Special thread kwa wapenda vibuti nyakati za mitihani vyuoni ili kukwepa sap

Mzee wa kusawazisha

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
1,587
1,136
Husika na kichwa cha Habari njia pekee ya kuepuka kufeli ni kusoma kwa kujituma na sio kuingia na kibuti. Or cheating.. Itakukosti hakika.. Mimi nimepona Ila hujui nimepona Vipi.. Asante.. Natumai wapo humu watu wa jinsi hii.. Acha udanganyifu.
 
upo chuo gani mkuu??au ndo wewe ulikuwa una google siku ya ue?
 
Back
Top Bottom