Southern regions with Male Circumcision......

sasa naanza kupata mwanga aksante Mkodoleaji ile link ulinipa kwa ufafanuzi zaidi nimesoma vitu vingi na ile ambayo kuna debate kuhusu human right (child) na infant circumcision kuwa kumtahiri mtoto mdogo (wa kiume) ni kukosea sasa sijui wanataka kina kaka wakatwe wakiwa na umri gani mwishowe watasema hata kukata ni kinyume na haki za binadamu kwa vile kinahusisha maumivu au kuumiza mwili duh---- na sisi tutadai ni kinyume cha haki za binadamu kwa mwanamke muongeza ujazo wa dunia ---aeh si kuna maumivu pia?
wenzio wanakesha kwa waganga wanatafuta MIMBA!shauri zako.

nilijaribu kumsihi wife tuishie mtoto mmoja AMEKATAA KATA KATA!anataka wanne
 
kwa hiyo unataka kujua matokeo iwapo hawa wawili watafanya zinaa na muathirika wa ukimwi?

Unajua Geoff nadhani umenielewa na wewe umeeleza vizuri kuwa kwenye masuala ya maambukizi ya ukimwi siyo yanaelezeka kirahisi kwa sababu mtu akifanya ngono zembe awe ametahiriwa au hajatahiriwa kuna uwekano mkubwa atapata ukimwi. Na ndiyo maana nikamwuliza Kaitaba kuwa ukiwa na watu wawili waliofanya ngono mmoja kafanya ngono zembe lakini ametahiriwa na mwingine hajafanya ngono lakini hajatahiriwa unadhani ni nani ana uwezekano mkubwa wa kuambukizwa ukimwi. Hapo utakuta kuwa yule aliyetahiriwa ana uwezekano mkubwa kupata ukimwi kuliko ambaye hajatahiriwa.
 
sasa naanza kupata mwanga aksante Mkodoleaji ile link ulinipa kwa ufafanuzi zaidi nimesoma vitu vingi na ile ambayo kuna debate kuhusu human right (child) na infant circumcision kuwa kumtahiri mtoto mdogo (wa kiume) ni kukosea sasa sijui wanataka kina kaka wakatwe wakiwa na umri gani mwishowe watasema hata kukata ni kinyume na haki za binadamu kwa vile kinahusisha maumivu au kuumiza mwili duh---- na sisi tutadai ni kinyume cha haki za binadamu kwa mwanamke muongeza ujazo wa dunia ---aeh si kuna maumivu pia?

Asante sana mwanajamii1,
Unajua kusoma kuna panua uelewa na kama hao TACAIDS wanatakiwa kufuatilia mambo haya ambayo bado matokeo yake hayajawa bayana. Vinginevyo watu bila elimu ya kutosha wanaweza kupanga foleni kwa mangariba wa uongo wakaishia kuambukizwa ukimwi badala ya kujikinga na ukimwi. Au mtu akishatahiriwa akadhani amepata kinga ya ukimwi akaanza kwenda peku peku. Hivyo TACAIDS wangetakuwa kutoa tahadhari kama hizo na siyo kutoa mlinganisho ambao hauna maana kuwa Iringa ni zaidi ya Manyara kwa sababu hawana utamaduni wa kutahiri. Mbona Kagera inakaribiana na Mara wakati mkoa mmoja una utamaduni wa kutahiri na mwingine hauna.
 
Hi!
I dont mean to offend anyone but I just want to know if it is true


According to TACAIDS mikoa ya Mbeya and Iringa ina low rate of male circumcision (34.4% and 37.7% respectively) kulinganisha na mkoa wa Manyara ambao prevelence rate ya male circumcision ni zaidi ya 80%. Na hii ni mojawapo ya sababu za mikoa hiyo (Mbeya na Iringa) kuwa na high HIV- prevalence rates wakati Manyara HIV prevalence ni 2%. (HSHS 2008-2012).

Swali: Is it true kuwa Mbeya na Iringa male circumcision rate ni ndogo?
(If true) Is it related to some cultural factors?


Mwanajamii One,
Hoja ya TACAIDS ina ukweli fulani, hata kama watu wa mikoa hiyo wataukataa! Nimesoma katika mikoa hiyo miwili kwa elimu ya msingi na sekondari. Nikiwa nasoma shule za bweni, sometimes unakuta tukioga bafuni, kati ya wanafunzi 10 unakuta wanafunzi 1-4 ndio waliotahiriwa (enzi hizo)! Ni very shocking statistics lkn ndo hali halisi ya huko!
Sababu za hali hii huenda ni:-

1. Mikoa hii ni kati ya mikoa ambayo imechelewa sana kuingiliwa na utamaduni unaoambatana na dini ya Kiislamu (dini ambayo inazingatia sana suala la tohara kwa wanaume). Hii imechangia sana wanaume wengi kutotahiri!

2. Mikoa hii haina zile ngoma za jando na unyago, kama ilivyo mikoa ya Pwani (Pwani, Lindi, Mtwara, Tanga) au kaskazini (Arusha/Manyara). Ngoma hizi (namaanisha jando) huambatana na tohara, kwa hiyo basi ukosefu wa ngoma hizi katika nyanda za juu kusini kumechangia kutokuwa na utaratibu wa tohara!

Angalau kwa sasa muingiliano wa jamii umekuwa mkubwa, naona rate ya tohara itakuwa imeongezeka sana!
BTW, I stand to be corrected!
 
Unajua Geoff nadhani umenielewa na wewe umeeleza vizuri kuwa kwenye masuala ya maambukizi ya ukimwi siyo yanaelezeka kirahisi kwa sababu mtu akifanya ngono zembe awe ametahiriwa au hajatahiriwa kuna uwekano mkubwa atapata ukimwi. Na ndiyo maana nikamwuliza Kaitaba kuwa ukiwa na watu wawili waliofanya ngono mmoja kafanya ngono zembe lakini ametahiriwa na mwingine hajafanya ngono lakini hajatahiriwa unadhani ni nani ana uwezekano mkubwa wa kuambukizwa ukimwi. Hapo utakuta kuwa yule aliyetahiriwa ana uwezekano mkubwa kupata ukimwi kuliko ambaye hajatahiriwa.
nina wasiwasi na findings zako!
kama bado nakushauri pia ukatahiri
 
Hi!
I dont mean to offend anyone but I just want to know if it is true


According to TACAIDS mikoa ya Mbeya and Iringa ina low rate of male circumcision (34.4% and 37.7% respectively) kulinganisha na mkoa wa Manyara ambao prevelence rate ya male circumcision ni zaidi ya 80%. Na hii ni mojawapo ya sababu za mikoa hiyo (Mbeya na Iringa) kuwa na high HIV- prevalence rates wakati Manyara HIV prevalence ni 2%. (HSHS 2008-2012).

Swali: Is it true kuwa Mbeya na Iringa male circumcision rate ni ndogo?
(If true) Is it related to some cultural factors?


Umesahau Mkoa wa Kagera, walitaka kwisha kwa sababu hiyo. Kwa kiasi fulani kuna ukweli, Mikoa hiyo hasa maeneo ya vijijini suala la kutahiri ni dogo sana. tusiwafikirie kwamba wanapenda ngono, kama ni Mikoa inayofanya ngono kwa sana na Mikoa ya kusini yaani LINDI NA MTWARA lakini maambukizi yako chini sana, sababu wengi ni waislam na lazima mwanauume atahiri. MWJ1 kumbuka kwa mikoa uliyotaja bado kuna sababu nyingine nyingi. Unaonaje suala la mikoa ya Iringa na Mbeya kutoa wafanyakazi wa ndani tukilihusisha na kuenea kwa VVU/AIDS kwenye Mikoa hiyo?????????????????
 
NI KWELI INAWEZEKANA IKAWA HIVYO KIBIOLOJIA LAKINI KI SOCIAL ECONOMICAL NI KWAMBA MIKOA KAMA MBEYA IMEPAKANA NA NCHI JIRANIKWA PANDE ZOTE KAMA MALAWI,ZAMBIA HIVYO MCHANGANYIKO WA WATU NI MWINGI SANA HASA UKIZINGATIA KWAMBA KWA AFRIKA NZIMA NCHI ZA KUSINI MWA AFRIKA ZINA KIWANGO KIKUBWA CHA MAAMBUKIZI,NA HAO NDIO WANAINGIA MBEYA KUPITIA TUNDUMA, NA MATEMA BEACH KFUATA MAHITAJI MBALIMBALI HASA YA KIBIASHARA.

KWAHIYO NDIYO INACHANGIA SANA MAAMBUKIZI KWA MBEYA NA IRINGA.

VILIVILE WATU WA MUSOMA KAMA WAJALUO HAWATAHITI KABISA NI MILA ZAO,LAKINI MBONA RATE YA UKIMWI NI NDOGO UKIRINGANISHA NA mBEYA NA IRINGA.

UKIJA kAGERA NDIYO ILIKUWA INAONGOZA NA WAO HAWATAHIRI?
 
nina wasiwasi na findings zako!
kama bado nakushauri pia ukatahiri

Umesahau Mkoa wa Kagera, walitaka kwisha kwa sababu hiyo. Kwa kiasi fulani kuna ukweli, Mikoa hiyo hasa maeneo ya vijijini suala la kutahiri ni dogo sana. tusiwafikirie kwamba wanapenda ngono, kama ni Mikoa inayofanya ngono kwa sana na Mikoa ya kusini yaani LINDI NA MTWARA lakini maambukizi yako chini sana, sababu wengi ni waislam na lazima mwanauume atahiri. MWJ1 kumbuka kwa mikoa uliyotaja bado kuna sababu nyingine nyingi. Unaonaje suala la mikoa ya Iringa na Mbeya kutoa wafanyakazi wa ndani tukilihusisha na kuenea kwa VVU/AIDS kwenye Mikoa hiyo?????????????????

Fugwe aksante sana kwa kutuongezea ufahamu. Ni kweli mkoa wa Kagera ugonjwa huu ulitumalizia sana ndugu zetu ila sikuwahikuhusisha na wao kutokukata kwa sababu kwanza sikuwa najua kwamba huwa hawakati but mawazo yangu yakikuwa kwamba kwa kuwa ugonjwa ulianzia kwao nchini kwetu na kwa kuwa ufahamu haukuwepo hasa juu ya modes of transmission basi waliondoka wwengi kwa kutokujua chanzo chake but kama na hii huwa hawakati basi ni wazi kuwa maambukizi mengi kule yalichangiwa pia na hii ya kutokata.

Fugwe tunawezakuhusisha suala hilo ulilolitaja na UKIMWI iwapo utafafanua zaidi na ndio maana nikasema suala hili la kutokukata ni moja wapo ya sababu za ongezeko kubwa la maambukizi huko.

Ninajaribu kukuelewa kuwa wao kuwatoa wafanyakazi wa ndani linahusika kwa kuwa wanaporudi likizo hao wafanyakazi huja nao au?
Kuna mtu alishaniambia kuwa mikoa ile (Mbeya na Iringa) imeathirika kwa kuwa wagonjwa wote wanaotokea kukle wanapofikia hali mbaya ya kukata tamaa walikuwa wanarudi vijijini na kuambukiza kwa kwenda mbele-(sina uhakika wa hili)
 
NI KWELI INAWEZEKANA IKAWA HIVYO KIBIOLOJIA LAKINI KI SOCIAL ECONOMICAL NI KWAMBA MIKOA KAMA MBEYA IMEPAKANA NA NCHI JIRANIKWA PANDE ZOTE KAMA MALAWI,ZAMBIA HIVYO MCHANGANYIKO WA WATU NI MWINGI SANA HASA UKIZINGATIA KWAMBA KWA AFRIKA NZIMA NCHI ZA KUSINI MWA AFRIKA ZINA KIWANGO KIKUBWA CHA MAAMBUKIZI,NA HAO NDIO WANAINGIA MBEYA KUPITIA TUNDUMA, NA MATEMA BEACH KFUATA MAHITAJI MBALIMBALI HASA YA KIBIASHARA.
Nyuki Hili nalo neno ndugu yangu- Sijui TACAIDS wameshalichunguza hili?
 
....
Ninajaribu kukuelewa kuwa wao kuwatoa wafanyakazi wa ndani linahusika kwa kuwa wanaporudi likizo hao wafanyakazi huja nao au?
Kuna mtu alishaniambia kuwa mikoa ile (Mbeya na Iringa) imeathirika kwa kuwa wagonjwa wote wanaotokea kukle wanapofikia hali mbaya ya kukata tamaa walikuwa wanarudi vijijini na kuambukiza kwa kwenda mbele-(sina uhakika wa hili)....

Habari hii ina ukweli fulani, ambao nadhani una apply kwa vijiji vilivyo vingi Tanzania. Elimu ya kujizuia na maambukizi ya ukimwi haijasambaa sana vijijini (ambako wananchi wengi wanaamini kwamba mtu mwenye ugonjwa huo lazima awe amekonda sana!)
 
Habari hii ina ukweli fulani, ambao nadhani una apply kwa vijiji vilivyo vingi Tanzania. Elimu ya kujizuia na maambukizi ya ukimwi haijasambaa sana vijijini (ambako wananchi wengi wanaamini kwamba mtu mwenye ugonjwa huo lazima awe amekonda sana!)

Hapa ndipo panaponitia hasira mie, ni muda gani tumeanza kujihusisha na masuala ya UKIMWI huku tukiteketeza mamilioni ya fedha za wafadhili, ni taasis ngapi tulizonazo zinazijihusisha na ugonjwa huu? Hivi kweli tunadiriki kukiri kuwa bado kuna baadhi ya watu wasiokuwa na ufahamu wa kweli juu ya ugonjwa huu?! Kwa kweli TACAIDS na wenzake wawajibishwe. Wanafanya nini?
 
nina wasiwasi na findings zako!
kama bado nakushauri pia ukatahiri

Teh teh tehh teh
Unataka kuwa ngariba nini?

Geoff suala si mimi nikoje, hapa JF ni home of great thinkers, sasa mada ikiletwa watu tunajaribu kuingalia kwa mapana yake (wengine wanaita kuiangalia katika mtazamo wa 3D).
 
ha ha umenikumbusha mbali sana ni kweli kabisa mikoa ya kusini huwa hawanyi hii kitu, hasa wanyakyusa. mimi ni mrangi ila mama ni mnyakyusa. sasa tulipokuwa tunanenda kwa bibi mzaa mama tukuyu huko kutembelea ilikuwa tunaenda kuoga mtoni na watoto wenzangu hapo ndio kasheshe walikuwa wananishangaa sana wanawaita hata wakubwa kuwaonyesha maajabu ya kutokuwa na ngozi ya mbele. unajua nini kilitokea nilikuwa sitaki kabisa kuoga mtoni kwa kuogopa kuchekwa.
 
Hapa ndipo panaponitia hasira mie, ni muda gani tumeanza kujihusisha na masuala ya UKIMWI huku tukiteketeza mamilioni ya fedha za wafadhili, ni taasis ngapi tulizonazo zinazijihusisha na ugonjwa huu? Hivi kweli tunadiriki kukiri kuwa bado kuna baadhi ya watu wasiokuwa na ufahamu wa kweli juu ya ugonjwa huu?! Kwa kweli TACAIDS na wenzake wawajibishwe. Wanafanya nini?

Una haki ya kukasirika, ingawa inatakiwa uchukue hatua!
TACAIDS pamoja na vi-NGO uchwara vya kupiga vita ukimwi havijasambaa sana vijijini, ambako elimu hii inahitajika kwa wingi!
In case ulikuwa hujasikia, kuna vijiji kule Shinyanga walikuwa wanaazimana kondom baada ya kuziosha wakishamaliza matumizi! Believe this, ilishaandikwa sana katika magazeti.
We have a very long way to go. Nimefanya sana kazi katika vijiji mbali mbali Tanzania, mie ni shuhuda wa hali halisi ya huko.
 
Una haki ya kukasirika, ingawa inatakiwa uchukue hatua!
TACAIDS pamoja na vi-NGO uchwara vya kupiga vita ukimwi havijasambaa sana vijijini, ambako elimu hii inahitajika kwa wingi!
In case ulikuwa hujasikia, kuna vijiji kule Shinyanga walikuwa wanaazimana kondom baada ya kuziosha wakishamaliza matumizi! Believe this, ilishaandikwa sana katika magazeti.
We have a very long way to go. Nimefanya sana kazi katika vijiji mbali mbali Tanzania, mie ni shuhuda wa hali halisi ya huko.

Idimi ngoja nikasirike kwanza kisha ntachukua hatua yaani ........ama kweli mchawi wetu aliyetuloga alikwisha kufa zamani gani!
 
Teh teh tehh teh
Unataka kuwa ngariba nini?

Geoff suala si mimi nikoje, hapa JF ni home of great thinkers, sasa mada ikiletwa watu tunajaribu kuingalia kwa mapana yake (wengine wanaita kuiangalia katika mtazamo wa 3D).
ha ahahaha!
umesomeka mkodoleaji!TUKATE ISHU
 
Back
Top Bottom