba cha watu mahututi ICU - JamiiForums

- Japan: Waziri Mkuu, Shinzo Abe atangaza hali ya dharura kwa mwezi mmoja - JamiiForums

- Corona; Ufaransa yahodhi shehena ya mask zilizokuwa zipelekwe Italy na Spain - JamiiForums

- Buhari kanasa kwenye Korona anatibiwa Cuba kisirisiri - JamiiForums

- MAREKANI: Wataalamu wahusisha nchi zenye chanjo ya BCG na maambukizi machache ya Corona - JamiiForums

- Corona imeanza mbinu za kujificha kwenye mwili, kiasi waathirika kuachiwa kwamba wamepona kisha inawaibukia upya - JamiiForums

- Spanish government to isolate asymptomatic Covid-19 patients - JamiiForums

- "It in not Corona Virus Pandemic "they want to implant Digital ID in people ...Pastor Chris Oyakhilome - JamiiForums

- Rwanda: Mawaziri, Makatibu Wakuu na viongozi wengine wa juu kutopokea mishahara ya Aprili. Pesa zimeelekezwa kupambana na COVID-19 - JamiiForums

- Trump aagiza utaifishaji wa vifaa vya kupambana na Korona - JamiiForums

- "The Vaccine will not be Tested in South Africa " President Ramaphosa . - JamiiForums

- Nchi za Magharibi zazidi kushangazwa na kinga waliyokuwanayo WaAfrika dhidi ya virusi vya Corona - JamiiForums

- Meet Chales Liebar a Doctor allegedly created Corona Virus.... - JamiiForums

- Bodies placed on roadside like Dirty ,Boxes used as Cofins as Deaths becomes Un imaginable... - JamiiForums

- Rais wa zamani wa Chad aliyefungwa maisha baada ya kushtakiwa kwa ukiukwaji wa haki za binadamu aachiwa kwa miezi miwili kutokana na Corona - JamiiForums

- Marekani: Watu zaidi ya1900 wamekufa kwa corona jana pekee, jumla ya vifo ni zaidi ya 12,800, maambukizi zaidi ya 400,000 - JamiiForums

- China: Mji wa Wuhan wafunguliwa baada ya siku 76, watu zaidi ya 65,000 waondoka ndani ya masaa - JamiiForums

- Marekani yaendelea kuvutana na China kwenye janga la Corona, yahamishia lawama kwa Shirika la Afya-WHO - JamiiForums

- Does the UK conceal the World.? - JamiiForums

- China yaripoti visa vipya vya corona 62 na vifo 2 - JamiiForums

- Ethiopia yatangaza hali ya dharura - JamiiForums

- Watoto wachanga 10 waambukizwa Corona nchini Romania - JamiiForums

- Uingereza kukosa msaada wa kupambana na Corona kutokana na kujitoa Umoja wa Ulaya - JamiiForums

- Waafrika waanza kufukuzwa kutoka China, hawaruhusiwi kwenye mahoteli au maeneo ya wazi - JamiiForums

- Maprofesa wa corona: Visa vya corona haviakisi uhalisia wowote, Jikite kwenye idadi ya vifo na wagonjwa waliopo hospitali - JamiiForums

- Nigeria yaanza msako wa waathirika na kupima, nyumba kwa nyumba, mlango kwa mlango - JamiiForums

- Botswana: Bunge zima lawekwa karantini ya Corona baada ya muhudumu kugundulika ana maambukizi ya Covid 19 - JamiiForums

- Kwa Mh. Trump hali yazidi kuwa tete. Yaongoza kwa vifo - JamiiForums

- Robert F Kennedy Jr. Exposes Bill Gates Vaccine Dictatorship plan-Cites Gates twisted "Messiah Complex" - JamiiForums

- USA yaonyesha uwezo mkubwa dhidi ya COVID-19 - JamiiForums

- Jaji wa mahakama na kanali wa jeshi wakamatwa Kenya kwa kukiuka curfew - JamiiForums

- DRC wakumbwa na Ebola huku bado wakihangaika kwa Corona - JamiiForums

- Chief of Staff wa Rais Wa Naijeria alivyopata COVID-19 - JamiiForums

- CNN and Coronavirus: Africa in existential threat - JamiiForums

- USA The world leader in Everything including contractracted Covid-19 patients and deaths tolls to 20577 more than any country in the world - JamiiForums

- New York, Marekani: Shule kufungwa kwa muhula mzima wa masomo kutokana na Corona Virus - JamiiForums

- China imepeleka tani za madawa na vifaa Urusi ili kupambana na Corona - JamiiForums

- China yakemea vitendo vya ubaguzi nchini humo dhidi ya Waafrika - JamiiForums

- Watu 42,000 wapona Korona nchini Iran - JamiiForums

- Watu wasiopungua 2000 wamekufa kwa corona nchini Marekani - JamiiForums

- China yazuia yeyote kuandika au kuhoji chimbuko la Corona au kutoa takwimu zozote - JamiiForums


KIUCHUMI

- Serikali yawataka watalii waliopanga kuja nchini kuahirisha safari hadi hapo Corona itakapodhibitiwa - JamiiForums

- Polepole: Hatuwezi kuzuia watalii kwa sababu ya Corona, tutapambana nayo kama tunavyopambana na Upinzani. Nchi inategemea watalii - JamiiForums

- Ufuta na huu upepo wa korona. Je, kuna faida mwaka huu au tujiandae na maumivu? - JamiiForums

- Mrutu: Stendi za mabasi ya mkoa na daladala wawepo wasafiri pekee wafanyabiashara waondolewe kupunguza msongamano - JamiiForums

- Zanzibar yasimamisha safari za ndege za Kimataifa - JamiiForums

- Watu wa umma jianadae Kisaikolojia, Magu Ameshapata Sababu ya Kutowaongeza Mishahara na kama Akipita Uchaguzi wa 2020 msubiri mpaka 2026 mtapandishiwa - JamiiForums

- anguko la soko kwa wadangaji kwa kipindi hiki cha corona - JamiiForums

- Hotel za kitalii katika mbuga zafungwa hadi mwezi June, wafanyakazi watakiwa kurudi makwao - JamiiForums

- Baada ya corona kushika kasi na kuathiri ujio wa ndege kutoa nje ya nchi,mashirika ya ndege yanayoendelea na safari za humu nchini hayajaathirika? - JamiiForums

- Vile mitandao ya simu ilivyofanya Corona kama biashara ya kuwakamua wateja - JamiiForums

- Corona: Sekta ya Utalii itaporomoka sana Duniani hata baada ya ugonjwa kudhibitiwa - JamiiForums

- Tofauti ya Mkatati wa kunusuru uchumi ulioathirika na KORONA Marekani na Ulaya hii hapa! - JamiiForums

- Wazee wa kubet mnaishije na hii COVID-19? - JamiiForums

- Watumishi wa umma mpo tayari kwa likizo isiyo na mshahara? - JamiiForums

- Serikali iunde sera madhubuti kusaidia wafanyakazi na wananchi kwa ujumla kujikimu wakati huu wa kupambana na Covid-19 - JamiiForums

- Naibu Waziri: Marufuku kufunga minada ya ng'ombe na samaki kwa kisingizio cha Corona - JamiiForums

- Jiulize maswali Haya kabla ya kuchangia pesa ya Covid-19 - JamiiForums

- Afrika huu ndio wakati wa kuikuta Ulaya na Marekani Kiuchumi - JamiiForums

- Corona isiwe sababu ya kutolipana madeni jamani - JamiiForums

- Maisha ya Mtanzania na total lockdown - JamiiForums

- Tujipange wakati tukisubiria mipaka ya nchi kufungwa na watu kutoruhusiwa kutoka 'lockdown' - JamiiForums

- Baada ya janga la Corona kutikisa uchumi, taasisi za kibeberu zimekaa mkao wa kula kusubiri mataifa yakakope - JamiiForums

- Hivi ndivyo China ilivyotengeneza COVID-19 kuangamiza watu ili kuidhibiti dunia kiuchumi - JamiiForums

- Ishauri serikali nini ifanye kupunguza athari za COVID-19 kwa nchi na maisha ya wananchi - JamiiForums

- Wafanyabiashara 650 waomba kufunga biashara TRA - JamiiForums

- Tanzania tumejiandaa kiasi gani na matokeo ya anguko la Uchumi baada ya Corona - JamiiForums

- DC aagiza kufungwa biashara ya yeyote atakayepandisha bei vitakasa mikono - JamiiForums

- Wazo la Makonda siyo baya ila lianze na Serikali kuonesha mfano - JamiiForums

- Unafanyeje biashara kipindi hiki cha Corona? - JamiiForums

- Kupitia Jukwaa hili,kila alie tayari aeleze jinsi Corona ilivyomuathiri kiuchumi na kijamii - JamiiForums

- Tunaiomba Serikali iondoe bili za umeme na maji - JamiiForums

- Wakisamehewa kodi, nao pia wapunguze bei za bidhaa - JamiiForums

- Sekta ya Utalii Tanzania ijiandae kwa maisha ya Corona na baada ya Corona - JamiiForums

- Usafiri wa level seat lazima uratibiwe - JamiiForums

- Mabasi ya wanafunzi yapewa kibali cha kuwa Daladala kwa muda wa miezi mitatu kukabili uhaba wa usafiri uliosababishwa na " level seat" - JamiiForums

- Corona ilivyosababisha ununuzi mwingi wa Bunduki USA - JamiiForums

- COVID19 to be the worst economic cricis in IMF history - JamiiForums

- Serikali ifikirie namna ya kuwasaidia wanavyuo ambao wengi wao walikuwa wamepanga vyumba, bila kufanya hivyo mali zao watazikuta nje - JamiiForums

- Ghana: Serikali yapandisha mishahara, hakuna kulipia bili za maji kwa miezi mitatu (April, May na June) - JamiiForums

- Covid-19 inawatesa hawa kiuchumi - JamiiForums

- Baraza la Mawaziri SADC, Laridhia Usafirishaji wa Bidhaa Muhimu, Kudhibiti Maambukizi ya Corona - JamiiForums

- Corona kusababisha condom kutoweka - JamiiForums

- Nakuomba Rais Magufuli; Tafuta fikra mbadala ili kujenga uchumi na kukuza biashara kimkakati kama Farao wa Misri katikati ya changamoto ya Covid 19 - JamiiForums

- Rais Museveni atoa onyo kwa wenye nyumba, ataka wapangaji wasifukuzwe wakati huu wa mlipuko wa Corona - JamiiForums

- England ends 5G contract with Chinese firm after test Units were tested Corona Virus Positive . - JamiiForums

- Exposed: Bill Gate and the secret behind COVID-19 . - JamiiForums

- Mataifa ya nje yaanza kuondoa mitaji yao China - JamiiForums

- Afrika kutetereka kiuchumi kutokana na Covid-19 - JamiiForums

- IMF: There is tremendous economic crisis unceternities since great depression - JamiiForums

- Kama tunaandaa Bajeti pasipo kuzingatia athari za Corona, sitashangaa siku moja tukalazimika kuwa na Bunge la dharua ku-review upya Bajeti yetu - JamiiForums

- Afrika Kusini: Mshahara wa Rais, Mawaziri kupunguzwa kwa 33%, fedha zitatumika kukabiliana na janga la Corona - JamiiForums

- Dkt. Kigwangalla: Sekta ya Utalii ndiyo inayoongoza kwa kuathirika sana kufuatia kuingia kwa Covid 19 - JamiiForums

- Wamarekani 5,000 waishtaki China, wadai walipwe senti kwa senti - JamiiForums

- US ready to block Iran's requests for coronavirus aid from the IMF, officials say - JamiiForums

- World Bank: Anti Corona policy response: why copycat may not work in Kenya, South Africa - JamiiForums

- Corona inafanya tuwe na subira tusiyojua deadline yake - JamiiForums

- Kenya Hawana Chakula - Baada ya kufunga mpaka - JamiiForums

- Uchumi wa Afrika kuporomoka - JamiiForums

- Uchumi wa China wadorora kwa 6.8% kutokana na Coronavirus - JamiiForums

MICHEZO

- Wallace Karia: Wachezaji watakaosafiri nje hawataruhusiwa kurudi - JamiiForums

- Paolo Maldini na mwanawe Danielle Maldini wamekutwa na virusi vya Corona - JamiiForums

- ATHARI Za CORONA: Ligi 3 za madaraja ya chini Uingereza zafutwa - JamiiForums

- FIA yasimamisha michezo yote ya mbio za magari na pikipiki Kwa sababu Corona. - JamiiForums

- Corona Virus: Michuano ya Olimpiki iliyopangwa kufanyika Julai mwaka huu nchini Japan mbioni kuahirishwa - JamiiForums

- Coronavirus: Premier League clubs to meet on Thursday to discuss strategy. - JamiiForums

- NBA yamesimamisha ligi kwa sababu ya Coronavirus - JamiiForums

- TANZIA: Kocha kijana afariki kwa Corona - JamiiForums

- Liverpool inaweza Ikakosa ubingwa endapo coronavirus vikiingia Uingereza - JamiiForums

- Michuano ya soka England yasitishwa hadi Aprili 3 kutoka na Corona - JamiiForums

- Kocha wa Arsenal FC, Mikel Arteta akutwa na Ccorona (covd 19) - JamiiForums

- Beki ya Juventus Daniele Rugani aambukizwa virusi vya corona - JamiiForums

- Ligi zote barani ulaya ziwe suspended kwa sababu ya Corona kama walivyofanya Serie A - JamiiForums

- Mashabiki kuzuiwa kuhudhuria mechi za ligi za Uhispania kwa hofu ya Corona - JamiiForums

- Man City vs Arsenal postponed after Olympiakos owner tests positive for coronavirus - JamiiForums

- Msimu wa 2019/2020 ligi kuu nchini Italia hatarini kuishia njiani - JamiiForums

- Seria A yasimamishwa hadi April - JamiiForums

- Daktari ajinyonga baada ya kukutwa na corona - JamiiForums

- Coronavirus: World Bank predicts sub-Saharan Africa recession - JamiiForums


UJUMLA

- Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus) - JamiiForums

- Fahamu Machache kuhusu Corona Virus - JamiiForums

- Fahamu hatua zilizochukuliwa na mataifa mbalimbali Duniani katika kukabiliana na janga la Covid-19 - JamiiForums

- Corona Virus imetengenezwa? Virusi hivyo vilibashiriwa katika Kitabu mwaka 1981 - JamiiForums

- Faida za Ugonjwa Wa Covid 19 Duniani - JamiiForums

- Dhana mbalimbali zilizojengeka katika Jamii kuhusu maambukizi ya Virusi vya Corona - JamiiForums

- Corona imekuja kuumbua uongo wa dini - JamiiForums

- Tusaidie watu wetu kupambana na COVID-19 Kwa Tech - JamiiForums

- Stimulus ya Coronavirus haikwepeki kwa walalahoi na itoke Barrick Gold - JamiiForums

- Corona ni hatari isifanyiwe maigizo - JamiiForums

- Kirusi kinachotisha kuliko Corona ni uoga/ hofu - JamiiForums

- Utafiti mpya wa kisayansi wa Covid19 – Msaada mkubwa wa kujikinga na kuzuia maambukizi kwa wengine - JamiiForums

- Kuna kila dalili Coronavirus haidumu kwenye nchi za joto - JamiiForums

- Mwongozo wa kufanyia kazi Nyumbani wakati huu wa Mlipuko wa Corona - JamiiForums

- COVID-19 ni ushahidi kuwa Madaktari na Manesi ni kada zinazostahili kulipwa vizuri sana na pengine kuliko kada zingine zote - JamiiForums

- Kupitia Corona Serikali za Dunia inabidi zijifunze kwamba afya ndio mtaji wa nchi kujiendesha - JamiiForums

- Wazungu wafanye hima waigundue dawa - inakisiwa raia wa Uingereza milioni moja watakua na mdudu ndani ya wiki chache zijazo - JamiiForums

- mizaha na mazoea ndicho kitakacho ighalimu Tanzania dhidi ya Covid-19 - JamiiForums

- COVID-19 inavyoacha funzo la dunia bila anasa inawezekana - JamiiForums

- Watu kusalia majumbani (total lockdown) hakuepukiki, ndiyo njia pekee ya uhakika itakayo tunusuru na kusambaa kwa Corona nchini - JamiiForums

- Corona imedhihirisha nchi serious kwenye maendeleo na wasindikizaji ni zipi. Sisi Tanzania, tumeukiri huo ukweli kwa vitendo, kwamba tunasindikiza - JamiiForums

- Boss Mchina anavyotuhangaisha sababu ya Corona na kuonesha ubaguzi kipindi hiki kigumu - JamiiForums

- Serikali zinazojali wananchi tutazijua kupitia Corona - JamiiForums

- Televisheni za kimataifa: CNN, BBC, Aljazeera nk zinaleta taharuki, zifungiwe kwa muda wa mwezi mmoja! - JamiiForums

- Kwanini Zanzibar inakuwa mbele kutoa taarifa za Corona kuliko Tanzania bara? - JamiiForums

- Funzo muhimu na faida toka darasa la corona virus - JamiiForums

- Exposed: Jitihada zinazofanyika dhidi ya Corona ndo zinakuja kuwa tishio kwa Afrika! - JamiiForums

- Waafrika Kusini mwa jangwa la sahara hatuko na kinga dhidi ya COVID 19 - JamiiForums

- https://www.jamiiforums.com/threads/covid-19-ni-ugonjwa-uliopangwa-na-mungu-au-shetani.1707830/

- Rais Magufuli, waombe madaktari wabobezi na waganga maarufu wakutane wajadili jinsi ya kutengeneza chanjo ya COVID-19 - JamiiForums

- RC Makonda: Baada ya kumuumbua Mbowe nimewaokoa wananchi wa Dar es Salaam - JamiiForums

- Kamati 3 za korona nyote msitazame majukumu yaleyale - JamiiForums

- SERIKALI IWAFATILIE SANA FAMILIA YA MBOWE NA CHAMA CHAKE CHA CHADEMA KUNA UHAINI KUPITIA CORONA. - JamiiForums

- The Law of Natural Selection by Darwinism ndicho kinachofanyika sasa hivi juu ya CORONA. Watu wa Lockdown wanajisumbua - JamiiForums

- Corona inatuchana makavu live: Vipi wanasiasa na matajiri wako tayari kuuopkea huu ukweli mchungu? - JamiiForums

- Corona si tishio kwa Afrika - JamiiForums

- CoronaVirus: Fahamu kuhusu Virusi hivi na athari zake kwa Mama Mjamzito na katika Kumnyonyesha mtoto - JamiiForums

- Baada ya Corona, dunia ijiandae na janga la njaa - JamiiForums

- Kuhusu hili janga la corona, humu mtaani yawezekana wengi wameupata bila kujijua na maambukizi yanaendelea! - JamiiForums

- Je, lsabela ni nani? Tunaruhusiwa sasa kumuhoji? - JamiiForums

- Mapambano dhidi ya Covid-19 Tanzania na kwingineko Afrika: Watafiti na wanasayansi wetu mko wapi na munasemaje? - JamiiForums

- TAHADHARI: Wagonjwa wa Kisukari, Moyo, Shinikizo la Damu na Saratani wako hatarini zaidi wakiambukizwa #COVID19 - JamiiForums

- Nchi zenye wakimbizi wengi hatarini kupata maambukizi makubwa ya Corona, Tanzania yatajwa - JamiiForums

- Naomba Serikali kwenye suala la Corona sisi wazee tupewe kipaumbele cha kupata vifaa vya kujikinga na Corona - JamiiForums

- Lockdown za Afrika ni ubabe na kutandikana viboko - JamiiForums

- The Aftermath of corona For Africa - JamiiForums

- Shirika la afya Duniani lasena chanjo ya Corona itapatikana baada ya mwaka 1 au mwaka 1.6 - JamiiForums

- US ana COVID19 cases nyingi sababu anafanya massive-testing (more people have been tested) - JamiiForums

- Man, 24, could face 15 years in prison for 'infecting' 11 people with coronavirus at a party - JamiiForums

- China ni nchi wabinafsi sana; Rejea suala la kutofunga mipaka yao baada ya mlipuko wa Corona - JamiiForums

- Corona na kizungumkuti katika uhabarishaji umma - JamiiForums

- Coronavirus survivor says Chloroquine saved his life - JamiiForums

- Bongo milionea ni majanga - JamiiForums

- Vita dhidi ya Corona: Wanaoadhirika au kuumia zaidi ni masikini ilihali ugonjwa wenyewe unawaumiza zaidi matajiri - JamiiForums

- Africa Is Two to Three Weeks Away From Height of Virus Storm! - JamiiForums

- Janga la Korona, ni mapambano dhidi ya Ugonjwa tu au kuna ajenda nyuma ya pazia!? - JamiiForums

- Ushauri:Serikali itoe chchote kwa atakaejitangaza hadharani kuwa ni mgonjwa wa corona baada ya mtu huyo kupimwa na kuthibitika - JamiiForums

- Kuhusu kupambana na coronavirus, naishauri serikali - JamiiForums

- Can COVID-19 be mistaken with flu ? By Leda Lanich - JamiiForums

- Tujielimishe kidogo: Upimaji wa Corona Virus kupitia kwenye "damu"... - JamiiForums

- Hatari ya ugonjwa wa COVID-19 - JamiiForums

- Fahamu namna ya kuiandaa familia yako katika kukabiliana na CoronaVirus - JamiiForums

- Huku kujitenga kuepusha maambukizi ya corona ni Mungu tu atusaidie - JamiiForums

- Coronavirus - Namna bora ya kutambua uzito wa tatizo - JamiiForums

- Maoni ya baadhi ya watu juu ya njia ya kupambana na #corona kwa nchi za Afrika - JamiiForums

- Kuna haja ya kununua chakula kingi kujiandaa na marufuku ya kutotoka nje? - JamiiForums

- Vifo Vinavyotokana na Magonjwa ya Mafua vs Ugonjwa wa Korona Ulaya & Marekani - JamiiForums

- Waafrika hawaambukizwi na wala hawafi sana kwa COVID-19 kama Wachina, Wairan, Wamarekani na Wazungu, nini siri? - JamiiForums

- Corona ni nani? - JamiiForums

- Hii ni kweli kuhusu Covid-19? - JamiiForums

- Endapo majina ya walioambukizwa Corona yatatangazwa hadharani patakuwa na ubaya gani? - JamiiForums

- China owes the World an explanation: How comes they have the best COVID-19 recovery rate - JamiiForums

- KANUSHO: Taarifa za kuwataka watu wasile bidhaa za Bakery ili kujilinda na maambukizi ya #COVID19 zakanushwa - JamiiForums

- Je, inawezekana chanjo ya Virusi vya Corona kupatikana kwa usawa? - JamiiForums

- Kwa upande chanya, Corona inaweza kutumbusha juu ya masuala haya muhimu... - JamiiForums

- Sehemu hizi zinaweza kuwa ni chanzo cha maambukizi ya Corona - JamiiForums

- Coronavirus: Namna ya kusafisha vitu na kuvipulizia dawa ya kuua vijidudu - JamiiForums

- Nadharia ya COVID19 - JamiiForums

- Tusiichukulie poa Corona hata Italy walianza na Case chache kama sisi!!!! - JamiiForums

- Africa Is Two to Three Weeks Away From Height of Virus Storm! - JamiiForums

- Viongozi wanafiki, wakatili na wauaji wanaojipa matumaini giza juu ya misongomano ya dini kipindi hiki cha ugonjwa wa Corona - JamiiForums

- Ni muda wa kuheshimu tafiti kuhusu Corona - JamiiForums

- Binadamu anaweza kupata CoronaViris kutoka kwa Wanyama? - JamiiForums

- Corona isifanye kila mtu akawa mtaalamu - JamiiForums

- Maombi ya talaka China yameongezeka kwa kiwango kikubwa wakati wa lockdown! - JamiiForums

- Hivi ndivyo jinsi majirani zetu wanavyotuongelea kuhusu Corona - JamiiForums

- CORONA ni adui tusiruhusu watu wachache kutuamlia namna ya kumkabili - JamiiForums

- Corona virus na matatizo ya kiafya - JamiiForums

- Je, miundombinu na wahudumu wetu wa afya wameandaliwa kupambana na Corona? - JamiiForums

- Gwajima sio wa kupuuzwa, ushauri wake kuhusu Corona umenitetemesha leo - JamiiForums

- Kufuatia kusambaa kwa Corona (covid-19); Nakusudia kumshitaki Waziri wa Afya, Miundombinu na Mwanasheria Mkuu wa Serikali - JamiiForums

- Ujio wa Corona umedhihirisha ubora wa maono ya Rais Magufuli.! - JamiiForums

- Kwa yanayoendelea kwenye corona nahisi mwisho wa dunia umefika tujiandae kwa lolote - JamiiForums

- Mtoto wa wiki sita afariki kwa Corona - JamiiForums

- Baada ya Corona kuisha sheria ndogo zipitishwe kwenye Halmashauri, maeneo yote ya biashara yawekewe vitakasa mikono - JamiiForums

- Mapambano dhidi ya corona si ya copy & paste: kisayansi bado mengi hayajajulikana 100% kuhusu gonjwa hili - JamiiForums

- Madokezo ya namna ya kufanya manunuzi kwa usalama kipindi hiki cha mlipuko wa CoronaVirus - JamiiForums

- Mtanzania afukuzwa China kwa kushindwa kuheshimu taratibu za kujinga na ugonjwa wa covid-19 - JamiiForums

- Uandishi wa filamu COVID-19 'Owning the Nerative' - JamiiForums

- Socialist Countries Zina Nafasi Kubwa Ya Kuishinda Vita ya CORONA Kuliko Democratic Countries - JamiiForums

- Fahamu ni kwa namna gani unaweza kuongea na Watoto kuhusu mlipiko wa CoronaVirus - JamiiForums

- Njia za kupambana na COVID-19 zinachochea ongezeko la watu Duniani - JamiiForums

- Jinsi sabuni inavyoangamiza kirusi cha Corona na kukisambaratisha kabisa - JamiiForums

- Mambo ya kupuuzwa kuhusiana na ugonjwa wa Corona (COVID-19) - JamiiForums

- Chanjo ya Corona kufanyikia majaribio Afrika - JamiiForums

- Hivi "COVID-19", ni neno la kingereza au ni lugha ya kitaalamu? - JamiiForums

- Ushauri mpya kuhusu uvaaji wa Barakoa (Masks) kujikinga na maambukizi ya Covid-19: Tujielimishe ili tuamue vema - JamiiForums

- Nauliza hiv COVID- 19 imetufunza kitu gani sisi kama nchi au watu binafsi? - JamiiForums

- Hii ndiyo sababu inayoweza kupelekea watu wengi kufa kwa COVID-19 katika nchi za Afrika - JamiiForums

- Naomba Radhi kama nitakuwa nimekosea, ila kwa Dharau hizi za Wazungu naomba COVID-19 izidi Kuwaua 24/7 - JamiiForums

- Jilinde wewe na Jamii yako kwa kusambaza taarifa za Uzushi kuhusu #COVID19 - JamiiForums

- Je, ni kweli kunywa maji kwa wingi kunazuia kupata maambukizi ya COVID19? - JamiiForums

- Namna pekee ya kuzuia Corona virus kusambaa - JamiiForums

- Je, ninaweza kupata tena COVID19 baada ya kuugua na kupona? - JamiiForums

- Tuwalinde Walemavu dhidi ya #COVID19 kwa kuweka mazingira rafiki ya Vitakasa Mikono - JamiiForums

- Watu 11 wadakwa mpakani wakikwepa karantini - JamiiForums

- Morogoro: Mbaroni kwa kufungua akaunti ya Corona Facebook na kupotosha Umma - JamiiForums

- CORONA EFFECTS: Video ikionesha wanyama pori wakitapakaa sehemu mbalimbali za miji duniani kutokana na lockdown - JamiiForums

- China imeishinda Corona - JamiiForums

- Agenda 21 na covid-19 siri kubwa - JamiiForums

- 89% ya waliofariki na Corona wametoka bara la Ulaya, Marekani, China na Iran, huku 0.5% vikitoka Afrika na 0.2% weusi tii! Then why lockdown in Africa - JamiiForums

- COVID 19: Serikali ipige Marufuku bar, lounge na night clubs - JamiiForums

- Janga la Corona: Tanzania tunalindwa na Mungu, hamasa ya kujikinga na maambukizi iko mitandaoni - JamiiForums

- Waafrika tusheherekee misaada ya Jack Ma inaendelea kuja, sasa anatuma ventilators na vifaa vya kupima Corona - JamiiForums

- Walinde watu wenye ulemavu kwa kuelewa mambo haya - JamiiForums

- Mkuu wa Chuo cha Harvard akamatwa na wengine 60 kwa tuhuma za kuzalisha coronavirus na kuwauzia China - JamiiForums

- New York, Marekani: Chui wa miaka minne apata maambukizi ya Corona - JamiiForums

- Kenyatta amechanganyikiwa, Magufuli ame-relax - JamiiForums

- Nadharia njama (consparicies theories) zinazozunguka COVID-19 ni jambo linaloelezeka kwa sayansi ya Saikolojia - JamiiForums

- Athari mbaya za Karantini na kujitenga kwa afya ya akili na moyo - JamiiForums

- Ukweli kuhusu coronavirus kuua zaidi Ulaya na Marekani - JamiiForums

- WhatsApp imeanza kulimit messsage fowarding ili kupunguza kusambaa kwa taarifa zisizo sahihi juu Coronavirus - JamiiForums

- WHO slams scientists for Africa vaccine testing notion - JamiiForums

- Wamarekani weusi waathirika zaidi na virusi vya Covid19 tofauti na wenye rangi nyeupe - JamiiForums

- Bill Gates Highlited on why Africans should agree on COVID-19 Vaccine to be tested on them - JamiiForums

- Bill Gates has reacted very angrily against Africans who do not want the contravesial COVID-19 vaccine to be tested in Africa. - JamiiForums

- Africa is test lab? yes! Test lab..mana ndio kitu pekee tunaweza saidia - JamiiForums

- Why does the COVID-19 virus spreading? - JamiiForums

- Msichukulie poa nyumbani Tanzania, Corona inaua!!! - JamiiForums

- Je, COVID19 ni maandalizi ya silaha za kibaolojia? Kama sivyo, je haziwezi kuja kutumika kama silaha ya maangamizi? - JamiiForums

- Wavutaji wa Sigara na Tumbaku wako hatarini zaidi endapo wataambukizwa #CoronaVirus - JamiiForums

- Conspiracy Theory (Nadharia Njama) ya 5G na chanzo cha Covid-19: Tujadili ukweli - JamiiForums

- Baadhi ya nadharia za corona na uchambuzi wake - JamiiForums

- Africans have been Discriminated by Chinese because of Covid-19 - JamiiForums

- Kishimba amwomba waziri wa afya Gongo kuwa mbadala wa Sanitizer - JamiiForums

- Picha: Hatimaye nimesoma kitabu kilichotabiri Corona - JamiiForums

- CoronaVirus: Namna ya kula vyakula vyenye virutubisho kipindi cha kukaa ndani - JamiiForums

- Corona mtaji wa maendeleo Afrika - JamiiForums

- USA, UK na China waanza kutumia damu ya waliopona Corona, na hakika imeleta matumaini - JamiiForums

- Global leaders issue g20 call to action urging immediate pledging conference and task force to co-ordinate world response to covid-19 - JamiiForums

- Barrick joins fight against Covid-19 in Tanzania - JamiiForums

- COVID-19 :See The Reasons why China wants to Help African Countries . - JamiiForums

- Report :Wohan funeral homes burned Corona Virus Victims Alive....😳 - JamiiForums

- Rostam kutoa Bilioni 1 kwa ajili ya vitakasa mikono - JamiiForums

- Kwa hili Waafrika ni wazembe na wachanga kiakili - JamiiForums

- WHO yajibu tuhuma za Rais Donald Trump, yasema huu sio muda wa kuacha kutoa fedha, yakanusha kuipendelea China - JamiiForums

- Nchi wanachama wa G20 kufanya mkutano kuijadili Corona - JamiiForums

- Upo ugonjwa wa corona lakini upo pia ubinafsi wa Donald Trump na serikali yake - JamiiForums

- Ushahidi wa wazi, Virusi vya Korona vilitengenezwa na wachina, China ina deni kubwa kwa dunia!! - JamiiForums

- CHINA: Tumebuni mfumo wa kupata vipimo vya CORONA ndani ya dakika 15 - JamiiForums

- Corona sasa imefikia kilele, haya yanaweza kutokea - JamiiForums

- Namna gani unaweza kukabiliana na mawazo kipindi hiki cha CoronaVirus - JamiiForums

- China: Wizara ya Mambo ya Nje yajibu tuhuma za ubaguzi dhidi ya Waaafrika, yasema China na Afrika ni wamoja - JamiiForums

- Maajabu Africa nzima yapo Tanzania tu - JamiiForums

- 6 new coronaviruses discovered in bats - JamiiForums

- Recovered coronavirus patients test positive again in blow to immunity hopes - JamiiForums

- Aliyesema kaugonjwa kenyewe ni kadogo kuliko Mafua; Alifanya makosa makubwa kuipotosha Jamii - JamiiForums

- WHO: Kirusi cha CORONA kinakaa hewanikwa saa nane bila kufa, tunatakiwa kuvaa "MASK" muda wote - JamiiForums

- Tusipokuwa Makini kwa Corona Kipindi Tusije kulaumiana - JamiiForums

- Serikali iingilie Kati wanaozusha taharuki kwenye Jamii - JamiiForums

- TANZIA: Mwandishi Lutengano Haonga wa TBC afariki dunia - JamiiForums

- https://www.jamiiforums.com/threads...pita-lakini-tuchukue-hatua-madhubuti.1713467/

- OPERATION COVID-19: Much more than a militarized and artificial Intelligence driven World Takeover Scheme - JamiiForums

- #CORONAVIRUS: Wahudumu wa sekta ya afya wapo hatarini zaidi - JamiiForums

- Mchuma Janga hula na Wakwao - The Case of Corona and Social Distancing - JamiiForums

- Utafiti: Yawezekana maambukizi ya corona ni mengi kuliko inavyoripotiwa duniani kote - JamiiForums

- CHINA: Tumemkamata aliyezusha kuwa China inawabagua Waafrika - JamiiForums

- Lindeni wazazi wenu na wagojwa, msisubiri Serikali - JamiiForums

- WHO Director: We want to see things turns to normal and Government must stop anxious restrictions - JamiiForums

- Mashambulizi ya Corona yataleta mabadiliko mengi katika maisha ya kila siku - JamiiForums

- Kwenu: Ummy, Taskforces, mabibi na mabwana katika mapambano ya dhati dhidi ya Corona - JamiiForums

- Inasikitisha sana wazungu wanaposhangaa na kuhuzunika hadi sasa Corona haijaua kwa wingi Waafrika kama Italy na New York - JamiiForums

- Sala ya siku 3, je kama nchi tuna nini? Tunaomba huku hakuna juhudi za kupambana na corona? Wenzetu wanasali au wanawekeza kwenye afya? - JamiiForums

DINI/IMANI

- Corona imekuja kuumbua uongo wa dini - JamiiForums

- https://www.jamiiforums.com/threads...wa-na-mungu-au-shetani.1707830/#post-34799395

- https://www.jamiiforums.com/threads...ngu-tazama-athari-za-corona-covid-19.1707519/

- https://www.jamiiforums.com/threads/kwa-wale-wasoma-bible.1707729/#post-34799060

- https://www.jamiiforums.com/threads/je-ndio-mwisho-wa-dunia-uliotabiriwa.1707566/

- https://www.jamiiforums.com/threads/hakika-hizi-ni-siku-za-mwisho-asomae-na-afahamu.1707935/

- https://www.jamiiforums.com/threads/fumbo-la-coronavirus-na-uovu-wa-ulimwengu.1707739/

- https://www.jamiiforums.com/threads...usiana-vipi-na-uislamu.1705176/#post-34758787

- https://www.jamiiforums.com/threads...hi-ya-virusi-vya-korona-19-mavico-19.1708407/

- https://www.jamiiforums.com/threads/corona-ni-ugonjwa-wa-mungu.1708338/

- Corona: Msikiti Ngazija uliopo posta jijini Dar es Salaam wafungwa kwa siku 21 kuepusha misongamano ya waumini - JamiiForums

- Kanisa- Hakutakuwa na Njia ya Msalaba Ijumaa Kuu - JamiiForums

- Weekend hii nimejifunza tafakari hizi SABA kuhusu mitazamo ya kiroho na kikaisali kuhusu CORONA - JamiiForums

- Corona isiondoe imani yetu kwa Mungu mponyaji, Tanzania yangu endelea kumtazama Mungu - JamiiForums

- Corona: TEC yabadili utaratibu Alhamisi ya amri hakuna kuoshana miguu na Ijumaa kuu hakutakuwa na kuushika na kuubusu msalaba! - JamiiForums

- Wasabato acheni kuwajaza ujinga waumini wenu kipindi hiki cha COVID-19 - JamiiForums

- Ibada kuendeshwa katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Corona, je Misikiti na Makanisa yanajali afya za waumini wao?? - JamiiForums

- Mafunzo ya Mtume Mohammed kukusu COVID -19 - JamiiForums

- Wanaendelea kwenda kwenye nyumba za ibada huku kukiwa na tishio la corona,wana tofauti na waliokuwa wafuasi wa Kibwetere? - JamiiForums

- Kanisa latoa hatua za kukabiliana na COVID-19, hawatasubiria Serikali - JamiiForums

- Afrika haitakuwa kwenye hali mbaya dhidi ya Covid-19 - JamiiForums

- Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!. - JamiiForums

- Social Distancing: Je, Makanisa yanatekeleza au siasa inatumika? - JamiiForums

- Sheikh Alhad Salum: Misikiti isiyoweka vitakasa mikono, maji tiririka na sabuni kufungwa, atangaza kufunga ofisi ya Sheikh wa mkoa kwa siku 30 - JamiiForums

- Je, Magufuli ni sawa na Musa wa Israe kutuvusha na janga la Corona? - JamiiForums

- Kwanini Afrika haitadhurika sana na Corona - JamiiForums

- https://www.jamiiforums.com/threads...hole-world-necessitate-the-lock-down.1713563/

- Mungu ni Omnipresent. Kufuatia Local Transmission ya Corona. Je, Sasa Tushinikize Watu Wasalie Majumbani Mwao, ila Sadaka Ndio Itumwe Kwa M-Pesa? - JamiiForums

- Ibada za za mwezi mtukufu wa Ramadhani zazuiliwa katika msikiti wa Jerusalemu (Al-Aqsa) kutokana na mlipuko wa Covid-19 - JamiiForums

- Mapambano ya korona: TEC yatangaza kusitisha matumizi ya kwaya kanisani - JamiiForums

- Viongozi wa dini kemeeni hewa isitumike kama chombo cha kusafirishia corona Yesu alikemea upepo - JamiiForums
 
- January Makamba: Nimetumia janga la Ugonjwa COVID-19 kujifunza masuala kutoka kwenye maandiko ya kitaaluma - JamiiForums

- Kukusanyika ufukweni ni kosa kisheria Ghana - JamiiForums

- Tabia za kijamii zinazoweza kuongeza maambukizi ya Codiv 19 - JamiiForums

- Turkey’s Erdogan rejects interior minister’s resignation after last-minute curfew announcement triggers chaos - JamiiForums

- Kusambaa kwa corona:Raisi Magufuli nakuomba uchukue hatua hizi na nyinginezo utakazoshauriwa na wasaidi wako vinginevyo unaweza kuja laumiwa - JamiiForums

- World Bank Applauds Tanzania on Anti Corona Policy Response;Warns African Countries Copying Western Anti- COVID 19 Policies. - JamiiForums

- TISS, chezeni karata kuizuia Corona - JamiiForums

- Corona: Kirusi kinaweza kusafiri umbali wa futi 13 hivyo kwenye mikusanyiko tukae umbali wa mita 4 kwa usalama wetu - JamiiForums

- Kundi la raia lisilofanya kazi ni kubwa zaidi, liwekwe lockdown, kundi zalishi ndilo liruhusiwe kutoka. - JamiiForums

- Mikakati ya kudhibiti COVID-19 inatofautiana; WHO yatoa mwongozo wa kufuata - JamiiForums

- Serikali: Visa vya COVID-19 vyafikia 53. Vyuo na Shule kuendelea kufungwa hadi hapo Serikali itakapotoa tamko jingine - JamiiForums

- Video Of Barrack Obama Predicting The Covid-19 5 Years ago Surfaces Online - JamiiForums

- Mwigulu Nchemba ashauri Serikali iache kutangaza wagonjwa wapya wa Corona, itangaze wanaopona na wanaokufa - JamiiForums

- Wakenya 32 waliowekwa karantini watoroka, hawajulikani wakikokwenda - JamiiForums

- Umuhimu wa kuwa na utulivu kipindi hiki - JamiiForums

- Uamuzi tuliochagua ni hatari sana - JamiiForums

- Tanasha awekwa karantini kilazima - JamiiForums

- Ndani ya masaa 24, Kenya imepima 694 na kugundua waathirika 8, ila kuna mmoja amepona - JamiiForums

- Rais Museveni ameongeza muda wa kukaa nyumbani kwa siku 21(lockdown) - JamiiForums

- Virusi vya corona chini ya Sheria ya Ugaidi: Ni silaha ya maangamizi ya kibiolojia. Nini chakujifunza? - JamiiForums

- Rais Magufuli mbeba maono ya Watanzania hatimae ametuvusha salama kwenye janga la corona, Tuendelee kumwombea Rais wetu - JamiiForums

- Hali yazidi kuwa mbaya katika kambi za karantini Kenya, wapanga kuandamana na kujiua - JamiiForums

- Coronavirus: Army veteran Tom Moore, 99, raises £4m for NHS - JamiiForums

- Zanzibar yatangaza kuongezeka kwa wagonjwa 6 wa Corona na kufanya idadi kufikia 18 kisiwani humo - JamiiForums

- Hii Twitter ya Trump akiipongeza China kwa kupambana dhidi ya Corona wamemuona mnafiki - JamiiForums

- Ni Corona ipi serikali ya Tanzania inapambana nayo? Wapi? Kwa kina nani? - JamiiForums

- Rais Trump asitisha ufadhili wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO) - JamiiForums

- Tungekuwa tumeendelea, tungefanya wanafunzi waendelee kusoma - JamiiForums

- Umoja wa Mataifa wampinga Trump kutaka kusitisha ufadhili kwa Shirika la Afya ulimwenguni kufuatia kuwapo kwa janga la Covid-19 - JamiiForums

- Wanasiasa mloikimbia Dar baada ya mlipuko wa COVID-19, ikiisha msirudi! - JamiiForums

- Nina wazo juu ya Lockdown ya Corona Tanzania - JamiiForums

- Rais Magufuli fanya hivi uwasaidie Watanzania kipindi hiki kigumu Cha kukabiliana na Corona virus - JamiiForums

- Kambi za Karantini za Corona zageuzwa madanguro Kenya, wahusika waomba serikali kuwapa "Condoms". - JamiiForums

- Zanzibar: Mwandishi wa habari wa DW, Salma Said ajitangaza kuwa kaambukizwa Corona(COVID-19) - JamiiForums

- Mchungaji aliedai corona ni kagonjwa kadogo mbele ya Mungu, amefariki kwa corona - JamiiForums

- Ushauri wangu kwa Serikali kuhusu janga la Corona - JamiiForums

- Maisha yamekuwa magumu kwa waalimu shule binafsi - JamiiForums

- Sex scandals hit COVID-19 centres as quarantined people engage in sexual acts with strangers - JamiiForums

- Kufungwa kwa shule na vyuo: Waajiriwa wa taasisi binafsi watalipwa fao la kukosa ajira? - JamiiForums

- KWA UFUPI - Mapendekezo ya ACT Wazalendo kuhami Uchumi wakati wa #COVID19TZA - JamiiForums

- COVID19 Tanzania: Wagonjwa wafikia 88 (AprilI 15, 2020) - JamiiForums

- Pigo la Corona: Binadamu tulimsahau Mungu sana - JamiiForums

- Ya Corona na Charles Darwin, The theory of natural selection - JamiiForums

- Siungi mkono hili wazo la Waziri Mkuu kuruhusu ibada kuendelea ili hali tunajua kabisa ibada inahusisha mikusanyiko ya watu kutoka maeneo tofouti - JamiiForums

- House Speaker Pelosi calls Trump's name appearing on stimulus checks 'shameful' - JamiiForums

- Use Common Sense: Kwanini unasubiri Serikali ikuzuie kutoka? - JamiiForums

- Je, makosa yaliyofanyika Lombardy Italy kujirudia Tanzania? - JamiiForums

- Kenyan Tech to Help Doctors Treat Multiple Covid-19 Cases at Once - JamiiForums

- Corona imewapiga chenga ya mwili manabii na mitume bandia - JamiiForums

- Kanisa Katoliki lasema ndoa zitaendelea kufungishwa ila watahusika Wanandoa na Wasimamizi wanne tu - JamiiForums

- Zanzibar: Serikali yatangaza ongezeko la wagonjwa 6 wa COVID-19. Idadi yafikia 94 Tanzania (Aprili 16, 2020) - JamiiForums

- Waathirika wapya 9 wagundulika baada ya sampuli 704 kupimwa ndani ya saa 24. Maambukizi yamefikia 234 - JamiiForums

- Nakuomba Rais Magufuli; Tafuta Fikra Mbadala ili Kujenga Uchumi na Kukuza Biashara kimkakati kama Farao wa Misri katikati ya changamoto ya Covid19 - 2 - JamiiForums

- Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu - JamiiForums

- Wakenya wenye kipato duni kuanza kupata ruzuku kipindi cha Corona - JamiiForums

- Mataifa ya G-20 yasamehe madeni nchi masikini ili kuziwezesha kupambana na corona - JamiiForums

- Taarifa Kuhusu Coronavirus #COVID-19 Kwa Lugha ya Alama ya Tanzania (LAT) - JamiiForums

- Kinondoni, Dar: Polisi watawanya raia waliokuwa kwenye mikusanyiko mida ya usiku - JamiiForums

- Coronavirus cases in Kenya rise to 246 as 12 more patients test positive - JamiiForums

- WHO: Huenda maambukizi ya CoronaVirus kwa Afrika yakafikia milioni 10 ndani ya miezi mitatu hadi sita - JamiiForums

- Teknolojia ya 5G haienezi maambukizi ya #COVID19 - JamiiForums

- Kuhusu COVID -19 , Ushauri kwa Mh Rais Magufuli - JamiiForums

- TBC - Mjadala wa Role of The Media kwenye mapambano ya Corona, Je, Media Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? - JamiiForums

- Ripoti: Asilimia kubwa ya waathirika wa Corona Kenya hawakuwa na dalili zozote - JamiiForums

- Lockdown: Tujifunze na kujiandaa mapema jinsi ya kuishi, Tuweke akiba mapema - JamiiForums

- Ufunuo kuhusu ugonjwa wa COVID19 Tanzania - JamiiForums

- Wagonjwa wapya 53 wa COVID-19 wathibitika, idadi yafikia 147 (Aprili 17,2020) - JamiiForums

- Kujiepusha na maambukizi ya ugonjwa wa COVID19 wakati wa mfungo wa Ramadhan kwa waislam. - JamiiForums

- Kwa jinsi maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 yanavyoongezeka natoa ushauri serikali iagize hii dawa kwa wingi toka nchi za nje inapotengenezwa. - JamiiForums

- Tuhamasishane: Hatua hizi zichukuliwe haraka kukabiliana na Covid-19 - JamiiForums

- CoronaVirus-Tanzania: Watu wote wanaoenda katika Mahakama za Tanzania watakiwa kuvaa Barakoa - JamiiForums

- Kauli ya Rais kusali siku tatu imetafsiliwa kinyume,Makanisa yanafurika na kuongeza maambukizi. Serikali ichukue hatua - JamiiForums

- Virusi ya corona: Afrika huenda ikawa kitovu kipya cha mlipuko wa corona - yaonya WHO - JamiiForums

- World Bank Approves $37 Million Support for COVID-19 Response in Malawi - JamiiForums

- Hakuna matatizo kwa Watanzania wanaofuata masharti China - JamiiForums

- “Tumeamua tuseme ukweli.” Hii kauli ya Ummy Mwalimu inafikirisha sana - JamiiForums

- Alichofanya Eliya Mtishbi na Tukipasacho Kufanya Dhidi ya Korona: Baada ya Kumwomba Mungu - JamiiForums

- Brazillian President Bolsonaro Fired Health minister after implentations of strict lockdown which could harm economy - JamiiForums

- Dereva Mtanzania akutwa na maambukizi ya COVID 19 kwenye mpaka wa Tanzania na Uganda - JamiiForums

- The pandemic is being used to erode democratic freedoms. Civil society must fight back - JamiiForums

- COVID 19 in Tanzania analysis and next steps - JamiiForums

- Wananchi mkoani Simiyu wamtaka mkuu wa mkoa atoe amri ya kuwaweka katika Karantini abiria wote wanaotoka Dsm - JamiiForums

- Usitumie Barakoa za vitenge za Makonda , hazitakusaidia kitu , angalia video ya Mtaalam uelewe - JamiiForums

- Viongozi wa Upinzani Afrika waitaka AU kuchunguza vitendo viovu dhidi ya Waafrika nchini China - JamiiForums

- Nigerian president's chief of staff dies from coronavirus - JamiiForums

- https://www.jamiiforums.com/threads/mungu-hasikii-maombi-yetu-why.1716654/

- Wasemaji kuhusu corona: Tumsikilize nani? - JamiiForums

- US: Hii ndio siku corona imeua watu zaidi ya 6,000 ndani ya masaa 24 nchini Marekani - JamiiForums

- Wabunge wazidi kukamatwa Kenya kwa kukiuka kanuni elekezi - JamiiForums

- Askofu Benson Bagonza: Tumeamua kumuomba Mungu kama Taifa, kweli tumuombe Mungu na siyo kumtukuza au kumsifia mwanadamu yeyote - JamiiForums

- COVID19: Dayosisi ya Ngara yasitisha ibada kwa siku 30 - JamiiForums

- Makonda: Marufuku mkazi wa Dar kutoka bila kuvaa barakoa "mask", biashara zote ziwe take away - JamiiForums

- Tusimame na Rais Magufuli kuombea Taifa. Leo ni siku ya 3, tuamini Mungu atasikia na kutuponya - JamiiForums

- Mjadala kuhusu kuvaa barakoa: Majibu yangu kwa Shangazi Maria Sarungi - JamiiForums

- Kukabiliana na Corona Tanzania - JamiiForums

- Urusi yatengeneza hospitali yenye vitanda 800 ndani ya mwezi mmoja, lakini Corona yazidi kuwatesa - JamiiForums

- Hatimaye Korea Kaskazini wakubali kutaja uwepo wa Corona kwao - JamiiForums

- Tuligomea kondomu tukafa. Sasa tulete ujeuri na Barakoa - JamiiForums

- Ningefanya haya kupambana na Corona |Ushauri wangu kwa wenye Mamlaka - JamiiForums

- Privatus Karugendo: Tumechelewa sana kufunga mipaka na kuzuia mikusanyiko, tutajuta. - JamiiForums

- USA PROTESTERS: We don't need more Lockdowns its better to be contracted with SARS-CoV-2 than Lockdown - JamiiForums

- Siku ya tatu nitavaa gunia, nitajipaka majivu na nitafunga kuiombea nchi yangu - JamiiForums

- Masikitiko yangu na wito kwa manabii na mitume wa Tanzania - JamiiForums

- Kwanini nasema maombi haya ya siku 3 hayatajibiwa... - JamiiForums

- Msivae Barakoa kumwogopa Makonda sisi wana Dar tufate maelekezo ya wataalamu wa afya - JamiiForums

- Waziri wa Fedha na Mipango, Nadhani ni Wakati wa Kuchukua Hatua ili kukabili uchumi wakati huu wa COVID-19 - JamiiForums

- Maswali kuhusu COVID 19 Tanzania - JamiiForums

- Vodacom yachangia Tsh. 2 bilioni mapambano dhidi ya Corona - JamiiForums

- Ombi kwa Rais Magufuli: Tufunge mipaka ya mikoa - JamiiForums

- Uvaaji wa barakoa, makosa ya Wizara ya Afya - JamiiForums

- Nunua/uza kipindi hicho cha Corona - JamiiForums

- Hivi Serikali imeweka kiasi gani cha fedha kwenye mapambano la Corona maana Rais anaomba tuombe Mungu! - JamiiForums

- Ndani ya masaa 24 Kenya imepima watu 1,015 na kugundua waathirika 16 - JamiiForums

- Makanisa ya Katoliki yameanza kufunga yenyewe makanisa hadi hali ya Corona itulie - JamiiForums

- Viongozi wanapaswa kulinda vinywa vyao dhidi ya matamko yenye athari kwa Jamii - JamiiForums

- Corona na uimarishaji wa ndoa - JamiiForums

- Mwanasiasa mzoefu anapotoa kauli ya kipumbavu usifanye haraka kuitafsiri na kumhukumu - JamiiForums

- RC Makonda azitaka familia za Dar kufanya vikao ili kukabiliana na Corona - JamiiForums

- Tweet hii ndiyo ushahidi wa jinsi WHO ilivyotumiwa na UCHINA kutuangamiza na virusi vya Corona - JamiiForums

- Maelfu wapona corona kwa siku moja Italia - JamiiForums

- Stay at home kwa wale tunaoishi nyumba za kupanga - JamiiForums

- Wagonjwa wahamishwa Hospitali ya Amana kupisha wenye corona - JamiiForums

- Maombi maalum ya siku tatu ya Kitaifa kwa ajili ya ugonjwa wa covid-19 siku ya tatu (19.4.2020) maombi ya mamlaka - JamiiForums

- Virusi vya corona: Google yazuia mamilioni ya barua pepe za wadukuzi - JamiiForums

- Waziri Mkuu Majaliwa kwenye Corona Mdhibiti Makonda, Ni jambo linahusu uhai - JamiiForums

- Mapendekezo jinsi ya kujikinga na ugonjwa wa Corona ngazi ya Familia - JamiiForums

- Serikali kuanza kutumia mfumo wa ukatishaji tiketi kwa njia ya mtandao kwa mabasi yote ya mikoani - JamiiForums

- Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh Chalamila astuka , Atengua zuio la kufunga Bar kuzuia Corona - JamiiForums

- Mtanzania arudishwa nyumbani baada ya kuthibitika kuwa na Corona - JamiiForums

- Wataalamu wa afya hatari hii mmeitazama kuhusu COVID-19? - JamiiForums

- Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Kasesela awataka watu kukaa mbali na watu wa Dar es Salaam - JamiiForums

- Waziri Ummy Mwalim tunahitaji update za covid19 kila baada ya saa 24 - JamiiForums

- USHAURI: Walimu wakatwe mishahara tuwaongezee Wahudumu wa Afya - JamiiForums

- RC Makonda: Yeyote anayeenda katika eneo la manunuzi lazima avae barakoa. Kwenye misongamano watu wakae umbali wa mita 2 - JamiiForums

- Serikali ya Guinea imewashikilia wachina wote hadi wananchi wake watakavyorudi salama kutoka China - JamiiForums

- Trump: China walikuwa wanadanganya Takwimu - JamiiForums

- Anne Makinda: Maovu yameleta Corona duniani - JamiiForums

- Vita dhidi ya covid-19: Polepole awaambia viongozi wa Serikali huu si wakai wa kutisha watu au kuchukua hatua za kufedhehesha - JamiiForums

- Tuna uhakika gani kuwa Covid 19 haisambazwi kwa Pesa (Noti na sarafu)? - JamiiForums

- Virusi vya corona: Rwanda yaongeza muda wa kutotoka nje kwa wiki mbili - JamiiForums

- Covid-19 ikiisha dunia itaanza moja - JamiiForums

- Mkuu wa Mkoa wa Mbeya alikosea kufunga baa pasipo kumuuliza mwenye nchi - JamiiForums

- Stay at Home: Mambo muhimu ya kuzingatia wakati upo nyumbani kipindi hiki cha corona - JamiiForums

- Nations debate easing virus restrictions as economies falter - JamiiForums

- Gavana wa Nairobi, Mike Sonko agawa Pombe aina ya Hennessy akidai ni ‘Vitakasa Koo’ - JamiiForums

- Covid-19 pandemic will likely kill at least 300,000 Africans - U.N. agency - JamiiForums

- Nahodha Wetu Katelekeza Chombo Baharini, Tutaponaje? - JamiiForums

- Saudia wazuia swala kipindi chote cha mfungo, huku Tanzania tunahamisisha kwenda makanisani na misikitini. Tunajifunza nini? - JamiiForums

- UAE: Vifo viwili zaidi na visa 477 vya #covid19 vyaripotiwa - JamiiForums

- Museveni na Kagame, heko! - JamiiForums

- Dereva Mtanzania akutwa na maambukizi ya COVID 19 kwenye mpaka wa Tanzania na Uganda - JamiiForums
 
- Zanzibar yatangaza wagonjwa wapya 23 wa COVID-19. Idadi ya maambukizi yafikia 58 - JamiiForums

- TRA yatoa maelekezo jinsi ya kujilinda na COVID-19 wakati wa kupata huduma - JamiiForums

- CORONA VIRUS: Kupoteza uwezo wa kunusa ni dalili mpya? - JamiiForums

- Coronavirus: Hili ni fumbo kubwa kwa wanadamu wa karne hii. Tafakari - JamiiForums

- Kwako Rais Magufuli sasa pasipo na kupepesa maneno kwa unavyoshughulika na Corona sasa - No! - JamiiForums

- Dar: Katika kuongeza udhibiti wa COVID-19 ndani ya Wilaya ya Kigamboni serikali inatekeleza mambo yafuatayo - JamiiForums

- Yu wapi mganga mkuu wa jjji? Matamko ya Makonda ni hatari - JamiiForums

- Kenya: Vifo vya wagonjwa wa #covid19 vyafika 14 - JamiiForums

- Uganda records six new coronavirus recoveries - JamiiForums

- Serikali ifanye yafuatayo kwa haraka kulinusuru taifa - JamiiForums

- CORONA haipotei leo wala kesho. Mtumishi wa Umma jiandae na yafuatayo - JamiiForums

- Mapendekezo mapya kwa Dar kupambana na Korona - JamiiForums

- Viongozi wa kisiasa wanawachanganya Watanzania kuhusu namna ya kujikinga na Corona - JamiiForums

- Maandalizi yaanza ya kuwarejesha Wakenya walioko UK, muda umefika kila mtu afie kwao - JamiiForums

- Kuhusu matumizi ya barakoa, kuadimika na kupanda bei, Waziri Kivuli Afya Cecilia Daniel Paresso atoa kauli - JamiiForums

- Muhimbili yakanusha taarifa za uzushi kuwa muuguzi wake amefariki kwa Corona - JamiiForums

- Ndani ya masaa 24 Kenya imepima watu 1,330 na kupata waathirika 8, halafu saba zaidi wamepona - JamiiForums

- Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni Serikali kwa asilimia 100% - JamiiForums

- Ushauri kwa serikali: ili watu wengi waweze kujitokeza kupima kwa hiari na mapema, iwepo option ya walioambukizwa COVID-19 kubaki majumbani mwao - JamiiForums

- COVID-19: Uwezo Dhaifu wa Serikali - JamiiForums

- Natoa ombi kwa uongozi wa JamiiForums mumualike Naibu Waziri wa Afya aje afafunue na kujibu dukuduku na maswali ya watanzania - JamiiForums

- Tutakufa kwa Corona kwa sababu ya ujinga wetu tu dawa za asili zimejaa tele? Hivi tunakwama wapi? - JamiiForums

- Janga la corona limedhihirisha jinsi wakristo wengi wasivyo na misingi ya imani - JamiiForums

- Micasa na forty forty zafungwa kuepuka corona - JamiiForums

- Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile aelezea aina za Barakoa za kuvaa - JamiiForums

- Uingereza: Malkia Elizabeth hatoadhimisha siku yake ya kuzaliwa kama ilivyozoeleka - JamiiForums

- CoronaVirus: Pierre Liquid athibitika kupata maambukizi ya Ugonjwa wa COVID19 - JamiiForums

- Corona kuondoa watawala wengi duniani na vyama vyao - JamiiForums

- Trump: 'Nimepokea barua nzuri ya Kim'; NK: 'Kim hajatuma barua, usitumie vibaya mahusiano yako na Kim kukwepa mjadala wa corona' - JamiiForums

- Shirika la Afya Duniani lawaasa wananchi kuzingatia mlo kamili na mazoezi kwa watu wazima kipindi hiki cha Corona - JamiiForums

- Closure of Tanzania border means supply of rice, cattle and maize is cut off - JamiiForums

- Corona: Tusinyoosheane vidole. Kama unaweza kusaidia, please do. Usisubiri uombwe - jitokeze saidia, vinginevyo nyamaza! - JamiiForums

- Kasesela na Chalamila walifanya maamuzi sahihi. Je, wametishiwa hadi kutengua maamuzi yao? - JamiiForums

- Mataifa ya Afrika yanazofanyia mzaha Covid 19, kupata pigo kubwa kiuchumi - JamiiForums

- Hali ya Corona nchini si mbaya kama watu wanavyosema, japo taadhari ni lazima zichukuliwe - JamiiForums

- Mbunge Francis Zaake akamatwa baada ya kutoa msaada wa chakula kwa wananchi wa Jimbo lake - JamiiForums

- COVID19 na safari ya wana wa Israel - JamiiForums

- US: Kapteni Crozier aliyetumbuliwa kwa kuomba msaada dhidi ya Corona awa shujaa, mabaharia wake zaidi ya 600 wakutwa na Corona, 1 afa - JamiiForums

- Jambo kuwa la Kitaifa na uwazi, Waziri Kivuli Afya aingizwe kamati ya Corona - JamiiForums

- Great Thinkers: Maoni na Ushauri kuhusu Janga la Corona na athari zitakazotokea kwenye uchumi wa nchi - JamiiForums

- Tusipobadilika, Corona itatumaliza Tanzania - JamiiForums

- Kisa cha Rais Magufuli na bwana Maakov Iitzman Waziri wa Afya wa Israel juu ya COVID-19 - JamiiForums

- Misikiti mingi Zanzibar imeshafungwa kukwepa maambukizi ya COVID -19 - JamiiForums

- Rais Museveni sasa naanza kukuelewa kwenye vita hii - JamiiForums

- CoronaVirus: Idara ya Uhamiaji Tanzania yawataka wote waendao katika Ofisi hizo kuvaa Barakoa - JamiiForums

- Unywaji wa Pombe kali sio kinga dhidi ya #COVID19 - JamiiForums

- Hatari iliyopo nyuma ya ugonjwa wa COVID19 - JamiiForums

- Kama Taifa, huu ndio wakati wa kuweka siasa kando. Ni wakati wa kuchukua maamuzi sahihi - JamiiForums

- Maombi juu ya ugonjwa wa COVID-19 - JamiiForums

- Mpya: Askari polisi wa kituo cha Mbalizi Mbeya wafanya Ibada kituoni kuomba Mungu atuepushie janga la Corona - JamiiForums

- CoronaVirus: Pierre Liquid athibitika kupata maambukizi ya Ugonjwa wa COVID19 - JamiiForums

- UNHCR: Wanawake wakimbizi wapo katika hatari ya kunyanyaswa kijinsia wakati huu wa mlipuko wa Corona - JamiiForums

- Hivi serikali imeshindwa kugawa barakoa na sanitizer kwa wakazi wa Dar? - JamiiForums

- Muhimbili yabuni vazi la wataalamu wa Afya kujikinga na virusi vya Corona - JamiiForums

- Kwako Waziri Ummy Mwalimu kuhusu maambukizi ya COVID-19: Watanzania tunahitaji kupewa taarifa za kila siku (Daily Updates) - JamiiForums

- Rais wa Ghana aondoa zuio la kutoka nje (lockdown). Nchi hiyo inakuwa ya kwanza Afrika kuchukua hatua hiyo - JamiiForums

- Saudia, corona: Watu 34 wakamatwa kwa kuvunja amri ya kutozagaa nje, wakabiliwa na faini ya riali 10,000 (Tsh 6.1 milioni) - JamiiForums

- Zanzibar: Mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima afungiwa kwa miezi sita baada ya kusambaza taarifa za mgonjwa wa Corona bila ruhusa - JamiiForums

- Wazo binafsi: Serikali iunde timu ya Corvid -19 chini ya January Makamba. - JamiiForums

- Naibu Spika Tulia Ackson athibitisha Mbunge mmoja kupata maambukizi ya COVID-19 - JamiiForums

- Serikali na Uongozi wa mkoa wa Dar kwa hili la Corona hamtutendei haki wananchi, Chama changu tawala cha CCM mko wapi kwa nini hamtoi hata ushauri..!! - JamiiForums

- Uchunguzi: Wanafunzi wengi hupata mimba kipindi cha likizo. Wazazi watakiwa kuwa makini kipindi hiki cha likizo ya dharura kutokana na Corona - JamiiForums

- Magufuli Na Aibu Ya Dunia: Magufuli's Tanzania is an outlier On Virus Response - JamiiForums

- Waathirika wa Coronavirus wafikia 281 - JamiiForums

- Wakala wa Mtandao wa Serikali (EGA) ni wakati wenu kujipambanua - JamiiForums

- How EAC countries are dealing with covid-19 - JamiiForums

- Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19 - JamiiForums

- Serikali na Uongozi wa mkoa wa Dar kwa hili la Corona hamtutendei haki wananchi, Chama changu tawala cha CCM mko wapi kwa nini hamtoi hata ushauri..!! - JamiiForums

-
 
- Tanzania: Waathirika wa COVID-19 wafikia 254 baada ya Wagonjwa wapya 84 kuongezeka. Vifo 3. (Tarehe 20 Aprili 2020) - JamiiForums

- Athari za Corona: KKKT Dayosisi ya Karagwe yasitisha ibada zote kwa muda kuanzia Aprili 26, 2020 - JamiiForums

- Tamko la Rais wa TLS kwa umma juu ya mbinu za kupambana na ugonjwa wa COVID-19 - JamiiForums

- Naamini tatizo la Corona linaanza kuisha Tanzania - JamiiForums

- Wanawake 39 wakamatwa na polisi baada ya kufumaniwa kwenye harusi licha ya katazo la mikusanyiko - JamiiForums

- Naibu Spika Tulia Ackson athibitisha Mbunge mmoja kupata maambukizi ya COVID-19 - JamiiForums

- WHO: Unaweza kupona baada ya kupata maambukizi ya #COVID19 - JamiiForums

- Mikoa 18 kati ya 27 ina corona Tanzania - JamiiForums

- Anayebisha na abishe, Rais Magufuli bado mshindi. Hakuna nchi inayoweza kuvumilia lockdown, chanjo ipatikane maisha yaendelee - JamiiForums

- Rais Magufuli nakupa ushauri wa Kizalendo kabisa kabla haijawa too late kukabiliana na COVID-19 - JamiiForums

- Rostam Aziz atoa msaada wa sh 500 milioni kukabili Covid 19 Zanzibar, makamu wa Rais Idd Seif awataka watanzania waache ukaidi. - JamiiForums

- Mgonjwa mwingine wa COVID-19 apatikana Uganda akitokea Tanzania - JamiiForums

- Copy and Paste Anti-Covid 19 measures hit Hard East African Countries - JamiiForums

- Uvaaji wa barakoa ni jambo jema. Lakini... - JamiiForums

- Rais Trump kusaini amri ya kusimamisha shughuli zote za uhamiaji kwa muda ili kukabiliana na Corona - JamiiForums

- Kasi ya maambukizi ya ndani; nashauri uchunguzi ufanyike, kuna watu walikwepa karantini - JamiiForums

- CCM na Serikali wawajibishwe kwa kuenea kwa CORONA. Tamaa ya utalii, kuwa na huruma kwa majirani kuliko uhai wa wananchi wake. "Pesa kwanza" - JamiiForums

- Mungu hadhihakiwi, maombi ya juzi yana kasoro kubwa sana, Mungu hatayajibu - JamiiForums

- Kama mwandishi wa habari Talib Ussi amesimamishwa kazi kwa kutoa ripoti ya corona, ni kwanini Makonda anaendelea na kazi kwa kufanya kosa hilo hilo? - JamiiForums

- Tulidanganywa kuhusu COVID-19 mwanzoni kabisa - JamiiForums

- Coronavirus: Rais tangaza hali ya hatari nchini - JamiiForums

- Rais Magufuli shtuka nchi ipo kwenye vita kali sana ya Coronavirus - JamiiForums

- Athari za Corona: KKKT Dayosisi ya Karagwe yasitisha ibada zote kwa muda kuanzia Aprili 26, 2020 - JamiiForums

- Wenye akili timamu wameondoka Dar es Salaam kukwepa Corona - JamiiForums

- Kenya abandons "Mass Testing"🤔 - JamiiForums

- Museveni Yoweri Kaguta: Wanasayansi wa Uganda wako Maabara kufanya utafiti wa kutengeneza chanjo ya CORONA - JamiiForums

- Wananchi waache unyanyapaa wa COVID-19 - JamiiForums

- Itachukua muda gani wanaolilia lockdown kuanza kusema Serikali inawanyanyasa - JamiiForums

- Indonesia: Rais apiga marufuku kusafiri mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadhan - JamiiForums

- Cyril Ramaphosa: Lockdown in response to Corona Virus outbreak has gravely exarbeted long standing to the people - JamiiForums

- Uingereza: Waliopona corona waombwa kuchangia damu ili kusaidia kutengeneza tiba ya virusi hivyo - JamiiForums

- Mapambano ya Corona; Amnesty International yasema Serikali ya Tanzania inaminya habari - JamiiForums

- Tathmini za ugonjwa wa Corona kiuchumi - JamiiForums

- Tumia njia hii hautapata corona kirahisi - JamiiForums

- Ngome ya Vijana ACT Wazalendo imeandaa barakoa kwa ajili ya wananchi - JamiiForums

- Zitto: Kwanini Mama Rwakatare haagwi Bungeni kwa mujibu wa Kanuni za Bunge? Kwanini azikwe na Serikali kama hajafa kwa COVID19? - JamiiForums

- Jengo la vifaa vya Corona laungua moto Temeke - JamiiForums

- Umoja wa mataifa wapitisha azimio la kila taifa kupata chanjo ya Corona kwa usawa pale itakapopatikana - JamiiForums

- #COVID-19: Tuwajibishane - JamiiForums

- Tanzania Exposed By Corona - JamiiForums

- Wizara ya afya ituambie ukweli kama haiwezi kupambana na COVID19 - JamiiForums

- Mapambano dhidi ya corona na matumizi ya simu - JamiiForums

- Tahadhari; Kuna uwezekano idadi kubwa ya wanaume watatelekeza familia zao kuanzia July - JamiiForums

- Mashine ya Rostam Inafanyaje Kazi na Imethibitishwa Vipi? - JamiiForums

- Rais wa Sierra Leone atangaza kujitenga baada ya mlinzi wake kuthibitishwa kuwa na Coronavirus - JamiiForums

- Angalizo: Corona isipodhibitiwa, makampuni ya usafirishaji pamoja na meli za kimataifa wataelekea bandari ya Mombasa, nchi itaporomoka mapato - JamiiForums

- Wengine 15 wathibitika kuwa na Corona, idadi ya maambukizi yafikia 296 - JamiiForums

- Kuelekea total/partial lockdown, serikali ifanye haya kuokoa uchumi wetu - JamiiForums

- Wizara ya Afya mnaandaaje matamasha ya maombi na siyo kuweka mikakati ya kupima Corona? - JamiiForums

- Mama asafiri Dar kumfuata mwanae kisa Corona - JamiiForums

- Kuna aina ya binadamu wakiumwa Corona lazima wafe hata kama hawakua na matatizo - chukua tahadhari - JamiiForums

- WHO Yaonya - The worst of Covid-19 is yet to come - JamiiForums

- Corona: Maiti za waafrika zitatapakaa mitaani – Melinda Gates - JamiiForums

- World Bank warns ‘copy-cat’ lockdowns could jeopardise African economies - JamiiForums

- Dunia kukabiliwa na baa kubwa la njaa - JamiiForums

- Jifunze matumizi sahihi ya Barakoa ujikinge na #COVID19 - JamiiForums

- CDC yasema huenda Marekani ikawa na mlipuko wa pili wa Coronavirus wakati wa msimu wa baridi (Winter) - JamiiForums

- Habari mpya na njema katikati ya janga la Covid-19 - JamiiForums

- Six Chinese nationals arrested in Uganda after escaping quarantine - JamiiForums

- Kwanini COVID19 inaua wanaume wengi! - JamiiForums

- Serikali inawatafuta wakenya 50 waliotoroka karantini - JamiiForums

- Kifo cha corona ni cha dhihaka - JamiiForums

- Uvaaji wa barakoa usigeuzwe kuwa fasheni - JamiiForums

- Spika Ndugai: Mbunge yoyote anayejihisi ana dalili za Corona ajifanyie Self Isolation na kuripoti hospitali haraka sana! - JamiiForums

- NEC: Wakati huu wa Corona uandikishaji wa wapiga kura uangaliwe vizuri - JamiiForums

- COVID 19: Mko wapi wataalamu wetu, Wanasayansi wetu wa Afrika? - JamiiForums

- Je, ni kweli Serikali haifanyi lolote au tunajipumbaza kisiasa? - JamiiForums

- https://www.jamiiforums.com/threads...-zinazoweza-kuzuia-maombi-yasijibiwe.1718087/

- Israel, US law-firms sue China for trillions over coronavirus - JamiiForums

- Rwanda yatengeneza mashine yake ya kupumulia ili kudhibiti COVID19 - JamiiForums

- Virusi vya Corona: Jimbo la Missouri laipeleka China mahakamani - JamiiForums
 
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Wagonjwa 30 wa COVID19 waongezeka. Jumla ya visa yafikia 284 - JamiiForums

- Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona - JamiiForums

- Maajabu ya Corona Tanzania: Badala ya Madaktari Bingwa wa tiba kuliokoa Taifa, ni Bingwa wa Kemia ndiye analiokoa Taifa kwa ushauri wa kikemia - JamiiForums

- Hotuba ya Rais apingana na hoja kupuliza dawa, kuweka karantini, wajifukize, hakuna lockdown. Kwanini hajakutana na sekta ya afya na kwanini Jeshi? - JamiiForums

- Rais Magufuli hawezi kujenga bila kuharibu? - JamiiForums

- Afrika Kusini: Rais Ramaphosa atangaza mpango wa uokozi uchumi - JamiiForums

- Mwangalizi wa Makanisa ya ECG Tanzania: Maomba ya siku 21 kuliombea Taifa dhidi ya Corona yatafanyika Waumini wakiwa majumbani kwao - JamiiForums

- Tanzania tusipoacha siasa tutaendelea kuwa wajinga - JamiiForums

- COVID-19: Two Wuhan Doctors Turn Black After Spending Weeks In ICU - JamiiForums

- Idadi ya walio na Virusi vya Corona yafikia 303 baada ya wengine saba kukutwa na maambukizi - JamiiForums

- Papa Francis autolea mwito Umoja wa Ulaya kuwa na mshikamano - JamiiForums

- Nimeruka mtego wa 2 na Rais Magufuli - JamiiForums

- Babu wa Loliondo: Nileteeni wachache wenye corona waone! - JamiiForums

- Watanzania wengine 2 tena wamekutwa na ugonjwa wa covid 19 Uganda - JamiiForums

- Maoni ya mdau juu ya hotuba ya Rais. Tumewadharau wataalamu wa Afya, Rais anatoa ushauri wa kisiasa - JamiiForums

- Maoni ya mdau kutokana na hotuba ya Rais Magufuli juu ya Corona - JamiiForums

- Rais wa Madagascar atangaza kuwa wamepata dawa ya kutibu COVID-19 - JamiiForums

- Wanaomshangaa Rais Magufuli kumbukeni anaamini miujiza na tiba za kienyeji - JamiiForums

- Tanzania hatuna vifaa tiba na hatuna fedha (bajeti) ndio maana anahimiza kujifukiza, hospital hakuna madawa/vitanda/vifaa huu ndio ukweli - JamiiForums

- Mitihani ya Taifa kufanyika kama ilivyopangwa hapo awali - JamiiForums

- Wale tunaoendelea kujivukisha na mvuke tukutane hapa - JamiiForums

- Wakuu nimesikia Mkuu wa nchi anasema kuwa hizi masks huenda zimewekewa corona anatusihi tuwe makini - JamiiForums

- Katika kutekeleza maagizo ya Rais Magufuli, Makonda akae pembeni kupisha uchunguzi dhidi yake - JamiiForums

- Mkuu wa Taasisi inayotengeneza chanjo ya Corona adai kushushwa cheo baada ya kupinga matumizi ya Chloroquine ambayo Rais Trump amekuwa akihimiza - JamiiForums

- Kariakoo walazimika kufunga maduka wakihofia Corona - JamiiForums

- Vituko vya Corona Afrika - JamiiForums

- Kenya yakumbwa na baa kubwa la njaa, tayari watu 150k wanahitaji msaada wa dharura - JamiiForums

- Watz wabadilisha kauli za kutegemea maombi, sasa ni mwendo wa kufukiza - JamiiForums

- Coronavirus - Fursa nyingine itupite bila kuitumia ipasavyo.? - JamiiForums

- Mahasimu wa rais Buhari wanadai COVID-19 imemuua body guard wake wa karibu - JamiiForums

- Ushauri: Shughuli za kijamii zianze kurudi tatatibu kuanzia Mei 20 hadi Juni 15 - JamiiForums

- #TheNotorious9 These world leaders responded to the coronavirus with denial, duplicity and ineptitude - JamiiForums

- RPC Muroto: Tulizuia Mkutano wa Mbowe ili kumlinda na maambukizi ya COVID-19 - JamiiForums

- Ilala: DC Sophia Mjema athibitisha wagonjwa wa COVID-19 hospitali ya Amana kuleta fujo na kutaka kuondoka wakajitibie nyumbani - JamiiForums

- Wasafiri wanaopita Mkoa wa Morogoro kuanza kupmmwa COVID-19 - JamiiForums

- Nini cha kufanya ukipata maambukizi ya covid 19 - JamiiForums

- Kuhusu kudhibitiwa kwa Corona, UHURU lipewe adhabu - JamiiForums

- Tumwamini nani kati ya Rais Magufuli au Daktari Ndugulile kuhusu kujifukiza ili kukabiliana na COVID-19? - JamiiForums

- Je, Rais Magufuli "amefichwa" Chato kilazima kwa sababu za kiusalama? - JamiiForums

- Haya Magazeti yamesambaza Taarifa za uongo juu ya Covid-19. Je, TCRA na vyombo vya usalama wamechukua hatua gani? - JamiiForums

- Raia wa Korea Kaskazini akimbilia China na kugundulika anaumwa Corona, hali mbaya sana kwa Kim - JamiiForums

- Kila mtu kwa nafasi yake tutendeane haki kuhusiana na janga hili la COVID-19 - JamiiForums

- Bungeni: Msukuma na Ndugai waiomba Serikali kuruhusu waganga wa jadi kuruhusiwa kutibu Corona, wadai imani za Kimagharibi ndio kikwazo - JamiiForums

- ATCL: Abiria wote kuvaa barakoa wakati wote wa safari katika kipindi hiki cha COVID-19 - JamiiForums

- 21 youth arrested shooting pornographic content in Nakuru, quarantined at KMTC - JamiiForums

- Je, hakuna kosa la kiufundi kidiplomasia lilifanyika kwenye 'briefing'? - JamiiForums

- COVID-19 imenifunza haya kuhusu dunia yetu - JamiiForums

- Dubai yafata msimamo wa Magufuli, imeondoa lockdown ya Corona. - JamiiForums

- Mtaalam wa Urusi asema kirusi cha Corona kilibuniwa kwenye maabara ya China - JamiiForums

- Ummy Mwalimu: Watoa huduma za afya wasikimbie wagonjwa, sio kila homa kali ni Corona - JamiiForums

- WHO: Maambukizi ya Tanzania yanaenea kwa sababu Serikali haifuati miongozo ya afya ya kimataifa - JamiiForums

- Shirika la Afya Dunia (WHO) laonya safari bado ndefu katika mzozo wa virusi vya Corona - JamiiForums

- China: Tutafufua Uchumi wetu kwa haraka kuliko Taifa lolote Duniani - JamiiForums

- Saudi Arabia & United Arab Emirates Deport 3000 Ethiopians After Blaming Them For Importing COVID-19 - JamiiForums

- Umoja wa Mataifa umesema janga la Corona limegeuka kuwa mzozo wa haki za binadamu - JamiiForums

- Vita dhidi ya corona Tanzania tufuate maelekezo ya Rais au wizara ya afya? Tufate imani za dini au waganga wa jadi - JamiiForums

- Lockdown is immunosuppressing people due lack of Vitamin D from morning Sunlight and lack of simple aerobic exercise - JamiiForums

- Second Local Ventilator Hits Market. - JamiiForums

- A long lockdown will be catastrophic for developed nations – but a ‘biblical’ disaster for the developing world - JamiiForums

- Tumpongeze Rais Magufuli kwa ushauri wake kwa Benki ya Dunia na IMF. Viongozi wengine Afrika wamuunge mkono - JamiiForums

- WHO Wanasema corona waliujua ni ugonjwa X tangu 2018 - JamiiForums

- Wagonjwa wa COVID19 nchini Kenya wafikia 320 - JamiiForums

- Wauguzi na Madaktari msiposema ukweli corona itawapukutisha - JamiiForums

- CUF imeshtushwa na Taarifa ya uwezekano wa kuwepo kwa vimelea vinavyoeneza COVID-19 kwenye baadhi ya Barakoa zinazotoka nje ya nchi - JamiiForums
 
- Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema leo Aprili 24, 2020 wagonjwa 37 wamethibitishwa kupona virusi vya corona na wameruhusiwa kwenda nyumbani - JamiiForums

- Visa vipya zaidi ya 5,000 vya maambukizi vyaripotiwa nchini Urusi - JamiiForums

- Wizara na COVID 19 - JamiiForums

- Hospitali ya Bugando yataka wanaoingia na kutoka hospitalini kuacha Barakoa zao getini wanapoondoka - JamiiForums

- Majanga: Uganda wagonjwa 11 waongezeka ikiwa 6 ni Watanzania madereva wa malori wakitokea Tanzania na 4 ni wa Kenya - JamiiForums

- Secretary Pompeo: Marekani haitarudi nyuma juu ya uamuzi wa kuiondolea ufadhili WHO - JamiiForums

- Afrika Kusini kulegeza masharti ya Lockdown kuanzia Mei Mosi ili kufufua uchumi wa taifa hilo - JamiiForums

- Marekani yaelemewa na janga la Corona, yapewa msaada na Misri - JamiiForums

- Zitto Kabwe akosoa Serikali inavyokabiliana na janga la COVID-19 - JamiiForums

- Conspiracy Theory: Waliowahi kupata coronavirus watakuja kuwa na advantage. Watapewa vitambulisho maalum. Msiowahi kupata corona jiandaeni kuhangaika - JamiiForums

- Wateja wanaofika katika Ofisi za TRC watakiwa kuvaa Barakoa (Mask) - JamiiForums

- Walimu shule binafsi walalamika kukosa mishahara kisa COVID-19 - JamiiForums

- Dawa ya COVID-19 yashindwa kutibu katika jaribio la awali - JamiiForums

- Mkemia Dr. John P. Magufuli agiza kiwanda cha madawa Kagera mapori ya kimisi, Burigina Biharamulo yaisaidie Afrika wazungu tumewachoka - JamiiForums

- Kabla ya kuilaumu Serikali, jilaumu wewe kwanza - JamiiForums

- Covid 19 na anguko la shule za English Medium - JamiiForums

- Marekani na WHO wameionya Madagascar kuachana na dawa yao ya kutibu Corona - JamiiForums

- Je, tunaokoa uchumi au ndio tunakwenda kuangamiza uchumi kwa maamuzi haya? - JamiiForums

- Njaa inaua kuliko gonjwa la COVID-19 - JamiiForums

- Trump awataka wananchi wachomwe sindano za na dettol - JamiiForums

- Bolivia wameanza kutumia mvuke kama njia ya kujikinga na COVID-19 - JamiiForums

- Rais Trump akosolewa vikali kwa kupendekeza kemikali kutumika kama matibabu ya Coronavirus - JamiiForums

- Utafiti: Chroline inaua virusi vya Corona kwa haraka - JamiiForums

- Nadhani ni vizuri tupate ushuhuda kutoka kwa wagonjwa wa covid 19 walioko mahospitalini kuhusu hali ilivyo huko mahospitalini - JamiiForums

- Tunaovaa Barakoa za Tsh.1,000/= sasa tunaheshimika - JamiiForums

- President Donald Trump: This wasn't just Flu by the way, USA was attacked - JamiiForums

- Wafanyabiashara Bunda wakamatwa kwa kumtaka DC kunawa maji tiririka - JamiiForums

- Coronavirus: Outcry after Trump suggests injecting disinfectant as treatment - JamiiForums

- Ndege tayari ya kuwaleta nyumbani Wakenya walioko China - JamiiForums

- How to ensure accountable COVID-19 relief in debt-burdened countries - Zitto Kabwe - JamiiForums

- Wanasayansi wa Uingereza wadai Kenya lazima ifanyiwe chanjo ya majaribio - JamiiForums

- CORONA VIRUS HONG KONG: Wanafunzi wa Elimu ya Juu wafanya mtihani yao ya mwisho leo - JamiiForums

- Video: Jinsi vyombo vya habari vya wazungu vilivyosherehekea kuingia kwa Corona Africa,”The virus finally hits Africa!” - JamiiForums

- Maambukizi ya COVID-19 yafikia 336, wagonjwa wengine watano wapona - JamiiForums
 
- Marekani kuzisaidia nchi mbalimbali vifaa vya kupambana na corona - JamiiForums

- Vitamin D can help to reduce the risk of covid-19 - JamiiForums

- Siasa kwenye Corona ni matokeo ya zuio la mikutano ya vyama vya siasa, wanasiasa wana " kiu" ya kuongea chochote wajulikane uwepo wao! - JamiiForums

- Nchi zote ulimwenguni zitaondoa "lockdown" na kujifunza kuishi na virusi vya Corona kama Tanzania,Korea Kusini nk - JamiiForums

- Wakati matajiri duniani wakitoa misaada kukabiliana na COVID-19, Mo Dewji yeye anauza vitakasa mikono - JamiiForums

- Tuna majirani wa ajabu sana, Somalia wana waathirika 390 ilhali hospitali ni moja tu nchi yote - JamiiForums

- Malema awatetea Polisi waliowaambiwa Waislamu kua Muhammad sio mkubwa kwa Rais Ramaphosa - JamiiForums

- Coronavirus: UK government borrowing could top £300bn - JamiiForums

- Madereva wa 4 wa Tanzania tena wemekutwa na Covid-19 nchini Uganda - JamiiForums

- 6 million Kenyans are facing hunger - JamiiForums

- MNH kufunga mashine moja ya kupumulia Hospitali ya Amana kusaidia wagonjwa wa Corona - JamiiForums

- Uwazi wa michango ya Corona - JamiiForums

- Barakoa milioni 89 zilizochini ya kiwango zakamatwa - JamiiForums

- Nimeitoa kwa jamaa fulani kuhusu tiba asili ya covid-19 - JamiiForums

- Ujerumani waandamana kupinga hatua ya Serikali kuendelea kuwafungia ndani wanasema wanataka kuachwa huru - JamiiForums

- Sababu za Devota Minja kushikiliwa na Polisi, Abood kutoguswa Morogoro - JamiiForums

- Janga la Corona na mustakabali wa ada kwa wanafunzi - JamiiForums

- Coronavirus: Saluni (za kike na kiume) zinaweza kuwa chanzo cha maambukizi - JamiiForums

- Barakoa za kushona ni kaburi tunalijichimbia kwa kasi ya ajabu - JamiiForums

- Lock-down reduces corana effection - JamiiForums

- Boris Johns: lockdown inaendelea Uingereza kwa sasa - JamiiForums

- Chato ukiingia au ukitoka unapimwa Corona big up mkoa wa chato! - JamiiForums

- Kenya yatangaza visa 8 zaidi vya corona - JamiiForums

- Jumuiya ya Mabohora Tanzania wamkabidhi RC Makonda vifaa vya kujikinga na Corona - JamiiForums

- Jumuiya ya Afrika Mashariki zitenge Tanzania na Burundi - JamiiForums

- Corona Inavyotugawa Watanzania Tukemee Hili - JamiiForums

- Serikali yafafanua madereva kuzuiwa kuingia Zambia - JamiiForums

- Urusi yaipita China kwa idadi ya walioambukizwa Corona - JamiiForums

- Maiti iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii yachukuliwa na mamlaka wakiwa wamejihami kwa mavazi ya COVID-19 - JamiiForums

- Kwanini Tanzania hakuna daily briefing juu ya Corona virus pandemic? - JamiiForums

- Dr. Kigwangala kushauri "Herd Immunity" dhidi ya Corona, ndio msimamo wa Serikali? - JamiiForums

- CoronaVirus-Tanzania: Unawezaje kuwasaidia Watu wenye Ulemavu katika kipindi hiki? - JamiiForums

- Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19 - JamiiForums

- Corona: Mwenyekiti anastahili kubeba lawama - JamiiForums

- Virusi vya corona: Kupingwa kwa amri ya kukaa ndani inayoendelea nchini Marekan - JamiiForums

- Watanzania mtakapoona kila nyumba kuna msiba ndipo mtatubu kusifia kila neno - JamiiForums

- Wabunge mbona mnatusaliti Watanzania kwenye suala la COVID-19? - JamiiForums

- Mtandao wa Corona Virus Statistics unaonyesha Tanzania hakuna vifo na maambukizi mapya tangu wiki iliyopita - JamiiForums

- Mkenya aikimbia karantini na kwenda kufia Tanzania alikokamatwa na kutiwa jela akiwa anaumwa Corona - JamiiForums

- Mbunge Tz ateta kuhusu maiti za waathirika wa Corona kuokotwa barabarani - JamiiForums

- Ushauri: Serikali ifungue shule na vyuo mara moja kwa utaratibu huu maalumu - JamiiForums

- Marekani na WHO vyaanza kukosoa namna Tanzania inavyopambana na Korona - JamiiForums

- Aparrently in 2014, Kenyans were given a kilo of sugar in exchange for hamful test vaccine jabs! - JamiiForums

- face Masks (Barakoa) ziwe lazima kwa watu wote - JamiiForums

- Mwigulu Nchemba alibezwa kabla hajaeleweka kuhusu kutangaza ongezeko la wagonjwa wa COVID-19 - JamiiForums

- Kwanini IMF na Benki ya Dunia wameitenga Tanzania katika mgao wa fedha za Corona? Au ule utani kwamba sisi matajiri, wao wametuibia, uliwachukiza? - JamiiForums

- CORONAVIRUS: Kufanyia kazi nyumbani kusihatarishe maisha na kazi zako za Mtandaoni - JamiiForums

- Wizara ya afya: Teketeza/haribu barakoa yako vizuri kabla yakuitupa/ baada ya kumaliza kutumia - JamiiForums

- Mbunge Kiza Mayeye: Kijiji Cha Mwandiga ndiyo Center kwa sasa ya wagonjwa wa CORONA lakini bado Mama zetu wanaendelea kutafuta maji safi na salama - JamiiForums

- Coronavirus: Membe na Lema walipuka, marafiki wamekufa - JamiiForums

- Iran: 700 wafa kwa kunywa kemikali za pombe wakidhani ni tiba za Corona - JamiiForums

- Nimeshuhudia mtu mwenye dalili za ugonjwa wa Corona akizidiwa sokoni Moshi leo - JamiiForums

- Hali ya corona Afrika Mashariki,Tanzania haitajwi kulikoni? - JamiiForums

- Kama Covid 19 itaendelea kwa muda mrefu,nini kitatokea kwenye jamii? - JamiiForums

- Mellinda Gates: Africa will soon have dead bodies lying on the streets - JamiiForums

- Robert Alai: Tanzania is Burying Covid-19 Victims at Night - JamiiForums

- Hili janga la wanaoachishwa kazi kipindi cha Corona Serikali kimya - JamiiForums

- Waumini wa Kanisa la KKKT watakiwa kuvaa barakoa wanapoingia Kanisani - JamiiForums

- Juhudi za RC Makonda dhidi ya mapambano ya COVID-19 zimefifia - JamiiForums

- Corona Virus: Zanzibar yatangaza maambukizi mapya 7. Visa vyafikia 98 (Aprili 28, 2020) - JamiiForums

- Baada ya Serikali kutoonyesha ithibati kwenye mapambano dhidi ya Korona, Wananchi wameanza kurelax - JamiiForums

- Taji Liundi Avunja Ukimya kuhusu Covid19 - JamiiForums

- Marekani yatoa msaada wa dola milioni 6.6 (milioni 705 za Kikenya) ili kusaidia katika mapambano dhidi ya COVID-19 - JamiiForums

- Wawili wavunja grills na kutoroka karantini - JamiiForums

- Rwanda yaongeza mbinyo kwa vyombo vya usafiri kutoka Tanzania ili kujikinga na COVID-19 - JamiiForums

- Masihara dhidi ya COVID-19 yamtokea puani, adakwa na Polisi - JamiiForums

- Rais Magufuli kuhusiana na Corona bora ukachukua hatua bila kuchelewa zaidi unauweka uongozi wako njia panda - JamiiForums

- Dalili mpya sita za COVID-19 - JamiiForums

- Kujifukiza kiholela kutaleta athari kubwa baada ya Covid 19: Wizara ya Afya itupe mwongozo wa mchanganyiko sahihi haraka - JamiiForums

- Mtemi Chenge: Corona ni tatizo kubwa, hii bajeti tunayoipitisha sasa lazima tutakuja kuifumua huko mbele - JamiiForums

- CoronaVirus-Kenya: 11 new coronavirus cases bringing total to 374 - JamiiForums

- CoronaVirus-Kenya: 11 new coronavirus cases bringing total to 374 - JamiiForums

- Bila kuzuia bar za pombe, Corona inaimaliza Tanzania - JamiiForums

- Herd immunity je ni njia sahihi ya kukabiliana na #COVID19TZA? - JamiiForums

- Kuna vituo binafsi vya Afya vina uwezo wa kununua vifaa vya kupima COVID-19. Kwanini Serikali isiwaruhusu? - JamiiForums

- Mtangazaji BBC aeleza juhudi za kupata takwimu mpya za COVID19 zilivyogonga mwamba - JamiiForums

- Coronavirus: Care home deaths up as hospital cases fall - JamiiForums
 
- COVID-19: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atangaza ongezeko la Wagonjwa Wapya 196. Visa vyafikia 480 - JamiiForums

- Kumetangazwa hali ya hatari kimya kimya? Huu utoaji taarifa za Corona ni kinyume cha Sheria. Watanzania tuna Haki ya kupata habari za kweli - JamiiForums

- India yakataa vifaa vya kupima virusi kutoka China - JamiiForums

- Tuelimishane: Misinformation about lemon as a 'cure' for coronavirus - JamiiForums

- Ukimya huu wa CCM juu ya COVID19 unamaanisha nini?. - JamiiForums

- Trump ataka shule za umma kufunguliwa - JamiiForums

- Abiria 15 bila barakoa kati ya abiria 28 ni kutojali au watu wanajua corona imeisha? - JamiiForums

- CoronaVirus: Madereva wa Malori wanaopita Uganda hawatakiwi kulala hotelini wala kwa Watu - JamiiForums

- Rais wetu usinyamazie suala hili la Corona litaharibu Legacy yako vizazi vijavyo - JamiiForums

- Je, kama Taifa, ikigundulika kwamba ama tunaficha au tunatoa takwimu zisizo sahihi kuhusu janga la COVID-19, tunaweza kuwajibishwa kimataifa? - JamiiForums

- Rais Magufuli hivi wewe ni jemedali wa aina gani? Ndugu zetu wanavyo pukutika Dar huwaoni? - JamiiForums

- Watumia mwanya wa COVID 19 kufanya vitendo vya ukatili - JamiiForums

- Video: Muafrika akiburuzwa kama kiroba cha mchele barabarani huko China kisa Corona - JamiiForums

- China imeahidi kuendelea kushirikiana na nchi za SADC katika mapambano dhidi ya COVID19 - JamiiForums

- Wizara ya Afya yajibu: Haijataja wagonjwa wapya sababu maambukizi ni machache na wanaopona ni wengi - JamiiForums

- Idadi ya Vifo Vya Corona Nchini Marekani Yazidi Idadi ya Wamarekani Waliofariki Wakati wa Vita Vya Vietnam - JamiiForums

- Kuna utaratibu gani na upimaji Corona? - JamiiForums

- Kenya: Wagonjwa wapya 10 wa #covid19 wathibitishwa - JamiiForums

- 'Kwa hiyo nifanye nini?': Rais wa Brazil auliza baada ya zaidi ya watu 5,000 kufa kwa Covid19 - JamiiForums

- Mbowe: Ni ujinga nchi kufikiria ina uwezo wa kukabiliana na COVID-19 kwa utaratibu wake wa ndani bila kujifunza kutoka kwa waliotangulia mapambano - JamiiForums

- Wakili Albert Msando ashikiliwa na Polisi baada ya kutoa taarifa ya hali ya maambukizi ya Corona na kuhamasisha waandishi kuandika ukweli - JamiiForums

- RC Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira atangaza kuambukizwa Virusi vya Corona - COVID-19 - JamiiForums

- Rais Museveni: Nimezungumza na Marais wenzangu kuhusu Corona na madereva wa masafa marefu - JamiiForums

- Kampuni ya Jamhuri Media Limited, kupunguza asilimia 50 ya wafanyakazi ili kuinusuru isianguke - JamiiForums

- Waziri Selemani Jafo ashauri kuanzishwa kwa wiki ya nyungu katika kupambana na Corona - JamiiForums

- Ikulu ya Marekani yatangaza dawa dhidi ya Corona, shukrani sana wazungu, mbarikiwe - JamiiForums

- Trump kutoongeza muda wa kujitenga - JamiiForums

- Marekani inahesabu 'Probable deaths' ya wagonjwa wa Corona Virus - JamiiForums

- Japan: visa vipya 236 vya #covid19 vyarekodiwa - JamiiForums

- Ramdesivir: Dawa ya kukinga Ebola imeonesha uwezo wa kukinga/kutibu corona - JamiiForums

- Uingereza: Mbwa watatumika kugundua wagonjwa wa Covid-19 - JamiiForums

- Corona kuisha mwezi wa sita? Data driven predictions... - JamiiForums

- Wafanyakazi wa Boeing 16,000 watapoteza ajira baada ya kampuni hiyo kupata hasara - JamiiForums

- Tukidhani ni Binadamu wenzetu, kumbe ni mashetani! Mtu unaombeaje mwenzako afe kwa Corona? Can't believe this wickedness! Huu sio utu, ni ushetani! - JamiiForums

- Fursa za kipindi hiki cha janga la Corona - JamiiForums

- Mwanahamisi ‘Mishy’ Singano: Kilio changu kwako Rais Magufuli - JamiiForums

- Hoja binafsi: Mwaka mzima wa masomo wa shule uahirishwe na mwakani uanze upya - JamiiForums

- COVID-19: Wafanyakazi Hospitali ya Mbagala Rangi tatu walalamika kutopewa vifaa vya kujikinga dhidi ya washukia wa virusi vya Corona - JamiiForums

- Hizi ni nchi ambazo hazina kesi za Corona Virus - JamiiForums

- Historia imeandikwa, Kariakoo yawa nyeupe hakuna wateja na fremu nyingi zimefungwa kwa hofu ya Corona - JamiiForums

- RC Mbeya adhibitiwe! Asema Corona idhibitiwe kisayansi na kumuita Mbowe hopeless - JamiiForums

- Jinsi ya kutumia Falsafa ya Ustoa Kukabiliana na janga la Corona - JamiiForums

- Utata wa hesabu: Naibu waziri afya anadai tunapima kwa siku watu 500 na wanaohisiwa tu, na kati ya hao walio ambukizwa ni kati ya 70%-80% - JamiiForums

- Wanaomlaumu Rais kuhusu COVID 19 - JamiiForums

- Magufuli yupo sahihi sana kuhusu corona - JamiiForums

- Russian Prime Minister Mishustin tests positive for coronavirus as national total tops 100,000 cases - JamiiForums

- Magufuli's recklessness will escalate Kenya's and EAC Covid-19 cases - Analysts warn - JamiiForums

- COVID19 Tanzania: Mambo ambayo Wizara ya Afya inapaswa kufanya - JamiiForums

- Serikali yakanusha kutokea vifo 50 vya COVID-19 kwa siku jijini Dar - JamiiForums

- Rasmi sasa madereva wa malori wa Tanzania wanaishia mpakani, magari yanapulizwa dawa anachukua dereva wa Rwanda. Hatuaminiki tena - JamiiForums

- Wabunge wa Chadema waamua kutohudhuria tena vikao vya Bunge; kubaki nyumbani. - JamiiForums

- Madhara ya Covid-19: Chuo kikuu RUCU kulipa nusu mshahara na wafanyakazi wote kwenda likizo - JamiiForums

- Ufaransa kuhimiza matumizi ya baskeli kukabiliana na Corona Virus - JamiiForums

- COVID -19 itatubadilisha sana Waafrika - JamiiForums

- Watu 15 zaidi wakutwa na #CoronaVirus nchini Kenya, maambukizi yafikia 411 - JamiiForums

- Maneno ya mwisho ya Dr. Mahiga kuhusu Korona na mambo mengine - JamiiForums

- Mbunge Mwamoto: Hali ni tete ndani ya wiki mbili tumepoteza wabunge watatu na hatujui nani atakayefuatia, naomba serikali itupime Corona! - JamiiForums
 
- Madonna adai kapimwa ni covid-19 positive! - JamiiForums

- Wabainika kutumia mwanya wa COVID 19 kuozesha watoto wa kike. Kivulini yatoa msaada vifaa kinga, Bunda, Magu - JamiiForums

- Mtanzania adai kugundua dawa ya corona, ataka kuonana na Waziri wa Afya - JamiiForums

- Hatimaye Marekani yaruhusu rasmi dawa dhidi ya Corona - matumaini duniani- shukrani - JamiiForums

- Tanzania: Maisha ya watu yanapowekwa rehani dhidi ya maslahi binafsi ya kiuchumi - JamiiForums

- Covid-19 ni zimwi llilokuja kuumaliza ulimwengu si kiuchumi tu, bali hata kuathiri watu kisaikolojia - JamiiForums

- Dar: Wafanyakazi wawili wa Kampuni ya Mwananchi Communication wakamatwa kwa kusambaza taarifa za uongo za Corona - JamiiForums

- Rwanda: Shule zitaendelea kufungwa hadi Septemba - JamiiForums

- WHO yailaumu Tanzania kutokutoa ushiriano mzuri takwimu za COVID19 - JamiiForums

- Mama Samia Suluhu: Niwaombe sana jikingeni, wakingeni wanaowategemea kwasababu kila tukiamka huyu kalala, huyu kalala inatusikitisha - JamiiForums

- Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi - JamiiForums

- Rais Uhuru aongoza marais kumi wa Afrika katika kupigia debe dawa ya Madagascar - JamiiForums

- Uongo Wa Vipimo Vya Corona Tanzania: Kwanini Waziri Mkuu Na Waziri Wa Afya wasijiuzulu? - JamiiForums

- Trump: Nina ushahidi virusi vya Corona vilitengenezwa katika maabara ya China - JamiiForums

- Coronavirus: Spain makes masks compulsory on public transport - JamiiForums

- Kinga ni bora kuliko tiba, vifaa vya korona vipimwe ufanisi wake kabla ya kununuliwa na kutumika. - JamiiForums

- Rais Magufuli umetuvuruga wala sio siri tena. Hotuba yako ya leo Chato imezidi kuleta taharuki - JamiiForums

- Wizara ya Afya yapiga marufuku watu kuzikwa usiku, yaagiza ndugu washirikishwe - JamiiForums

- Urusi: Yaripoti visa vipya zaidi ya 10,000 vya #covid19 - JamiiForums

- Vita ya Corvid-19 sasa imegeuzwa kuwa vita ya kisiasa - JamiiForums

- African Union supports COVID-19 Organic Medicine from Madagascar - JamiiForums

- Mwalimu Mwakasege: Dalili za Corona ni zile zile za magonjwa mengine tofauti yake Covid 19 imejaa Hofu kuu inayofanya wasio jasiri wajifiche - JamiiForums

- Kwanini mnashangaa mafenesi, mapapai na mbuzi kukutwa na COVID-19/Corona? - JamiiForums

- UCHAMBUZI WA HOTUBA YA MAGUFULI. - JamiiForums

- Madagascar kuwa mkombozi wa dunia? - JamiiForums

- Mike Pompeo: Kuna Ushahidi wa kutosha kuwa Corona imetokea maabara iliyopo Wuhan - JamiiForums

- "Tupo vitani" kama ni kweli mbona hatupo wamoja.? - JamiiForums

- Hoja ya kuficha idadi vifo tuzipuuze, tuiaminie Serikali yetu. Idadi ya 16 waliokufa kwa Corona ni idadi ya ukweli na halisi, ila... - JamiiForums

- Uchambuzi wa kauli ya raisi Magufuli kwa viongozi wa Dini katika muktadha wa COVID-19 - JamiiForums

- Lockdown imekuwa mtihani mkubwa kwa mataifa makubwa - JamiiForums

- Did china and WHO doom the word with covid19 for China to sign a trade deal with America - JamiiForums

- Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, aagiza kusimamishwa kazi kwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii na Meneja udhibiti na ubora - JamiiForums

- Kenya yazuia uuzwaji wa Ng'ombe kutoka Tanzania kutokana na maambukizi ya CoronaVirus kuwa mengi nchini Tanzania - JamiiForums

- Dotto Bulendu: Rekodi yetu ya mapambano yetu dhidi ya Janga la Korona - JamiiForums

- Hatua ambazo Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imezichukua hadi sasa katika kukabiliana na ugonjwa wa Corona ni kama ifuatavyo:- - JamiiForums

- Spika Ndugai asema Mbunge aliyekutwa na Corona anaendelea vizuri - JamiiForums

- Sista Mtanzania awa mtawa wa 118 kufariki wa corona Italia - JamiiForums

- Je, vitasa vya milango na simu zinaweza kusambaza maambukizi ya #COVID19? - JamiiForums

- Exposed: Tanzania is hiding the true number of people who died from COVID-19 - JamiiForums

- Virusi vya Corona: Je, nchi za Afrika zimeweza kuzuia kasi ya maambukizi? - JamiiForums

- Visa vya Coronavirus vyafikia 89 baada ya dereva mwingine kukutwa na maambukizi - JamiiForums
 
- Covid 19- watanzania tutakula kule tu tulipopeleka mboga - JamiiForums

- Vifo vya covid-19 Uingereza vimefika 288 kwa siku - JamiiForums

- Shirika la Afya (WHO) lasema halijapokea ushahidi wowote unaoonesha Corona imeanzia maabara, hivyo hayo yataendelea kuwa madai - JamiiForums

- Somalia: Ndege iliyokuwa imebeba vifaa vya kupambana na Corona yaanguka, sita wapoteza maisha - JamiiForums

- Dkt. Mwele: Kipimo ulichokicalibrate kwa ajili ya COVID kitapima COVID ukiingiza sampuli ambazo siyo umeivuruga! Majibu yatakuwa hayana mantiki! - JamiiForums

- Corona imenisaidia kuacha tabia niliyotamani kuacha kabla - JamiiForums

- Sheikh wa Wilaya ya Tanga awaomba waumini kutotumia Sanitizer kabla ya swala maana ina kilevi - JamiiForums

- Rais wa Madagascar aongeza lockdown kwa siku 14 - JamiiForums

- Rais Magufuli: Hatutasitisha mishahara ya watumishi wa Umma kwa sababu ya COVID-19 - JamiiForums

- Maoni ya Mhadhiri wa Makerere kuhusu Vipimo vya COVID 19 Kuonyesha Positive Kwenye Samples Zilizochukuliwa Kutoka Kwenye Papai na Mbuzi - JamiiForums

- Je, Corona ni vita?. Watanzania, Serikali yetu, CCM, Wapinzani bila umoja na mshikamano wa nguvu moja, lengo moja no sauti moja, tutaweza kushinda?. - JamiiForums

- President Magufuli Queries Tanzania Coronavirus Kits After Goat Test Positive (+). - JamiiForums

- Rais wa chama cha wauguzi asema kuna wauguzi wameambukizwa Corona na wengine wako kwenye Karantini - JamiiForums

- Benaco Ngara: Madereva wa Malori wa Tanzania, wamejichukulia sheria mkononi kuzuia Malori yote kutokea Rwanda kuingia nchini - JamiiForums

- Hofu ya COVID0-19: Baadhi ya Hospitali kukataa wagonjwa wapya, maiti kukataliwa mochwari, sisi wanyonge tumwangukie nani? - JamiiForums

- Shule zifunguliwe mwezi wa sita wanafunzi waendelee na masomo - JamiiForums

- RC Gambo Aamuru Maiti za Korona kuzikwa makaburi yoyote ndani ya Mkoa - JamiiForums

- WHO yatahadharisha dhidi ya tiba za asili ambazo hazijathibitishwa kisayansi kutibu COVID-19 - JamiiForums

- Kenya: Wizara ya Afya imetangaza wagonjwa wengine wa corona 45 - JamiiForums

- Majadiliano ya Corona sio siasa ni mtihani mgumu sana tusitukanane - JamiiForums

- Kifahamu kifaa cha kutambua COVID-19 (RT-PCR) kinavyofanya kazi - JamiiForums

- Kenya yapata idhini ya kufanya majaribio ya chanjo ya Corona kwa binadamu - JamiiForums

- Rais Donald Trump asema Kikosi Kazi cha kukabiliana na Coronavirus kinaweza kuvunjwa, adai Marekani haiwezi kufungwa kwa miaka mitano ijayo - JamiiForums

- Dereva lori kutoka Kenya akutwa na Coronavirus, visa vya Uganda vyafikia 98 - JamiiForums

- Coronavirus in East Africa: Tanzania’s economy resilient to pandemic impact - JamiiForums

- Robot kuanza kuhudumia wagonjwa COVID 19 . - JamiiForums

- RC Makonda atoa saa 24 kuwakamata Wabunge kama wazururaji endapo hawatarudi Bungeni. Wabunge wamjibu - JamiiForums

- Rais Magufuli amkuna ipasavyo Mtoto wa Muhammad Ali baada ya Tanzania kupima mapapai, mbuzi, mafenesi na kutoa majibu yenye mkanganyiko - JamiiForums

- Good news as ltaly has allegedly discovered a new Vaccine for Covid-19 ... - JamiiForums

- Visa vya Corona vyaongezeka na kufikia 582. Serikali yatangaza kufunga Eastleigh na Old Town - JamiiForums

- Nigeria: Raia wa nchi hiyo waliokwama nje kutokana na Corona waanza kurudishwa - JamiiForums

- Mkuu wa Mkoa Mwanza, hii klabu ni chanzo cha maambukizi ya COVID19 - JamiiForums

- India: Wananchi Milioni 122 wapoteza ajira kutokana na mlipuko wa Coronavirus kwa mwezi Aprili pekee - JamiiForums

- Serikali imelifanyia kazi ombi la Wakenya, sasa hakuna kulipa hata shilingi moja kwenye karantini - JamiiForums

- Virusi vya Corona vinajibadilisha kulingana na mazingira, kwa sasa vinadaiwa kuwa na uwezo wa kumuua mtu ndani ya saa 48 - JamiiForums
 
- Ujasiri wa Rais Magufuli katika vita dhidi ya Corona umeleta matumaini kwa Watanzania - JamiiForums

- Corona: Shughuli zaanza kurejea Nairobi, misongamano ya watu imerejea kwa nguvu - JamiiForums

- COVID-19 Test Kits zilizogunduliwa kuwa na hitilafu kwingineko duniani siyo hizi za Magufuli - JamiiForums

- Tumejiuliza kuwa Madagascar wako LOCKDOWN na wametangaza kuwa na dawa ya Covod 19. Kwa hali hii tunajifunza nini juu ya ugonjwa huu? - JamiiForums

- Brazil yarekodi vifo vipya 615 vya COVID-19, Msemaji wa Rais apata maambukizi - JamiiForums

- Brazil yarekodi vifo vipya 615 vya COVID-19, Msemaji wa Rais apata maambukizi - JamiiForums

- Somalia wanazidi kupokea balaa ya Corona, 873 sasa, ila bora wao hawana usiri - JamiiForums

- Trump asema kama kufa na tufe, lazima tuifungue nchi kuokoa uchumi - JamiiForums

- Aibu kubwa: Rais Museveni aitisha maombi na kuomba COVID-19 iwaepuke Wahima na iue wapinzani wake - JamiiForums

- Ripoti: Janga la Corona kusababisha watoto milioni 116 kuzaliwa mpaka ifikapo Desemba 2020 - JamiiForums

- Africa disease control body rejects Tanzania assertion that coronavirus tests are faulty - JamiiForums

- Virusi vya Corona: Nadharia za kuficha ukweli zaibuka kuhusu kifo cha mtaalamu wa Corona - JamiiForums

- COVID-19, Tanzania mainland: "It was not sensible to give out daily updates of small numbers"; Zanzibar: "We are still installing new testing machine" - JamiiForums

- Mamlaka zatoa ufafanuzi wa Serikali kutotoa taarifa za hali ya Corona nchini - JamiiForums

- Athari ya Corona - Uchumi wa Tanzania Kukua kwa 2% Mwaka 2020 - JamiiForums

- Dalili za Covid19 huonekana siku ngapi baada ya kupata maambukizi? - JamiiForums

- Ugonjwa wa Corona umethibitisha kuwa Dunia inahitaji mfumo mbadala(Uislamu) - JamiiForums

- Boris Johnson to keep Britain in lockdown until June - JamiiForums

- One of Trump's personal valets has tested positive for coronavirus - JamiiForums

- Coronavirus found in men's semen - JamiiForums

- Wakenya wanaoikimbia Corona Tanzania wakamatwa maeneo tofauti mpakani - JamiiForums

- Umuhimu wa matumizi ya Barakoa (masks) katika kukinga dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Corona - JamiiForums

- Mtanzania mwingine (dereva wa lori ) akutwa na Corona nchini - JamiiForums

- Miji mikubwa ya Chad yapigwa Lockdown kuanzia leo - JamiiForums

- Mbunge wa Lushoto, Shabani Shekilindi adai kugundua dawa inayotibu ugonjwa wa Corona - JamiiForums

- Wizara ya Afya: Dalili za corona Tanzania ni tofauti na nchi nyingine - JamiiForums

- Tujiandae na Matatizo Makubwa ya Kisaikolojia Yatokanayo na Covid 19 Hasa kwa Wanaoshinda Mitandaoni - JamiiForums

- Zitto: Serikali Imepika data ili kupata fedha kutoka IMF - JamiiForums

- Freeman Mbowe Aongea BBC, amvaa upya Rais Magufuli kuwatumbua wahusika wa upimaji wa vipimo vya Corona - JamiiForums

- Janga la COVID-19: Rais Cyrill Ramaphosa aitisha mkutano wa nchi wanachama wa SADC, adai Rais Magufuli amemwambia wawasilishe hoja kwa maandishi - JamiiForums

- Tanzania yapokea Msaada wa Dawa ya kufubaza COVID-19 kutoka Madagascar - JamiiForums

- Walioambukizwa corona waoongezeka Madagascar licha ya kuwa na 'dawa' - JamiiForums

- Kenya records 14 new virus cases, total rises to 621 - JamiiForums

- Nini kifanyike kuutibu uchumi wetu dhidi ya madhara ya korona. - JamiiForums

- Dawa za mitishamba zaweza kuwa ni hatari katika kuzalisha péaina mpya ya COVID 19 - JamiiForums

- Waraka wa wazi kwa Marais wetu Wastaafu kuhusiana na hali ya Corona nchini - JamiiForums

- UTAFITI MPYA: COVID-19 inaenea haraka zaidi kupitia macho - JamiiForums
 
- Prof. Palamagamba : Tanzania haijalega katika majukumu ya kikanda, kimataifa na corona - JamiiForums

- Secretary wa Mike Pence akutwa na maambukizi ya corona virus - JamiiForums

- Nini kitatokea kama Dawa ya toka Madagascar haitafanya kazi? - JamiiForums

- Je, wajua namna Sabuni inavyofanya kazi katika kuukinga mwili dhidi ya maambukizi ya #COVID19 - JamiiForums

- Dkt. Chriss Cyrilo (MD): Mwongozo wa wizara ya Afya nchini Tanzania unasema hadi sasa hakuna dawa ya kutibu ugonjwa wa covid19. - JamiiForums

- Kuhusu Dawa za Madagascar - JamiiForums

- Waziri Kigwangalla ataka utaratibu wa karantini kwa wageni uondolewe ili kuvutia Watalii - JamiiForums

- 13 truck drivers test positive for coronavirus in Uganda - JamiiForums

- Kenya imethibitisha visa vipya 28 vya Covid-19 na kufanya visa kufikia 649, pia imetangaza kifo 1 - JamiiForums

- RIPOTI: Athari ya COVID-19 katika Biashara ukanda wa Afrika Mashariki - JamiiForums

- Maisha wakati na baada ya COVID19 - JamiiForums

Coronavirus: Quarantine plans for UK visitors ‘will kill international travel’£1,000 fines or possible deportation for those breaking rules - JamiiForums

- Trump: Tunafungua nchi watu wafanye kazi waondoe hofu wanawe na waepuke mikusanyiko - JamiiForums

- Prof. Kabudi: Kwa sasa wananchi hawatapewa dawa za kukabiliana na Corona kutoka Madagascar, inafanyiwa utafiti kwanza - JamiiForums

- President Teodor Obiang of Equatorial Guinea says 9 out of 13 corona patients have been cured by Madagascar remedy - JamiiForums

- Tunakoelekea tutatengwa na majirani tukijependekeza kuwa wanatutegemea, Zambia wadai mpaka wao na Tz sio salama kwa Corona - JamiiForums

- Prof. Hamisi Malebo (PhD), azindua dawa ya Corona - JamiiForums

- As we run out of time and ideas, namna chache sana zinabakia za kuidhibiti COVID19 Tanzania - JamiiForums

- Mkenya aliingia Tanzania kinyemela kuhudhuria mazishi ya ndugu, akaambukizwa kirusi huko - JamiiForums

- Watanzania 18 waliokutwa na COVID 19 Zambia wanasaidiwaje? - JamiiForums

- Lab issues force Government to fly 50,000 coronavirus tests to the US - JamiiForums

- China Made Defective Coronavirus Test Kits For Tanzania, Reveals Africa CDC - JamiiForums

- NI AIBU KWA MWENYEKIT KAMA MBOWE KUENDELEA KUSISITIZA LOCK DOWN WAKAT DUNIA INAPANGA KUACHANA NAYO - JamiiForums

- Wakenya 165 waliokua wamekwama China hatimaye watua kwenye ardhi ya mababu zao - nyumbani Kenya - JamiiForums

- John Pombe Magufuli is banded a Genius as President Donald Trump predicts a Victory over COVID-19 Crisis .. - JamiiForums

- Baadhi ya wanasiasa wamuomba Rais Kenyatta kulivunja Baraza la Mawaziri kutokana na nchi kufilisika - JamiiForums

- Obama aanza kumlaumu Trump kwa kushindwa kulikabili janga la Corona. Asema Trump anaishughulikia Corona kama janga la machafuko - JamiiForums

- Lockdown ni risasi ya kichwa katika pato la taifa lolote duniani|Lockdown is the bullet to the head of GDP in a country - JamiiForums

- Zambia kufunga mpaka wake na Tanzania kwa hofu ya kuenea kwa COVID-19 - JamiiForums
 
- Kenya yapata wagonjwa wapya 23 wa CoronaVirus - JamiiForums

- MSHANGAO: Hadi Uswizi watu wanapanga foleni ndefu kupokea chakula cha bure Corona imeleta maajabu - JamiiForums

- Zambia kufunga mpaka wake na Tanzania kuanzia Kesho - JamiiForums

- EAC an SADC - Rais Uhuru na Ramaphosa wa Afrika Kusini wapigiana simu na kujadili mikakati dhidi ya Corona - JamiiForums

- Deaths continue to rise as COVID-19 cases hit 715 in Kenya - JamiiForums

- Tutakapokuwa kitovu cha maambukizi ya COVID 19 Tutatengwa kila kona - JamiiForums

- Watanzania 18 waingia na Corona Zambia, jameni Wakenya mipakani tuwe makini - JamiiForums

- China imeripoti visa vipya, mji wa Wuhan watangaza kisa kimoja - JamiiForums

- Covid 19: serikali Imejipangaje kuwarudisha watoto mashuleni? - JamiiForums

- Changamoto ya COVID19: Madereva wa Tanzania wazuiwa kuingia Kenya - JamiiForums

- Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa yaongezeka hadi kufikia 700 Kenya - JamiiForums

- Afrika kusini: serikali yakiri kuficha takwimu za #coronavirus ili kuepuka taharuki - JamiiForums

- Kama mipakani corona iko hivi, Tanzania yenyewe hali iko vipi? - JamiiForums

- Marekani yaishutumu China kudukua tafiti za chanjo ya COVID-19 - JamiiForums

- WHO yatoa muongozo wa vitu vya kuangalia kabla ya kulegeza masharti ya zuio la kubaki ndani - JamiiForums

- Data zinaonyesha wanaume huathirika zaidi na corona kuliko wanawake - JamiiForums

- UK changes the slogan of 'stay home' to 'stay alert' - JamiiForums

- Is Tanzania covering up the real number of coronavirus deaths? - JamiiForums

- Zitto: Nitawaandikia barua wakuu wa nchi za SADC na EAC kumwajibisha Rais Magufuli kwa kumtaka afuate hatua za kisayansi ktk kukabiliana na COVID19 - JamiiForums

- Uingereza: Idadi ya vifo kwa wanaoguziwa nyumbani ni kubwa kuliko walioko hospitali - JamiiForums

- Idadi ya vifo kutokana na virusi vya corona yapindukia 290,000 duniani - JamiiForums

- Tanzania kuwa kitovu cha COVID-19 East & Central Africa? - JamiiForums

- Uganda: Madereva wa magari ya mizigo kupata majibu ya #covid 19 ndani ya dk 45 - JamiiForums

- Rais Dkt. Ali Mohamed Shein amewataka viongozi kuwatoa hofu wananchi juu ya maradhi ya Virusi vya KORONA - JamiiForums

- Tanzania yageuka kuwa kitovu cha kusambaza maambukizi ya COVID-19 ukanda wa maziwa makuu? - JamiiForums

- POLITICS OF THE COVID-19 PANDEMIC: PRESIDENT MAGUFULI IS TOO HONEST TO ASSOCIATE WITH THE BORROWERS - JamiiForums

- Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania: Uwezekano wa kupata corona Dar ni mkubwa - JamiiForums

- Corona; Kenya waanza kulalamikia Tanzania kwa kuanza kulipiza kisasi - JamiiForums

- Virusi vya corona: Rais wa Madagascar Rajoelina amewashutumu wakosoaji wa dawa ya mitishamba - JamiiForums

- Wizara yatangaza visa vipya 22, idadi ya maambukizi yafikia 737 - JamiiForums

- China hali yazidi kuwa tete, watia mji wa pili kwenye lockdown - maana Corona imerudi ikiwa na hasira - JamiiForums

- NAMANGA: Madereva 23 toka Tanzania wamezuiliwa kuingia Kenya baada ya kukutwa na COVID-19 - JamiiForums

- Lesotho ambayo ilikuwa ni nchi pekee bila maambukizi ya Corona barani Afrika yatangaza kisa chake cha kwanza - JamiiForums

- Vipimo vya covid-19: Dr. Mwele na Dr. John Nkengasong(Africa CDC) walitumika kupotosha ukweli wa kisayansi (wasaka tonge kazini) - JamiiForums

- Taharuki: madereva wa maroli mpaka wa Tanzania na Kenya wagoma kupimwa corona wadai hawana imani na watoa huduma wa Kenya - JamiiForums

- China yatuhumiwa kujaribu kuiba data za utafiti wa Corona Marekani - JamiiForums

- Tanzania ifunge mipaka ili tuheshimiane - JamiiForums

- Prof. Kabudi: Zambia haijafunga mpaka wake na Tanzania eneo la Nakonde - JamiiForums

- SMZ: Baadhi ya misikiti yafungwa kabisa Zanzibar kuepuka maambukizi zaidi ya Corona - JamiiForums

- UNICEF: 6,000 more children under five could die each day as COVID-19 weakens health systems - JamiiForums

- Kenya records 21 new virus cases as total rises to 758 - JamiiForums

- Virusi vya Corona: Kituo cha kudhibiti magonjwa cha AU chaitaka Tanzania kutoa takwimu - JamiiForums

- COVID19: Vipimo vya Kenya na Uganda vyatofautiana - JamiiForums

- Iran ilikuwa imeanza kulegeza Lockdown ila imepigwa na Corona upya na kuamsha Lockdown - JamiiForums

- Huenda dawa ya Corona ikatoka Afrika Mashariki - JamiiForums

- Madereva wengine nane wa Tanzania wazuiwa kuingia Kenya baada ya kugunduliwa kuwa na Corona - JamiiForums

- Zambia wakiamua kufunga mipaka wafunge kabisa - JamiiForums

- Kenya, Uganda, Rwanda hawataki masihara tunayowaletea sababu washachoma Mabilioni kupambana na Corona - JamiiForums
 
- COVID19 sasa si ugonjwa pekee bali silaha ya kibaiolojia inayotumiwa na mataifa makubwa katika vita ya kiuchumi - JamiiForums

- Rais wa Brazil asema kufunga mji 'lockdown' ni kuua uchumi - JamiiForums

- Kwa nini wako busy na chanjo ya COVID na sio dawa yake? - JamiiForums

- Gates Foundation calls for global cooperation on vaccine for 7 billion people - JamiiForums

- Kenya classifies Namanga border town with Tanzania as COVID-19 high-risk area - JamiiForums

- Wagonjwa 21 wa COVID19 waongezeka huku 7 kati yao wakiwa ni Watanzania - JamiiForums

- Athari za CoronaVirus: Wachungaji katika Kaunti ya Taita Taveta walia kukosa fedha za Waumini - JamiiForums

- Hali ni mbaya: Mwongozo wa nini kama hakuna wanao kufa na Corona? - JamiiForums

- Trump atishia kusitisha uhusiano na China - JamiiForums

- Visa vipya 23 vya Coronavirus vyatangazwa, idadi ya wagonjwa yafikia 781 - JamiiForums

- WHO yasema idadi ya maambukizi ya Corona hayatakuwa makubwa Afrika kama ilivyokadiriwa - JamiiForums

- Serikali: Idadi ya Wagonjwa wa COVID19 kwenye baadhi ya vituo yapungua - JamiiForums

- Visa vipya 43 vya COVID19 vya madereva wa malori vyathibitishwa Uganda. Wapo Watanzania Watano - JamiiForums

- Kipato duni kigezo cha kupata virusi vya Corona - JamiiForums

- Tunduru: DC Mtatiro awaadabisha Wazazi wa Wanafunzi waliooana kipindi cha Corona - JamiiForums

- Je, CoViD-19 imedhibitiwa Afrika? - JamiiForums

- Janga la Corona: Trump asema kuwe na chanjo au kusiwe na chanjo Marekani kufunguliwa - JamiiForums

- Je, Afrika inaweza kupambana na Corona bila ya msaada wa Umoja wa Mataifa? - JamiiForums

- Kufunga shule na vyuo pekee mpaka sasa kumesaidia kwa kiasi gani kupunguza kasi ya kuenea kwa maambukizi ya Covid 19 hapa nchni? - JamiiForums
 
- CoronaVirus: Vipimo vya mara ya pili ya RC Mghwira vyaonesha hana maambukizi ya COVID19 - JamiiForums

- Eritrea officially coronavirus-free with 100% recoveries, no death - JamiiForums

- Mahudhurio ya wagonjwa wa moyo yapungua JKCI kwa hofu ya COVID-19 - JamiiForums

- Uganda media:Tanzania has registered 1293 Covic-19 cases as of todate - JamiiForums

- Kenya yafunga mipaka yake na Tanzania na Somalia. Zuio la kutotoka ndani laongezwa kwa siku 21 - JamiiForums

- Unahitaji utulivu wa akili na umakini katika kufikiri ili kumuelewa Magufuli kelele za Covid-19: Hoja Sita! - JamiiForums

- Brazil: Vifo vya COVID19 vyafikia 15,663 - JamiiForums

- Uganda: Visa 24 vya madereva wa malori vyaongezeka, wakiwemo Watanzania 6. Jumla ya visa vya COVID19 vyafikia 227 - JamiiForums

- Hadi sasa, idadi ya madereva wa Tanzania waliogunduliwa kuwa na Corona na kuzuiwa kuingia Kenya, imefikia 78 - JamiiForums

- Protesters in the UK: The Corona Virus Pandemic is Fake - JamiiForums

- Ujerumani yaitaka, Poland na Jamuhuri ya Czech kufungua mipaka - JamiiForums

- Corona halisi imeishia Ulaya na Marekani tunalazimishwa Afrika tulie kama wao, basi na wao wahamie kwetu ili nasi twende kwao. Magufuli nimekuelewa - JamiiForums

- Hata kwenye COVID-19, Magufuli amesema tuko vitani! Je, tunapigana na nani? Tunapambanaje kwenye vita hii? - JamiiForums

- Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020) - JamiiForums

- Wagonjwa wote wa Corona wa Faeroe Islands wapona, hakuna kifo, Waziri Mkuu aanika siri ya mafanikio - JamiiForums

- China imethibitisha kuharibu sampuli za kesi mpya za corona kwa maabara ambazo hazijathibitishwa - JamiiForums

- Kenyatta, Kagame, Museveni na wengine walioizunguka Tanzania mnashindwa nini kusema hatuwataki Madereva kutoka Tanzania? - JamiiForums

- Tanzania yazuia malori ya mizigo kutoka Kenya kuingi Tanzania. - JamiiForums

- Ushindi wa Tanzania juu ya janga la Corona - JamiiForums

- Madagascar yaripoti kifo cha kwanza cha covid19 - JamiiForums

- Boris Johnson: Coronavirus vaccine 'might not come to fruition' - JamiiForums

- Athari za COVID-19: India yasogeza mbele agizo la kutotoka ndani 'lockdown' kwa wiki mbili - JamiiForums

- Wasiovaa barakoa Qatar kufungwa jela miaka 3 au faini ya zaidi ya Tsh milioni 100 - JamiiForums

- "Tuko salama na Corona" Kwanini UK na US wanakimbiza raia wao? - JamiiForums

- Hivi ni nani anawadanganya watanzania kuwa lockdown haifanyi kazi? Hata kama tumeigomea, tuache kupotoshana! - JamiiForums

- Orodha ya nchi ambazo hazikutumia mbinu ya lockdown dhidi ya COVID19; sisi siyo wa kwanza - JamiiForums

- Visa vipya 21 vya COVID19 vyaongezeka. Jumla ya visa yafikia 248 - JamiiForums

- Madereva Watanzania 51 wakutwa na maambukizi mpakani mwa Kenya na Tanzania. Visa vya Coronavirus Kenya vyafikia 912 - JamiiForums
 
- Mataifa 11 barani Ulaya yafanya makubaliano ya kufungua mipaka yao kwa ajili ya kuanza kupokea watalii - JamiiForums

- China kikaangoni, Mataifa yaamua kuchunguza chanzo cha ugonjwa wa korona, Wakati huohuo yakiri kuficha data za awali - JamiiForums

- CORONA USA: Rais Trump asema anatumia dawa ya Hydrocychloroquine kujikinga na ugonjwa wa Corona, kinyume na ushauri wa wataalam wa afya - JamiiForums

- Coronavirus crisis prompts UK government to introduce fast track NHS visa system - JamiiForums

- Sudan Kusini: Makamu wa Kwanza wa Rais, Waziri wa Ulinzi na walinzi wao wakumbwa na maambukizi ya COVID-19 - JamiiForums

- Rais Museveni: Serikali kugawa barakoa kwa Waganda wote wenye umri wa kuanzia miaka 6 - JamiiForums

- Hadi sasa wageni 182 wamegunduliwa na corona kupitia mpaka wa Tanzania na Kenya - JamiiForums

- African Arguments: Tanzania: How long can its COVID-19 strategy hold? (by Evarist Chahali) - JamiiForums

- Mahakama Kuu ya Pakistan yaamua Corona sio 'pandemic', yaamuru Biashara zufunguliwe - JamiiForums

- Cameroon pastor who claimed he could cure Covid-19, dies from virus. - JamiiForums

- Paul Makonda: Wananchi walioikimbia Dar warudi, Mauti hauikimbii. Siku ya Jumapili, kila mtu afanye fujo awezavyo na kupiga kelele na vigeregere! - JamiiForums

- Madereva 21 kutoka Kenya na 1 kutoka Uganda wakutwa na COVID19 baada ya kupimwa na Tanzania mpakani Namanga, Arusha - JamiiForums

- Athari za Coronavirus: Benki ya Dunia yakadiria watu Milioni 60 wapo hatarini kukumbwa na umasikini mkubwa - JamiiForums

- Texas, Marekani: Kanisa lasitisha ibada baada ya Padri kufariki dunia, wengine watano wagundulika wana Corona - JamiiForums

- "Kuishi na Corona" kunavyopotoshwa Tanzania - JamiiForums

- Trump asema Marekani kuwa na wagonjwa wengi wa Corona ni heshima ya kwamba vipimo vyetu viko vizuri - JamiiForums

- Corona; Madereva 19 wa Tanzania waliorudishwa na Kenya baada ya kugundulika kuwa na Corona, wamepimwa Tanzania na kuonekana hawana Corona - JamiiForums

- Wananchi wa Nakonde Zambia mpakani waandamana na kutoka nje - JamiiForums

- Kenya virus cases shoot to 1,029 with 66 new patients - JamiiForums

- Askofu Bagonza atangaza ibada kurejea kuanzia Mei 31, waumini wote watatakiwa kuvaa barakoa - JamiiForums

- Marufuku madereva wa malori toka Kenya kuingia Tanzania kupitia mpaka wa Sirari - JamiiForums
 
- Rais Magufuli: Hali kwa sasa ipo vizuri na Corona inapungua. Wanafunzi wa Form VI na Vyuo vyote kufunguliwa 01 Juni 2020 - JamiiForums

- Italia kufungua mipaka kwa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) kuanzia Juni 3 - JamiiForums

- Watanzania tumekataa kufa njaa na corona tunapambana nayo - JamiiForums

- Kwenye janga hili la Corona, sisi wanasayansi tunaposema kuwa "Rais Magufuli amekuja na chai" huwa hatuziweki maanani - JamiiForums

- 80 more Kenyans have tested positive for CoronaVirus bringing the total to 1,109 - JamiiForums

- Uganda removes truck drivers from COVID-19 count, reduces national tally - JamiiForums

- Korona: Watanzania Tujilinde, Serikali inajali Uchumi kuliko Uhai wenu - Zitto - JamiiForums

- Kenya wanaanza kutuelewa sasa - JamiiForums

- Denmark: Serikali yaanza kulegeza masharti yaliyowekwa kudhibiti COVID-19 - JamiiForums

- Nitajie Rais maarufu sana duniani kwa sasa kutoka Afrika, Rais Magufuli ni kiboko - JamiiForums

- COVID-19 cases in Uganda rise to 274 - JamiiForums

- Rais Magufuli unakiri uwepo wa Corona ila hotuba zako zinafubaza mapambano dhidi ya Corona - JamiiForums

- Makosa ya kimkakati kuhusu covid 19, yataigharimu Tanzania kiuchumi - JamiiForums

- Licha ya maongezi ya kwenye simu baina ya Rais Uhuru na Magufuli, upimaji lazima ubaki pale pale - JamiiForums

- Coronavirus: Shirika la Afya Duniani (WHO) lasema bado safari ni ndefu - JamiiForums

- Sudan Kusini: Mawaziri 10 wapata COVID19 - JamiiForums

- Bendera ya Marekani kupepea nusu mlingoti kwa siku 3 kuomboleza waliokufa kwa Corona - JamiiForums

- Virusi vya corona: Rais wa Tanzania anasema wagonjwa wanapungua, je yuko sahihi? - JamiiForums

- Kenya records 52 new virus cases, total rises to 1,161 - JamiiForums

- Kenya na Tanzania zakubaliana kuwapima COVID19 Madereva wa Malori na kutosema utaifa wa walioathirika - JamiiForums

- Zambia yafungua mpaka na Tanzania - JamiiForums

- Waziri Kabudi afanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu janga la COVID-19 - JamiiForums

- Wakuu wa mikoa watakiwa kuandaa miundombinu rafiki kwa ajili ya wanafunzi wa kidato cha sita - JamiiForums

- Corona: Wakenya wawafukuza watanzani kwa kisingizio cha Corona - JamiiForums

- Shirika la Afya (WHO): Athari za Corona na vifo Afrika ni ndogo kuliko sehemu nyingine - JamiiForums

- Ripoti ya Uchunguzi wa Maabara: Mashine moja ilikuwa na hitilafu. Upimaji wa COVID19 umehamishiwa katika Maabara mpya iliyopo Mabibo - JamiiForums

- Athari za Corona: 70% ya biashara Dubai kufungwa ndani ya miezi 6 ijayo - JamiiForums

- Rais Trump ataka Makanisa, Misikiti na Masinagogi vifunguliwe - JamiiForums

- Sasa Dunia imetuelewa Tanzania kuhusu COVID-19 - JamiiForums

- Visa vyafikia 1,192. Rais Kenyatta atangaza mpango wa Ksh 53.7 Bilioni kuchochea uchumi - JamiiForums

- Rais Kenyatta: Hatuwezi kuendelea na lockdown - JamiiForums

- Mawaziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi - SADC kufanya tathmini ya athari ya Majanga mbalimbali ikiwemo Covid19 - JamiiForums

- Serikali: Upimaji wa COVID19 umehamishiwa katika Maabara mpya ya Mabibo, majibu kupatikana ndani ya saa 24 - JamiiForums

- Serikali: Upimaji wa COVID19 umehamishiwa katika Maabara mpya ya Mabibo, majibu kupatikana ndani ya saa 24 - JamiiForums

- Wizara ya Afya yatoa mwongozo kwa Watu katika kushiriki ibada ya shukrani ya kupungua kwa Corona na ibada ya Eid El Fitri - JamiiForums

- Msafara wa kuilaani Israel ambao hufanywa kila mwaka Iran, wasitishwa kisa corona - JamiiForums
 
- Ubalozi wa Marekani wasisitiza maambukizi ya Corona jijini Dar yameshika kasi. Wadai Hospitali zimeelemewa! - JamiiForums

- Baada ya kutoa mabandiko kuhusu hali ya Corona nchini, Kaimu Balozi wa Marekani aitwa Serikali kutoa ufafanuzi - JamiiForums

- Visa vipya 72 vya Coronavirus vyatangazwa, idadi ya maambukizi yafikia 1,286 - JamiiForums

- Idadi ya Wagonjwa wa COVID19 yazidi kupanda, waongezeka 62 na jumla ya Waathirika sasa yafikia 1,348 - JamiiForums

- Afrika Kusini: Rais Ramaphosa asema mlipuko wa Corona utakuwa mbaya zaidi nchini humo - JamiiForums

- China kuendelea kuisaidia Afrika kukabiliana na COVID-19 - JamiiForums

- Marekani yawawekea vikwazo wanaotoka Brazil - JamiiForums

- Pamoja na jitihada zote ikiwemo ya lockdown jirani zetu Kenya, Uganda, Rwanda maambukizi ya Corona yanapanda iweje kwetu yashuke kutoka 509 mpaka 20? - JamiiForums

- Afrika Kusini kulegeza masharti kukabiliana na Corona - JamiiForums

- Brazili yaripoti maambukizi zaidi ya 11,000 ndani ya saa 24 - JamiiForums

- Virusi vya corona: WHO yasitisha majaribio ya dawa ya Hydroxychloroquine na kutoa onyo - JamiiForums

- Corona: Wakenya waanzisha fujo mpakani na Uganda - JamiiForums

- WHO Yaonya kuhusu wimbi la pili la CoronaVirus - JamiiForums

- Sasa Dunia imetuelewa Tanzania kuhusu COVID-19 - JamiiForums

- Coronavirus lockdown: Kenyans given poisonous food relief - JamiiForums

- UN: Afrika fanyeni chaguzi hata katika COVID-19 - JamiiForums

- Uganda yatangaza Visa vipya 31 vya Covid19, visa 16 ni Watanzania - JamiiForums

- Mashirika ya ndege yamepokea dola bilioni 123 kama msaada wakati ya mzozo wa COVID-19 - JamiiForums

- Kenya has confirmed 123 new Covid-19 infections marking the country’s highest number of infections recorded within 24 hours - JamiiForums

- Corona: EAC kutokuwapo protokali moja, janga hili bado sana. - JamiiForums

- Chama cha madaktari Tanzania: Wagonjwa wa COVID19 wapungua nchini - JamiiForums

- Makamu wa Rais Sudan Kusini akutwa na Corona - JamiiForums

- Zambia: Waziri wa Afya akutwa na corona virus - JamiiForums

- Wagonjwa 28 wa covid19 waongezeka Uganda. Watanzania wengine wanne wakutwa na maambukizi - JamiiForums

- Uswizi: Makampuni yalazimishwa kuwasaidia waajiriwa kulipa kodi za nyumba kwa kufanyia kazi nyumbani - JamiiForums

- Wizara ya Afya yatangaza visa vipya 147, jumla ya maambukizi yafikia 1,618 - JamiiForums

- Serikali: Marufuku wamiliki wa shule binafsi kutoza wazazi fedha za vifaa kinga - JamiiForums

- Chuo Kikuu cha Oxford kufanya majaribio ya chanjo ya COVID-19 Kenya - JamiiForums

- Mkewe rais wa Burundi aletwa Kenya kutibiwa corona

- Dkt Abbass, kiuchumi tuko vizuri ndio maana hatujashusha mishahara ya watumishi kama nchi nyingine

- KENYA: Maambukizi ya Corona yafikia 1745

- Lockdown yazidi kuleta hasira Kenya

- Marekani yajitoa rasmi Shirika la Afya Duniani WHO

- Kenya: Wafungwa 31 wakutwa na CoronaVirus

- Tanzania’s COVID-19 response puts Magufuli’s leadership style in sharp relief

- Madereva wa malori 52 wagundulika na Corona Uganda | 52 toka South Sudan, 2 toka Kenya na hakuna Mtanzania. Hii inatoa picha gani?

- Uganda wanaendelea kuwataja madereva wa Tanzania walioathirika Corona, hivi mbona hao hamuwapigii makelele?

- Kenya reports 143 new CoronaVirus cases pushing country's total to 1,888

- Corona: Wakenya wachanganyikiwa kutokana na idadi kubwa ya maambukizi nchini kwao, wahamishia hasira zao kwa kuichafua na kudanganya kuhusu Tanzania

- Is social distancing during CoronaVirus causing more suicides?

- WHO: Uongozi imara wa nchi ni moja kati ya sababu za Afrika kupata kiwango kidogo cha maambukizi ya virusi vipya vya #Corona

- Kenya records 74 new cases of CoronaVirus, total at 1,962

- Watumishi 7 wa afya wapata Corona, idadi ya maambukizi yafikia 417

- Burundi: Mawaziri saba wakutwa na Virusi vya Corona
 
- Visa 59 vya CoronaVirus vyaongezeka, idadi ya maambukizi hivi sasa ni 2,021

- Rwanda emepata kifo cha kwanza cha Corona

- Visa vya COVID-19 vyafikia 457, Watanzania 11 ni miongoni mwa madereva wa malori waliokutwa na maambukizi

- Uganda bado Covid19 ni tatizo, lockdown ipo palepale

- Utafiti waonyesha Mask na Social distance inasaidia kupunguza usambaaji wa korona

- Shule kuendelea kufungwa Senegal baada ya baadhi ya walimu kupata Corona

- 72 more Kenyans test positive for coronavirus, total rises to 2,093

- Ubalozi wa Marekani waituhumu Tanzania kuficha takwimu za COVID 19, wasema kwa hali hii hauwezi kutoa hatima ya raia wake

- Wagonjwa wa COVID19 waongezeka na kufikia 507

- Sweden yajutia kutokuweka lockdown baada ya maambukizi na vifo kuwa vingi

- Mwakilishi wa WHO nchini Equatorial Guinea atakiwa kuondoka, atuhumiwa kudanganya idadi ya wagonjwa wa Corona

- Wagonjwa 54 wa Corona wamepona, maambukizi mapya 123 na vifo vitatu vyatangazwa

- A South African court rules lockdown restrictions ‘Irrational.’

- Marekani: Uchunguzi wabaini kuwa George Floyd alikuwa na COVID-19

- Mpaka wa Namanga wafungwa kwa muda baada ya Kenya kuwazuia madereva malori kutoka Tanzania kwa kutokuamini vipimo vyao vya #Corona

- Uganda confirm 15 new COVID19 cases. The total confirmed cases are now 522

- Dkt Rahma Shangali: Mambo 7 niliyojifunza toka kwa Rais Dk Magufuli kutokana na janga la corona

- KENYA HOSPITAL ZIMEZIDIWA WAGONJWA KUTIBIWA NYUMBANI

- Visa vya Corona vyaongezeka hadi 557, visa vipya 35 vyatangazwa

- Rais Magufuli: Sitashindwa kulipa mishahara ya walimu hata corona ikikaa miaka 10

- Rais Magufuli amshangaa Spika Ndugai kuvaa barakoa akiwa peke yake Bungeni

- Rais Magufuli: Marufuku vikundi vya watu kugawa barakoa, ukikutwa ukamatwe. Ukitaka kuvaa barakoa kashone yako

- Brazil: Rais Jair Bolsonaro aishukia WHO, adai linaendeshwa kisiasa, atishia kuiondolea Brazil uanachama

- Corona: Mizozo ya mipakani, wa kulaumiwa ni Tanzania

- Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amewaagiza mawaziri wote kupima COVID-19

- Ban on gatherings, bars extended for 30 days as Kenya’s COVID-19 cases hit 2,600

- Ban on gatherings, bars extended for 30 days as Kenya’s COVID-19 cases hit 2,600

- President Kenyatta says schools to reopen 'gradually' from September 1
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom