KIMOMWEMOTORS
JF-Expert Member
- May 17, 2018
- 358
- 670
- Thread starter
- #41
Samahani, bei nimeiweka mda huu, ni 10,000,000Aisee hii ofa iko poa sana,yani kwa 6.5m unakamata IST yako vzr sana kabisaa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani, bei nimeiweka mda huu, ni 10,000,000Aisee hii ofa iko poa sana,yani kwa 6.5m unakamata IST yako vzr sana kabisaa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Samahani, bei nimeiweka mda huu, ni 10,000,000A
Aisee Mbona bei ni cheap Sana? Yan Gari mzuri hivi ni milion 2?
Samahani, bei nimeiweka mda huu, ni 10,000,000Aisee hii ofa iko poa sana,yani kwa 6.5m unakamata IST yako vzr sana kabisaa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wewe umekuwa mkweliKwa mahitaji ya gari bora ya kutembelea, agiza gari yako na Kimomwe Motors Tanzania Limited
Nissan X- Trail ya 2003
Cc: 1990
Seats: 5
4while drive
Km: 82,000
Bei: 16,000,000 mpaka mkononi
Muda wa kusubiri: Siku 30-35
Gari hii ulaji wake wa mafuta ni wastani, madhubuti kwa barabara zetu za lami na vumbi pia, nzuri kwa safari ndefu, mafundi wake wanapatikana, vipuri vyeke vinapatikana kwa gharama za juu kiasi (ila ukifunga hudumu kwa mda mrefu), pia injini, gia box na body yake huvumilia shida kwa wastani. (Zinahitaji uangalizi kila unapohisi tatizo). Pia huuzika kwa gharama ya chini zaidi pindi utapohitaji kuiuza.
Mawasiliano: 0754 455865
Ofisi zetu zipo Magomeni Mapipa.View attachment 956848
Wewe midfield kisheti tako la nyani after 10yrs itakuwa ishachuja sanaNgoja ata kwa miaka kumi niagize harrier tako la nyani
Kama bodaboda za mchinaWewe midfield kisheti tako la nyani after 10yrs itakuwa ishachuja sana
Swali zuriJF inapata kamisheni ya kiasi gani katika mauzo ya kila gari?
Hehehehe, hapo ulipocoment ni sahihi kabisa, na wengine wote wa BMW, Benz, VW, n.k watakoment hapo hapo bosssie wa subaru tuna comment wapi