Antetokounmpo
JF-Expert Member
- Feb 5, 2020
- 1,242
- 1,996
Haya...Maji yako mezani na Glass safi kabisa...
Last time nimeenda sumbawanga, ulnambia nikutafte....ila wapi Hukuonekana....It's ok, tutaextend muda usijali
Mmh labda hukuniambia kama umekuja huku Swax, siku ukirudi tena karibu sanaLast time nimeenda sumbawanga, ulnambia nikutafte....ila wapi Hukuonekana....
Nilkuja hadi PM...ila kimya, But sidhani kama ntarud hv karbuni.Mmh labda hukuniambia kama umekuja huku Swax, siku ukirudi tena karibu sana
Dah haya bana! Ndiyo maana nimesema siku ukirudi karibu sanaNilkuja hadi PM...ila kimya, But sidhani kama ntarud hv karbuni.
Asee mtoto wa watu analainika hivi hivi..@Extrovert unaibiwa huku,Mzee unakwama wapi kwani?It's ok, tutaextend muda usijali
Umeanza tena Sato wewe😀 umesikia mimi maharage ya Mbeya maji mara moja😏Asee mtoto wa watu analainika hivi hivi..@Extrovert unaibiwa huku,Mzee unakwama wapi kwani?
Hahaha, haya ntakarbia hapo Swax ya sinzaDah haya bana! Ndiyo maana nimesema siku ukirudi karibu sana
Hajui kua wew ni Mgumu kama naniliu...Umeanza tena Sato wewe umesikia mimi maharage ya Mbeya maji mara moja
Bradha Extrovert namuhurumia sn,yeye anajitoa sn kwako but wewe unamwangusha sanaUmeanza tena Sato wewe umesikia mimi maharage ya Mbeya maji mara moja
Dah haya bana😬😬Bradha Extrovert namuhurumia sn,yeye anajitoa sn kwako but wewe unamwangusha sana
Sasa hivi kalala,ngoja aamke akute hayo maongezi yenu🤣..sikutetei hataDah haya bana😬😬
Yeye mwenyewe ananipigaga matukio, hapo ngoma droo simuogopii😀Sasa hivi kalala,ngoja aamke akute hayo maongezi yenu🤣..sikutetei hata
AmenHongereni Mabinti Sayuni Ukiwa Yanga Ni sehemu salama kwa wadada wa nguvu
Inawezekana mkuuUmemaliza kabisa na facts umeongea kumbe mm huwa nakuvutia hata kabla sijaongea na ww
Kwani uzi uliendelea baada ya hii comment? 100% correct.
Mwanaume mwenye Tatoos, vihereni yani bishoo hapana, ila sijui ni ushamba wangu kuna wanaume wanavaa kama bangili flani mikononi ni silver sijui zile, aisee siwaamini,nawaonaga kama watakua vibaka hivi
Haya ngoja tusikie kwao wengine🤪 pia na wakaka wanaoongea sana wajitafakari wadada hawapendi shauri yao🤔
Uliendelea,mimi nilijikita zaidi kwenye muonekano ,hasa mavazi..
Ngoja tuwasikie na wengine.
Hupendi wanaume chiriku?Haya ngoja tusikie kwao wengine pia na wakaka wanaoongea sana wajitafakari wadada hawapendi shauri yao