Wakwanza kujiuzuru awe waziri mkuu, huyu amekuwa akitetea maovu... Makinda watammudu bungeni!Spika wa bungu mama Anne Makinda na waziri mkuu ndugu Mizengo Pinda wanatakiwa wajiuzulu nyadhifa zao kwa ajili ya maslahi ya taifa kwani hakuna cha maana walichowafanyia watanzania toka wameteuliwa kwenye nyadhifa zao.
Naunga hoja mkono!Wakwanza kujiuzuru awe waziri mkuu, huyu amekuwa akitetea maovu... Makinda watammudu bungeni!