Speaker akerwa na mwendo wa kurudisha makao makuu dar kwa viongozi kurejea dar kila mara

kmbwembwe

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
10,406
7,188
Mwendo wa kurudisha shughuli za makao makuu dar umeonekana mara baada ya kuaga dunia magufuli na mama samia kua rais. Swala la kuhamia dodoma limekua gumu kwa miaka zaidi ya arobaini hadi alipoingia magufuli.

Kitendo cha rais samia kuonekana kwa kupenda au kushauriwa kufanya shughuli za kiserikali dar kila wakati ndio inasababisha viongozi wengine kurudi dar kila mara. Inajulikana majengo na mazingira ya makao makuu bado kukamilika lakini magufuli alijua bila msuli huwezi hamisha makao makuu kwenda dodoma kwa kua tabaka la viongozi wa tanzania karibu wote wana makazi na vitega uchumi dar. Ukichunguza utakuta wabunge karibu asilimia zaidi ya 60 wana makazi dar. Watu wa dar ndio huenda kugombea ubunge karibu kwa majimbo yote.

Hili la kuhamia dodoma linahitaji musuli wa rais na nidhamu kwa watendaji wake. Kama ni shughuli za kibalozi rais akiwafuata dar watahamia lini dodoma? Shughuli za kibalozi hua makao makuu ya taifa. Si lazima wajenge nyumba.

Ubalozi wakibanwa kwenda dodoma kwa shughuli zao watapanga majengo na kuhamia dodoma.
 
Safari ya Dodoma tumekwama njiani.
E8lkWuHWEAEgUbk.jpeg
 
Mwendo wa kurudisha shughuli za makao makuu dar umeonekana mara baada ya kuaga dunia magufuli na mama samia kua rais. Swala la kuhamia dodoma limekua gumu kwa miaka zaidi ya arobaini hadi alipoingia magufuli.
Kitendo cha rais samia kuonekana kwa kupenda au kushauriwa kufanya shughuli za kiserikali dar kila wakati ndio inasababisha viongozi wengine kurudi dar kila mara. Inajulikana majengo na mazingira ya makao makuu bado kukamilika lakini magufuli alijua bila msuli huwezi hamisha makao makuu kwenda dodoma kwa kua tabaka la viongozi wa tanzania karibu wote wana makazi na vitega uchumi dar. Ukichunguza utakuta wabunge karibu asilimia zaidi ya 60 wana makazi dar. Watu wa dar ndio huenda kugombea ubunge karibu kwa majimbo yote.
Hili la kuhamia dodoma linahitaji musuli wa rais na nidhamu kwa watendaji wake. Kama ni shughuli za kibalozi rais akiwafuata dar watahamia lini dodoma? Shughuli za kibalozi hua makao makuu ya taifa. Si lazima wajenge nyumba. Ubalozi wakibanwa kwenda dodoma kwa shughuli zao watapanga majengo na kuhamia dodoma.
MAMA MPUUZI SANA, GHARAMA ZA KUENDESHA NCHI ZINAKUWA KUBWA SABABU YA KUTAKA KUFANYAI KAZI DAR BADALA YA DODOMA
 
Mwendo wa kurudisha shughuli za makao makuu dar umeonekana mara baada ya kuaga dunia magufuli na mama samia kua rais. Swala la kuhamia dodoma limekua gumu kwa miaka zaidi ya arobaini hadi alipoingia magufuli.
Kitendo cha rais samia kuonekana kwa kupenda au kushauriwa kufanya shughuli za kiserikali dar kila wakati ndio inasababisha viongozi wengine kurudi dar kila mara. Inajulikana majengo na mazingira ya makao makuu bado kukamilika lakini magufuli alijua bila msuli huwezi hamisha makao makuu kwenda dodoma kwa kua tabaka la viongozi wa tanzania karibu wote wana makazi na vitega uchumi dar. Ukichunguza utakuta wabunge karibu asilimia zaidi ya 60 wana makazi dar. Watu wa dar ndio huenda kugombea ubunge karibu kwa majimbo yote.
Hili la kuhamia dodoma linahitaji musuli wa rais na nidhamu kwa watendaji wake. Kama ni shughuli za kibalozi rais akiwafuata dar watahamia lini dodoma? Shughuli za kibalozi hua makao makuu ya taifa. Si lazima wajenge nyumba. Ubalozi wakibanwa kwenda dodoma kwa shughuli zao watapanga majengo na kuhamia dodoma.
Ndugu Mbwembwe ni mawazo yako au ya taasisi yako. Naomi y'all tasafali.?
 
Anaropoka tuu hakuna anaeweza rudisha mji mkuu Dar,alivyo kiazi anatakiwa kujua kwamba hapo Dom hata robo ya serikali haijahamia.

Afu serikali imetangaza kutoa mabilioni ya kutosha kuendelea na ujenzi wa maofisi ya wizara na miundombinu mingine ya kukidhi mji mkuu
 
MAMA MPUUZI SANA, GHARAMA ZA KUENDESHA NCHI ZINAKUWA KUBWA SABABU YA KUTAKA KUFANYAI KAZI DAR BADALA YA DODOMA
Hizi ni akili za kipumbavu,wakati serikali haijahamia Dom gharama zilikuwa kubwa au ndogo? hakuna logic hapo kwa sababu umehamisha magoli tuu
 
Mwendo wa kurudisha shughuli za makao makuu dar umeonekana mara baada ya kuaga dunia magufuli na mama samia kua rais. Swala la kuhamia dodoma limekua gumu kwa miaka zaidi ya arobaini hadi alipoingia magufuli.
Kitendo cha rais samia kuonekana kwa kupenda au kushauriwa kufanya shughuli za kiserikali dar kila wakati ndio inasababisha viongozi wengine kurudi dar kila mara. Inajulikana majengo na mazingira ya makao makuu bado kukamilika lakini magufuli alijua bila msuli huwezi hamisha makao makuu kwenda dodoma kwa kua tabaka la viongozi wa tanzania karibu wote wana makazi na vitega uchumi dar. Ukichunguza utakuta wabunge karibu asilimia zaidi ya 60 wana makazi dar. Watu wa dar ndio huenda kugombea ubunge karibu kwa majimbo yote.
Hili la kuhamia dodoma linahitaji musuli wa rais na nidhamu kwa watendaji wake. Kama ni shughuli za kibalozi rais akiwafuata dar watahamia lini dodoma? Shughuli za kibalozi hua makao makuu ya taifa. Si lazima wajenge nyumba. Ubalozi wakibanwa kwenda dodoma kwa shughuli zao watapanga majengo na kuhamia dodoma.
Yeye ni Nani hata kumpangia mhe. Rais wapi amfanyie kazi..kila mtu ale kwa urefu wa kwamba yake..
 
Back
Top Bottom