Southern Africa is losing US$30 billion annually as a result of financial outflows

Kutakatisha pesa Tanzania na Africa kwa U jumla ni rahisi sana. Mtu kuingiza pesa kwenye hi M-pesa na the like ni rahiisi sana. Tuliowengi tunafanya miamalka kutumia cash, siyo card za VISA au MASTER CARD. Hii inafanya laundering iwe rahisi.
Kuna watu wana uziana vitu vikubwa cash, hakuna anayetaka kujua source za pesa hizo, watu wanajali pesa. Wafanya biashara wengi wanakopeshwa the ya mfumo wa mikopo, mtu binafsi anampa kiasi atakacho,anachojali kwa wakati huo ni pesa na masharti nafuu, kumbe mwenzake anatakatisha pesa hivyo. Kuna vijikampuni co ukopeshaji havigiati sheria, watakatishaji huvitumia hivi sana tu.
Kuzuia hili wangetumia bank cards na waweke masharti ya ku deposit cash, ma waondoe urasimu ili watu waviamini vyombo vya dola, lakini kwa sasa TAKUKURU ndio wala rushwa wakubwa na kubambikiana kesi, watu wanaamua kwenda kimya kimya tu.
 
Nina using na kiingereza nilikuwa sikijui vizuri nikawa sijali nikisema kingereza kitu gani? Hata humu jamii forums wananijua Kwa enzi hizo broken English.

Sasa ikatokea mzungu tajiri Toka USA akachukua dreva taxi kumpeleka white sands hotel akaona hajui kiingereza vizuri akasema nitafutie ndugu yako nitamlipa dola 500 kwa saa ambayo Ni chaji ya public speakers America akasema anakaa Tanzania wiki tatu akasema namhitaji masaa 12 kila siku awe na Mimi full time mchana nimekuja kutalii dreva taxi akanitafuta kwenda kuongea kingereza na yule tajiri akasema thank you akaona kiingereza changu kibovu mno akajua hata kiswahili nitababaisha akaenda chukua mtu wa tours. Nikapiga hesabu dola 500 kwa saa Ni sawa na milioni moja za Tanzania kwa saa ukipiga Mara masaa 12 kwa siku Ni sawa na milioni 12 mara siku 21 atakazokaa Ni sawa na milioni Mia 242 zote nimepoteza tu kwa kutojua kingereza fasaha kwa wiki Tatu!!! Nikaamua kuingia kusoma kwa nguvu zote kiingereza Hadi nje kwa kujilipia nikae sawa.

Nisamehe bure kwa kuandika kiingereza. Bado Nina hasira na pesa zile milioni 242 kwa wiki tatu nilizopoteza
Sawa muzee, pole.
 
Issue Ni kuwa teknolijia Ni gharama mno .... Huwezi tumia bure.Kujenga platform mpya kwaweza kuwa gharama kuliko kutumia iliyopo .

Hapo mkuu suala la kujiuliza siyo iwapo tunaweza kumudu gharama za kuwa na platform mpya. Ni kujiuliza iwapo tunamudu gharama za kutokuwa nayo.

Kwa matumizi ya nje ya nchi -- hapo sawa. Lakini Unachukua kadi ya CRDB unaweka kwenye ATM ya NMB, mabenki yetu ya hapahapa, bado pana kichele kiende Marekani? Kadi ya NMB ikitumika Kenya kama mfano ulioutoa, hapo kidogo ni sawa iwapo pesa kidogo iende Marekani. Of course, mito hutiririka kwenda baharini -- lakini wakati mwingine ni vema kupunguza mtiririko huo kwa matone tu ambayo ni lazima yawe ni overflow. Matone mengine yabakie kama 'recharge' ya aquifer local ili yawe groundwater na baseflow.
 
I have never copied anywhere please bring the source where I copied .You can't just come from the toilet and say I have copied somewhere without any evidence that is toilet proffessionalism.Anyway this forum is for mature people not for children like you.Kacheze kombolela na vitoto vyenzio
You just had no point in the discussion, so side tracked yourself to breath out of suffocation.
Prove to the guy that you didn't plagiarized, instead you are trying to attack me with insults.
You think you are matured, by insulting others like that?! I don't have to prove to you anything, I am better than that.
 
Kutakatisha pesa Tanzania na Africa kwa U jumla ni rahisi sana. Mtu kuingiza pesa kwenye hi M-pesa na the like ni rahiisi sana. Tuliowengi tunafanya miamalka kutumia cash, siyo card za VISA au MASTER CARD. Hii inafanya laundering iwe rahisi.
Kuna watu wana uziana vitu vikubwa cash, hakuna anayetaka kujua source za pesa hizo, watu wanajali pesa. Wafanya biashara wengi wanakopeshwa the ya mfumo wa mikopo, mtu binafsi anampa kiasi atakacho,anachojali kwa wakati huo ni pesa na masharti nafuu, kumbe mwenzake anatakatisha pesa hivyo. Kuna vijikampuni co ukopeshaji havigiati sheria, watakatishaji huvitumia hivi sana tu.
Kuzuia hili wangetumia bank cards na waweke masharti ya ku deposit cash, ma waondoe urasimu ili watu waviamini vyombo vya dola, lakini kwa sasa TAKUKURU ndio wala rushwa wakubwa na kubambikiana kesi, watu wanaamua kwenda kimya kimya tu.
Mzunguko wa pesa ndani unatakiwa kuwa free hautakiwi kubanwa Sana ndio.maana dunia nzima cash ipo.
 
Hapo mkuu suala la kujiuliza siyo iwapo tunaweza kumudu gharama za kuwa na platform mpya. Ni kujiuliza iwapo tunamudu gharama za kutokuwa nayo.

Kwa matumizi ya nje ya nchi -- hapo sawa. Lakini Unachukua kadi ya CRDB unaweka kwenye ATM ya NMB, mabenki yetu ya hapahapa, bado pana kichele kiende Marekani? Kadi ya NMB ikitumika Kenya kama mfano ulioutoa, hapo kidogo ni sawa iwapo pesa kidogo iende Marekani. Of course, mito hutiririka kwenda baharini -- lakini wakati mwingine ni vema kupunguza mtiririko huo kwa matone tu ambayo ni lazima yawe ni overflow. Matone mengine yabakie kama 'recharge' ya aquifer local ili yawe groundwater na baseflow.
Nakubaliana kinadharia Lakini kiuhalisia sio issue ni mfano wageni wakija mfano hao wa mikutano ya SADC na watalii wanakuja kwa mamilioni Wana Visa na Master card wao ATM watatoa pesa wapi Kama una platform local tu? Ambayo haiko compatible na zao? Kwenye hizo benki za NBC,CRDB na NMB?.
 
Mzunguko wa pesa ndani unatakiwa kuwa free hautakiwi kubanwa Sana ndio.maana dunia nzima cash ipo.
Uwe free kwa utaratibu na sheria nzuri za kuthibiti pesa haram. Mfumo wetu uko wazi sana. Kama chujio, lina matundu makubwa sana hivyo vitu vingi vinapita in noticed, na hizo ndizo loop holes za money launderes.
Hata kama ni mfanyabiashara mwisho wa sdiku akileta questionable deposit abanwe, tujue anauza kiasi gani kwa siku na hata ikibidi kuhakiki maana sasa wanatumia machine za EFD. Lakini hapa kwetu kuna mazoea sana, unakuta mfanyabiashara ana leta pesa bank nyingi kuluko uwezo wa biashara yake, teller anachukua mzigo anakatiwa laki, mchezo kwisha ana deposit.
That is too easy, ndio maana mtaani kuna too much of unaccounted cash of different currencies hata BOT hawajui zinatoka wapi.
 
Nakubaliana kinadharia Lakini kiuhalisia sio issue ni mfano wageni wakija mfano hao wa mikutano ya SADC na watalii wanakuja kwa mamilioni Wana Visa na Master card wao ATM watatoa pesa wapi Kama una platform local tu? Ambayo haiko compatible na zao? Kwenye hizo benki za NBC,CRDB na NMB?.

Hivi vitu siyo mutually-exclusive. Tunaweza tukawa na mfumo wetu wa interbanking wa ndani, na tukabaki bado na Visa na Mastercard kama backup na kama namna ya kubakia kwenye global financial network.
 
Uwe free kwa utaratibu na sheria nzuri za kuthibiti pesa haram. Mfumo wetu uko wazi sana. Kama chujio, lina matundu makubwa sana hivyo vitu vingi vinapita in noticed, na hizo ndizo loop holes za money launderes.
Hata kama ni mfanyabiashara mwisho wa sdiku akileta questionable deposit abanwe, tujue anauza kiasi gani kwa siku na hata ikibidi kuhakiki maana sasa wanatumia machine za EFD. Lakini hapa kwetu kuna mazoea sana, unakuta mfanyabiashara ana leta pesa bank nyingi kuluko uwezo wa biashara yake, teller anachukua mzigo anakatiwa laki, mchezo kwisha ana deposit.
That is too easy, ndio maana mtaani kuna too much of unaccounted cash of different currencies hata BOT hawajui zinatoka wapi.

Very soon watakaba. Tunakoelekea ni kwenye cashless-society. Cash itakuwa ni illegal. Miundombinu inaandaliwa kwanza. Baada ya hapo kila kitu kitakuwa kielektroniki kidigitally / kiquantum computing.

Rejea:



 
Rasilmali muhimu kuliko zote kwenye nchi ni ..... drum-roll.... Rasilmali-watu.

Dunia sasa hivi inashindana kunyang'anyana rasilmali-watu. Watu ambao ni productive, innovative, talented, hardworking ni rasilmali inayogombewa sana. Mtu ambaye hawi burden to the state, na akaweza kuemploy a person or more, they will move heaven and earth kumfanya atoke taifa aliloko, aende kwenye taifa lao. Na siku hizi za telecommuting, kazi nyingi na biashara nyingi hazihitaji physical presence. Baadhi ya nchi wanatoa digital residency permit za kuwa digital citizen wa nchi yao. Unakuwa raia wao kidigitali, na hawakuhitaji uset foot kwenye ardhi yao. Only that wanufaike na maarifa yako kidigitali kwa kufungua kampuni online, lenye makao makuu kwao, ambako utalipa kodi... Baadhi huondoka au kutumia fursa hizo za nje ya nchi. Hiyo Africa huita brain-drain. Yenyewe Afrika iko half-hearted kwenye kuimport brains.

Prof. Luhanga alipata kunukuliwa kusema kwamba, brain inayobaki Afrika isipotumiwa vizuri, huwa ni brain in drain.

Siku moja nilikuwa na shida ofisi fulani ya umma. Nilikusudia kwenda kuwauliza suali fulani, ambalo lilitokana na jambo ambalo sikuona lina mantiki. Kwa hiyo niliwapa a highly-exaggerated scenario relevant to jambo hilo, na kuwauliza in that scenario, nini kitatokea. Afisa mmoja alijibu kwa haraka akisema kitakachotokea ni kama inavyotokea kwa kawaida -- jambo lililonipeleka pale. Afisa mwingine, anayeonekana ni kama alikuwa mwandamizi, alikataa kuunga mkono jibu la afisa mwenziwe. Alichosema ni kwamba maafisa wa serikali hufanya kazi kwa kufuata STK -- Sheria, taratibu na kanuni. Ukiwa mid-level officer -- hao ambao sisi wananchi tunakutana nao sana -- mipaka yao ni STK. Afisa akitumia "logic" kufikia maamuzi, anawajibika kama yeye, na siyo ofisi, kwani ataulizwa alitumia mwongozo gani kufanyia maamuzi. Hivyo, much as afisa alikuwa akiona sense katika yale ninayosema, mikono yao ilikuwa tied na STK. Nikitaka maamuzi yanayotumia logic, nipande juu zaidi kwenye chain ya maamuzi -- kule wanakotengeneza STK, maana hao pekee ndio wanaoruhusiwa kutumia logic. Toka siku hiyo amenirahisishia maisha. Kwani nikutanapo na kikwazo chochote ofisi ya umma, najua uwezekano mkubwa ni STK za ofisi hiyo, kuliko uchimvi wa maafisa husika.

STK nyingi zipo kwenye kuzuia uhalifu (at the expense of the productive, innovative law-abiding citizen kama collateral damage), kulinda maslahi ya kitaifa -- hapo ni usalama, na viwanda vya ndani, nk. Kwamba maisha yaweze kwenda, hiyo ni baada ya mambo ya msingi kitaifa hayo hapo juu.

Hivyo ukitaka mambo yabadilike, usiwe na haraka sana. Na utarget STK kuliko watu. Hata akae nani, baadhi ya viti havina wiggle-room ya kutosha kufanya discretion katika kutekeleza STK. Siyo hardware. Siyo George Weah. Ni Software (STK) ambazo ndio zinaleta drag kwenye kasi ya kuendana na 21st century.

Hapo kwenye sheria, taratibu na kanuni ndo kuna tatizo kubwa na ndo kitu nachoongelea mimi kinahitaji kua fixed.
Kusema twende hivyo hivyo hatutafika popote, we huoni badala ya kupanda juu tunashuka chini? kuna sababu gani ya kuendelea na system ambayo ime-fail na proof ipo kua imefail? Kuna vitu tunafanya Tanzania tu, hakuna nchi nyingine duniani inafanya, na havina manufaa yoyote yale zaidi ya kuturudisha nyuma.

Na unavyosema STK nyingi zipo kulinda maslahi ya taifa na viwanda vya ndani haupo sahihi kabisa, intention ndiyo hiyo nakubali ila kinachoishia kutokea ni tofauti kabisa na wanavyofikiria, nilitoa mfano wa youtube, sasa nikupe mfano mwingine, kufungua kampuni inayodeal na money transactions kwa Tanzania unahitaji uwe na si chini ya Tzs 500million kupewa leseni, sasa niambie mtanzania gani atarisk hiyo hela ili kuanzisha payment gateway ya kucompete na zilizopo nchini? Investor gani atampa mtu ambaye ana financial product 500mil kama risk akitegemea atapata customers hiyo hela irudi? In other words sheria kama hii inaishia kuwafaidisha foreigners tu, watakuja na investment yao, watalipa hiyo 500mil, watachukua hela zetu wataondoka, intention ilikua ni kuzuia uhalifu ndiyo ila imeishia kusupport foreigners huku locals wanabaki kua wakulima tu, hakuna anything online wanachoweza kufanya. Huoni companies kama Uber zipo nchini hazina mpinzani? Betting companies zimejaa wanapiga hela wanapeleka nchini kwao, alafu tunalalamika tzs kushuka?

Vitu vingi vinawekwa kwa intention nzuri ila ni so stupid ukiangalia unajiuliza kwa nini tunafanya hivi Tanzania tu, nimezunguka nchi nyingi sana duniani when it comes to starting a business sehemu inayoongoza kwa ugumu wa kuanzisha biashara ni Tanzania, na yote ni sababu ya hivi visheria ambavyo unasema vimewekwa kulinda watanzania. Kwa nini nchi nyingine hawana? Kwa nini tusiige au tuweke exceptions basi kama ni local industry then either zipewe support au ziwe na exempt kwenye baadhi ya vitu ili kuencourage vijana kufungua biashara mbalimbali. Dunia nzima inaamia online sisi tunaambiwa tukalime?.

Zunguka duniani uone, nchi za Afrika tu na baadhi zile maskini South East Asia ndiyo zina sheria za kijinga, kampuni hizi za ponzi scheme zimejaa sana kama Tanzania kuna hadi mabango barabarani, semina kila kona, serikali ingekua kweli inasheria za kulinda raia tusingekaa tunaona companies kama hizi zinaoperate openly hivi bila hata aibu tena zipo registered. Mtu na akili yake kasoma biashara, uchumi, anatoa license kwenye company isiyo na product yoyote ambayo inasema tunakulipa kwa kila mtu unayemleta ajoin kweli? Ponzi scheme 101, upuuzi huu hukuti kwenye nchi zilizoendelea, kama mtu anafanya unakuta ni illegally chini chini akikamatwa anafungwa, bongo nimerudi dar juzijuzi naona mabango makubwa kabisa na karibia kila nayemjua anasema anaenda semina za hawa wajinga. Its really a shame, Tanzania kama nchi imefail, inaongozwa na watu ambao walisoma wana A kwenye vyeti lakini hawajui hata walichosoma ni nini
 
Uwe free kwa utaratibu na sheria nzuri za kuthibiti pesa haram. Mfumo wetu uko wazi sana. Kama chujio, lina matundu makubwa sana hivyo vitu vingi vinapita in noticed, na hizo ndizo loop holes za money launderes.
Hata kama ni mfanyabiashara mwisho wa sdiku akileta questionable deposit abanwe, tujue anauza kiasi gani kwa siku na hata ikibidi kuhakiki maana sasa wanatumia machine za EFD. Lakini hapa kwetu kuna mazoea sana, unakuta mfanyabiashara ana leta pesa bank nyingi kuluko uwezo wa biashara yake, teller anachukua mzigo anakatiwa laki, mchezo kwisha ana deposit.
That is too easy, ndio maana mtaani kuna too much of unaccounted cash of different currencies hata BOT hawajui zinatoka wapi.
Kazi ya benki Sio kuhoji mtu pesa katoa wapi.Hiki kichaa Cha money laundering kinaharibu Sana banking system sababu peesa mtu katoa wapi non of your business as a banker .Kama kaiba huko alikoiba watamfuatilia na watazikuta pesa ziko safe banki tatizo Nini.Tena Kama kauza madawa ya kulevya halafu akaziweka benki Safi Sana hiyo Tena serikali inatakiwa ishukuru kuwa mwizi ,muuza dawa za kulevya ka deposit hela.Kaziweka sehemu safe.Mwache aweke.Hii ya kuhoji hoji Ina wa scare wanaacha kuleta halafu utakuta counter tupu hazina depositors benki zinaanza Kufunga matawi kwa kukosa business wafanyakazi wanaanza kupunguzwa na mabenki kufa.Haya mambo ya money laundering tukiyakomalia Sana Hadi KU scare depositors yataua mabenki.Mfano masokoni Kuna madalali wa mazao anapewa mizigo auze hawana leseni Lakini aweza uza mauzo ya milioni 200 hawezi lala nazo anapeleka benki akisubiri wenyewe waje awape pesa zao achukue Cha juu Cha udalali.Mtu Kama huyo na visheria Koko vya money laundering waweza mwonea bure kuwa Hana leseni halafu ana deposit mamilioni 100 atakuwa muuza madawa huyu!!! Benki hazitakiwi kugeuka kuwa vituo vya polisi vya kuhoji kila mleta hela Kama mhalifu aliyejileta mwenyewe polisi kituoni
 
Hivi vitu siyo mutually-exclusive. Tunaweza tukawa na mfumo wetu wa interbanking wa ndani, na tukabaki bado na Visa na Mastercard kama backup na kama namna ya kubakia kwenye global financial network.
Naona Kuna gharama Mara mbili hapa je Ni economical? Sababu Tanzania umejaribiwa hivyo.lakini haujapokelewa vizuri na mabenki mfano Kuna Local wa UMOJA switch Lakini benki chache mno zimejiunga nao kubwa hazijajiunga Ni banki ndogo ndogo tu.Mabenki makubwa yanapenda zaidi mfumo huo global zaidi.Kigharama imekaaje kuwa na mifumo miwili kwa benki?
 
Uwe free kwa utaratibu na sheria nzuri za kuthibiti pesa haram. Mfumo wetu uko wazi sana. Kama chujio, lina matundu makubwa sana hivyo vitu vingi vinapita in noticed, na hizo ndizo loop holes za money launderes.
Hata kama ni mfanyabiashara mwisho wa sdiku akileta questionable deposit abanwe, tujue anauza kiasi gani kwa siku na hata ikibidi kuhakiki maana sasa wanatumia machine za EFD. Lakini hapa kwetu kuna mazoea sana, unakuta mfanyabiashara ana leta pesa bank nyingi kuluko uwezo wa biashara yake, teller anachukua mzigo anakatiwa laki, mchezo kwisha ana deposit.
That is too easy, ndio maana mtaani kuna too much of unaccounted cash of different currencies hata BOT hawajui zinatoka wapi.
Kwenye issue za money laundering watanzania tuko more obsessed kuliko hata waanzisha hiyo money laundering concept .Ukisikia ngoma imepata mpigaji Ni Tanzania
 
Kikao kilicho pita AU walizungumzia free visa wambayo walisema wataanza na diplomat. Hapa ndiyo utaona vituko vya kiongozi wetu, eti mtu mwenye uwezo Wa kulipa viza ndiyo kaondfolewa malipo. Ila huyo mbembe ambaye ana kagunia kake magimbi anataka alipie viza. Utajiuliza hivi hawa viongozi wanaotumia kodi za walalahoi, kwenye vikao vyao eti kumkomboa Mwananchi maskini huku maamuzi wanayo yafanya hayamgusi huyu mwananchi. Hapo ndipo utaona kama kiongozi wetu hawana utashi wa kupunguza umasikini katika bara la Africa.
Kungekuwa na utashi wa kweli tungeona juhudi zikifanyika kupunguza hizi tariff za kupiga simu kwenye bara letu. Leo hii kupiga simu ulaya na amerika ni bei ndogo kuliko Congo na zimbabwe. Kama kweli kiongozi wetu wangekuwa na utashi Wa kweli wangetumia makampuni kama TCCL yenye mkonga wa taifa na Telcom kunganisha network ya SADC ili mwananchi wabanidishane taarifa za kibiashara zingesaidia kuongeza kipato cha wananchi wa kawaida. Leo hii kupita boda na vigunia vyako viwili vitatu, utaambia uwe na vibali ambavyo vinazingatia kanuni na sheria pasi kujali kama huyu sio mfanya biashara ni mchuuzi ambaye angesaidiwa kumwinua ili awe mfanyabiashara.
 
Naona Kuna gharama Mara mbili hapa je Ni economical? Sababu Tanzania umejaribiwa hivyo.lakini haujapokelewa vizuri na mabenki mfano Kuna Local wa UMOJA switch Lakini benki chache mno zimejiunga nao kubwa hazijajiunga Ni banki ndogo ndogo tu.Mabenki makubwa yanapenda zaidi mfumo huo global zaidi.Kigharama imekaaje kuwa na mifumo miwili kwa benki?

Ndio maana awali nilisema tujiulize tunaweza kumudu gharama za kutokuwa na mfumo wa malipo ya kibenki ndani ya nchi ambao ATM zote unazitumia? Kama haemorrhage ya pesa za kigeni, one transaction at a time, ni gharama ndogo kuliko kuwa na one grand UMOJA-switch ambayo ni purely on local currency? Tukumbuke mjadala ulikoanzia ni kwenye nchi wanachama wa SADC kupoteza hela nyingi za kigeni isivyo lazima.
 
Hapo kwenye sheria, taratibu na kanuni ndo kuna tatizo kubwa na ndo kitu nachoongelea mimi kinahitaji kua fixed.
Kusema twende hivyo hivyo hatutafika popote, we huoni badala ya kupanda juu tunashuka chini? kuna sababu gani ya kuendelea na system ambayo ime-fail na proof ipo kua imefail? Kuna vitu tunafanya Tanzania tu, hakuna nchi nyingine duniani inafanya, na havina manufaa yoyote yale zaidi ya kuturudisha nyuma.


Nimeongeza msisitizo kwa kuboldi. Na unavyosema STK nyingi zipo kulinda maslahi ya taifa na viwanda vya ndani haupo sahihi kabisa, intention ndiyo hiyo nakubali ila kinachoishia kutokea ni tofauti kabisa na wanavyofikiria, ...

Naona tuko pamoja kwenye kutambua nia njema ya STK. Na pia tuko wote kwenye kusema zingine zinaleta matokeo tofauti na nia njema ya kuziweka. Miaka ya zamani palikuwa na msamiati wa URASIMU na UMANGIMEZA. Siku hizi siisikii sana misamiati hiyo. Pengine bado ndiyo inayoturudisha nyuma kwenye safari yetu kwenda kwenye maendeleo-endelevu.
 
Sisi ni wepesi sana wa kutazama mambo kwa ufupi sana.

Hivi mwananchi wa Nyamato, Kidogobasi, Mkumbara au Kadewele wanahusika vipi na hili?
Wananchi hao wanajua nini kuhusu Uswiss, Bahama au Cayman?

Ukiwauliza Uswiss watakuambia ni aina ya mchuzi wa kizungu, Bahama ni eneo walilohamia watu, na Cayman ni ng'ombe wa mtamba.

Take the Bull by the horns !

Wanohamisha pesa za Afrika ni viongozi wa nchi hizo.
Tusiwalaumu wenye mabenki kwani kuhifadhi pesa ni kazi yao.

Kwanini viongozi wa Afrika wanaweka pesa huko? Jibu ni kuwa pesa hizo ni haramu

Tatizo ni viongozi wa Afrika, si Afrika au watu wake.Tatizo si nchi za ''Southern Africa''

Viongozi wanahamisha pesa na wakati mwingine wanasaidia kufanikisha miamala ya wafanyabiashara.

Tuliwahi kuambiwa kuna Watanzania wameficha vijisenti Uswiss! Jiulize sakata liliishaje!
Tatizo ni wale wanaowachagua hawa wezi wahamishs fedha,,,kwaiyo Tatizo ni wananchi,,,,,,vibaka wanapata adhabu sana kutoka kwa hawa wananchi lakini hawa viongozi wanaungwa mkono,,,,,,Jamii ya wezi itazaa wezi,,,jamii dhaifu itazaa kiongozi dhaifu,,,,Uliza leo kuhusu mandege na gharama zake zisizo julikana,,,, hao hao wananchi watatetea sana,,,,,,,Kwaiyo tatizo la wananchi wanaokubali kuwa na viongozi wa aina ya Mabutu,,,,,,
 
Why do we always blame others for our problems. ? Its human nature hata sisi ndio tungekuwa hizo nchi zilizoendelea na wenyewe ni sisi bado tungefanya wanayofanya wenyewe...

Marginalization of the Poor Countries is what Makes it Possible kwa nchi zilizoendelea kuweza kunufaika na kutoa cheap products kwa wananchi wake bila hivyo maisha yao yangekuwa magumu...

Pili being rich in natural resources haiguarantee mafanikio mara nyingi ndio vice versa..Japan, South Korea.., Swiss, Singapore to name just a few

Tatu tunahitaji watu wa nje wanini kama basic needs ni shelter, food, water, security, safety, warmth and rest.., na tuna nguvu ya kutengeneza hayo na soko la watu kununua ambao ni sisi wenyewe.., tunashindwa wapi ? Utagundua ni mentality mbovu na umimi.., nothing to do with western countries..
 
Kikao kilicho pita AU walizungumzia free visa wambayo walisema wataanza na diplomat. Hapa ndiyo utaona vituko vya kiongozi wetu,
Kwa hili ni kituko.Kwa hiyo walikaa kijiidhinishia free visa wao? Aisee !!!! unaacha kutoa free visa kwa watu wenye impact kubwa kiuchumi Kama bussiness men Kama akina bakhresa,Dewji ,Manji na business men wengi wakubwa waliomo nchi za SADC wanaowekeza ,kutoa ajira na kuongeza mapato ya Kodi ya nchi za SADC,madreva wa malori,treni na mabasi etc unatoa free visa kwa politicians!!!!! Africa Mungu tusaidie Ni Nini hicho? Hivi walipokuwa wakilipitisha hili walikuwa na akili timamu?
 
Kweli kabisa mkuu, lakini naona tatizo liko katika aina ya viongozi ambao tuko nao hapa africa, Angalia hata shinda zetu za ndani ya africa hatuwezi tatua, je ni vitu complex kaa hizi tutaweza? ukiangalia viongozi wengi wa africa nia yao ya kuingia madarakani ni moja tu THEFT OF RESOURCES TO ENRICH THENSELVES AND THEIR FAMILIES AND COLONIES, angalia kabila pale dr congo, angalia kina guma pale guinea bissau, na wengine, nafikiri muda ule tutaungana pamoja ndio solution itapatikana, na jambo lingine africa tuko na lots of raw materila, why cant we rencourage investment right here in africa, rather than exporting raw materials, and it is in this raw materilals exports that billions are stolen from africa, but it all comes down to one question , WHAT KIND OF LEADERS DO WE HAVE IN OFFICE HERE IN AFRICA?????
Mkuu,kwa kifupi Africa, haina viongozi wazalendo bali tuna viongozi wanaosaka fursa za kimaisha kupitia nyazifa zao.
 
Back
Top Bottom