Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Hey ladies out there
Mko poa?
Ni muda nwingine tena jumapili njema kabisa hii nikiamini mko poa kama kuna mwenye tatizo pole sana
Ni jumapili ya mwisho kabisa ya mwaka huu wa 2013
Ningependa mwakani muwe na mahusiano imara sana na wenza wenu
Muwapende nao wawapende
Tumieni muda huu wa mwisho wa mwaka kutafakari mahusiano yenu kuboresha mahusiano hayo pia
Leo nakuja na ujumbe kutoka kwa mwandani wako [sio mimi] yoyote yule aliyeko kwenye mahusiano naomba ajue ujumbe huu haujatoka kwa Eiyer bali kwa mwenza wako
Nachukua nafasi hii kwa niaba ya wenza wenu kuwakumbusha kuwa hakuna kama huyo
Huyo ndie anaekufanya wewe kuwa malkia duniani
Huyo ndie anaekufanya uwe na thamani duniani
Wengine wanaotamani kuyavunja mahusiano yenu hawafai
Achana na hao wamendeaji wa kwenye PM,hawana lolote hao
Ni waharibifu wa mahusiano tu
Msikilize uliye nae
Mheshimu uliye nae
Mkubali uliye nae
Mjali uliye nae
Kwani huyo ndie mwanaume pekee atakaeweza kutimiza ndoto zako
Kwa wale tulio single wanaume wenzangu na wale dadaz msikonde maisha bado yanaendelea tu
Wacha tuwafanye walioko kwenye mahusiano wayafurahie ili nasi siku moja tukiingia tuyafurahie
Nawatakieni Jumapili njema na huu wimbo hapa ni kwaajili yenu kutoka kwa wenza/wapenzi wenu
Burudika hapa:Tank - One Man [OFFICIAL HQ] - YouTube
TANK -ONE MAN LYRICS
A walk in the park
Or late night TV
I'm a kind of simple man
I need you to understand
A car and a dog
An apartment uptown
I don't have much but me
But I'd give it all it we could be
Girl, I'm only one man
Doin' what I can
To give you everything you need
To be everything that I can be
I'm only one man
Doin' what I can (Mmm, mmm)
To give you everything you need
To be everything that I can be (Yeah)
A job and a dream (Whoa)
Keep me off the streets
But sometimes I wanna go
So I can buy you fancy clothes and feed you
I pray that some day
My dreams will come true
And the first thing that I'm gonna do
Is promise eternal love to you
Girl, I'm only one man
Doin' what I can (Mmm, mmm)
To give you everything you need
To be everything that I can be
I'm only one man
Doin' what I can
To give you everything you need
To be everything that I can be
I'mma just sing it (Whoa, whoa, whoa, whoa)
A second time (Whoa, whoa, whoa, whoa)
If you're mine (Whoa, whoa, whoa, whoa)
I'mma just take my time (Whoa, whoa, whoa, whoa)
So (Whoa, whoa, whoa, whoa)
Oh (Whoa, whoa, whoa, whoa)
Whoa, whoa (Whoa, whoa, whoa, whoa)
Whoa, whoa (Whoa, whoa, whoa, whoa)
Girl, I'm only one man
Doin' what I can
To give you everything you need
To be everything that I can be
Girl, I'm only one man
Doin' what I can
To give you everything you need
To be everything that I can be
Girl, you know I'm only one man
Tryin' to do the best I can
Girl, you know I'm only one man
Tryin' to do the best I can
Girl, you know I'm only one man
Tryin' to do the best I can
Girl, you know I'm only one man
Jumapili njema na maandalizi mema ya kuumaliza mwaka....!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mko poa?
Ni muda nwingine tena jumapili njema kabisa hii nikiamini mko poa kama kuna mwenye tatizo pole sana
Ni jumapili ya mwisho kabisa ya mwaka huu wa 2013
Ningependa mwakani muwe na mahusiano imara sana na wenza wenu
Muwapende nao wawapende
Tumieni muda huu wa mwisho wa mwaka kutafakari mahusiano yenu kuboresha mahusiano hayo pia
Leo nakuja na ujumbe kutoka kwa mwandani wako [sio mimi] yoyote yule aliyeko kwenye mahusiano naomba ajue ujumbe huu haujatoka kwa Eiyer bali kwa mwenza wako
Nachukua nafasi hii kwa niaba ya wenza wenu kuwakumbusha kuwa hakuna kama huyo
Huyo ndie anaekufanya wewe kuwa malkia duniani
Huyo ndie anaekufanya uwe na thamani duniani
Wengine wanaotamani kuyavunja mahusiano yenu hawafai
Achana na hao wamendeaji wa kwenye PM,hawana lolote hao
Ni waharibifu wa mahusiano tu
Msikilize uliye nae
Mheshimu uliye nae
Mkubali uliye nae
Mjali uliye nae
Kwani huyo ndie mwanaume pekee atakaeweza kutimiza ndoto zako
Kwa wale tulio single wanaume wenzangu na wale dadaz msikonde maisha bado yanaendelea tu
Wacha tuwafanye walioko kwenye mahusiano wayafurahie ili nasi siku moja tukiingia tuyafurahie
Nawatakieni Jumapili njema na huu wimbo hapa ni kwaajili yenu kutoka kwa wenza/wapenzi wenu
Burudika hapa:Tank - One Man [OFFICIAL HQ] - YouTube
TANK -ONE MAN LYRICS
A walk in the park
Or late night TV
I'm a kind of simple man
I need you to understand
A car and a dog
An apartment uptown
I don't have much but me
But I'd give it all it we could be
Girl, I'm only one man
Doin' what I can
To give you everything you need
To be everything that I can be
I'm only one man
Doin' what I can (Mmm, mmm)
To give you everything you need
To be everything that I can be (Yeah)
A job and a dream (Whoa)
Keep me off the streets
But sometimes I wanna go
So I can buy you fancy clothes and feed you
I pray that some day
My dreams will come true
And the first thing that I'm gonna do
Is promise eternal love to you
Girl, I'm only one man
Doin' what I can (Mmm, mmm)
To give you everything you need
To be everything that I can be
I'm only one man
Doin' what I can
To give you everything you need
To be everything that I can be
I'mma just sing it (Whoa, whoa, whoa, whoa)
A second time (Whoa, whoa, whoa, whoa)
If you're mine (Whoa, whoa, whoa, whoa)
I'mma just take my time (Whoa, whoa, whoa, whoa)
So (Whoa, whoa, whoa, whoa)
Oh (Whoa, whoa, whoa, whoa)
Whoa, whoa (Whoa, whoa, whoa, whoa)
Whoa, whoa (Whoa, whoa, whoa, whoa)
Girl, I'm only one man
Doin' what I can
To give you everything you need
To be everything that I can be
Girl, I'm only one man
Doin' what I can
To give you everything you need
To be everything that I can be
Girl, you know I'm only one man
Tryin' to do the best I can
Girl, you know I'm only one man
Tryin' to do the best I can
Girl, you know I'm only one man
Tryin' to do the best I can
Girl, you know I'm only one man
Jumapili njema na maandalizi mema ya kuumaliza mwaka....!!!!!!!!!!!!!!!!!