Uganda, kuna basi kama sijakosea ni friends huwa linatoka Dar, Kampala mpaka Juba, wana ofisi zao Magomeni mwembechai!Hv mpk ufike huko kwa gari route yake inapita nchi zipi !
Uganda, kuna basi kama sijakosea ni friends huwa linatoka Dar, Kampala mpaka Juba, wana ofisi zao Magomeni mwembechai!
Uganda tu.Hv mpk ufike huko kwa gari route yake inapita nchi zipi !
Uganda, kuna basi kama sijakosea ni friends huwa linatoka Dar, Kampala mpaka Juba, wana ofisi zao Magomeni mwembechai!
Unaptia Uganda ela yao nzur sana inadhamani kubwa sana kuliko pesa yeyote ndani ya Africa mashariki sababu ya mafutaHv mpk ufike huko kwa gari route yake inapita nchi zipi !
Ni nani huyu mkuu?R.I.P John GarangView attachment 1169058
Hv mpk ufike huko kwa gari route yake inapita nchi zipi !
Huko si ndo kwenye vita au siyo huko
Ubarikiwe sn mkuu
Ni hayati Dkt John Garang de Mabior, alizaliwa 23 Juni 1945 na aliuwawa 30 Julai 2005. Alikuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan na kiongozi wa zamani wa waasi wa Sudan People's Liberation Army .Ni nani huyu mkuu?