Special :Questions And Answers (Q and A)

1.Vipi naweza kuutambua umeme kama ni three phase?
2. Je umeme wa three phase unafaa kufunga kwenye banda la kuku?
3. Kwanini three phase unakuwa na volts 380 wakati single phase inakuwa na volts 230?
4. Je kila phase moja inapishana na nyingine kwa nyuzi ngapi? Ukijibu hili rudia swali namba tatu.
5. Kwanini 2 phase haitumiki sana?
6. Kuna transformer inapooza umeme kutoka 11,000volts to 230volts (11Kv - 230v) ilikwa current kwenye 230volts ni 100A tafuta current ya kwenye 11Kv pamoja ba Primary na secondary winding. 7. Je elecrtic field katika 11Kv itakuwa na thrength gani na natakiwa kuwa umbali gani bila kuushika waya unaopitisha 11Kv.
8. Hivi KWh ni kipimo cha umeme. Je ikiwa unit moja inauzwa Tshs 290 na kila nikienda kununua umeme wanakata kodi asilimia 18 (18%) Je Shillingi 50,000 napata units ngapi?
9. Kwenye nyumba kuna balbu 5 tu ambazo zote zina kizio cha Watts 40. Nifanyie makisio kwa siku nitatumia unit ngapi?
10. Zagarino means what? Explain with one word.
hahahaaa haya maswali yako naeenda kuyajibia kabisa enterview
 
Back
Top Bottom