Hakuna ubaya kujaribu lakini kama kozi yako iko huko fungu la tatu basi ujue kupata ni majaliwa na hasa kama umesoma kuleeeee[
Na je kwa mtanzania anliyesomea elimu ya A level inje ya inchi anakidhi vigezo kweli
namba ya acc. kwa ajili ya kazi gani?Je, kama hukuandika namba za akaunti za benki kwenye fomu ya mkopo..inakuwaje??
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia kwenye fomu ya HESLB Kuna sehemu ya kujaza namba za account yako ya benk...sa Mi sikuiona hiyo sehemu
hakuna kitu kama ichoNasikia kwenye fomu ya HESLB Kuna sehemu ya kujaza namba za account yako ya benk...sa Mi sikuiona hiyo sehemu
Sent using Jamii Forums mobile app
10Majina ya waliopata yanatoka lini ili Kama tumekosa tujue tunaendaje uko chuo
ingia heslb, ila kwa ushauri wangu log in kwenye account yako mfano mimi kweny ile list wanaonesha ni cheti cha kuzaliwa tuu ndio sijahakiki ila kulogin kwenye account nakuta kumbe nina matatizo mawili pamoja na kuapload page5Link ya Majina ya waliokosea helsb
ingia heslb, ila kwa ushauri wangu log in kwenye account yako mfano mimi kweny ile list wanaonesha ni cheti cha kuzaliwa tuu ndio sijahakiki ila kulogin kwenye account nakuta kumbe nina matatizo mawili pamoja na kuapload page5
Mi naambiwa this ccount has been suspendedAmbaye amedownload hayo majina ayatupie hapa, nimejaribu kutafungua yamekataa inaonekana mtandao uko busy sana
Na mimi nimeambiwa hivyo hivyo ila kwa sasa nimyapataMi naambiwa this ccount has been suspended